❤❤❤❤❤ aubino bado yupo sanaaaa mmesikia nyuma mwikooooo❤❤❤
@denischemba
8 ай бұрын
Tunakupenda sana KRAMO ila haina jinsi utusamehe2 acha maisha mengine yaendelee
@bellenoe414
8 ай бұрын
Kweli😢 atoke tubaki na saido na kina phiri??? Hata nzi watatucheka😮 saiv nikuambie tu watu wametega tujukanyage wambeba😢 akienda uto tutaongea haya?? Ngoma nae alipata tatizo kmb kramo alivyokuwa al hilal akakaa muda kurudi kakosa namba!! Akavunja mkataba kuja simba leo huyo tunavimba nae
@iddiramadhan
8 ай бұрын
Kila la khery mnyama Simba sports club leo piga hao mlandege Saba bila Amiinna Rabillah Allah miinnah 🤲
@user-iv8zt4ct9y
8 ай бұрын
Kesho tunataka uchindi❤❤
@kabwemaembe9827
8 ай бұрын
Kila La heri Chama langu simba
@CikeTanzania
2 ай бұрын
Kila la kheir Simba sports club. ❤❤❤
@robertjere1006
Ай бұрын
❤
@user-kn7bo6iz4n
Ай бұрын
❤❤❤❤❤
@kennethmnyiha2109
Ай бұрын
Please 🙏 kocha Mpe nafasi Aubio kiram maana
@franccoz94
8 ай бұрын
Wamuache tuu watu kamaa saido,balake,phir,na chama ndoo wakuondoka simba mm kwasasahivi sioni mchango wao
@ayubushabanisonge9689
8 ай бұрын
Aisee angewekwa mezan akapewa mapumziko huku bado akiwa na mkataba simba ikasijili mtu kisha akipona atarudi kama wanavyo tolewa kwa mkopo kisha baadae wanarudi
@josephkalwani
8 ай бұрын
Bado hajapona vizuri
@Emanuellukelesha-jp9ye
7 ай бұрын
shukulani sana wachezaji was Simba 👍😎
@HamadiTilalila
Ай бұрын
Tunahitaj kumuon kramo uwanjan
@KokoloLambinguni
Ай бұрын
Hapo ni zaman onana wa nn kwenye timu ya simba
@DandiGadafi
2 ай бұрын
hii clip ya muda na muona onana.
@KelviniKelvini
2 ай бұрын
Wee
@MusaSaka-es7kc
4 ай бұрын
Viongozi tumechoka kampeni zenu tunataka usajili wa maana acheni porojo zenu
@KelviniKelvini
2 ай бұрын
Ungepewa nafasi yakusajili ungemsajili nani usajili ni kamar Shee anaweza uko kwao mzr akaja bongo akashidwa
Пікірлер: 20