“…tarehe 14 tutaondoka kwenda Morocco kuweka kambi ndefu…..” -
Azam FC yatangaza ratiba yake ya ‘pre-season’ kuanzia tarehe 5 hadi mwishoni mwa Julai kuelekea Ngao ya Jamii, yaweka wazi malengo yao msimu ujao kuwa ni kushinda angalau kombe moja kati ya ligi kuu ya NBC, Ligi ya Mabingwa Afrika au Kombe la Shirikisho la CRDB Bank.
Huyu hapa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Azam FC, Thabith Zakaria akianza na maelezo kuhusu wachezaji iliowaacha.
Негізгі бет Azam FC yataja ratiba yake ya 'pre-season', yaweka wazi malengo yake msimu ujao
Пікірлер: 3