Sisi wanyakyusa ni wakarimu sana dah! Yaani ukimwaangalia tu unajua huyu mwaisa
@claratango9262
26 күн бұрын
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
@moiseszacariasmoisesmoises
26 күн бұрын
Aziz karibu jangwani pia
@RichardAmos-eo9dh
26 күн бұрын
Karibu sana midfielder ya boli#Aziz
@marthageorge5043
26 күн бұрын
Karibu sana Jangwani🎉💚💛💛💚
@ShafiiHungo
26 күн бұрын
Karibu azizi kisiwa cha raha yang africas
@davismwape7500
26 күн бұрын
Home uuwashe moto ss hapo andambwile....kila la kheri
@user-tf2kr5hv7z
26 күн бұрын
Kalibu sana jangwan aziz andambile
@EliasHassan9
24 күн бұрын
Karibu sana andambwile
@maliadii4829
26 күн бұрын
Karibu Aziz tumekuona unaweza tuna hakika utajifunza kwa wakubwa waliopo hapo wenye uzoefu ili kusudi tukutungie wimbo Kama wengine tunakutakia kila la kheri
@fazo-kl9fu
25 күн бұрын
Akili kubwa sana uongoz wetu mungu aendelee kuwalinda
@adamuayubumwendolwa7723
26 күн бұрын
Ni Andabwile sio Andambwile
@ezrageofrey9668
24 күн бұрын
your welcome aziz andambwile awaiting for the good to come💚💚💚
@goodluckabdul7316
26 күн бұрын
Karibu sanaaaaa Aziz
@ceciliadaudi1632
26 күн бұрын
All the best champ 🎉🎉
@NahlaRashed
26 күн бұрын
Naona cku ata haziendi tuanze ayo mamechii😂😂😂😂
@ayubhumakuya8466
26 күн бұрын
Ckaribu kamanda🎉🎉🎉
@DaudFulberth
26 күн бұрын
Good💪💪💪💪💪💪
@RenatusKasinga
26 күн бұрын
Nakubari kaka angu kibwana
@IsmailKipande-ss1ty
26 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤ yanga
@ramadhanimrungu5806
26 күн бұрын
Chief kingalu waukae
@chollejr_
26 күн бұрын
Uyu kibwana 😂😂😂katoa wapi unywele 😂😂😂
@HusseinJumahussein-lf1xk
26 күн бұрын
Welcome⭐⭐💚💚🔥🤲🙏💪
@Fine_boe_11
26 күн бұрын
Young African champion of caf champions league 24/25 🔰
@amaniomar1755
26 күн бұрын
Karibu kijana
@maliadii4829
26 күн бұрын
Nilikuwepo kwa mkapa kwa mara ya kwanza nilikuona ukichexa na tabora niliogopa sana nilivosikia hujasaini kwani walah niliona kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa asante sana kwa kuendelea kuwepo nasi huku kilimanjaro tunakuombea INSHAALLAH nakuomba alwatan msomee mwanangu hi comment kibwana
@PascaziaBenedict
25 күн бұрын
Yanga oyeeeeee
@filemonkwaja6181
26 күн бұрын
Yanga bingwa
@emanuelyngoi4440
26 күн бұрын
Good ❤ yanga 🎉🎉🎉
@EsterPeter-h9d
26 күн бұрын
Yangaaaa tamuuu
@SylvesterSafari-nf4fy
26 күн бұрын
Tunaomba na interview ya chama na mwana wa mfalume dube
@yusuphkimomwe4276
26 күн бұрын
Toa vitaulo baba,chief kingalu
@kisinza6077
25 күн бұрын
Nilisema kwa kiwango kikubwa cha Kibwana hawezi kuachwa, bahati nzuri kibwana left & right kwake fresh tu. Na huwa hashuki kiwango yaani huwa hana zile siku mbaya sana kazini.
@LuckyTemu
25 күн бұрын
Anko kibwana umeongea kiakili kubwa❤
@StavoBella-pf6hu
26 күн бұрын
Mwamba kutoka mbeya sas
@andersonbruno6255
24 күн бұрын
Chief baba...🔥🔰🇹🇿
@abdullatifuhashimu4594
24 күн бұрын
Kwani jezi hizi za yanga sinakitu gani maana akiva mtu tu anabadirika
@MomadeMudimoz70-cs2ud
26 күн бұрын
💛💛💚💚🔰🔰🔥🔥🔥
@salumkitam6960
26 күн бұрын
Kwann umempa mkataba mwaka mmoja wakati Bado mdogo
@user-ql2hc7zt6b
26 күн бұрын
Muñgu mwema
@samsonkomba0000
26 күн бұрын
N andabwile
@user-to9xw2mc9m
25 күн бұрын
Karibu jangwani🎉azizo
@user-zx9jd4jt8e
26 күн бұрын
Gud signing
@Chinaomary-rn3qf
26 күн бұрын
Mmh
@user-hy3en6vk5f
26 күн бұрын
Mmenikera sana yaani Mmemuuza Azizi Ki 😭😭😭 daaah anyway Mungu atusaidie Wananchi 💔💔💔
@mamuwadomu8448
26 күн бұрын
Unauhakika ? Basi kesho utamuona mazoezin AZIZ K tunae
@zeddymourice4249
26 күн бұрын
Aziz ki yupo sana jangwani ana miaka mbili nyingine mzee.
Ili ndo jangwa pekee lenye maji ya kutosha na burudan ziendeleee!!!!!
@JUU-lw2je
26 күн бұрын
Kibwana mngemtoa tu kwa mkopo
@jamilahjamilah4157
25 күн бұрын
Kwa nn wamutowe kwa mkopo mbona nkane kabaki kiwago cha kibwana nikikubwa sana kama ww huoni wengine tunaona tuache chuki na wachezaji tuwape moyo
@fatmasuleiman3885
25 күн бұрын
Tunawapenda sana dua kwenu kila siku kwenu maaduwi wengi In sha Allah mwenyezimungu awalinde Amiin
@chollejr_
26 күн бұрын
Kibwana katoa wapi madevu
@zakayomaendeleo
25 күн бұрын
😊😊😊
@saididuri3518
22 күн бұрын
ni ujinga kumuacha zawad mauya na kumsanili aziz andanbwile kuna wanaotazama mpila kwa uelewa watanielewa.
@dastankhalifa5672
25 күн бұрын
Anajua kuongea na anaonekana anajua anachokitaka ,Kila la kheri kwake
@YusuphLukindo-vi9ow
26 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉
@proisolution7166
25 күн бұрын
NAOMNA ALWATAN MFIKISHIE UJUMBE HUYU AZIZ MWAMBALASWA NA SHEKAN,KUWA KWA MAUMBILE WALIO KUWA NAYO WAKIITUMIA HII NAFASI YAO KWA YANGA YAANI NIDHAMU,NA KUACHA MAJIVUNO(SIFAA) NDIYO VIUNGO WENYE SIFA +MTASINGWA KUBEBA TAIFA LETU-WATUMIE TRAINING FACILTY ZA YANGA KAMA MAYELE ALIVYOKUWA ANAFANYA.
@proisolution7166
25 күн бұрын
AFANYE MAZOEZI SANA APUNGUZE UNENE HILI AENDANE NA KASI YA YANGA ASIBWETEKE PLEASEEEE
Пікірлер: 93