Hizo kasida pamoja na nyimbo zote ni aina ya mizik kwaiyyo yote hayakubaliki ktk dini yetu ya kiislam na Allah atuongoe ktk njia zilizo za haki ❤❤
@LidhiwaniJuma
3 күн бұрын
allah anakuona ebu acha kuchezea dini ya allaah waliangamizwa waliokuwa kabla yako ,
@zanlec7357
9 күн бұрын
Innalillahi wainna ilayhi raajioun. Hakika mtaenda kusimamishwa mbele ya Allah na kuulizwa juu ya UOFU huu. Wanaume mnalegeza pua na kutoa sauti nyororo kama DADA ZENU
@JamsMussa
28 күн бұрын
Kwan mana ya koma sava min au munamsematu kasa awahangaisha kuhusu uimbaji wivu imekuwa mwingi jiangalieni nyinyi hamuimbi nyimbo au matusi au munataka mumpoteze kwenye gemu hamumuwezi huyumtu noma sana waimbaji wote sasa wanaimba nyimbo na matusi mutake misitake Ila jamaa noma sana
@AyubuMwenjuma
27 күн бұрын
Dunia imeisha jaman kwamtindohu duh
@NtongwaTabiaoficial
27 күн бұрын
Anazalilisha uisilamu uyo inabidi mu mkanye sana
@NuryaMusa
26 күн бұрын
Dunia haiwezi kuisha kwasababu ya Bida ah zenu. Wajinga nyie. Masufi
@user-tq5gl1qv2y
11 күн бұрын
Kawaida yaaina yoyote ni upuuzi tu kila aimbae ni mpuuzi tu washenz mnatualibia dn na kutuabisha
@amourmussa8358
Күн бұрын
Gari limewaka❤❤
@JuniorSimai
13 күн бұрын
Jaman zote njia za makafr hiz kuuangamiza uislam hiz syokaswida n rusharoho
@Friyyah
21 күн бұрын
Yan ni kanzu tu ila ni waimba taarab awa wapuuz Qaswaid ni za kumswalia mtume ty
@JuniorSimai
13 күн бұрын
Qaswida Kama hiz halafu utarajie ndowa idumu 😢😢
@SaleheKijazy
18 күн бұрын
Siku hizi uki chukua watu wa aina hiyo kwenye harusi ni sawa sawa wana enda kuimba taaribu kwa7bu hata uki angalia walio wengi hapo ni wanawake na wao hao wanao imba upuuzi wao. Wala hawawezi kuiharibu dini kama kuharibu ange haribu mzungu na lkn kashindwa
@shafisaggaf1889
28 күн бұрын
Daah mtihani kweli huu ndio maana harusi za sikuhzi hazina baraka kwababau shughuli zoa zote ni zakishaitwani.
@shaqiiqal-jameel1029
27 күн бұрын
😤
@NtongwaTabiaoficial
27 күн бұрын
Kakweli uyo mtu apewa azabu kwa kuizalilisha uisilamu jama 😭😭😭😭😭
@Raziaomary
26 күн бұрын
Allah atujalie mwisho mwema😢
@Raziaomary
26 күн бұрын
😢😢
@YahyaSali-s6h
8 күн бұрын
Sasa kama wanataka kuimba kuona vishudu vya wanawake basi musivae kazu
@abeljuma7613
27 күн бұрын
Qaswida ndugu yake taarabu😂😂😂 . Huu si Uislamu 😢
@ghanimaothman5409
24 күн бұрын
Swadakta
@RAJaBUKIWISI-y1g
19 күн бұрын
Mkiambia msifanye mambo mtume hajafanya. Hamtaki. Huku ndo tulipo fikia waislam,,, hakuna kitu kaswida katika uisilam... Mtume kalimba wapi ... Kaaaahhh...
@MbanoMrage
19 күн бұрын
Mtihani mkubwa huo.
@Abuusaad-uy5cx
23 күн бұрын
Hii si qaswisa msituzengue
@user-hb8vi9fx6g
11 күн бұрын
((HAKIKA MIONGONI MWA MANENO WALIO YAKUTA WATU MIONGONI MWA MANENO YA MITUME WA MWANZO: USIPO ONA HAYAA FANYA UTAVYO )).
@KomboMakame-x8t
23 күн бұрын
Dah bongo flava mushakua munatuimbia au ndo pesa inavotafutwa musivamie kazi msozijuwa
@MrflashMobile
23 күн бұрын
Duuuuh
@amourmussa8358
29 күн бұрын
🔥🔥🔥🔥
@binnyangemedia8756
24 күн бұрын
Mh
@iddymngoya2395
23 күн бұрын
Duhh mtihani kweli
@safiasuleiman-t9d
23 күн бұрын
Mmh ! Majina yoote ya kale duuh wazee wa zamani waliitwa majina mabaya eti Patima
@saidhashimdubwembwe4830
23 күн бұрын
Huu ni Mziki shekh ni Bora usiudhalilishe uislam kwakunasibisha nyimbo zako na mambo ya dini. Nakunasihi Kuna mambo mengi ya kufanya kuingiza kipato si njia hii ya kuidhalilisha dini na miziki yako. Nakuombea Allah akunyooshe na akuelekeze katika haki. Aamin
@YussufAliy-t4d
22 күн бұрын
Hamjui aswaaaaaa kaeni pembeni sio Qaswida izoo komasava muambiwe nn nyie in short pumzikeni hamna kipaji
@Saidy-eu1hc
28 күн бұрын
Innallillah
@NirdiniOchu
29 күн бұрын
Wote wivu uwo ayooooooo
@user-oh7gv8zg5y
19 күн бұрын
Hii ni miongoni mwa taarabu, bila Shaka
@SANDEMANGUNYA
23 күн бұрын
simuziki jamani mcheni Allah
@hajiharoub8125
20 күн бұрын
Hapa mumezingua😭😭😭
@saadaliy3979
26 күн бұрын
😂
@user-bo1xl6ec6n
27 күн бұрын
Astaghafirullah astaghafirullah ALLAH atusamehe waja wake
@hassanhalfan5380
27 күн бұрын
amour acha ukafiri
@MIZA-h5g
29 күн бұрын
Hamjui kama iyo lugha kama lugha nyengine msitupumbaze
@Zuu673
23 күн бұрын
Hii ni taarabu sio qaswida
@HawaaAly
29 күн бұрын
Kutabasm muhm😅
@SabeehaSaleh-sg8qj
28 күн бұрын
Amour siku hizi kusema ukweli ovyoo mbaya 😂
@AshratHaji
28 күн бұрын
Mh
@ibrtanation7094
28 күн бұрын
Jomony ni ubunifu 2 wa m2 bs apewe mauwa yake kwa ubunifu mzuri
@bakarikhasani-pv1go
22 күн бұрын
Komasava ni Salam tu
@Friyyah
21 күн бұрын
Qaswaida n za kumswalia rasool mengine ni miyeyusho ty
@MaulidiMuhammad-ll1xz
28 күн бұрын
Napita tuu lakin kasida Kali inavuma duniyaa zima
@JosMatty-bq9ii
27 күн бұрын
hii nayo dini ety kwel
@SaudaSaid-r8g
25 күн бұрын
Mbaya sana hata haiyeleweki
@Friyyah
21 күн бұрын
Yan ni ushenzi utup bora wangevua kanzu tujue ni waimba taarab
@KhamisHamad-ts8pp
24 күн бұрын
Komasava ni salamu lkn s
@Saida-pv5gs
28 күн бұрын
Kila nkitaka kuandika maoni yngu mikono inagoma au bora nseme😂😂 lakin bor bc au sjui nseme ah bora nlale😂😂😂
@jabirkombo5483
28 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@AshratHaji
28 күн бұрын
Shoooo yako iyo
@MuhammedRashid-rq5tz
29 күн бұрын
Hiii ndio ile komasava 😂😂😂
@rahmamussa1674
29 күн бұрын
Ndio jee kwan
@AshratHaji
29 күн бұрын
Kwani wee unona je au ngija ngija?
@AshratHaji
29 күн бұрын
Sii Koma sava kuona huon lkn ata kuskia huskiii au unatak faida tu
@MuhammedRashid-rq5tz
29 күн бұрын
@@AshratHaji na zawad kama yupo namtaka si faida pekeee
@MIZA-h5g
29 күн бұрын
Na bado mtasema sana
@MachaAli-ee8sd
29 күн бұрын
Mbona utam umekatwa humu ah
@NajmaSalim-d9w
24 күн бұрын
Ni salamu t iyo Lakin ss tusi liko wapi apo
@Friyyah
21 күн бұрын
Wangeiita taarab mana qaswaid n za kumswalia rasool tu
@KomboMakame-x8t
23 күн бұрын
Munatuharibia kasida kiukwel kadiria ndiomaana tunampango wa kukaa pembeni tukuachieni na nyimbo zenu
@alyngwaly5600
22 күн бұрын
Mbn ushkuwa unajidhalilish na kuudhalilisha uislam rafk angu, unatmia kipaj chako vby saiv kam huna la kufany s ukae kmy klko kufany huu ujinga ambao unakutia dhambini. Sas hapa ndo unaimba nn zaid ya ujinga na upuuz tu.
@ArnavAlly
27 күн бұрын
Ndo kaswida za sikuhz nikam iz bila hiz unaonekan mshamba na hupat kodi
@fiakizi
27 күн бұрын
huyo sio muimba kaswda hizo ni nyimbo zake za kwenye sherehe, zisikilize vizuri ila kinachochanganya watu wanaamini kila alievaa kanzu na kofia na ikiwa sherehe ya kiislam baaas wanaamini kinachoimbwa ni kaswida
@MIZA-h5g
29 күн бұрын
Na bado mtasema sanatu ndo ishasomwa
@SANDEMANGUNYA
23 күн бұрын
mcheni Allah nyie watu wamaulidi
@YussufAliy-t4d
22 күн бұрын
Kama hamjui kuimba tafteni sehem muchimbe mawe muuze au chezeni kikoba Comasava nyie mmezid nyimbo za diamond ND mnaimb nyie mbn ND mnazid kuchafua uislam Qaswida Aqaz sio NYINY hamna vipaji aswa ety komasava jaman
@OstadhAmourQaswida
21 күн бұрын
Broo tumeona comment zako Ahsante sana hahahaaha
@azyunramsein1165
6 күн бұрын
Unavo jichekesha hapo ni kama vile uchungu na dini yko huna.... umebakiz hio kanzu2 na kofia ulicho nacho ndani allah ndo mjuz zaid... lkn tambua kitend chako cha kuimba huo ushenzi kimeumiza wengi sn... ungekuw kwa waarabu wangeshakusaka wakakufany vbya
@YussufAliy-t4d
22 күн бұрын
Hamjui aswaaaaaa kaeni pembeni sio Qaswida izoo komasava muambiwe nn nyie in short pumzikeni hamna kipaji
Пікірлер: 81