Cha ajabu wanaosimamia tasnia wako kimya, kuna haja gani hata kuwa na hizo kozi za uandishi wa habari? Yaani imekuwa ni kuokota tu ukijua kulopoka, kuchamba watu, kuchekesha n.k. sasa hivi hata vipindi vingi ukifatilia vina impact ndogo sana kwa jamii. Kila redio asubuhi mpaka mchana vipindi vya michezo, alasiri miziki jioni michezo. Sikiliza wakiwafanyia watu interview unaona aibu ww😂
@RashidiMagari
5 ай бұрын
2:08 kubari baba revo
@issashabanihusseniwewe9024
6 ай бұрын
Yani hawa kila siku ali kiba ali kiba nawao😂😂😂
@WaziriJuma-m2p
6 ай бұрын
Hili baba levo zuzu kama lile chezaji la timu fulani mana halina akili pumbavu hili
@SilaMinanda
6 ай бұрын
Sasa huyu ana utangazaji gani?
@SaimoAbusei
6 ай бұрын
Kamlete babako atangaze umbwa kabisa
@SilaMinanda
6 ай бұрын
@@SaimoAbusei kiswahili kibovu unapanic kwa usivyovijuwa
Пікірлер: 12