Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Sheikh Said wallahi ninakupenda kwaajili ya Allah. Manhaji ni yakisalafy lakin krk kuumgamkono ktik hili niko nawe bega kwa bega. Allah akutie nguvu usirudi nyuma insha'Allah
@user-di1rs1dg6p
21 күн бұрын
Innalilah wainna ilayhi rajiuun
@user-fz9ir4nj1y
Күн бұрын
Elim kwa kuisahau ila inaondoka kwa kutangulia mashekh mbele ya haki
@HarithiAli-wp4pn
Ukumbusho humfaa mwenyewe kuamini Masha Allah shekh wetu Allah akuzidishie kher
@abbasmosi4481
Allah akubariki shekhe wangu,hata mm nilishangaa nilipoona mananda kidoti
@HassanAlly-fm6ev
Shekhe mungu akufanyie wepesi
@HassanAlly-fm6ev
Asente shekhe kwajitihadiyako
@abbasmosi4481
Tunasubiri na kilimani,tazari,kigunda,muambale,kilindi na kendwa
@alimakame4179
Vijana tuachen upuuz w kuimbaimba wanaume wazima ttften walim tuksome wazee wnaondk mitaan ttkjafny nn ikiw mtu atkfa ttkujapta tabu mn wakumuosha mait atjashindkna
@madamaisha1641
Asalam alaykum shekhe unatakiwa uzungumze na suala la kutoa salamu hususani hapo kidoti jambo hilo la kupeana salami halipo, binaadamu mwenzanko anakupita kama hakujui na hata ukimsalimia haitikii vizuri
Пікірлер: 13