Baado tunaiedekeza 2024 na wtoto wetu wataiendelezaa
@AkimJudah
4 ай бұрын
gonga like Kama unaskiliza 2024
@daudsteven5031
4 жыл бұрын
2020 kama bado upo unaitazama gonga like
@alexonesmo1753
5 жыл бұрын
Mliifanya kazi ya Mungu vema sana , hongereni wapendwa
@jaydenbenson6615
4 жыл бұрын
2020 bado tupo na Mungu,utabaki kuwa Mungu tunabarikiwa sana
@juliusmakau1688
4 жыл бұрын
Forever Ulyankukulu from Tanzania you will remain green since the year 1984,when i was 2year.
@kennedykioko5639
5 жыл бұрын
Ooh God where are this guys? May God bless them
@andrewbaluhya490
4 жыл бұрын
Mbarikiwe Bulyankulu choir.Majaribu na changamoto za maisha tutazihimili na kuzishinda iwapo ROHO WA MUNGU ndie kiongozi wa maisha yetu.
@michaelwambua6736
3 жыл бұрын
This choir used to sing the Bible, listening to their music is like you are reading the Bible.shalom
@otangamakokha310
Жыл бұрын
Humble beginning
@mathewwambua166
2 жыл бұрын
Bringing up childhood memories. Old is gold!
@gaspalkabambi9727
Жыл бұрын
Mungu uwali Nde waimbajihawa nauwazidishie maishamalefu kwauwezowamungu tutaonana skuyamwisho, hakika Tanzania tutawamis sana mlitisha sana popote mlipo Tanzania tunawakumbuka sana, amina
@ASTUDIOSTZ
Жыл бұрын
Barikiwa sana
@samuelnyaachi7094
3 жыл бұрын
Good music of those old years of 1980s still in good version. God bless them.
@fredanunda7719
5 жыл бұрын
wonderful and touching voices!and great massage!God bless you!i love your songs always.
@thegood_nurse4533
6 жыл бұрын
OMG nimeitafuta hii nyimbo. Finally 😀
@mwitas5286
8 ай бұрын
The golden voice when gospel melodies was still
@richardmutuku454
6 жыл бұрын
Mungu turehemu tuweze kuwa na ufunuo ama huu katika utungaji wa nyimbo,, Wewe uketiye juu ya vyote sifa hizi zikufikie
@maryosward1879
5 жыл бұрын
Kabisa mungu atusaidie saizi ni viduku tu utafikili kwenye baa yakale ni dhahabu
@paulokaminyoge9123
6 жыл бұрын
kweli ya kale ni dhahabu,wimbo mzuri wenye ujumbe mzuri ni kama umeimbwa leo hii,
@rugemalilaregid3832
6 жыл бұрын
Wimbo huu pamoja ule wa " Katika viumbe vyote" nazipenda sana kiasi kwamba kila siku nazisikiliza. Kweli kwaya hizi zilijitahidi sana, Mungu awabariki milele.
@matilderkaingu7829
5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@samuelnyaachi7094
3 жыл бұрын
Truly they sung in spirit.
@samuelnyaachi7094
3 жыл бұрын
Good old days always in version.
@lovenessmaggie1444
Жыл бұрын
Mungu ni mwema Kila wakati
@kiribwazmoseyz2620
3 жыл бұрын
My childhood @ a glance God bless!
@peterhayo8620
6 жыл бұрын
God bless this Ulyankulu, this song is a true gospel
@stephenmusembi2176
2 жыл бұрын
The song we will listen until we die
@angelandunge8951
4 жыл бұрын
This song really touches my heart..
@lovenessernest2387
6 жыл бұрын
mbarikiwe sana watumishi
@edochichi9907
4 жыл бұрын
Jesus is the lord....Glory to God
@kipkiruikorir6142
2 жыл бұрын
Best of the best, cannot stop listening to this!
@priscadismiss8359
2 жыл бұрын
Amina mungu azidi kuwalinda nakuwabark popote pale mulipo
@ElishaMahelela
12 күн бұрын
Hapa ndipo Imani yamungu nahofu yamungu iikuwepo. Sio leo hii hofu mamungu hamna hata uhudum wamungu nauimbaji imekua kama biashala mubaiikiwe sana hawezi jiludia ee mungu tusaidie sana😭🤣😂😭
@PatrickluhangaPatrick
2 ай бұрын
Mungu ni mwema siku zote
@eustusjosephmwai601
Жыл бұрын
I love zilizopendwa was inspired.
@cimpayeriziki5035
2 жыл бұрын
Mubarkiweeeeéee🇧🇮
@neemarobert9999
2 күн бұрын
2024 here am still listening
@SifaNiyonkuru
4 ай бұрын
Nawapenda sana hivi mukowapi jameni 😢
@stellahgetuno837
3 жыл бұрын
😥😥😥😥i love this song it touches my heart kila napo sikia
@brightonigilakubi9903
Жыл бұрын
Mubarikiwe waimbaji kwanyimbo zenye upako
@makutowambeteh2005
2 жыл бұрын
God bless this Barbara 13 choir.You are ablessing to many
@expert5898
Жыл бұрын
In 2023 still one of the bests
@justinbulaze9256
2 жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awaongezeyeni nguvu
@charleswambua7186
5 жыл бұрын
Upako wa Mungu mwenyewe. Mungu awabariki hao waimbaji pamoja na jamii zao
@ibrahimsimon1040
5 жыл бұрын
Goog, very nice be blessed
@michaelnyauko6049
5 жыл бұрын
Hizi ndo nyimbo za kumsifu mungu wengi wa siku hizi ni kutafuta umaarufu na fedha MUNGU awabariki sana watu wake.
@jobwechuli
6 жыл бұрын
Mungu awazidishie baraka kwa nyimbo iliyotujenga utotoni
@aipcTanzania
2 жыл бұрын
Such a blessing voice
@samuelnyaachi7094
3 жыл бұрын
Olynkulu my choir. I love you.
@ASTUDIOSTZ
3 жыл бұрын
Yes. you can subscribe and turn on notification bell for more videos
@ananiafransic1257
5 жыл бұрын
Hakika nyimbo zazaman zilikuwa na ujumbe mzuri hongelen watumishi wa mungu amen
@pendomichael9472
4 жыл бұрын
2020 bado naitazamaa
@ASTUDIOSTZ
4 жыл бұрын
Mungu awe nawe
@nicholausmaswi3141
5 жыл бұрын
Da unanikumbisha tunaingia seblen tunaambiwa kaeni chini msichafue KOCHI
@theblackpearl7035
4 жыл бұрын
Oh my God soo true😂😂
@rizikimgonja1691
5 жыл бұрын
wimbo unamafundisho maUr
@ndalawasimon7842
5 жыл бұрын
Mungu awabariki sanaaaa,,Mama angu alikuwa akiniimbia nyimbo hizi Aisee nilikuwa nafurah na kupata raha sana Mungu awabariki sana watumishi
@edwardbakana1288
5 жыл бұрын
kila mara naingia U-tube kwa ajili ya hizi nyimbo za Ulyankulu. Mungu awabariki sana hawa waimbaji.
@luciuskibaasa28
5 жыл бұрын
Dah....hua zinanikumbush mbali sana hizi nyimbo
@jonnykumbukakijamba1010
4 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana naisikiya kila siku.
@leonardleoni5427
6 ай бұрын
Hakika nimekumbuka ukuu wa Mungu
@barackmagambo375
5 жыл бұрын
watumish wa mungu mbarikiwa
@corneillemikalano7332
Жыл бұрын
Wakati nzuri
@lucasmhagama8166
5 жыл бұрын
Ukiangalia waimbaji wa miaka hii daaah aisee Mbarikiwe
@cmyg3763
Жыл бұрын
Nawapenda sana
@samwelmgonto
Жыл бұрын
Bado tunabarikiwa 2023❤
@henrychaula1174
3 жыл бұрын
Mungu naomba uwabariki sana waimbaji wa wimbo huu mahali popote walipo maana hadi leo 12/9/2021 unagusa mioyo yetu na kutukumbusha umuhimu na faida za kusimama kwenye imani.
@ASTUDIOSTZ
3 жыл бұрын
Barikiwa sana ndugu popote ulipo
@DiCulture
6 жыл бұрын
nawapenda saaaaaana
@benssonmbogani8751
2 жыл бұрын
Benson from Kenya(leave the song)
@tresorshmurda5575
Жыл бұрын
2022 bado tunabalikwa kwa jina la yesu ! Nyimbo nzuli sana
@ASTUDIOSTZ
Жыл бұрын
Kama bado upo watamkie neno waimbaji hawa
@sadikimsumba6186
5 жыл бұрын
Inakumbusha mbali sana
@eliudkiplagat1962
2 жыл бұрын
Great lesson
@charlesmganga3086
5 жыл бұрын
nakumbuka miaka ya 1980 wakati huo kulikuwa na mikutano kwaya zote zilikuwa zinakutania Tazengwa kweli kwaya zilikuwa zikisimama kuimba mnabarikiwa sana.nkinga.nzega .tazengwa.hizo ulyakulu acha tu.
@vailetaron5717
5 жыл бұрын
Charles Mganga nawapenda sana watu hawa tangu nakua nawasikiliza sana
@antonykimeuk6572
Жыл бұрын
I love the song
@rosewabiwa5628
3 жыл бұрын
Good
@francismutuku4233
2 ай бұрын
Wimbo uliopangwa
@domisonrichman6499
Жыл бұрын
This gospel was dope
@awedatv7734
5 жыл бұрын
Yesu bwan jipen moyo
@gloriousnp
3 жыл бұрын
Kindly upload na ule wa KISHA NIKAONA KITI CHA ENZI ...
@ASTUDIOSTZ
3 жыл бұрын
Sawa sawa
@cosmusmalonza
7 күн бұрын
2024 niko hapa
@winnyradjabu7909
5 жыл бұрын
Napenda Sana😍
@johaneskiiza2099
5 жыл бұрын
Hizi nyimbo hata ck moja haziwezi kuhisha kwenye chati mwenyezi mungu hawababariki wote walioimba nyimbo hizi
@gregorysixmund2020
6 жыл бұрын
THANKS FOR UPLOADING THIS SONG
@ASTUDIOSTZ
5 жыл бұрын
Be blessed
@samuelmutuku9820
3 жыл бұрын
Good song
@Gospel.totheworld
5 ай бұрын
Upanga wa zamani makali yale yale
@adamgeorge4054
6 жыл бұрын
Enzi hizo bn duuu, safi sana.
@francisluganga5058
5 жыл бұрын
Hawa wahenga katika kwaya nawapenda mno, barikawa na bwana
@winnymwando5959
7 жыл бұрын
I love this song very much lord bless ulyankulu choir
@hildasankey3377
6 жыл бұрын
Mama yangu Nakupenda sana . Pumzika kwa Amani.
@deustutu1162
5 жыл бұрын
nimebarikiwa Sana Mungu awajalie walipo watumishi hao
@charlesmbonankenye8678
5 жыл бұрын
Izinyimbo zinapendwa nawatu wengi mubarikiwe
@munamajii1602
7 жыл бұрын
Penda sana huu wimboooo
@evamabula7432
5 жыл бұрын
Hawa ndio waimbaji wa Gospel wa mwisho kabla haijawa biashara
@yomajisatv1754
6 жыл бұрын
Good song of ulyankulu choir.ulyankulu's choir be blessed by god
@gladyssyombua3590
4 жыл бұрын
love these songs.....asante
@richardsimoneumedanganyamw3255
5 жыл бұрын
Nyimbo nzr sana hz
@wewehehe6405
5 жыл бұрын
My favorite people 😍💙💙❤️❤️❤️❤️
@jonathankioko2586
6 жыл бұрын
I love this song; cant get bored of it
@filomenabarongo693
3 жыл бұрын
😍
@dicksonfrancis8671
3 жыл бұрын
Ooooh! Mungu wangu!
@mringimakyao9816
5 жыл бұрын
Ujumbe mzito sana.
@charlesmpemben8583
5 жыл бұрын
nawa penda sanaaaaaaa
@IngridMakuka-gz9pd
Жыл бұрын
Gonga likes kma Bado unasikiliza 2023
@mercychelimo2771
Жыл бұрын
When are as so young at four
@lilianflorence5061
7 жыл бұрын
wimbo mzuri, unafundisha
@zabronmabamba3611
5 жыл бұрын
Anayepingana na mambo ya kale hajitambui. Sote tulitoka huko nawashangaa wanaojiita wa kisasa wakati hajazaliwa kutoka mbele wote ni matokeo ya wazamani
@jacksonpetem5798
Жыл бұрын
Nitapata wapi wanawake kama hawa wenye maadili nimuoe maana ktk kizazi hiki sijaona
@ASTUDIOSTZ
Жыл бұрын
Muombe Mungu kaka wapo tayari kwa ajiri yako kama ukiomba
Пікірлер: 159