Sijawahi kujutia kuwa shabiki yako brother,, kama unamuamini B2k Mnyama gonga like hapa
@Bravomoka617
6 ай бұрын
Kama wewe unasikiya wimbo huu mpaka hivi gonga like hapa twende sawa
@chrissjoel7752
4 жыл бұрын
B2k wewe ni staa mkubwa ujaye mungu akuongoze 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Poleni woote mliowapoteza mama zenu MUNGU azilaze roho zao mahala pema na awatie nguvu mliobaki 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@shubebunyesi542
4 жыл бұрын
Unania nzuri lkn kwa bongo hii tutabaki kumwelewa sisi tunao jua mziki mzuri alafu ujue uyu sio underground uyu ni star apo alipo connection tu na umri unasonga #bythe way kilakitu kinawezekana
@chrissjoel7752
4 жыл бұрын
@Shube Bunyesi *Mungu katika kumpa kitu mja wake huwa hachelewi wala kuwahi
@mayilahamisi3730
4 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏🙏
@byteamkanju853
4 жыл бұрын
Amina
@makutajr1858
4 жыл бұрын
Amina 🙏
@lemahboicah
4 жыл бұрын
Hii ni zaidi navyokujua 💯💯🔥🔥🔥wapi likes za b2k from 🇰🇪🇰🇪
@beatricechalamila1575
2 жыл бұрын
Nakupenda mama angu" Mungu akujalie miaka mingi
@jackiebosstv5681
4 жыл бұрын
Like kam unmkubalii jamaa
@youngramso1504
4 жыл бұрын
Gonga like nyingi kwa B2k mnyama💪💪💪
@hamsinitimbersupplytanzani4928
4 жыл бұрын
Motoo sanaa HAMSINI4LIFE FROM B2KDIEHARDFAN'S🔥🔥🔥
@nellymisheck1893
4 жыл бұрын
Nikwambieeee ya dunia yanaumizaa sanaa nikwambieee baba aliondokaa mama Nikwambieee Dada alofanyaa janaa cjuiii kama mnakutaana 😥😥😥
@yunglintz4155
4 жыл бұрын
Nani kama Mama ❤️❤️🧡🔥🔥🔥🔥 nakupenda sana mama yangu like kama unampenda Mama yako 😍🔥 from canada 🇨🇦🇨🇩🇹🇿
@begaca
4 жыл бұрын
Wewe ni moja ya watu ambao hawajawai kuniangusha kama unampenda mama gonga like
@HanifaSunga-pe7xr
3 ай бұрын
Alhamdulillah shkran Allah mpaka sasa mamangu kua hai na poleni sana mlio poteza mam na baba
@salimwajaba2671
3 жыл бұрын
Ukuwaji wangu Changamoto haikuwa rahisi aiseee,,,ila shukurani kwa Ndugu upendo wao ulifanana nawe😭😭😭Pumzika kwa Amani B.mkubwa😭😭😭😭😭😭
@reganclarence4657
2 жыл бұрын
Honour your mom....it means show high respect to her....✌✌ nyimbo nzuri sana hime ni kumbusha maisha hambayo tumepitia watoto wa mitaani pale wazazi wetu walipo kuwa mbali nasi💔💔
@jagrosarah8070
7 күн бұрын
Jaman pole yet ambay hatn maa naitwa rizbth siyajui malez ya mama nyie wenyw mnamama 🎋🎋🎋🎋🎀
@kassimchuo5290
2 жыл бұрын
Let us respect our mum kwa wale ambao mama zao wapo duniani,for my mum I say R.I.P ma lovely mum a special dedication
@espoirbdi1886
4 жыл бұрын
Wallah uyu mziki na upenda sana 😭🙏
@annegmlelwa2558
Жыл бұрын
Nilikuwa nasikiliza nyimbo zako ila nilikuwa sijui Kama ndiye ww hakika Mungu amtupi mja wake nakukumbuka enzi zile kwenye utafutaji wako
@kingyzmidia8540
4 жыл бұрын
👏👏👏pamoja sana b2k ongeza juud tunasubili mzigo mwingine jitaid🙏🙏🙏
@DannyMwinuka
3 ай бұрын
❤❤❤❤❤ pole mliompoteza mam
@footballnews2004
Ай бұрын
Ahsant sana
@countrywizzkid6129
4 жыл бұрын
Nakukubali braza hadi naumwa yaan kiukwer unajuwa napenda cna nyimbo zako B2K mnyama 🔥🇹🇿 kila hatua dua broo🔥🔥🔥🔥🔥🔥💕
@doyenrae
4 жыл бұрын
Minyoosho ya kikubwa, cool content, creative idea yaani ni moto fire 🔥 🔥 🔥 🔥
@ahmadabdulkadir7474
4 жыл бұрын
Daaaaah hii nyimboo inagusaa hisiaa mojaa kwa mojaa!Poleenii mlio wa potezaa mamaa
@mo_zillaa5428
4 жыл бұрын
Mkali wangu wa muda mwingi sanaaa🔥🔥🔥
@dushudofficialnurudin9753
4 жыл бұрын
Umetisha sanaa sema kikubwa DUA utashinda😥
@jagrosarah8070
7 күн бұрын
Mungu akulaze pema mamang mwanao nim
@kidikumkina7771
2 жыл бұрын
Nakupenda sana mama yangu haikuwa rahisi kuamini kuwa umeondoka umeniacha mwenyewee sina Kaka sina dada wala mdogo mungu hawalaze mahali pema pepon
@officiallycyra6944
2 жыл бұрын
😭😭😭😭😭😭😭
@DjCreyxon
4 жыл бұрын
Dah director hajazingatia kabisa story ya huu wimbo hakuna alichogusa hii nyimbo ni nyimbo bora kuwahi kutokea katika maisha yako ya muziki kaka video ilikuadi sana B2k uweke hisia
@shaibuhafidh5956
4 жыл бұрын
hujawah kufanya makosa kwny kaz 🔥🔥
@mashirmctominay3569
2 ай бұрын
2024 bado✌️
@balbinahsylvester8037
3 жыл бұрын
B2K mnyama,umetuwakilisha vyema tulio na uhitaji wa mama R I P MY MOMY
@kettymoja8255
3 жыл бұрын
I love you songs
@ezekiampinga8106
4 жыл бұрын
Daaaaaaah😭😭😭
@MansaSaleh
Ай бұрын
Nampenda sana mam yangu
@wesleyjabali7002
2 жыл бұрын
Kila time nikisikii hii song nakumbuka papagu alikufa atasimujui just for 2days akakufa😭😭😭😭😭 then nikumbuke mamagu Hanahaja na mm she left me when I was only 2years😭😭😭
@matridamakange7286
2 жыл бұрын
So sad 😭😭😭 polee
@bonifacemboka4332
2 жыл бұрын
Pole sana
@isaacbarnabas9608
2 жыл бұрын
Sorry Gee 😩♥️
@abdallahrajab9472
3 жыл бұрын
Nakuelewa sana kaka ghetto zimejaa nyimbo zako tu. kwenye frash
@bazengario
10 ай бұрын
"Ukisema "YES!" Siku Mmojaa Najua mambo Mingii Ya Tanyo,kaaa"🔥💯
@user-vz5jl4no5p
8 ай бұрын
Kwel mama ni mama ,uk vzur bro nakpenda nyimbo zako
@stephenomongin6380
Жыл бұрын
Kwa wale walio poteza wamama wao ,kindly poleni so painfull ,bt nice song
@Mommy4147
11 ай бұрын
Asante sna😭😭😭🙏🙏
@lusiaaidan4942
2 жыл бұрын
Mama yangu nakupenda Sana nipo nae mbali toka 2017 mpk Leo mama nikifanikiwa nitachukuwa mama angu
@teachermichaelofficial7860
Жыл бұрын
Nimefeel hii ngoma huyu boy ni kama anadress his mom on the challenges anapitia na venye angemsaidia iwapo angekuwa hai.... Wapi likes za mwenzetu jamani ...
@antonywafula9999
2 жыл бұрын
Big up brother much love to my mum and to many others outside their
@naomimeshack8319
4 жыл бұрын
Home boy keep it up😍
@miriamhassan1940
Жыл бұрын
Walai huyu kaka anasauti sana❤️❤️
@prof.barasake
11 ай бұрын
Kama umetokea tiktok kuja kuskiza gonga like ❤️
@emmanuelmsafi9581
9 ай бұрын
Hata mimi nimetoka tiktoo
@siriyangu4724
4 жыл бұрын
Pole nilifatilia story yko kweli inauma mungu azidi kukucmamia😢
@festomtizi8480
4 жыл бұрын
Kiukweli b2k we Ni shida Continue to fight bro never give up until end of you life But mashabik tujitahid kusapport mziki mzuri 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@amosmashamba948
2 жыл бұрын
Aiseee BIG up kaka nyimbo imenigusa sana aiseeee
@jerryjahkande9002
4 жыл бұрын
Mungu aendelee kuibariki kazi ya mikono yako, asante kwa kazi nzuri heshima nyingi kwa kina mama wote
@piusmsamba3271
3 жыл бұрын
Watu mnafanya mziki mzuli nashangaa watu hawa waangalii kabisa.
@mariammwendakazungu5783
3 жыл бұрын
Kabisaa
@justinemalata7957
4 жыл бұрын
B2k hujawahi niangusha umsanii bora ktk maskio yang
@mtemba9440
4 жыл бұрын
Dogo umegusa nyoyo baadhi ya watu kwa wimbo huu mojawapo mimi
Jamani kaka mungu akulinde napenda nyimbo zako,mi n video queen naomba nishoot na ww hata bule
@B2KMnyama
3 жыл бұрын
Sawaaa weka no yakooo
@chug1132
Жыл бұрын
Sema atay neno la mwixho mama💓💓💓💓💓 weee i love you mama anguu 💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓💓
@mrsabdul-mz8hh
Жыл бұрын
Neno la mwisho la mama nalikumbuka ilikua Kuna mvua kubwa mimwesa na maradi yeye yupo kitandani hoi watu wamejaa tele ndani bc yeye Kila akickia saut ya ile mingurumo yaradi anasoma Dua 😢😢😢alitushinda ss ambao tupo kwayeye anaumwa tulikua hatufaham chochote Wala hatukumbuk zaid ya kulia kwa jinc anavyoumwa😢😢😢 Yarrabiy mrehemu mama yangu🤲
@enosraji8531
4 жыл бұрын
All respects to our mummy 😭🙏
@neemakazimoto3107
3 жыл бұрын
MUNGU aendeleee kukutunza
@frankzani627
3 жыл бұрын
@@neemakazimoto3107 hdb
@thawemaster
3 жыл бұрын
Stay strong bro
@swedi7820
2 жыл бұрын
You are so right may god bless you and to all Moms ❤️
@viunoman
11 ай бұрын
Tunawambea wenye mama Waliyo hai muwaombe Maixha malefu mam zetu 😢😢😢😢
@nyumilemicrofinancecoltd3869
3 жыл бұрын
MI SIKUITI MNYAMA BUT THE REAL FIGHTER
@doleenikigosi2989
3 жыл бұрын
B2k nakupenda bureee tuu ndg yangu ilove you momy R.I P momy
@henrimbuka9909
Жыл бұрын
Aaaaaah umeni kumbusha na mengi sana naleli mingi 🇨🇩
@stevenogongo5427
Жыл бұрын
Na Penda nyimbo zako Brother take it up
@neemajuliasp4173
Жыл бұрын
Nakupenda Sana mamangu mzuri pumuzika kwa amani nakumic Sana mwanao hakika ungeona vyenye Ni mengi yenye nilishabeba mwanao🙆
@andersonsimoni8531
3 жыл бұрын
Owa nakubali kichizi
@caroselalleroh2634
2 жыл бұрын
mama is irreplaceable BK2 i love your voice and content mob love from kenya
@emilybisusa3004
3 жыл бұрын
Unajua sana jamaaaaaaaaaaaaaaaaaaa niko pamoja na wweeeeewwwwwww
@vanshetta7376
4 жыл бұрын
B2k ForLyf.. Am the first to see this🔥🔥🔥🔥
@shamimwabuke5379
2 жыл бұрын
Ilove you mum ishi miaka mingi
@fatumasharp4245
2 жыл бұрын
Momy momy mekumis sana mwanaoo
@ramosmlela4823
2 жыл бұрын
Sharaut mwanangu Allah bless you and mi And ather
@abdulljoram4730
4 жыл бұрын
Nimekubal wimbo bora kwang wa mwaka kwa mama
@abdul-bz1cy
3 жыл бұрын
yani ngoma imenigusa sana mpaka nimetokwa na machozi 😭😭😭
@aishaomar9621
3 жыл бұрын
I love mum Allah akupe umri n furaha b2k umeimba naipnda sna hii nymbo
@marykolii4348
Жыл бұрын
Love this song it reminds my last word of my mummy 😢
@IreneMtoto-un5lg
12 күн бұрын
Team gulf wenye tunamiss wazazi wetu😭😭😭😭😭😭😭
@hidayashabani206
2 жыл бұрын
Nimeona mtu tiktok fanya kavideo nikataman kusikia huu wimbo hatimaye nimemsikia unajua sana
@rahmahassan7991
Жыл бұрын
same
@shafearamadhan577
Жыл бұрын
Same❤
@mkanjitv2127
4 жыл бұрын
Ukiachana na nyimbo ya mama ya Christian bella ft ommy dimpoz hii ndo nyimbo ya mama Bora kushinda wasanii wote Kama unakubalia na support kwa kusubscribe 😁 😁 channel yangu kucheck vichekesho vya tiktok vya wasanii mbali mbali
@exaverybatromew7820
4 жыл бұрын
Ata ya Benpol pia
@lucksonkiula3682
4 жыл бұрын
Babu umetisha sana kwanzia uandishi merode mpaka voice keep pushing man
@sureladykiba5608
3 жыл бұрын
Pumzika kwa Amani mamangu 😭😭
@kikumbaalain8619
2 жыл бұрын
Miss you my Mamma...dah nimeipenda..cos ya kuwa mbali nawapenda WA mama wooote..nakuwaona kama wamama zangu
@allankeheze9297
Жыл бұрын
unafanya nalia kila wakati nikiuskiza😭😭😭😭
@kettysamantha3385
Жыл бұрын
😢😢😢 me ulia sana nakumbuka mbali sana nikiona hii ngoma
@user-tm5zc8il2n
6 ай бұрын
Unanikumbusha mbali sana
@LUCAXTZ
4 күн бұрын
B2k ckuping umekuza mziki wako bila kiki I see you far away
@paulnyanda9572
4 жыл бұрын
Hv ukirudia kuangalia mara kwa mara ndio unaongeza views. Nataman ifike 1million
Пікірлер: 582