KAKA BABA JOAN AKA BABA KAROBO BIG UP SANA BRO ACHA MUNGU AKUTANGULIE KWA KAZI ZAKO❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤
@Mhode_Official
Ай бұрын
Haya wale waliofurahia mama karobo kuwekewa upupu waweke likes zao hapa.
@eunicejohn3994
Ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-hm6hy6rr1h
Ай бұрын
Hhhhhhhh nachek kama mazuri kajikun kam chizi hhhhh
@OswaldNduwimana-e5y
Ай бұрын
Yule mjinga pumbavu zake.Namchukia
@saidaaahgg8028
Ай бұрын
😂😂😂
@vallesndayishimiye2396
Ай бұрын
Ninachokupendea wewe huchelewagi kutoa series inayofata❤❤❤ Turagukunda cne watu wa Burundi
@RafiqueSaide
Ай бұрын
Mimi napenda sana kazi ya baba Joan,, namombeni like zangu jamani from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@modex_0376
Ай бұрын
Wa kwanza Leo Kutoka kenya naomba like zenu Tafadhalii
@user-qg9yq9yl7k
Ай бұрын
Mama karobo kilicho na mwanzo hakikosi mwinzo wake na utakuja kujua ujui roho mbaya wewe:;
@user-lz8kb9ds8k
Ай бұрын
Baba joani usijali utapata mke mwema mpaka utafurahi zujat yupo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@NduwayezuAnitha
Ай бұрын
Kumbe unapaga ile kitu muhimu n chuki yote hiyo hhh shikamo kituu
@user-lz8kb9ds8k
Ай бұрын
@@NduwayezuAnitha 😂😂😂😂😂
@DoreenWatera
Ай бұрын
Watching from uganda like zangu jamani
@user-fr4wf5sl2r
Ай бұрын
Mimi niyule waburundi hata leo sijachelewa kwaiyo naomba like hata 10❤ 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@VailethYusi
Ай бұрын
Wa Kwanza mim naomba like zangu
@juliadade4621
Ай бұрын
Safi sana baba karobo na sisi Mozambique tunapenda kazi yako
@DIEUDONNENYEMBO-b3j
Ай бұрын
Baba Dieudonné toka DRC,Mwenyezi Mungu awabariki kwa kazi kubwa !Mimi na muke wangu Anny tunawafuata tangu mwanzo hadi épisode hii ya 17,asante saanaaa.
@AnnaRichard-j5r
10 сағат бұрын
kazi zuli,hongeleni sana
@nshimiyimanaalex6467
Ай бұрын
Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼 tunawapenda sana babakarobo ❤❤❤❤hongera sanaaa
@OnyanchaElijah-g8b
Ай бұрын
Baba karobo kazi nzri tuakubari Kenya nice job brother 🙏💯💯💯
@ZEPHANIAH.1588
Ай бұрын
Wacha Leo niwe wakwanza pia toka 254🇰🇪🇰🇪 wapi likes jameni...
Пікірлер: 872