Huyu Mzee tumtafutie zawadi au tumjengee sanamu aisee tumpe ulinzi😅😅
@karibunyumbani3824
2 ай бұрын
Safi Sana wababa wanadharaulika Sana wakati ni wapambanaji wa familia Mimi ni mama lakini hata siku moja siwezi ungana na watoto kumshambulia baba hata akinikosea ni WA kwangu tuuu 🎉🎉🎉🎉🎉 safi Sana mzee keep it up fukuza wote
@Ayuminchasi
2 ай бұрын
Nyumba niya mzee wamama mda mwingine ni changamoto
@Lundege_Hips
2 ай бұрын
Hawa watoto ni wapuuzi sana Wanamsikiliza sana mama yao baba nakupa big up fukuza wote
@leonardbarber9778
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@israelkisaila8401
2 ай бұрын
@@Lundege_Hips tena washenzi kabisa,umri huo unalilia Mali za baba,watu wengine hawajitambuwi ujuwe hapa duniani,hovyo kabisa
@FatmaLyego
2 ай бұрын
Tena yatoke
@Ayuminchasi
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅watajua hawajui wakatafute vya kwao 😊😊😊😊😊
@bitumwatemu2731
2 ай бұрын
Unawatoto unakaa kwa babaako we ndo unachochea huo mugogoro katafute vyakwako mnataka kuukatisha uhai wa huyo mzee.
@Ayuminchasi
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅
@rogersdavis3058
2 ай бұрын
Mnawadharau baba zenu ambao ndo wanahangaika usiku na mchana
@davidjoackim2216
2 ай бұрын
Safi sana mzee,hizo mali ni zako ,na mahamuzi niyakwako mwenyewe, watoto tafuteni mali zenu 😂😂😂
@sadalahsadalah6661
2 ай бұрын
Huyo ndo baba mimi hapa eti tunawatoto wadogo watoto wadogo ana baba zao huyo mzee natamani kumpa hata lite klet moja asuuze koooo
@husseinshabani9522
2 ай бұрын
Mlishinda kesi? WeWe si mtoto Unamshindaje Mzee wako wakati Unasema nyumba Uliikuta...?Wewe Ulitakiwa Uwe kwa Mumeo...Uku Ungekuja kuwapatanisha Baba na Mama Waishi pamoja kwa Amani ..Ukisema tumeshinda kesi...Ulikuwa Upande wa Mama! Mtoto Utakiwi kuegemea Upande mmoja.
@Ayuminchasi
2 ай бұрын
Alitakiiwa awe upande wa baba ndoo wa kwake hata kwenye urithi anapewa
@JeremiahKavakule
2 ай бұрын
Mama yenu anawapa jeuli mungemusikiliza baba yenu musinge fika hapa mulipo
@sophiedanny3702
2 ай бұрын
Eti una watoto wadogo, kwani hao watoto ulizaa na baba yako hadi uone kwamba hao wanao wana haki ya kukaa hapo, pia unavyosema ukashinda kesi ina maana wewe ulikuwa upande wa mama yako na wakati we ni mtoto tu. We na mama yako mlitaka mumdhulumu mzee nyumba au??? Mzee kashtuka na ndo maana kauza mapema!!! Bora usingeegemea kwa mama yako ungekaa kimya huwenda baba yako angekufikiria. Sasa Pambaneni na hali zenu.
@zenaycechanzinho6702
2 ай бұрын
😂
@dr_godfrey
2 ай бұрын
Mzee hongera sana hivi vitoto inaonekana vinaegemea kwa Mama yao umehangaika kutafuta mali zako vitoto vinakaa upande wa mama
@floraflora5717
2 ай бұрын
😂 ngoja nipambane nijinjengee nyumba zangu na mimi nijekufukuza mwanaume kwangu 😂😂😂
@Ayuminchasi
2 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅mchana kweupe
@AllyKifumba-re7pv
2 ай бұрын
Tukashinda yan watoto wapo kwa mama aaah maninaa nyumba naiandika jina la mtu aliekufaaaa kwishaaaaaa
@SheilaOmar2007
2 ай бұрын
Hawa hawampendi baba Yao kabisa hawajui baba ni blood kabisa na mama ni sawa na mbegu ya tunda inaruka na kwenda kuoteshwa popote pale watoto wapuuzi kila binadam anamapungufu 😢
@imeldamatemu-gg9rl
2 ай бұрын
Kwa umri huo mambo ya wazazi ungewaachia wenyewe.
@CrissDaudi
2 ай бұрын
Eti tulishinda kesi Yani kesi ya baba yenu na mama yenu unasubutu kusema mmeshinda manayake mpo upande Moja vilaza nyinyi mijitu mikubwa kazi kuzalia Kwa wazazi wenu.walio wazalisha wameshindwa kuwajengea nyumba
@leonardbarber9778
2 ай бұрын
Yaani
@israelkisaila8401
2 ай бұрын
@@CrissDaudi Mimi natamani kuyamwagia maji ya moto kabisa yakafie huko,pumbavu kabisa,unapata wapi ujasiri wakupambania Mali za baba yeye yupo hai,umri huo upo kwenu,kuna watu wanatia hasira hapa duniani Basi tu😂
@hellenmassawe7284
2 ай бұрын
Mzaaada wa Nini unataka umesha jilemaza kukaaaa kulelewa wewe na watoto yaniiii shukuru mungu Alitakiwa Akukataye ukiwa na miaka 20
@SHULE_YA_KRISTO
2 ай бұрын
Mbona una jazba sana.
@AnethMushi-c3e
2 ай бұрын
Alitakiwa akataliwe yangu tumbon kabsasa😅😅😅
@adammbuba7230
2 ай бұрын
Mzee uko ok Ukicheza na mwanamke ni hatariii😂
@AnethMushi-c3e
2 ай бұрын
Ishi na mwanamke Kwa Akili
@ziggertv3185
2 ай бұрын
@@AnethMushi-c3ekabisaaaaa
@noelkipera6581
2 ай бұрын
Baba respect mzeee,hao watoto wakatafte zao huko,😂😂😂
@hassanrashid-l3u
2 ай бұрын
Ndo mkome kuegemea upande mmoja
@lucymtuka6393
2 ай бұрын
Sasa uyu dada anasema anawatoto wadogo awana baba awo watoto peleka kwa baba zao hpo sio kwao
@pendo8082
2 ай бұрын
Nyie watt tafuteni nyumba zenu Safi sana ety mijitu mizima inakaa nyumba ya family
@devotha6639
2 ай бұрын
Baba atakua hotel aicc anafanya masagi 😅😅😅😅😅 unazalia kwenu miladi akupe msaada 😅😅😅😅
@adammbuba7230
2 ай бұрын
Mzeee amewanyooshaaa Wapuuzi nyieeee
@muta-news2786
2 ай бұрын
Anapo sema walishinda anamanisha nn?? Walimshinda baba yao au na je hao watoto watoto wadogo anao semea amezaa na baba yake ndio maana wanaishi apo au hawana baba zao?
@RobertRange-uf3rf
2 ай бұрын
Umri wote huo unaishi kwa baba ako😅
@Ramahdhani549
2 ай бұрын
Tena ana mtoto😂
@pendo8082
2 ай бұрын
😂😂😂nashangaa
@RobertRange-uf3rf
2 ай бұрын
@@pendo8082 hawa ndio wanaporomosha maadili limtu lina familia halafu la kike litaolewa likiwa bibi au
@AnethMushi-c3e
2 ай бұрын
Bas awe na Adabu
@IssaTayari
2 ай бұрын
Fukuza awo kenge wanajua yakujengea ulipata wap,,, nakipindi unahangaika nakesi wao wamevimbisha kumatu apo wakijua utapotea wapoteze baba
@nikweli727
2 ай бұрын
Mzee safi sana matoto yanazalia nyumbani Mzee safi
@FatmaLyego
2 ай бұрын
Mijitu mizima nyie mkapange. Ugomvi wa wazazi hauwahusu
@elimunimwangatv7029
2 ай бұрын
Wanawake wa kichaga wengi ndiyo wako hivyo
@CharlesEdwardCvanoedward
2 ай бұрын
Mzee uza hiyo nyumba kajenge chumba kimoja cha kukutosha wewe tu hao wajukuu waende kwa Baba zao
@farajasallah2338
2 ай бұрын
Sio vizuri watoto kuingilia ugomvi wa wazazi
@frankpaul5951
2 ай бұрын
Hahaha uyu dada anasikitisha kwakweli
@femidayahaya9293
2 ай бұрын
YESU WANG..me ndio mana nahangaika uarabun kufanya kaz ilimrad tu nitafute changu kwa staili hii lzm akili ikukae sawa
@MashaMbwana
2 ай бұрын
Tuko wengi vooo😂😂😂
@hafsalucky1088
2 ай бұрын
Kabisa Ndugu yng, Mana eti mama kapewa asilimia 15, halafu baba 85, uonevu, tupambane wanawake.
@femidayahaya9293
2 ай бұрын
@@hafsalucky1088 MUNGU atusaidie sana mana huku tunapoelekea hatujui itakuaje
Ndio maana wanaume tunakufa mapema. Unatafuta mali kwaajili ya watoto wako. Lakini baadae mama anawahadaa watoto wamghasi baba yao. Baba anapambana anashinda kesi. Swali linakuja, atakua na moyo wa kuwapa urithi kweli?. Wanawake wengine jifunzeni kupitia funzo hili. Mtoto anarithi kwa baba. Mwanaume mwenzangu nakupongeza. Kula jasho lako bila buguza, uishi miaka mingi. Stress zitaua sana wanaume kwa kuvumilia mambo.
@kennywizy1009
2 ай бұрын
Watoto inaonyesha walikua upande wa mama
@SHULE_YA_KRISTO
2 ай бұрын
Huo sio mkono wa baba...nyuma yake kapo kabinti😂.
@AnethMushi-c3e
2 ай бұрын
Ndio kanajengewa Sasa 😅😅
@luganojohn2673
2 ай бұрын
watoto kuchochea migogoro wa wazazi hayo ndio matokeo yake na matunda yake ifike mahali mtoto ujielewe ili uwe sehemu sahihi ya hzo mali kuwa normal na usimamie haki jazba za wazazi ni mbaya na huvuruga sn familia nyingi watoto wanatakiwa wawe viunganishi wa amani..📌 poleni sana
@mussakimaro5588
2 ай бұрын
Mi ndo maana sitaki kuoa hawa wanawake miyayusho sana japo sio wote hata kama mimi nawafukukuza watoto wote mliojiunga na mama
@barackmtandi7823
2 ай бұрын
Wachaga sijui mnashida gani
@khalidmdotta3843
2 ай бұрын
Mama ulipewa talaka unafanya nn hapo kama sikuwachochea watoto ili umzulumu mzee wa mama wa kichaga mnaenda Sana Mali mzee kuwamakini watakuua
@MasterLasway
2 ай бұрын
😂😂😂kwaiyo kaz kuzalia kwababayenu badala muolewe timua wote hao
@verombwambo3703
2 ай бұрын
We dada mpaka Leo unakaa na wazazi wako unafeli wapi aiseee
@BongeRegina
2 ай бұрын
Mzee nimekukubal ubay ubwela
@barrynzeyimana6270
2 ай бұрын
Fukuza. Mtoto Wa Miaka 30 anahofia maisha kwamba wataishi vibaya
@allymonella1096
2 ай бұрын
Fukuza hizo kungumanga zote.....pumbavu ubaya ubwela😂😂
@hadijauledi6995
2 ай бұрын
Huyo mzee yupo sahihi yaani ukazae huko ukae kwangu mi mama mizima ovyo tafuteni maisha yetu ss baba yetu kipesa yupo vizur lakini hakuna mtoto anae ishi kwa mzee kila mtoto kajijenga acheni ujinga katufuteni vyenu
@KoleYasini
2 ай бұрын
Allah amesema malizenu watotowenu na wakezenu ni mtiahani kwenu,
@jumakapilima7295
2 ай бұрын
Exactly!
@ZUWENADELLOW
2 ай бұрын
🎉🎉🎉
@swahilitech2024
2 ай бұрын
Mtoto Una Mtoto Kmmk! Watu Tunachukua Mikopo Kwenye Ajira Tunaish Maisha Magumu Nyie Mtuletee Usenge
@rahema1992
2 ай бұрын
Sasa acha mkomeshwe mtegea cha nduguye hufa maskin ungekuwa kwako hayo yote yasingekusibu halafu ugomvi wa baba na mama mnauingilia wa nn ukosefu wa adabu huo
@VianaKokutensa
2 ай бұрын
Sasa hao ni watoto😅
@LazaroIsaya
2 ай бұрын
Pore sana
@salcle9702
2 ай бұрын
Mzee njoo kunywa bia vitoto hovyo sana siku hizi
@ReychoMc
2 ай бұрын
Wameyakanyaga
@BrunoNjonjo
Ай бұрын
Kaskazini kuna kazi
@momylaviel
2 ай бұрын
Mzee apewe tuzoooo
@ThadeiAndrea
2 ай бұрын
Nyie malaya katafuteni sehemu ya kukaaa
@linnusaloyce6559
2 ай бұрын
Wewe unazalia kwenu peleka watoto kwa baba zao 😂
@JacksoniKavikule
2 ай бұрын
Hyo mitoto mipuuzi sana mamae hivi mpaka leo mnang'ang'ania mali za urithi za nini baba uzaaaa vyote ni vyako umetafuta mwenyewe
@linnusaloyce6559
2 ай бұрын
Yupo sawa wakatafute vyao walizoea kubweteka
@HassanMugire
2 ай бұрын
Watoto waende kwao
@DicksonNdalutv
2 ай бұрын
Mbona kama tengeru
@mariamhafith3977
2 ай бұрын
Hahaha wazazi wanao kaa kwa wazazi wao
@rajabelias1080
2 ай бұрын
Jinga Hilo,katafute maisha ACHA ujinga
@kengeleloya9598
2 ай бұрын
Aiseeeee
@adelinabaitu3291
2 ай бұрын
Usingeongea upuuzi watoto unawazalia kwa baba yako
@musamasanga2975
2 ай бұрын
Eti tukashinda..!!! Pumbavu kabisa, unadhani mzazi ni mama pekee
😂😂Tutafuten hela mali ya urithi ina kakitu kama kalaana hivi
@RaiderTube
2 ай бұрын
Ndo maana hata kupoteza mamilioni ya pesa kusomesha mitoto kama baba ni usenge, unapambana baba, mamao anakua malaya na mitoto inaunga mkono mama, utasikia nani kama mama, wanaume bora kujigharamia tu wenyewe, usiwekeze kwa mwanamke sijui kwa watoto hasa wakike, wekeza kwa watoto wanaoijielewa sio mom mom
@willsonmsuya9261
2 ай бұрын
😢😢
@lukasielibariki3181
2 ай бұрын
Wanyooshe
@MaabeshFungurume
2 ай бұрын
hawana heshima Wala upendo kwa baba Yao ila Mali yake Wana taka ni hatari
@ilynpayne7491
2 ай бұрын
Mzee ameonq huo ni ujinga yani wadada watu wazima mme zaa na watoto bado mna ishi kwenu 😂
@taifaonlinetv.3670
2 ай бұрын
Siku zote mke akimheshimu mume , lazima mume atampenda saans, lakini ikiwa kinyume cha hapo haya ndo matatizo yanayojitokezaga
MALI YA NANI? # BABA. TAFUTENI MALI ZENU JAMANI YAANI MTU ANA ANGAIKA NYINYI MMEKAA TU. AKIFANYA MAAMUZI YAKE MNATAKA HIYO HIYO MALI NOOOOOP
@kakuyajumanne7335
2 ай бұрын
Wapuuzi sana hao huyo sangekuwa kwa mume wake anang'ang'ana kwan nyumba yake
@kiratechwalkertz6856
2 ай бұрын
Hili la wapi hili tena huyo mzee kachelewa umezaliwa hapo na ww umazaalia hapo uyu vip huyu. Eti halina pa kwenda na watoto wake si liende kwa mmewe nae akafungue kesi kama mama yake huyu vip
@EwaldAntony
2 ай бұрын
Mkome
@kisokatvonline3704
2 ай бұрын
Kwan hawatoto baba ako ndoalikupa mimba tuka hapo nikwawatu
@LindaMbilinyi-n3n
2 ай бұрын
Nchi haiishiwi matukio hii😂😂😂😂😂😢
@easternyerembe7271
2 ай бұрын
Sema, kazia, Arusha haiishi matukio
@mussaabobakar7537
2 ай бұрын
Ww ulivo kuwa unaenda kuzalishwa njee uko na wanaume alf uje ukae nyumba ya mzee na mitoto yako mda mwengine mara kina pgwa miti umo umo ndan na wanaume zake kwenye nyumba ya mzeee toka apa kwenye nyumba ya mzeee wa ubaya umbwela
@HappyElias-t9f
2 ай бұрын
Pumbavu watu wazima mnalilia Mali za baba , kaoleweni mbele
@darajalakidatukilomgi2362
2 ай бұрын
Ukiolewa jenga kwenu au unakokujua mwenyewe mambo ya kujenge nyumba kwa ushirika kama mwana ndoa madhara ndio haya ya kutupwa nje, Sheria zetu sio imara kwenye kulinda mwanamke na mali iliyochumwa ndani ya ndoa, bora ujiongeze mwenyewe mdogo mdogo uwe na nyumba
@lucholyungu4969
2 ай бұрын
Wakubwa hivyo na mnawatoto simuende kwa waume zenu
@peternyagonde5524
2 ай бұрын
Kataguteni vyenu
@fredrickmassawe2437
2 ай бұрын
Hadi nimeumia. Yaani nimekulea mtoto hadi umejua kuwavulia chupi wanaume na kuzaa alafu unaleta watoto kwenye nyumba yangu nao eti hawana pakukaa??? Nyie watoto ndio mlionzisha migogo kwa wazazi wenu hadi mama yenu akapewa talaka. mbaya zaidi mpo upande mmoja wamama yenu. Mke wa mtu unafanya nini nyimbani kwa baba yako??? Mungu mpe nguvu huyo mzee na maishi marefu. Maumivu aliyonayo mzee sipate picha
@shabsoomary2514
2 ай бұрын
Pole sana my fellow students mwanahamis and your sister
Пікірлер: 189