😁😁😁😁 Aunty Eti mashine imefanya Kazi, hongera sana Aunty.
@marysonda3538
8 жыл бұрын
penda sana ant yake godbless u
@willywenger7417
8 жыл бұрын
Nachopenda toka kwa aunty , n mtu muwaz na anayejtambua
@Willyn409
6 жыл бұрын
Mwelevu sana
@alimbwana5989
5 жыл бұрын
Hypendez aunty Zekel kuanika mambo ivi
@alloycedisheni232
8 жыл бұрын
Big up Aunty !! da aiseee wewe ni msichana mrembo sana na ukomakini kwa kujitabua,mwambie Uncle Mo asifanye mchezo wa kuchezea mpira eneo la penati atajuta kuzaliwa mara baada ya penati kutokea.
@gloryshirima4178
7 жыл бұрын
Hongera sana na Mungu akupe nguvu na maisha marefu umetoka mbali mama
@imanirashidi5621
5 жыл бұрын
Chungeni sana maneno co mazuri hayo..,,
@rehemasharriff7494
8 жыл бұрын
nice Aunty mungu awabarik san
@ibraheemkathir5407
5 жыл бұрын
Jaman watanzania kukosa malezi ni kitu kibaya sana.sio sahihi sana kuongea siri zako kwa jamii.pumbavu kabisaaa
@khatwabisadathil3423
3 жыл бұрын
Jamani aibu.😢😢😢😢😢😢😢😢
@ttintinchidaniel7321
8 жыл бұрын
good. I give you a credit on that
@MsBupe
8 жыл бұрын
Safi sn Aunty, nakukubali sn na Mungu awabariki.
@hamedaabdultaleb4969
8 жыл бұрын
maskin jmn kutokana Dada uko juu ndio maana yy hakujiamini km ww ungempnda so mungu awape imani mumlee MTT weni kwashida na raha nawapenda sana
@jedidahnyaga5966
8 жыл бұрын
Anty nakupenda hongera
@chedamoraadaisy316
8 жыл бұрын
Be blessed dear
@pendoedward2846
5 жыл бұрын
Congratulations sister watoto ni baraka
@anetikapami4228
6 жыл бұрын
Eti wamesoma mbona hakili zenu ni zero, Mambo ya ndani mwayaweka mitandaoni.
@jamesshukrani9205
5 жыл бұрын
Ndoa za kitanzania kweli, hazina maana, kubadilishana kama nguo, na mungu hatowavumilia
@lissaprince9095
5 жыл бұрын
Honger sn aunty
@antonyvallerian1718
5 жыл бұрын
Mmmmh mtoto yupo katika hali ngumu sana. Maana waweza fikiri katika nafsi zetu lakini tuivae nafsi ya mtoto katika kusikiliza maneno haya ya mzazi wake. Hekima, na busa kwa wazazi muhim sana
@sallykanze
8 жыл бұрын
Congratulation for your confident
@abuuaisha9095
5 жыл бұрын
Daaah...!! Zinaa siku hizi imekuwa fashion!! Mtu unajisifu mitandaoni kwa uzinifu.?!!! Huu ni zaidi ya ujinga..!!!
@khatwabisadathil3423
3 жыл бұрын
Inna Lillah wa inna ilahi rajiu'n.
@khatwabisadathil3423
3 жыл бұрын
Huu ni msiba mzito sana.
@hapynesmabula7348
6 жыл бұрын
Nampenda Sana ant maana huwa ni muwaz sana
@maryamtanzania9743
Жыл бұрын
Natamani siku moja nikuone laivu ktk mastaa ninaotamani kukutana nao laivu ni anti
@japhetjsphetnoniape2416
5 жыл бұрын
Wanawake wote ni mamalaya
@lasoitantoya4260
8 жыл бұрын
Woow. Anty hongera sana
@andason5406
5 жыл бұрын
Upo good saana mamyy
@zuhuraali9983
8 жыл бұрын
anty nakupenda bure unajiamini saana wewe
@D-Man.B-Free
8 жыл бұрын
nakuaminia.ila vipi ule umemuaha SA?
@graciousjerry1322
8 жыл бұрын
ninachompendea huyu dada kujitambua tu kichwan!
@troubleabhat2190
6 жыл бұрын
mnakera love mpka mtandaoni
@wilsonkumburu5746
5 жыл бұрын
Mashine imefanya kazi
@hildamjema284
6 жыл бұрын
huyu dada ajitambua sana nampenda mbaya kabisa na apendi kiki
@yasminkituku3875
8 жыл бұрын
apo sawa
@robertjunior9916
5 жыл бұрын
Huu ujinga wa kujianika mitandaoni kwa wasanii utaisha lini ?? Foolish pple
@halimaidrissa3689
5 жыл бұрын
Asante sana.Anti kwaujasili wako
@anitaphilip2070
8 жыл бұрын
so nice
@christinarobert47
6 жыл бұрын
big up sister
@victoriacollins1979
7 жыл бұрын
unaongea vizuri
@miriambabayee8402
8 жыл бұрын
mujitulize tu sana na wapenda
@troubleabhat2190
6 жыл бұрын
Hakuna love hapo
@zawadifrancis2543
8 жыл бұрын
nice anuty nakupenda sana
@jannbill5786
8 жыл бұрын
sa maneno gani ayo unaongea.watu hamnaga akili
@reemajeereemajee2105
8 жыл бұрын
I can say bastard
@maryamandayi6106
8 жыл бұрын
I lov aunty
@doreenmalesi6039
8 жыл бұрын
Nampenda aunty yuangea vyema
@firdausabdullah6315
6 жыл бұрын
Waaau bigbig up love daa elz
@mahamudmhawi5635
8 жыл бұрын
Hongera saaana Aunt
@jannbill5786
8 жыл бұрын
ayo sio maneno ya kuonge wakat mtoto anakua afu sio ya kuwaambia watu
@olivershayo5920
5 жыл бұрын
duu nyalandu.tena
@MemsapSaum
5 жыл бұрын
Watanzania munahitaji maombi
@alloumoussa3862
5 жыл бұрын
Nyimbo mpya
@saumuhassan1365
7 жыл бұрын
Anty unafeli, unamwaga tu ubuyu.
@florencenjoroge2844
5 жыл бұрын
Mnakera sana wasanii wa tz mambo ya nyumbani mitandaoni,wajinga nyee
@khatwabisadathil3423
3 жыл бұрын
Umeonaeeee.full kuboa.
@mcanacamosses7787
5 жыл бұрын
😳
@amansiame244
5 жыл бұрын
amanisiame
@IshiKistaa
5 жыл бұрын
KUTAKA KUJUA NYOTA YAKO KILA SIKU TEMBELEA UKURASA WETU kzitem.info/rock/xBrgr6eSdKzbt1PUSZ9dWQvideos?view_as=subscriber
Пікірлер: 83