Wawooo nashukuru Sana baba karobo amepona watu mumefurahi kwakupona baba karobo munipe like
@janetkyumbe7154
15 күн бұрын
Aki final ameona sasa Wacha tuone Bora isiwe baba karobo anaota😂😂😂😂
@juliensango8504
15 күн бұрын
Aki tume furahi sana kabisa sana 😊
@emilymarcel8172
15 күн бұрын
Huyu atakua anaota@@janetkyumbe7154
@rukcabby2572
15 күн бұрын
@@janetkyumbe7154umeona pia ww😂😂
@user-kb1rq8dx1h
15 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅@@janetkyumbe7154
@LuciaBukula
15 күн бұрын
Hatimae baba kalobo kaona like kwake kwa waliofurahi baba kalobo kuona
@bintijumachongoa892
15 күн бұрын
kwel
@joelnyaga1985
15 күн бұрын
halafu ukute ilikuwa doto,😂
@maylucson001
15 күн бұрын
Na nindoto kweli bc😂
@LuciaBukula
14 күн бұрын
@@maylucson001 ndoto Tena jaman
@LuciaBukula
14 күн бұрын
@@joelnyaga1985 aaa nayo yawezekana ety
@ElogeKambale-bw2zd
15 күн бұрын
Ata kama wa 42 Léo nime Chelewa naombeni ata liké 10 nawapenda❤❤😂🎉 nyinyi nyote ongera baba karobo🎉 kwa movie zenu ❤🎉❤
@delvinejeruto
13 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@Kamoste
15 күн бұрын
Number one kilifi kenya mpoooo nimefika kikambala ❤❤kazi safiiii mamakalobo anaupiga mwingi😂😂
@user-xl3gx3hw2p
15 күн бұрын
Like zangu ziko wapi💕🥰🥰🥰
@gastonerobert2026
15 күн бұрын
Mtwapa nko apa
@user-ro1fg5ur9l
15 күн бұрын
wapenzi watazamaji Leo nimewahi mapema tu wapi like za baba Joan 🎉🎉
@jaycburundi257
15 күн бұрын
Wa kumi na Nani kutoka Burundi Munigongeye like tumuoneshe upendo baba karobo ❤
@dorinenahimana9958
15 күн бұрын
😅😅
@jaycburundi257
15 күн бұрын
Unacheka nini dodo
@modex_0376
15 күн бұрын
Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii kma nishabiki mkubwa
@fredrickndangili8274
15 күн бұрын
Mie natokea Kenya naona uswahilini man warembo
@aliteezAhmed
15 күн бұрын
Kenya
@faithkemuma9113
15 күн бұрын
Apo n poa
@user-jv8cn9iz8v
15 күн бұрын
Tuko wengi hapa.
@josphatwanyeki8413
15 күн бұрын
Tupo hapa
@faithkalulu
15 күн бұрын
mama karobo akona roho chafu jamani😢😢,nipeni likes jameni
@graffinamisi
10 күн бұрын
Like zikusaidie na nini jamani
@faithkalulu
10 күн бұрын
@@graffinamisi none of your business braza
@faithkalulu
10 күн бұрын
@@graffinamisi na sipendi uchokozi
@graffinamisi
10 күн бұрын
@@faithkalulu failure badala ya kutafuta kazi ya kufanya ww huko uku hunaomba like
@faithkalulu
10 күн бұрын
@@graffinamisi failure ni ww,nakuhurumia sana ady,nani amekwambia niko na aja na kazi..na kitu ingine na ya mwisho achana na comment yangu la sivyo utajua mm ni mkamba na siliagi macho mshezi ww ata auna maisha
@gaudenciasyl9809
15 күн бұрын
Dakika ya tatu naomben like jaman❤❤❤🎉
@user-wy8ru2pi4s
15 күн бұрын
Weee mama kalobo roho mbaya natazama kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@KeristiStel
15 күн бұрын
Hi
@bridgetakuku6955
15 күн бұрын
Ako na roho mbaya sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@JohnsonMwita-uz5dn
15 күн бұрын
Eeeeh mama kalobo ako na roho mbaya sana😂😂😂😂😂
@YusraSiyaleo-yk2fz
15 күн бұрын
Hivi huko kenya kaz za ndan wanaripa.shi ngap@@bridgetakuku6955
@user-hb9eq2fo6z
15 күн бұрын
Woiyeee 😂 wapili kutoka Kenya naomba likes jameni,, ata kamoja😂
@user-xy4kt8wk6l
15 күн бұрын
❤❤❤
@emm-blacklight5243
15 күн бұрын
Baba yangu kipofu ❤❤❤so best i like from congo drc
@dianaqueen7967
15 күн бұрын
Wa kwanza leo naomba likes hata kumi jamani
@kingchiefking9265
15 күн бұрын
Eebaneee wakwanza kutolz🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 egzo nzuli bro
@vallesndayishimiye2396
15 күн бұрын
Limama Karobo Fake nalichukia 😢😢😢 love from Burundi
@bridgetakuku6955
15 күн бұрын
Nalichukia sana kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-dc5xm3bd9x
15 күн бұрын
Eheeeee Maman Karobo Wakwel Asante Mungu Aposasa Nimwoto ❤❤❤🇧🇮 Zugati Umefikilia Mapenzi Ya Baba Karobo ❤❤❤
@Asma-hn1jk
15 күн бұрын
mashaAllah nimefurh kumuon baba karobo akion tena furah ya karobo😊😊😊😊😊
@user-vo7yb6wp1m
15 күн бұрын
Woow Baba karobo amepona kweli mungu ni wa ajabu aaishe leteni engine haraka iwezekanavyo🎉🎉❤
@user-eo8wi2is7t
15 күн бұрын
Burundi mimi wakwanza🇧🇮 munipe like zangu
@user-ie8om7kh5w
15 күн бұрын
Wow congratulations team kibanio nina imani watafanikiwa wow so nice wapi likes za baba karobo kaona congrats❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@MashMashile
15 күн бұрын
Baba Joan film y mafundisho y maisha nakukubali sana
@fayojarso3777
15 күн бұрын
Baba karobo leo nimefurahi sana,baba karobo amepoona kabisa,
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin
15 күн бұрын
Ni ndoto hiyo 😂😂
@niyogushimadorine6086
15 күн бұрын
Leo niko wakalibu kwa kutok Burundi 🇧🇮 warundi wenzangu mukikuja nyuma tujuwane😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤
@DesireNiyitunga
15 күн бұрын
Nataman nikufaham
@user-cj9pe5ts6c
15 күн бұрын
Hata mm Leo nimejaribu like kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪Baba karobo kasha pona ❤
@SARIVE.LAME_123
15 күн бұрын
Guys Nani amamkubali baba joan but uwaga analeta video nyuma sana tunakuwaga tumechoka kusubiri Ila good job ❤❤
@RoselineMulwa-qg4bn
15 күн бұрын
Leo wamewai jamani
@RehemaKitsao
15 күн бұрын
Me nawapendea ivi Yan hamcheleweshangi move yenu good work ❤❤
@kondebouy1308
15 күн бұрын
Wow nimewahi mapema ila saudat ameteka roho yangu from kenya nipe pia likes🤗
@user-oj2bd9td6r
15 күн бұрын
Waouh🥰🥰🥰🥰💋💋💋💋🤗🤗hapo sasa baguer oyaa itok mupusi nafurahi sana tena sana❤❤❤❤
@Tikijmlengo-rj8ed
15 күн бұрын
imewai hii hadi laha🎉🎉🎉🎉
@joygitahi3809
15 күн бұрын
Watching from Berlin Germany, nawapenda sana.
@dondeprincer9527
15 күн бұрын
aaah kazi safi ila wakenya mnapenda likes😂😂am kenyan tho
@user-lz6jb3nr9d
15 күн бұрын
😅😅😅😅😅
@user-fk4pd6bp7j
15 күн бұрын
A la 1ere minute.kutoka 🇧🇮 like kwangu
@AmonIhangane
15 күн бұрын
Baba Joan nakupenda kabisa Mutu mtulivu Kutoka kwenye filamu MWALIMU MUGENI kufika huku unanifunza sana ubalikiwe
@AbdulMussakabagambe-qd6lv
15 күн бұрын
Duh mama karobo wa michongo atakoma kwa sasa baba karobo anaona amesaidiwa na mzimu wa mke wake ambaye ni mama karobo origino💪💪💪💪👏👏👏👍👍👍👍
@SarahBimuloko
15 күн бұрын
Mama kalobo original uyoooooo Safi sana mama karobe nipende mimi sasa nikuchungiye mwanaoo vizuri from 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@MosesMakokha-tg4ki
15 күн бұрын
Wow baba karoboo you are number one in Tanzania I respect you na MUNGU akupe hekima na maharifa ili tuweze kuburudika hivi Kila time 💪💪🌹
@HadijaHuseni
15 күн бұрын
Mhh ayo macho yama karobo Kama feniiiii❣️❤
@user-ii3rb6uj7g
2 күн бұрын
😂😂😂𝐲𝐚𝐳𝐮𝐧𝐠𝐮𝐤𝐚 𝐛𝐥𝐚 𝐛𝐫𝐞𝐚𝐤
@babutalemituno
15 күн бұрын
Baba joan toa hata episode mbili mbili kwa sku maan unatukatishia utamu brother,,,,,,
@user-ff9gr2ns1c
15 күн бұрын
Mashallah mashallah ❤️ ♥️ 🇰🇪 🇰🇪
@vavavava-ed7lg
15 күн бұрын
Ooooh God thank you kwa baba karobo kuona .tapfazalie usioneshe uyo mama wa roho cafu Kama umeona 🙄paka uyajuwe yote 🗣️Asante enjoy mama karabo🙏 nawapenda sana .from Rwanda 🙏
@user-hm6hy6rr1h
15 күн бұрын
Baba kalobo uyo ajabadilika ni nyok uyo kua makin san
@BrianMulari
15 күн бұрын
Safi sana movie inazidi kunoga episode 15 ije haraka bwana
@user-ex6tg6di7r
15 күн бұрын
Baba Joan Mimi shabiki wako sugu , hongera sana Kwa kazi nzuri👏👏👏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@GaidiBeuchi
15 күн бұрын
Asante sana baba joan kwa job yko nzuri naomba mola akuzidishie
@ksaskaka
15 күн бұрын
Niko nafuraha sna leo mamakarobo namponya baba karobo ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
@FrancoIndeche
15 күн бұрын
Sad swahili movie .it make sense like pete ya ajabu .watching live from Nairobi kenya❤❤❤
@glorymanga3650
15 күн бұрын
Ngojaa niangalie kwanza movie
@niyogushimadorine6086
15 күн бұрын
Nafurahi sana kwasababu baba kalobo amewona🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂
@NzarokalamaNzarokalama
15 күн бұрын
Mama karobo bandia Hana mpango kabisa 😢😢 sheeeeeenzi sana
@marietacristovao1387
15 күн бұрын
Kutoka mozambique nawafatilia vizuri,hongera bakarobo na team yako kwa jumla
@user-zm8wo1ue7e
15 күн бұрын
Zujati umebarikiwa maashaallah❤❤❤❤
@HassanBambaza
15 күн бұрын
Namm nimewahi Leo jmn naomba like
@morjanoman5181
15 күн бұрын
Wawoooo Baba karobo umepona naomba muendelezo Niko. Oman. Nafurahia ninavyo angaria filam na tz
@Pauline-254
15 күн бұрын
Weee uku hope cjachelewa sana pia mm naomba likes
@esterester3628
15 күн бұрын
Whaaat!! Yani ndio tayari Baba Kalobo kapona macho😂😂😂😂nimefurahi sana😂😂❤
@janemoraa8470
15 күн бұрын
Wow amazing baba karobo umeona mmmmh mungu ni mwema aki mama karobo amekusaidia sana ❤❤❤❤
@constantinndayishimiyenshu4948
15 күн бұрын
Eeeeeeeeeeeeeeeee mnipe like kabisa kutoka Rwanda
@BrandinaAntony
15 күн бұрын
Kazi nzuri sana
@user-fh5ko7he2z
15 күн бұрын
Hatimae baba karobo anaona 😂😂😂😂 hongereni sana mama karobo sasa naona kitamramba na hizo plan zake za kumtesa baba karobo 😮😮😮😢
@sweetbabymwangi8373
15 күн бұрын
Afadhali sasa Baba Karobo anaona. Mama Karobo chuma chako ki motoni sasa. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@DeguerreKanyoni
12 күн бұрын
Hongela sana baba yake Karobo. Nafurahia kuona macho yako yanafanya kazi kama zamani. Nina shauku ya kuyiona next period
@cishamakejoseph
15 күн бұрын
Amazing film rwanda we together
@MashMashile
15 күн бұрын
Kumewaka moto plzz harakisha n part 15 thank you so much baba❤
@aminakenyaa9337
15 күн бұрын
Sasa imefika mahali pazuri sana ..tunasubiri 15 🔥🔥🔥
@user-help046
15 күн бұрын
😂😂😂😂😂nikali sana mama kalobo ww nakuchemusiea chai yako motoni likes please hapo❤❤
@amarsaod6595
15 күн бұрын
Baaas imeanza kua fire❤❤❤❤❤❤❤mama karobo's ghost is back mashalla lets keep going❤❤❤🎉🎉🎉
@zainaburashidi8127
15 күн бұрын
Aya jamani nimewahi😅
@danieldemuriah6881
15 күн бұрын
Demuriah kutoka Kenya Nairobi jamani mvua leo imenifungia kazini lakini tuashukuru... Nimewai❤❤❤
@zephbaraka
15 күн бұрын
Really amazing....I like it
@belysenibitanga2786
15 күн бұрын
Woow naomb utupatie next episode,naomb uy mama karob asijue kam umepona
@MwanalimaAbdallahkea
15 күн бұрын
Hivi nyie wendzangu hizi like mnazipeleka wap ebu mnipe na mm nione zitanifkisha wap 😂😂😂
@user-ii3rb6uj7g
2 күн бұрын
𝐊𝐝𝐨𝐠𝐨 𝐧𝐢𝐨𝐦𝐛𝐞 𝐥𝐢𝐤𝐞 𝐧𝐚𝐦𝐦😂😂😂
@MwanalimaAbdallahkea
2 күн бұрын
@@user-ii3rb6uj7g 🤣🤣🤣🤣
@EmilykuvunaKonzi
15 күн бұрын
Wow spirit ya mama karobo haikua na amani😢🎉🎉🎉❤
@user-lv6xv6nf5j
14 күн бұрын
Waah Babajoan umenikosha na team yako kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉
@NelcyAfrica
15 күн бұрын
Mama karobo ni mbaya kiasi hicho aaaaah
@user-vs7hs5fy7p
15 күн бұрын
Asante Mungu Baba Kalobo kapona. Mama kalobo chako kimotoni. Zujat karibu nyumbani❤ pataamu hapo😂😂😂
@happygalahenga782
15 күн бұрын
Wa ishirini na tatu 😀
@HassanSeif-mh6oh
15 күн бұрын
Aka katoto nako kameamua apite humo humo 😂😂😂😂 kama noma na iwe noma 😂
@user-fk1od3fm8w
15 күн бұрын
Good mama kalobo akoze neza
@RashidMgeni
15 күн бұрын
Ooo, jmn Tasha aongea vizur huyu yahee,
@hghh6056
15 күн бұрын
Jamani hizi vitu twaeza amini kweli viko wakati mkeo kafa na ww uwe mngonjwa napiga mkeo aje kukutokezea up one kweli viko 🤔🤔mm nabaki kushangaa ila hii movie inanitia manjodzi saana aki wanawake kma mama karobo wa Sasa sio wanake wazuri🎉🎉❤❤ kazi nzuuri baba jone
@macrinafuraha-zg3mi
15 күн бұрын
Woooow am so happy baba karobo kaona tena🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣🗣👏👏👏👏👏👏👏👏👏
@katanakea4325
13 күн бұрын
Natazama Toka Kenya napenda sana hiyo karobo anavopenda babake🎉🎉
@philipolugoma3796
15 күн бұрын
Baba joan unapendwa kweli na zujat balaa ila Zujat ni mzuri jamani sio siri
@delvinejeruto
13 күн бұрын
Ni ukweli zujat ana.mpenda baba karobo awachane na huyo shetan
@user-ec6ow2cx7c
15 күн бұрын
Karobo jamani una akili kweli ety mwalimu alisema ukimfikisha njiani ukamuache huko nimekubali kiukweli 🎉🎉❤❤❤
@HajiMwanz-to3vg
15 күн бұрын
Mama karobo punguza roho mbaya kwa baba karobo😅
@user-ps7ur8kw8h
15 күн бұрын
Asante mama karobo qwa kujitokeza na kumponya mmeo ss bac nifanyie jambo uyo katili mpe uyo uwo upofu🙄😊
@nshimiyimanaalex6467
15 күн бұрын
🇷🇼🇷🇼🇷🇼 kagali turabakunda cyane ❤❤❤❤
@BinwaTiba
15 күн бұрын
Tunafurahi sana baba kalobo kupona mungu akubariki namwanaho kalobo
@amisabakari1263
15 күн бұрын
Leo nimekua wakwanza jamani maajabu
@charityngumbao
15 күн бұрын
Raha iliyoje baba kalobo kaona,wale walio kuwa wakitaman aone ili mwanawe apumuzimke mateso wako wapi❤
@purityrotich1703
15 күн бұрын
Huyu mama kalobo ni shetani kwa kweli 😂😂😂
@user-rk1uq3ht4z
15 күн бұрын
Waooo jmn nice plz leteni haraka uwii imenogaje
@tabihaauko9146
15 күн бұрын
Nice movie wacheza poa baba karobo kwa upofu wako
@georginamsenga6693
14 күн бұрын
Ongereni kwa kazi nzuri na mafundisho mazuri sana
@JosephKatana-o5e
15 күн бұрын
Hongera kwako kwa kaz nzur
@Biroroshe
14 күн бұрын
Aaaa oky it, s number one film I m so happy for father's karobo thankx uu
@evelynadagala6716
15 күн бұрын
Nampenda sana karobo kutoka Kenya 😊
@MERCYmercy-rl3lu
15 күн бұрын
Wow ata kama nimechelewa Leo imekua smart sana congratulations baba karobo Kuona tena❤❤❤❤ watching from Kenyan 🇰🇪
@user-pm8vd9ni9y
15 күн бұрын
Yan mam karobo wew mbingun utapasikia tu mbwa wewe😢😢😢😢
Пікірлер: 849