Jamaniii karobo mhindi halafu mtanzania nmeipenda hiii karobo binti yetu
@morjanoman5181
19 күн бұрын
Mama. Karobo sema ulitamani. Machungwa Ayo 😂😂😂😂nimefurai Sana leo
@kingflavourKenya-s8k
19 күн бұрын
Toka Kenya 🇰🇪🇰🇪 nakukubali Sana Baba karobo
@user-hv3ud8pq7w
18 күн бұрын
Yani wa Kenya hamlali comments zote wakenya tu😂😂
@moasta8055
19 күн бұрын
from kenya🇰🇪🇰🇪 napenda filamu yako sana ❤️❤️❤️ salam kwa karobo na zujati❤️❤️
@JumaShimirimana
19 күн бұрын
kutoka burundi na fuatilia sana baba karobo mungu amsaidie apone upofu wake .nakarobo mwanaye mungu awe naye katika hali ngumu anayo pitia
@kenedymkwawa6978
19 күн бұрын
Matumizi mabaya ya neno la Mungu hayoo
@SalamaTaura
19 күн бұрын
😅
@divineserevat7216
19 күн бұрын
@@kenedymkwawa6978😂😂
@YugeniRichard-t3s
19 күн бұрын
😮😮😮
@YugeniRichard-t3s
19 күн бұрын
@@kenedymkwawa6978😊😊😊
@user-ft2vq5on6l
19 күн бұрын
Nyote wa kwanza CongoDrc zambia kenya na watanzania
@user-hb9eq2fo6z
19 күн бұрын
Leo sikuenjoy ,, jitahiti kutoa zaidi ya hii
@MaimunaLugua-tf7vh
19 күн бұрын
Congratulations baba karobo kazi zenyu nzuri kila participant anacheza part yake vizuri na kazi yenu imenipa mafunzo snaa katika maisha yngu uvumilivu hasa baba karobo mateso unayopitia unavumilia sana na kumpa moyo karobo kuwa yataisha zingatia masomo Ewe Mwenyezi MUNGU bariki baba karobo mlinde usiku mchana pamoja na waigizaji wake nawapenda nyote na MUNGU awepe nguvu za kutoa movie zenyu ili kutufunza,kutuburudisha na n.k❤❤❤❤❤❤from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@faa92-x3q
19 күн бұрын
Nmecheka et shetan nae aliumba viumbe vyake😂😂😂😂😂
@lydiaauma877
19 күн бұрын
Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪wapi like me my ❤❤❤❤❤😂❤❤
@Leyla-n6x
19 күн бұрын
❤❤❤🇰🇪🇰🇪
@lucinahmoranga2358
19 күн бұрын
❤❤❤
@elizabethcatherine-jm8fr
19 күн бұрын
❤❤❤❤❤🎉
@lydiaauma877
19 күн бұрын
@@elizabethcatherine-jm8fr 😘😘😘☺️
@lydiaauma877
19 күн бұрын
@@elizabethcatherine-jm8fr 😋😋😜😜
@CharityChao
19 күн бұрын
Watching from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@user-wz8vt6xl2l
19 күн бұрын
From Burundi 🇧🇮 nimecerewa wandu zangu Kama nawewe imekufunza Kama Mimi like zangu
@Deborahdepsy-qh4rj
19 күн бұрын
Nimewai jamani nimempenda babake mama kalobo anamlea mtoto Kwa nidhami ila mama kalobo fasheni kaiba moyo wake awezi badilika
@Valaryshe-gm6tk
19 күн бұрын
nimengoja sana wa kwanza toka Kenya pita na kalike tu
@BarakaEdna
19 күн бұрын
Hako hapo
@SaumuShaibu
19 күн бұрын
baba karobo uwe mkali sana kwa mama karobowa kambo asikutawale kabisa ni picha nzuri sana bi bosi wa Tanga muheza
@MemoryKamutandi
19 күн бұрын
Leo wakwaza na mimi jaman lak kwa karobo❤❤❤🎉🎉🎉
@user-cf1re8xq6y
19 күн бұрын
Wateja walikua wamepanga foreni kuisubili kwangu studio maana ilipoishia 29 sio poa ile bakora kwa baba mkwe wa baba karobo😂😂😂
@Saumumwakamwanza
Күн бұрын
Mashaallah alijaaliwa
@OmanOman-ru4eu
19 күн бұрын
Wapi team strong like zetu hapa from oman
@SyombuaMuvengei
19 күн бұрын
Jamani nafatilia sana hii movie nipeni like wenzangu kutoka🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@EzekielJoseph-n7p
19 күн бұрын
Ila huyu mama karobo feki km kwel kwenye maisha ya uhalisia umeolewa na unaish km unavyo igiza hupaswi kuishi Dunian unatakiwa uishi kuzim
@Bahati-b1
19 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@user-ju8gz4zm8y
19 күн бұрын
@Bah😂😂😂😂😂ati-b1
@BenditaAguia-md4qp
19 күн бұрын
Leo ni wa mwisho kutoka 🇲🇿🇲🇿🎉naomba like 2 😢😢😢
@VeronicahOtwori
14 күн бұрын
😅😅😅😅😅😅pole tuko pamoja
@Gastonndimbo
6 күн бұрын
🎉
@mohamedlopa8410
19 күн бұрын
Ambao tunamkubali zuliat mshepu mtulinga,,,,,please gonga,,like,tujuane ❤😂😂😂😂😂😂
Leo staki kudanganya number 80 waiting wapi like ya mkenya
@basimisemusafiri4856
19 күн бұрын
Wow 🎉🎉🎉tunawapeda sana tulikuwa tunawasubiria sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@salongoantony8506
19 күн бұрын
Nabapenda sana group yenu, tena Asante Sana kutufundisha
@NduwayezuFiacre
19 күн бұрын
Jamani nipeni like zangu kbx .napatikana huku Bujumbura
@JosephineMomanyi-jp8tv
19 күн бұрын
Mkwe baba kalobo kazi nzuri
@AndrewSiwale-st5ev
19 күн бұрын
Miwakwanza toka zambia kucharo like zangu hapa🎉😂😂😂😂
@Jovetina-jp7zc
19 күн бұрын
Na Mimi nimewahi leo naomba like tano tu
@JulesDior-zl6rq
16 күн бұрын
Izo like niza nini 😂
@RashidMgeni
19 күн бұрын
Sijachelewa jamn ata saa alija isha kazi nzuri
@dicksonmsanii
19 күн бұрын
Kutoka Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 wapi likes❤❤
@KatisiLydia
19 күн бұрын
❤❤
@bridgetakuku6955
19 күн бұрын
❤️❤️❤️🇰🇪
@Naliakatv-t9s
19 күн бұрын
❤❤nipitie bro 🇰🇪
@shanibaniyas6308
19 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤
@MilkaWambui-w6y
19 күн бұрын
❤❤
@FatumambeyuBongo
19 күн бұрын
From Kenya 🇰🇪🇰🇪 kama unapata funzo kw hii filam wap likes 🎉❤
@kibethillary53
19 күн бұрын
Long awaited from Kenya.. nice Jacob
@user-ru9cv5yl8v
19 күн бұрын
Mimi naibenda sana this movie ❤❤❤❤❤❤😢😢😢pakarobo or baba John waja kujelewesha movie 31
@user-zx3ji7ux4k
19 күн бұрын
Kumbe ulimjui vizurii mama karoboee ni bonge la mnafiki hatariii
@user-xh3cc7yp6o
19 күн бұрын
Na mimi Léo wa muba kwanza nipeni like zenu
@user-ey2qm7cf1m
19 күн бұрын
Nawakubali sana Tena sana jaman mungu aendelee kuwapa nguvu zaid maan mnanifrahisha hatar pia nawapend sana
@Zeena-wc2rd
19 күн бұрын
🎉🎉😂Leo nimewayi niko wakwanza nipeni mauwa yang🎉🎉
@njutujedeofficial2998
19 күн бұрын
Wapenzi wa Baba Karobo tufahamiane🇧🇮
@user-sx6zw1pr1w
19 күн бұрын
Nimewahi kutoka kenya 🇰🇪team strong 💪 team baba karobo 😍😍kma umefurahi maamuzi ya baba wa mama karobo kumpiga huyo wa viguu kma udi gonga likes tukisonga 😂😂🤣🤣🤣🤣
@SalamaTaura
19 күн бұрын
😅
@DarleneNshimirimana-jn2zz
19 күн бұрын
Unaelekea wapi???
@JacksonJosephogonyi
19 күн бұрын
Sana
@user-wm9xn9iy4s
19 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-sx6zw1pr1w
19 күн бұрын
@@user-wm9xn9iy4s 🤣🤣🤣
@pamelakendi8189
19 күн бұрын
So interesting kafurahi sana mama karobo akichapwa Na babake Na nikauzunika sana Kwa kuona Baba karobo Na mwanaye karundishwa Kwa tabu tena
@LightnessUrio-fo7mq
19 күн бұрын
Leo nimeanguka nayo 😂 like ata mbili bas mtz wenu kutoka kenya trukana county
@Hadijawashuma
19 күн бұрын
Jamani leo na Mimi nimewah wanao mkubali baba kalobo weka like please
@aminamwivita7690
19 күн бұрын
Congratulations keep it up good job 🎉
@pauline1015
19 күн бұрын
Nimefika atleast mapema..KAZI nzuri Baba karobo
@TobiasWekesa-v9j
19 күн бұрын
♥️👍
@shanibaniyas6308
19 күн бұрын
❤❤
@SalamaTaura
19 күн бұрын
😅
@YusterPaul-lu9ng
19 күн бұрын
Mama karobo ana shida kweli yaan naombeni like zangu jmn
@abdallahsaleh5194
19 күн бұрын
Kwa hili mama karobo haina haja ya kumlaumu kibanio ndio hana lolote hata machozi aliyokua analia ni ishara ya unafiki shida za kaka ake anazijua kwa nini amuache pale
@DeeDan-sj1mr
19 күн бұрын
Unaenda kupikia ubwabwa
@GraceOmar-nj5uv
19 күн бұрын
mama karobo utaisoma namba
@MariamuMgeyekwa
19 күн бұрын
Wakwanza mm leo kutoka tanzania like zangu jaman🎉🎉❤❤❤
@Leyla-n6x
19 күн бұрын
❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿✔️
@KeziahKarongo
18 күн бұрын
Karobo gener kwakweli!!
@KeziahKarongo
18 күн бұрын
Ila Fasion na Loy mmekera sijapenda
@KeziahKarongo
18 күн бұрын
Sijavifurahia vingine
@KeziahKarongo
18 күн бұрын
Fashion umeonyesha ukatiri na vimewafanana
@AbongyoSophie
19 күн бұрын
Wa kwanza kutoka drc 🇨🇩 nipeni like zangu
@user-wv3du7ld2p
19 күн бұрын
Nice ❤❤nice KAZI zuri sana
@NajmaSaid-sb2lh
19 күн бұрын
Nawapenda nyote ila baba karobo jamani umeteseka sana
@user-uo7rj9ku5j
19 күн бұрын
Iyi mouvie ya baba yang kipofu kuanzia Léo ndaacha kuitizama maana mbere kama nyuma nyuma km mbere kuanzia mouvie inaanza mbaka Apa turipo fika hatuoni mabadiriko yeyote
@NeyPeter-v2m
19 күн бұрын
Km umechoka unaskip tu utuache tunaoipenda ww kaangalie wengine uko
@user-sx6zw1pr1w
19 күн бұрын
Kwan umetumwa uangalie 😏😏😏
@HidayaAbdallah-l2l
19 күн бұрын
Ni kwel Kila siku mim nasema labda baba karobo ataona lakin wapi ila ngoja tuone uko mbele
@BabuKashi-k9q
13 күн бұрын
Kupona haponi sijui kwann
@user-sx6zw1pr1w
13 күн бұрын
@@BabuKashi-k9q 🤣🤣🤣🤣🤣🤣tuwe na subra
@SarahBimuloko
19 күн бұрын
Wa pili toka 🇨🇩🇨🇩 jameni karobo kwenu amuna redio umejuwaje ku imba ki hindi
@AishaJafari-sh4pe
19 күн бұрын
Mm wa 551 naombeni like ikiwa kwenye dk ya 3 imewekwa kwa watch 😂😂😂😂😂😂😂😂
@SalamaTaura
19 күн бұрын
😅
@AishaJafari-sh4pe
19 күн бұрын
@@SalamaTaura watu wako motooo inasekunde tu washaidaka
@user-oe7xe1dv3w
19 күн бұрын
NKO live in +254 🇰🇪🇰🇪hii movie naipenda kama mpenzi wangu 😅like za watanzania na wakenya wenzangu na wapenda snaaa❤❤❤❤
@gracejohn-u8y
18 күн бұрын
Mmmmh unapenda hii move kama unavompenda mapenz wako
@user-he3nz6gt3d
19 күн бұрын
Viwango byenu viko juu sana yani hakuna kama nyinyi🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@franktodory
19 күн бұрын
jamani mimi wa kwanza kabisa hapa😂😂😂😂 leteni sana tukafungulie biashala
@celinandyamkama1821
19 күн бұрын
Mimi nampenda karobo jamani ni kazuri haka katoto ❤
@MasokaSakina
19 күн бұрын
Hende leeni kutowa movies zenu mapema
@samirahchalamila26
19 күн бұрын
Hivi like zinafanyaje maana naona tu watu naomb like like bhx nam naombeni like huenda kuna Jambo plzzz
@Samhemashemsanga
19 күн бұрын
Mm pia najiuliza sana nakama nipesa Kwa nn wasitafute zakwa mpaka wasubili like???kaz nzur baba Joan tuko na ww Sako kwabako
@MaimunaLugua-tf7vh
19 күн бұрын
They should say something to baba karobo hao n like wananomba as hao ndo actors /hao ndo wanacheza hio movie mwambie kitu baba karobo na watu wake si kuomba like tu
@RosetteKahuga
19 күн бұрын
Hamna kitu ni ushamba tu, nawashangaa hâta namimi
@SirKinyogoli
19 күн бұрын
Wakwanza kabisa jaman nipeni hizo like japo 10
@morjanoman5181
19 күн бұрын
Jamani Leo wakwaza nipe like zangu japo 20🎉🎉🎉🎉🎉 nimefurai sana
@pablonsanzumuhire2024
19 күн бұрын
Big up Watu wangu nawependa sana.am great from Mozambique 🇲🇿. Nitapenda kuwona Baba Kalobo aki pola.!
@HawaMdoya
19 күн бұрын
Wapil hapa love you lafikiake zujati
@SERGEDEPAUL
19 күн бұрын
Sija chelewa bado naombeni like zenu jmn.
@mohamediomari9240
19 күн бұрын
Mm ndio mtu wa Kwanza nipeni like zangu
@MariamBakary
19 күн бұрын
Jamani wakwanza tuliokuwa tunasubiri kwa hamu ❤❤
@KarimSadiki-g5u
19 күн бұрын
mnaomkubali mama karobo gonga like
@PaulNyagui-t3i
19 күн бұрын
Namkubali sana zuu na mshepu wake wapi like ❤❤😊
@user-jf9pt8bu5j
19 күн бұрын
Pia Mimi 😂
@RafiqueSaide
19 күн бұрын
Leo nimebatika kwa wa kwanza namombeni like zangu jamani from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏
@winniechepchumba
19 күн бұрын
Leo nimejaribu 😂naombeni likes zenu kidogo tu
@eleuthereflash1174
19 күн бұрын
Wa kwanza DRC, kuitazama
@halimakassim8669
19 күн бұрын
Watching from Saudi Arabia
@zainakidile3826
19 күн бұрын
Leo nimechelewa jaman nipeni like zangu karobo leo kaimba kihindi 😂
@moureennataly
19 күн бұрын
Jameni karobo naye kapata mchumba wa mchongo duh🤭😆😆
@MoneyKey247-fk4oy
19 күн бұрын
Hiii ni ya moto sana na mimi ndo wakwanzaaa😅😅😅😅😅
@modex_0376
19 күн бұрын
Nipeni like zenu Tafadhalii 20second Leo nimewahii
@Officialtz01
19 күн бұрын
Hivi Yale mate ya fashion SI yanatoa wadudu mudahuu😂😂😂😂😂😂😂
@adexhadexh
19 күн бұрын
Ma karobo kills it
@nshimiyimanaalex6467
19 күн бұрын
Mama karobo chunga sana baba yako ni mukare sana 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 Kigali ❤❤❤❤❤munaweza nyote
@agnesnnko8872
19 күн бұрын
Daaah da Kibanio kamchukue kaka yakooo mmmh karudi kwa lile shetaniii😢
@MartinLazaro-zj6ke
19 күн бұрын
Nimekuwa wa 50 fifty naombeni like zangu❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@abrahamnsengiyumva3700
19 күн бұрын
iyi movie ni fire ❤❤🎉🎉
@AlfredMusikoyo
19 күн бұрын
Mara hii namshukuru Mungu amewasaidia hamjachelewa kila la heri ni Alfred kûtoka Kenya kakamega county .ila mafanis wenzangu mnionbie najiskia nikiwa mgonjwa
@RizikiZiki
19 күн бұрын
Utapona isha Allah
@mervatv
19 күн бұрын
Mimi niko apa nawa fata sana ku toka Butembo drc Kivu kaskazini 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@mervatv
19 күн бұрын
Muko wapi jameni 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@shanibaniyas6308
19 күн бұрын
❤❤❤
@DamacklineObuya-dm5xg
19 күн бұрын
Mama karobo roho mbaya sana ana roho ya utu 😊😮😮😮
@vavavava-ed7lg
19 күн бұрын
Karobo mwanangu nakupenda sana.ooooh God protect you in everything 🙏
@kalubisubira7182
19 күн бұрын
Wa kwanza jaman nipen like zamgu
@ريتا-ي1ن
19 күн бұрын
Yan namukubali san kibaniyo na lahasa jamen ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@irankundabelyse-ej5vi
19 күн бұрын
Mama karobo fek yamekukuta leo watuw burundi pandish bendel tujuane🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@erastoyohana4318
19 күн бұрын
Mama karobo unnajitaidi Sana kiufupi umevaa uhalisia wa pati yako unayocheza hongera Sana na kingne watu wengi wamejikita kuwasifu wengne na. Wamekusahau wewe wakat ndie kiini cha movie usije kata tamaa siku ingne ukipewa sehemu Kama hii ukajuwa watu wanakuchukiaga maana itafka hatua utembee mtaan watu wajue kbs kua unaroho mbaya wasahau kua hiyo ni kaz kama kazi yangu gengen ko saf sana kazi mzuri lakni piah kwa ujumla mnafanya kazi vizur sana anti yake karobo anajua mpaka anakela 🎉🌹 karobo good job hakana wenge kameizoea camera..ila mwambieni yule dogo modo mwenzangu mwenye mke mwambieni asiwe na kigugumizi mdomon na aizoee camera haraka. 😄😄 Mdada mwenye shepu umenona sana watazamaji tunapata tabu Ila nice job🌹
@AishaJafari-sh4pe
19 күн бұрын
Mhhhhh ila wew😂😂😂
@fredvicker5082
19 күн бұрын
Leo pia nimewahi
@brycutemwende
19 күн бұрын
Hii movie ya ba karobo it's lit.i love it ❤❤❤
@manibahodaniel8405
19 күн бұрын
Kigali Rwanda we❤u
@JajiKazungu
19 күн бұрын
Hongera Baba Karobo kwa kazi safi
@TijaraMangochi
19 күн бұрын
Sielew kabsaa mipango haiendi sawa mpk sasa
@RuthwaChege
19 күн бұрын
Niko hapa toka kenya nipeeni likes zangu wapendwa🎉❤
Пікірлер: 1 М.