😢😢😢😢yesu nisaidiye nipe mwisho muzuri kuliko mwazo sisi ni wangeni na wasafiri hapa duniani nisamehe makosa yango yote yesu
@lilianluhanga1446
2 жыл бұрын
Mungu wangu nisaidie , niwe na mwisho mwema
@DiksonZakeo
Ай бұрын
Mungu nisamehe tena leo sijaenda ibadani.
@AronMapunda-r9s
28 күн бұрын
Preacher of righteousness...
@barakanyamafu5937
4 жыл бұрын
Mungu atuhurumie na atusadie kumjua yeye Amina mchungaji
@mlokozijohn2668
6 жыл бұрын
Neno litasimama,YESU NIPE NGUVU NIMALIZE MWENDO SALAMA KATIKA IMANI,UBARIKIWE BABA ASKOFU KAKOBE
@ivodisiame4596
5 жыл бұрын
Amen asante
@petermageta5535
5 жыл бұрын
Na barikiwa sana
@sieracharli9586
Жыл бұрын
Amina
@mwanzashinyanga8060
4 жыл бұрын
ooh mwenyezi mungu nipe mwisho mwema amen
@damasmulondajagen4742
3 жыл бұрын
Asante sana. Mtumishi wa Mungu kwa neno nzuri sana lituhimizalo katika safari ya kwenda mbingu
@franksadock9554
3 жыл бұрын
Mungu tusaidie tupe moyo wa toba na kusonga mbele kwa utakatifu..
@lulumagulu5996
6 жыл бұрын
Bwana Yeeeeeeeeeesu nisaidie nisifike mahali pa namna hiyo
@Yvonne-Kavira
4 жыл бұрын
Yesu wangu nioneye uruma, nisaidiye nifike mbinguni.
@stellashedrack4879
3 жыл бұрын
Mungu naomba unisaidie Yesu😭😭😢
@rodgersabraham1065
5 жыл бұрын
Bwana Yesu nisaidie
@djomaliakilimalisumbya9248
4 жыл бұрын
😭😭😭😭😭lord your mercy
@michaeljohn6381
5 жыл бұрын
Mungu atuokoe na Moto wa milelee tujalie hee munguwetu kifo chema
@thomasaloyce5193
6 жыл бұрын
Ubarikiwe askofu
@barakapaulmniko4804
6 жыл бұрын
Niepushe na jehanam ya moto eeeh mungu baba
@ngoshajaphet2032
5 жыл бұрын
Duuuuuuuh
@praxedamulla7911
2 жыл бұрын
Atakusaidia
@oqtiraula1814
2 жыл бұрын
BWANA YESU NIONGEZEE IMANI
@ludovicdodovic2753
4 жыл бұрын
God help me
@erastomtumbuka5901
5 жыл бұрын
Niokoe Ee bwana maana nafsi yangu imekutumaini wewe
@jeanmariebushiri5262
5 жыл бұрын
nina hamu ya kupata maubiri tangu mwanzo hadi mwisho ya hii maubiri ya kiburi cha uzima
@paulamani3936
5 жыл бұрын
Mungu atuokoe na sehemu hii ambayo amewekewa shetani na malaika zake
@Yvonne-Kavira
4 жыл бұрын
Baba Mchungaji mbona haupatikani tena kwenye KZitem? Ume enda wapi? Mtu moja anijibu please!!
@alvanedwin1785
2 жыл бұрын
dada uliza kanisa la full gospel pale ulipo utapata kweli yote isiyogoshiwa na utasalmisha roho yako
@joachimjaffu8382
6 жыл бұрын
Amen
@josevuri9369
6 жыл бұрын
asant yesu
@muhanjimuhanji8428
4 жыл бұрын
Hii Injili in🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@albert3359
2 жыл бұрын
Lord forgive my sins
@kenemloli4301
6 жыл бұрын
Ninatamani kuingia mbinguni
@gabrielmutonkole323
4 жыл бұрын
Mon bishop
@nyandindibabou1183
6 жыл бұрын
hakika hii ni injiri hisio chujwaw
@mtafungwamayengela5051
5 жыл бұрын
Yahe,Kakobe mahubiri yako uliyowahi kutoa kanisani kwako kuhusu Nyerere nahisi hukutumia hekima.Hukutakiwa kuyasemea kanisani badala anzisha chama cha siasa.Nakupa pole sana kujiita mchungaji kumbe huna hata hekima.Soma zaidi biblia,omba hekima ya Mungu ili uzungumze yaliyo ya hekima.Pole sana
@winnerschapelintlsingidata3197
5 жыл бұрын
Wewe ndo huna hekima maana hujamuelewa,alisema yapo mema na mabaya aliyo Fanya kwa hiyo watu wasi mchukulie kama ndo Mungu bado yekima iliyo mfanya afanye hivyo niMungu,lingine ameitwa kuliokowa kanisa na kila njia inayo elekea kulipoteza kanisa maana watu wa Mungu huangamizwa kwa kukosa maharifa,lazima ayanene kanisani maana ndio mahali alipo,hawezi kukufuata kule baa ulipo ili ayaseme maana sio hekima nawala sio mahala pake
Пікірлер: 45