This video has 7 months lakini Ndio marayangu ya kwanza kuzifuata,nimebarikiwa sana tena nimekomalia kanisani ila sijawahia kuhubiriwa maneno kama haya nitayafuata yamenijenga sana from USA
@kangwambassa6690
3 жыл бұрын
Mm pia KWA Yesu kuna raha
@uangazetv
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana neema ya Bwana izidi kuwa nawe siku zote za maisha yako
@wishitwinzi8067
3 жыл бұрын
Hasa mke wa rafiki angu anateseka sana na nguvu za giza, umebarikiwa milele
@betekenya7456
2 жыл бұрын
Amen.barikiwa.sana.na.mungu
@florabenard707
4 жыл бұрын
Ni kwel pr.tumwache mwenye vta apigane mwenyew 🙏
@dorinimalisa3062
4 жыл бұрын
Amen naombe mniombee na mm niwez kupona maisha yngu yaende vzr
@bayroneboniphace289
3 жыл бұрын
MUNGU na apewe sifa kwa mahubir haya yananifanya nirudi kwa yesu kila siku maan yananitia nguvu
@annegoldsmith8195
2 жыл бұрын
Sijasikia muhubiri ambaye anafundisha kama huyu mchungaji David Mmbaga hizi siku za mwisho. I wish we have a few like you . Unafundisha ukweli wa bibilia. Mungu akubariki na akuongeze neema yake kuendeleza ijili.
@upendoramadhan9222
2 жыл бұрын
Mungu amuongeze nguvu amuweke
@marcelineshanga9811
10 ай бұрын
Mushungaji tupenaba zako litukuwe nakupatakirahisi mungu akubariki saaaaaaaana
@marcelineshanga9811
10 ай бұрын
Tumekulanakunyanakula varohani.namwilini
@magrethsayi
9 ай бұрын
Nahitaji no za pastor nisaidien
@mahindiumakinisa4732
8 ай бұрын
Ninabarikiwa sana na nelo la mungu unalotufundisha
@ReachelNjuguna-zv1zk
Жыл бұрын
Hey pastor,I have been following your teachings from Kenya ....a few hours ago Kuna mtu ameanua nguo zangu za ndani mahali mamangu alihamia juzi.....naamini mungu na najua ya kwamba nguvu zote za Giza ambazo zinaenda kuniharibu kuitumia nguo zangu za ndani zimeshindwa katika jina la yesu kristo🙏
@helenmagoti5031
4 жыл бұрын
Ukiwa ndani ya Yesu Ni raha;
@stigmanonsare3672
3 жыл бұрын
Amen
@pendomtemi9439
4 жыл бұрын
Atukuzwe Mungu ufumbuzi wa changamoto yangu umepatikana kupitia somo hili.Barikiwa Mchungaji.
Walinichanja sana kabla sjampokea Bwana Yesu, alafu ndio wa kwanza kukutukana ooh mshirikina wewe, kila kukicha chale mbichi, Mungu anawaona! Barikiwa sana mchungaji, sasa hivi Niko ndani ya Yesu wameshakipata cha moto!
@anastaziaemily4708
3 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mpendwa!!!
@adelinakastory4337
3 жыл бұрын
Pole sana mungu akutie nguvu by adela
@zainabuathumani2571
2 ай бұрын
Amen paster Mungu akunze
@tabithayohana8573
4 жыл бұрын
Amina dah nimejifunza kitu hapa,nadhani wengi wamejifunza
@maureenkemei9254
2 жыл бұрын
Hili somo limeokoa Familia yangu sana, tangu mwaka Jana nmekua nikiomba juu wazazi wangu wapokee Yesu naona Mungu akitenda maana nmekuwa nikisikia eti mzee wa kuzaa baba Kuna kitu alifanya akarogwa ndio maana mambo hayaendi. Lakini mwaka huu nimeona mkono wa Bwana baba amekubali kwenda kanisani naamini Mungu atamsaidia asirudi nyuma. Pia naamini kaka zangu Yesu atawagusa wajitolee kwa Yesu, shetani hana nafasi ya kujitukuza ktk familia yangu. Asante Sana.
@bonfacenyakundi4352
2 жыл бұрын
Hello pastor am bonny from Kenya after listening to your sermon I wish to talk to u sijui how
@elishangomele9937
3 жыл бұрын
😍😍 pastor mungu azidi kukufungulia njia mda ote
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
Amen
@beatricemageka7972
4 жыл бұрын
Tuondoe woga tumpe Mungu nafasi nafsini mwetu milele ,Amina
@elizabethtondo5178
4 жыл бұрын
Pastor nashindwa ni comment nini Ila Mwenyezi Mungu akulinde aendelee kukutumia kuokoa roho zinazopotea.Ili somo likatubadilishe tumtegemee Mungu katika maisha yetu
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Amen
@josephnyangau3272
4 жыл бұрын
Mungu atukuzwe kwa kutumia chombo chake.
@bonventureminja9697
4 жыл бұрын
Mchungaji mwanangu anavuta bangi na kutokufanikiwa naomba umwombee abadilike
@nicemtorela1498
4 жыл бұрын
Amen Pr.
@MahubiriPrMmbaga
4 жыл бұрын
Mungu atatenda
@jeremiahmayala2099
4 жыл бұрын
Ninamdogo wangu anasumbuliwa na mapepo baada ya kuchaguliwa kujiunga na elimu ya sekondari kidato cha kwanza BWIRU SEC. MWANZA baada ya kutoka KIGOMA shule ya Kata,ameripoti BWIRU sec. tu mapepo yakaanza kumshambulia kwa kumuonya kuwa katika elimu hatafanikiwa,pastor nimesikia ujumbe huu kuwa kila MTU anao moto wa yesu,yaani nguvu ya kukemea pepo,MUNGU AKUBARIKI katika maombi utusaidie maana kila kikanyaga tu getini wanaanza kumshambulia, nakirudi nyumbani mapepo wanamsifu kuwa amefanya vyema PASTOR TUSAIDIE KATIKA MAOMBI AFUNGULIWE.
@ezechielniyonkuru6783
4 жыл бұрын
Mungu anakuona tuombeane tu ,mwinjirist Ezechiel burjumbura Burundi tuko nanyi
@buhatwatv8106
3 жыл бұрын
MUNGU AKUBARIKI mchungaji endelea kutufunulia maono
@henerymjuni9273
11 ай бұрын
Uwe na umri mlefu
@MahubiriPrMmbaga
11 ай бұрын
Amen
@solomonmakori7798
3 жыл бұрын
Pr mbaga I love ur teaching from Nairobi Kenya really blessed as u continue praying for us
@RachaelWaringa-cd3mg
Жыл бұрын
You a great inspiration to us but I have a neighbor mwenye asubuliwa na hizo nguvu sana wameangaika wameenda hospital uogonjwa hapatikani tafadhali tusaidie from kenya
@stephenmuimi6294
3 ай бұрын
Ulisaidika
@mossesjoseph2202
3 жыл бұрын
Kwa YESU kuna raha, hakuna masharti ya ajabu ajabu,Siku zote utaishi ukiwa huru, mwenye amani na furaha, jina la BWANA libarikiwe.
@givengaby6067
3 жыл бұрын
Mungu anajua walio wake, Mungu in mwema, jina la Yesu Na damu ya Yesu nizaidi ya mamlaka zote hapa duniani, madhabahu ndiyo Shida Kubwa watu hatuna elimu Kubwa kuhusu maagano ya mabibi Na mababu zetu, YESU TUSAIDIE AMEN
@johnrose5460
3 жыл бұрын
Asante pasta kwa mafundisho mazuri
@asooraaasooraa4816
4 жыл бұрын
Ameen ushindi ni hakika tukiwa ndani ya yesu
@leticiabaziwani2684
3 жыл бұрын
Poster umenibariki sana kusikiliza mahubiri yako naomba namba yako yangu ni 0628585916 natamani unipe ushauri
@RovniHollota-jw6ir
5 ай бұрын
Mungu awabariki!!!!! Ni wakati wa kupiga panda ulimwengu utambue kuwa yesu ANAKUJA hivi punde
@sophiamwakila3300
4 жыл бұрын
Tukubali kumpa Yesu maisha yetu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yetu hakuna mchawi wala pepo litakalo tusogelea kabisa. Lakini tukiwa vuguvugu kwa Yesu kidogo duniani kidogo shetani atatuchezea kama uwanja wa mpira. Tukubali kubadilika. Pastor Mbaga barikiwa kwa somo zuri lenye maarifa
@MaunduKilonzo
9 ай бұрын
Mchungaji David mungu akumbariki sana kwa mafundisho ya bibilia Ni Petro kutoka kenya
@etoabwe3451
5 ай бұрын
Ubarikiwe sana mchungaji kwa mafundisho imenijenga sana na kuniongezea Imani
Niombee pr mm Paschal Paul Mashili nilikuwa mkristo mpenda mungu leo hii nimetokomea mch
@OscarWilson-c9d
8 ай бұрын
Amen nimebarikiwa na neno la mungu
@juliusmantago4511
3 жыл бұрын
Mtumishi wa Bwana Mungu akujalie maisha marefu
@timotheojumal894
4 жыл бұрын
Kweli unaweza kukaa huna pesa wala chochote lakn ninapokumbuka Maneno na upendo wa kristo Nahis kama ndiyo nimefika kwake Mbinguni wala siwazi shida na mapito ya ulimwengu huu, Amani ninayo yatosha kunifariji
@EliaSimoni-ye6lv
11 ай бұрын
God is power barikiwa sana mchungaji
@silusjacob5414
3 жыл бұрын
Nabarikiwa sana kupitia channel yako. Mungu akubariki sana Mchungaji
@MahubiriPrMmbaga
3 жыл бұрын
Amen
@merydotto5046
2 жыл бұрын
Pasta mungu akubaliki unatufungua san nakutukomaza kiroho
@esternaftari4553
4 жыл бұрын
Mchungaj nimefurah sana kusikia umepelek ujumbe huu kigoma japo cijawahi kufik huko
@adorymongish2972
2 жыл бұрын
Kweli mafunzo yako yanitia mtu moyo kumtegemea Mungu
@feminakidiavai5849
10 ай бұрын
Amen mafundisho yako yamenifungua kwa mambo mengi
@selinasulle2606
4 жыл бұрын
Pastor naomba ubarikiwe sana na Mungu kwani nimepata nguvu ya kuendelea mbele kwa mafundisho yako Mungu akutunze kumhubiri siku zote za maisha yako amen
@lizzyedsony479
2 жыл бұрын
Mm familia yangu kunaroho ya kuachika naitaji maombi mtumishi
@leticiabaziwani2684
3 жыл бұрын
Naomba kupata namba yako mchungaji ili unipe ushauri juu ya mambo fulani yanayonitatiza
@faithmoraa4542
Жыл бұрын
Thank you pr. Nimebarikiwa,Mimi n faith kutoka kenya
@amerbinzoo7093
Жыл бұрын
Mchungaji umenijenga sana kiimani haya mahubiri yamenigusa moyoni sana kanisa lako lipo wapi kwa daresalaam
@MarthaMusa-h2d
8 ай бұрын
Mungu azidi kukuchunga ili uendelee kutufundisha nasii nabarikiwa sana na mahubili yako
@GiftSisso
2 ай бұрын
Bwana akubariki kwa mahubiri yanayotugysa karne hii. Mungu atusaidie saana.
@happynescostat7420
Жыл бұрын
Bwana akutetee siku zote umenifundisha kitu muhimu,
@nansyas264
4 жыл бұрын
Waaa pst God bless you soo much umeguzia mambo mengi ambayo Leo hii tu naishi katika Hali hiyo tu kubali mungu ndio muweza kila kitu
@lilianjacobs248
4 жыл бұрын
Mungu akubariji
@eustina0
Жыл бұрын
Animaaa pr Mungu atukuzwe siku zote
@namsifumallya2816
4 жыл бұрын
Umeokoa wengi MUNGU AKUINUE SIKU ZOTE
@joyceemmanuel8806
Жыл бұрын
Mchungaji nitapataje namba zako
@crispuskasanga8487
2 жыл бұрын
HAKIKA HAPA YESU TU.UKRISTO RAHA .NIMEJIFUNZA MENGI NIKIWA KAUNTI YA MAKUENI NCHINI KENYA. MTUMISHI BARIKIWA SANA .
@GiftSisso
2 ай бұрын
Bwana naomba Damu ya Yesu irudishe nafsi yangu niliyoiuza sababu ya hofu na hasira ya mateso niliyoletewa na wanadamu wenzangu. Nisamehe, nirehemu niokoe na unikomboe mwana wa Mungu.
@magdalenalaban8895
11 ай бұрын
Mimi walinichanja mpaka wakachoka wakaamua kuniungza mo wachekachoka mpaka Sasa wanasema Mimi mchawi chezea Yesu wewe.
@sayijohn2129
3 жыл бұрын
naipongeza sana muhubili tv
@frankludago1942
6 ай бұрын
Neno la Mungu linaishi milele kama SIO Leo basi siku moja mpaka nyingine litaokoa roho nyingi
@maryleonard9549
2 жыл бұрын
ubarikiwe mtumishi Hilo neno ni langu Mana nipo kwenye mapigano ya nguvu za Giza bwana amelileta hili neno
@lutswambatresor482
9 ай бұрын
Kusema kweli mtumishi una ni Saidia sana mimi ni mkongomani
@allyomarry1178
2 жыл бұрын
Historia ya Adam namwanake wake wa kwanza kabla ya haws
@joshuamagabanhya5414
Жыл бұрын
Nisaidieni no za pastar mbaga nahitaji maombi
@MarthaJonathan-e5h
7 ай бұрын
Amina mchungaji bwana akubariki sana
@johntsuut7901
Жыл бұрын
Niseme nini sasa Israel na aseme sasa.....
@MuhindoMoise-i6m
Жыл бұрын
Pasteur Mungu zaidi kukubariki
@MaryNkuly
2 ай бұрын
Nimekuelewa pasta hubiri ilo
@mrsdeborahurio
2 жыл бұрын
Nakuelewa sana Usemacho maana nimekutana nayo; ni raha kuwa wa YESU!
@HusnaHussein-cg1ly
10 ай бұрын
Nakweli mchungaji mmbaga
@mathsnewdiscoveries
2 жыл бұрын
Tamanio langu nionane nawewe Postor naimani sitabaki ukiwa tena katika kila eneo kiroho , kiafya , kiuchumi na kielimu.
@stigmanonsare3672
3 жыл бұрын
I'm Stigman Onsare from Kenya be blessed pastor kwa Mahubiri.
@VenerandaKundi-ph4hg
2 ай бұрын
Ni kweli mchungaji kwenye biashara yangu kuna watu walikuwa wananinenea mabaya lakini mie niliwajibu nafanya biashara na yesu wanashangaa wanaona naendelea na biashara
@KatemboRichard-u4d
8 ай бұрын
Asante kwa mafindoshio
@MufwasiAndre-px8jm
Ай бұрын
Mungu akutiye nguvu sana pastor
@bonifacechege6333
Жыл бұрын
Pastor i need your help through prayer boniface from Nairobi Kenya
@peninamirimbo4160
3 жыл бұрын
Barikiwa Sana mchungaji
@FarajaSaimon
6 ай бұрын
Mungu akubariki sana mtumishi
@IsackDaudi-tm3ub
Жыл бұрын
Mungu uliye mbinguni leo ni siku ya kuokolewa kwangu naomba unirehemu na unisamehe makosa yangu na unihurumie nimeumwa mda mrefu fizi za meno nihurumie mwana wa daudi
@rahabnkya8276
3 жыл бұрын
POWERFUL MAN OF GOD YOU HAVE INSPIRED ME ALOT IN YOUR SERMONS.
@braysonsuleman3583
3 жыл бұрын
Bwana aturehem
@devothamichael9396
2 жыл бұрын
Neema ya Mungu iwe pamoja nasi, Mungu akupe maisha marefu, mafundisho yako yazidi kuwa baraka kwetu maana kila nisikiapo mafundisho na najifunza mambo mengi na nazidi kuona upendo wa Mungu maishani mwangu
@winnermbwambo8268
9 ай бұрын
Somo Zurich mchungaji
@mlishohadija6923
7 ай бұрын
Nashukuru mungu hili somo maana limenifunza kitu juu madamu wangu alinichukulia nguo yangu ya ndani sijui nini alienda kuifanyia but ninaamini mungu anaendelea kushuhulika naye maana namuamini mungu wangu nimkuu kuliko yule anaye muabudu yeye🙏
@mwanaidialmasi1399
3 жыл бұрын
bwana asifiwe mtumishi
@adelinakastory4337
3 жыл бұрын
Aminaa
@rehemakulwijira9662
2 жыл бұрын
Nimebarikiwa SANA na hili somo sababu napitia changamoto hizi kwenye maisha yangu had leo
@janetkahada5206
4 жыл бұрын
Amen amen
@zabrongermanus-co1jj
Жыл бұрын
Amina
@EliezaDaniel
6 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@beatricemunishi165
Жыл бұрын
Barkiwa Pr somo makini
@PaulineWanjiku-re2hy
10 ай бұрын
Nimekua nikionyeshwa makubwa na mungu lakini sijapata nafasi ya kieshima ya kutoa huu ushuunda mkuu na vision mungu akubariki kwa kuhubiri ukweli ulioko
@margaretwanjiru9096
10 ай бұрын
Kama kuna mtumishi amenisaidia kukua na kunifundisha nikaanza kuelewa kukua ni wewe Pastor Mbaga Mungu azindi kukutumia maana unabariki wengi
@dorisgesare7707
9 ай бұрын
Amina
@rachelmlingwa8880
3 жыл бұрын
Barikiwa mtumishi
@mamakendrick7538
2 жыл бұрын
😅nakutukuza Mungu
@hbdina
2 жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Asante sana Baba Mungu Jehovah kwa jina la Yesu Kristu Amen 🔥🔥🔥🙏
@irenenyambeki3094
4 жыл бұрын
Kweli mchungaji umehubiri mpaka nimeona tatizo langu..na sasa Mimi niko Kenya he nitajuaje pastor ambaye anagubiri neno kaa hili? Cos hapa wengi no business so mapstor was kweli
Пікірлер: 359