Watanzania tunakwama wapi? kuhusu matumizi ya biogas wataalam wanaojua kujenga hii mitambo mjitangaze watu wanahitaji hii huuduma kwa maana itasaidia kupunguza matumizi ya kuni. Azam kipindi hiki cha karakana kilikuwa muhimu kwa wakati huu wa upandaji miti kwa kila Wilaya.
@kidaghokadari3294
6 жыл бұрын
Kipindi kizuri tunapataje? Tunaomba mawasiliano au namba za simu
@princessilayo7411
3 жыл бұрын
Je naweza kutengeneza na nikaiuza kwa wateja wasiokuwa na ng'ombe?
@revocatusbalashuha3209
2 жыл бұрын
Watu wameomba mawasiliano lakini hawajibiwa AZAM vip
@othuonjohnbrighton532
3 жыл бұрын
Namba za simu tafadhali kwa utaalam zaidi
@stephanomoses7694
2 жыл бұрын
Ambiereeeeeee. Upo juu
@rodgersmoni4153
Жыл бұрын
Niko hapa nchi jirani 🇰🇪.Naomna huduma zenu.Nimependezwa jinsi mnavyotekeleza hii shughului.
@amosicommedy6917
Жыл бұрын
Fika kamatec arusha
@nankondomapombe
10 ай бұрын
Niko morogoro, nahitaj kujengewa mtambo, nawapataje???
@ibrahimmagesa444
6 жыл бұрын
Namba zake jaman
@michaelmsambo5766
Жыл бұрын
Nahitaji hii je wataalamu na mawasiliano yao anisaidie kunipatia
@saidhamisi2795
3 жыл бұрын
Asante ndugu lakin je? Kuna kiti gani ukifanya inaeza kulipuka
@mambaasukulu4510
2 жыл бұрын
Napendeswa Sana na shule leni
@sebajseba719
3 жыл бұрын
Naomba mawasiliano
@ukurasawangu
4 жыл бұрын
AZAM NAMBA ZA HAO JAMAA NI IPI
@nikomdota1932
6 жыл бұрын
Kipindi ni kizuri sana
@vincentkyalema3351
2 жыл бұрын
Mimi niko Kilimanjaro wilaya ya vunjo naomba usaidizi wa kupata mtambo huu wakuzalisha gesi
@sammswita716
5 жыл бұрын
1:5 siyo kitu alimradi uduma hiwe ni uwakika endelevu siyo janja janja
@shemsaselemani2190
4 жыл бұрын
Tunaomba namba za huyo mtaalamu tafadhali
@mussawillisson8687
4 жыл бұрын
Nitumie Namba yako nikuunganishe na kampuni inayojishughulisha na ujenz Wa biogas
@MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.
4 жыл бұрын
@@mussawillisson8687 +966506572403
@fabricemahinga4192
4 жыл бұрын
I need your contacts Number please my whatsup number +18328580067
@ibrahimmagesa444
6 жыл бұрын
Tupeni namba zake jamani
@erastombise3966
2 жыл бұрын
Naomba namba ya simu
@danielleel5338
Жыл бұрын
Maelezo mazuri .
@EliasMollel-pm4fz
11 ай бұрын
Naombeni namba za simu
@user-rb7xi5rw4d
5 ай бұрын
Naitaji kujifunza
@mawazoaliselemani8909
2 жыл бұрын
jaribuni kutangaza mambo haya muhimu,,sio kutangaza show za mond na kiba,,hivi vitu kuntu watanzania ndio waelimishwe
Пікірлер: 41