Samia haya yanayoendelea yaweza kukufisha sehemu mbaya fanya maamuzi magumu.
@rosekimaro384
18 күн бұрын
HARAKA MAANA HALI YA WATU KUPOTEA INATISHA
@clevermgedzi4708
22 күн бұрын
Ndugu wananchi wenzangu tutasusia uchaguzi Kwa utekaji huu
@cecymugisha5809
8 күн бұрын
Labda ingesaidia
@khadijathani9064
6 күн бұрын
Sina muda wa kukaa kabisa kwa sasa najua kama ikitokea nimeteleza kidogo basi nakufa
@scolabwana8252
21 күн бұрын
Pole sana baba uchungu wa mwana aujuae mzazi
@betitympeleta9697
25 күн бұрын
Tunaenda wapi sasa jamani unyama huu watoto wetu tuwafiche wapi?
@RukiaSalum-n4m
25 күн бұрын
Pole sana mungu ikumbuke🇹🇿🇹🇿 Tanzania kwani sasa tumsubili bwana yesu atupiganie
@GERVANNYKYAVU
25 күн бұрын
Amisha tolewa kafara tayari
@justardzelphine6526
25 күн бұрын
Ccm acheni kuua watu, acheni kumwaga damu, damu itakuwa juu yenu
@gfydfdf8869
22 күн бұрын
My God Tanzania yetu,hakuna amani ,pole baba,huyu mtoto achane na vyama,
@JohnManyilizu-rl5bm
20 күн бұрын
Pumbavu sana
@khadijathani9064
6 күн бұрын
Ivi amuuogopi mnavyocoment ivyo😢😢😢😢
@MaryamAbubakar-c2d
25 күн бұрын
Pole sana yani hakuna amani kwenye hii inchi
@vailethpauloPaulo
25 күн бұрын
Mungu tusaidie tu maisha haya ,,,tumuachie mungu ndo muweza wa yote
@isayamwashibanda5819
22 күн бұрын
Pole mzee ukweli inauma sana
@AnnaMarthias
25 күн бұрын
jamani au ndo yesu nakari biyaa mmmhhh tazania ya jana zio yareo tume tere kezwa wa tanzania kama kama watoto yatima
@MaxCharles-wj5dg
19 күн бұрын
Iman imetoweka
@khadijathani9064
6 күн бұрын
Pole allaah atawalipa kwa hili inshaallah
@isaackemanuel3712
19 күн бұрын
Wameishampoteza ,dah!!! Poleni sana kama atakua hai ni Mungu tu
@AminaRamadhan-mg9lj
3 күн бұрын
Pole sanaa baba anguu mungu akutiee nguvuu polee sanaaa😭😭😭😭😭😭
@user-yh3el1oc3t
19 күн бұрын
Mtihani Kwa kweli Allah atuongoze hii nchi sijui tunakwenda wapi yarabi
@SetephaJery
25 күн бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿tuamke haya wanoyo fanyiwa wenzetu ipo siku yata tufikia na sisi tuache kua wanyonge tupige kelele hii sio sawa kabisa
@feezdidthis2220
18 күн бұрын
Hatuwaamini tena , everyone for they self 😭
@RizwanAbdallah
19 күн бұрын
Mzee tupo naww pamoja
@helencyprian8745
25 күн бұрын
Ccm jamanibona ninukatili sana huu wa kuua watu? Jamani tutakufa tu tuache kila kitu
@McT-m1m
7 күн бұрын
Poleni sana
@palokuthereza2555
2 күн бұрын
Mdogo wangu alibebwa Na mapolice Kilimanjaro walimbeba na gari jeusi tinted 😢😢bila mkuu wa Mkuu wa Kilimanjaro kutoa order atolewe Leo tungeshazika hii nchi balaa sana
@JojoJoji-h8g
13 күн бұрын
Kuna Vijana wameajiriwa katka sehemu nyeti ambao hawawezi vumilia wanajaziba nawako kwenye vitengo nyeti wao wanadhhan wanalinda heshima ya Nchi lakin kumbe wanakosea si kila mtu akiongea anahatarishaa usalama wa nchi ebu sasa katka kuajiri watu katka vitengo wazingatie swala la umri siyo elimu tunampenda mama Samia lakin watu wake wanamharibia kwakutaka kumfurahisha.
@RachelKinasha
8 күн бұрын
Jaman mungu simama
@PeterMahona-zd3oz
25 күн бұрын
Pole Sana mungu.akutie nguvu
@happymrema7487
25 күн бұрын
Pole san
@RichbonyMutalishi
6 күн бұрын
Mm nilikua naona watu tuache kusubili rais aseme ukiona asikari kwako malizana nao tukipewa fulusa nikutega mabom ya kulipua kwa limoti cotrol
@mpefu_4936
22 күн бұрын
Kaka pole Kwa mchungu kweli ni maumivu
@ErickMacha-sb2ot
22 күн бұрын
Kwakweli siwezi kumwaga damu yamtu kisatumbo lakini MUNGU atasimama tu
@HanifaOman-oo4pl
25 күн бұрын
Mungu tusaidie. Yani unauwa binaadam mwenzio bilayahuruma kwaajili ya maslahi.ya dunia.ujui naww utakufa lini haya tumuachie muumba. Wetu yeye anayaonayoote atawalipa. Na huyu kaka wasijekumteka Mungu walinde watu wanatoa.machozikilasiku kwakuuliwawatu. Inauma
@babazungu3180
17 күн бұрын
Dah pole sana baba mzazi
@BullahSambiga
4 күн бұрын
Jmn jmn embu wamuogope mng waone huruma jins wanavyoumiza watu ivoo pole baba inaumiza sana daah😭
@AnaniaMmari
4 сағат бұрын
Mmmmm ila duuuu mungu
@JohnManyilizu-rl5bm
20 күн бұрын
Ila hii inchi mnapanda chuki mbaya sana
@FrankNzombo-k3j
25 күн бұрын
Tunaitaji kuunganisha machozi yetu yasipotee Bure
@philomenastephen3364
18 күн бұрын
KILA NAFSI ITAONJA MAUTI. NA KILA ALIYEZALUWA NA MWANAMKE IKO SIKU ATAONDOKA DUNIANI. NA HAO WANAOWATOWESHA DUNIANI MAPEMA. HATA WAO HAYUPO ATAKAYEISHI.MILELE.L
@MaxCharles-wj5dg
19 күн бұрын
Polis Wana kuja kuchukua mtu harafu anapotea tusikubari kukamatwa bila kiongoz wa mtaa
@kinkybanjukome217
18 күн бұрын
Mzee kama wata muua mwanao hao maaskari unao wafahamu basi kata vichwa vyao usikubali
@AnaniaMmari
4 сағат бұрын
duuu mbona wengi niwachanga jamannn
@staffordsilwimba7989
18 күн бұрын
Mungu asiwapungukie wote walio tekwa
@mohamedkashindi7689
25 күн бұрын
Jamani hii nchi tunaipeleka wapi jamani?
@PhilipoMwita-b2x
19 күн бұрын
Mnatuchanganya maana mnasema soka Hana wazazi niyatima
@SaidiPala
25 күн бұрын
Hapo tatizo lipo Kwa rais.kwa Nini yupo kimya.kwahiyo huo ni mpango mkakat.anajua Kila kitu.ndio maana yupo kimya
@victoriafaronendakwamakond4816
25 күн бұрын
Rais kafanyaje?
@bintmrisho3526
24 күн бұрын
@@victoriafaronendakwamakond4816 kwann yupo kimy watu wanapotea potea hovyo anajua na yeye kwakua deus alikua ni kijana anaelipambania taifa letu hata akimuua wapo wengine wengi tu je ataweza kuwaua wote
@AnnaMarthias
25 күн бұрын
tuta mukubuka mangufuri sana
@DivinePromise-sv3qq
18 күн бұрын
Sanene na wenzake walipotea wakati wa Magufuli na hawajaonekana hadí leo
@hajially4527
18 күн бұрын
Hayo yote mungu anaona ipo siku yatawekwa wazi na kila mhusika atalipia
@Jonathan-t4d
25 күн бұрын
Duuu spirian pole Sana
@innocentMallya-v4r
19 күн бұрын
Aachiwe mara moja
@user-js4bu1jp7n
4 күн бұрын
Kwani nyie mnashindwa kuwateka ccm nanyie uweni
@stanslausbernard5950
25 күн бұрын
Mlisema huko nyuma kuwa tatizo ni magufuli. Sasa huyo magufuli yupo?. Mbona watu wanspotezwa kama kawa?
@JosefuSwai
25 күн бұрын
Wameiga wanaendeleza yeye ndie mwanzilishi
@RenatusMatungwa-o7c
25 күн бұрын
Kabisa leo wanaumbuka
@mohamedkashindi7689
25 күн бұрын
La' muumba tutetehe na ikombowe tanzania haki ipatikane kwakweli tupo kwenye giza nene kabisa
@mathayokaimaima4578
16 күн бұрын
Inaumiza sana!
@pendobruno111
25 күн бұрын
Hakuna ataeishi milele hata wao watakufa
@ErickMacha-sb2ot
22 күн бұрын
Kwakweli wa Muachie huyu kamanda nimtumakini sana Yani raisi anatakiwa vijana kama awasaidi waendeleze nchi
@edwiniedwin3347
15 күн бұрын
Dahhh inaumiza Sana
@rizikikyando3289
15 күн бұрын
Baba pole soka anatuuma sana MUNGU hajawahi shindwa,
@mtabevilaini6527
17 күн бұрын
Nchi yetu imefikia pabaya sana Mungu atusaidie
@NixonJohnson-r4m
25 күн бұрын
Huyu Deus ataleta tafrani nchi hii Raisi aanze kutambua hili maana anawatu nyuma wengi sana na anajieleza vizuri na watu wanamkubali mno..
@happymrema7487
25 күн бұрын
San mimi moyo wang unaniuma mpak usiku sijalal
@MohamedyAlly-f2u
20 сағат бұрын
Watanzani tuamke jamani
@pendobruno111
25 күн бұрын
Aisee yote hii unalipwa posho za kutesa watu
@user-md7sd3hk6l
20 күн бұрын
pole mzee soka mungu ana ona machozi ya wanyonge
@nikkimbishiunju2402
21 күн бұрын
Aikaeli sio Elikaeli...
@chrysanthushakaunga6560
20 күн бұрын
Lawama ni Kwa nani? Ccm serikali au police ?? Nchi hii damu inatabia ya kuwarudia wahusika ata kama miaka itawatafuna watoto walihusika na wajukuu zao
@DivinePromise-sv3qq
18 күн бұрын
Police ni wa CCM hivyo lawama ni kuanzia kwa Rais Hadi anaowatuma
@user-ot1ff7yq2l
22 күн бұрын
Hhakina cha mama cz hi nchi haina uongozi rais hali ni mbaya sana
@mercydirisha8903
15 күн бұрын
Baba omba sana kisasi ni cha bwana pia hakunalinaloshindikana kwa bwana
@AnnaMarthias
25 күн бұрын
majanga nimengi sana mungu atu tete 9:49
@LeeLian95
18 күн бұрын
Hiyo 9:49 ina maana gan🙄
@VionaMuthoni289
15 күн бұрын
Mjue hakuna kitu serikali inafanya bila ruhusa from the president ,Mama Samia anajua kila kitu,ingekuwa Kenya wangekuwa wamefunguliwa tutachoma stations zote hadi huyo Raisi aongee,watu zaidi ya 7??Hamna GENZ Tanzania waandamane
Amani tunayojifunia iko mbioni kutoweka, ndio hivyi mambo anaanza kidogo kidogo hadi taifa linaingia kwenye vita vye mwenyewe kwa mwenyewe Rais liangalie hili kwa mapana zaidi.
@josephinamkono5183
25 күн бұрын
Mambo kama haya hayakubaliki
@Bilioneabichwa331
25 күн бұрын
Tanzania nchi yenye amani sana tusiige kenya
@rabsonchisumo6640
20 күн бұрын
Chizi
@user-cv7vm1mx9d
6 күн бұрын
Mzee kua makini usiwamini chadema uenda ndio wanahusika na mambo haya
@LindaMbilinyi-n3n
5 күн бұрын
Kuma wewe hujitambui
@HanifaOman-oo4pl
25 күн бұрын
Pole kaka😭inauma
@RechoMzava-gt7so
17 күн бұрын
Mrudisheni deo soka hata kama mmeshamuua ni kijana mdogo sanaaa
@mtabevilaini6527
17 күн бұрын
Tanzania siyo salama Rais wetu haoni haya???
@MaxCharles-wj5dg
19 күн бұрын
Hamza Ali uawa Kwa uonevu kisa polis kutokutenda haki
@festokastory5282
3 күн бұрын
Nchi imekuwa ya kisenge
@pendobruno111
25 күн бұрын
Kila jambo na wakati wake
@hermanmtalo6340
5 күн бұрын
Kisa ni uroho wa madaraka tu basi
@AtanasKalega
22 күн бұрын
Acheni kusingizia Serikali chukueni mfano wa matukio ya huko Singida kuhusu waganga wa kienyeji.
@SarapiaMfoi
20 күн бұрын
Hapana hiyo siyo tija vitu vingine vipo wazi
@rabsonchisumo6640
20 күн бұрын
Acha ujinga kichwa kikubwa maji tupu siku ukipatikana wewe
@ebbychipa8010
18 күн бұрын
Ww unajielewa kwel
@ThadeyObed
18 күн бұрын
Au na wewe ni muhusika wa utekaji unatetea upuuzi
@PeterMahona-zd3oz
25 күн бұрын
Ccm jamani muogopeni mungu siku yenu ipo
@halimamasai2234
5 күн бұрын
Mara kapigiwa simu mara kaondoka na katibu wake mara simu kutoka mbeya sasa waulizeni chadema ndo wanajus
@JohnsonBagambi
25 күн бұрын
Hii kitu inabdi tutafakali kwa kina dawa ikituingia vizr vita hii aitakuwa na macho
@PeterMahona-zd3oz
25 күн бұрын
Sinema niwewe ukowajabu
@user-qh2bx5em6j
25 күн бұрын
Enyi Mnaoua watu . damu ya hawa watu itawalilia mpk kwenye vizazi vyenu.Kwa nini lakini kwa nini lakini
@MudyAlly-q7d
15 күн бұрын
Tuwatakie kila la kher kila jambo Lina mwisho Kuna ck hao watekaji watajichanganya tuu
Hv huyu anayejiita mama mama mama anayaona haya kweli hv ingekuwa ni mtoto wake ametekwa angekaa kmy kama alivyo kmy??? Watoto wawatu wanapotea yuko kmy na madam madam madam
@abdallahmesso7732
10 күн бұрын
Mnatuchanganya mbona wanasema niyatima mbona baba yupo
@ilynpayne7491
25 күн бұрын
Viongozi wanasema hakuna wanao tekwa😢
@RahimMallya-fh9zc
25 күн бұрын
Kuna watu wengine mtaila sana,, kwaiyo kua mpinzani kosa, una mana gani
@samsonsamwel8782
25 күн бұрын
7.13 pole mzaz
@alisalim2725
18 күн бұрын
Mm niko na imani huyo kijana washamuua iliobaki ni porojo tu za mahakama
@JonasMathias-s6m
25 күн бұрын
Nchi hii ukiwa mpinzani,tu waserikali na msema ukweli huna maisha
@brianbrayoo1590
11 күн бұрын
INAUMA SANA, HIVI HAYA MAMBO MWISHO WAKE LINI? TUNAISHI HIVI MPAKA LINI? Ni kwamba ni kwa mabavu sasa? I WILL NEVER WASTE MY TIME TO VOTE, KWANZA KADI YENYEWE SINA NA SINA HATA MPANGO NAYO
@blackothman7332
14 күн бұрын
Naapa kwa aliumba mbingu na ardhi mim sio mwanasiasa ila mtoto wangu akaja kua mwanasiasa,akapotezwa kama ivi kila ntakae muhisi kichwa chake halali yangu
Пікірлер: 205