Na Leo kabisa siwezi nikacerewa mnipe like mie wa Burundi tujuwane tumuonyeshe upendo Baba kalobo na tuone nguvu za Mungu za Mungu together I love u more❤❤
@paulkyenifurniture2618
3 сағат бұрын
Wa kwanza kucomment kutoka Kenya gonga like
@SamwelMutembei-d6t
2 сағат бұрын
Na mm
@modex_0376
3 сағат бұрын
MWEZI MUNGU NAOMBA WAJALIE WAJA WAKO KAXI NJEMA UWAPATIYE AFYA NJEMA NA WALITANGULIA UWAJALIE NDIO JANNAT FIRDAUSI YOYOTE AKISOMA HII NA KULIKE MUNGU AMJALIE UMRI MREFU IN SHAA ALLAH NA KUCOMEENT AMEEN
@modex_0376
3 сағат бұрын
Ameen
@Said.yusuphYusuph
2 сағат бұрын
Amina
@arafatmohd4609
2 сағат бұрын
Amiyn
@AnnaAmanda-v4q
2 сағат бұрын
Ameeen 🙏❤️
@USA-n6k
2 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉
@SchadrackMapand
3 сағат бұрын
Léo mutuwakwanza depuis Congo R.D.C🇨🇩🇨🇩🇨🇩 je vous aimes beaucoup
@Kmpshowpatient
2 сағат бұрын
Salut man
@febronienyabenda7148
2 сағат бұрын
Tangu hii movie ianze sojawahi Pata hâta lik 10 Léo nawaomba 2:56
@MaimunaLugua-tf7vh
3 сағат бұрын
Congratulations bad j and team more love u ❣️ thanks kwa mafunzo yenu katika movie zenu ❤❤🇰🇪🇰🇪
@Agnes550
3 сағат бұрын
Me wakwanza , nice movie baba Joan Team Kenya tulike hapa❤🎉🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@You-yk9iw
2 сағат бұрын
Subscribe
@hellenkhabwanditsa6983
2 сағат бұрын
❤❤❤❤❤❤❤
@ChekeshaTv
3 сағат бұрын
KARIBU KWENYE CHANNEL YANGU KWA VIDEOS NZURI ZA COMEDY 😂😂😂😂
@ShillaVennesa
2 сағат бұрын
Movie nzuri Ila fupi xna jamani❤❤❤ kutoka Dubai naomba like zangu jamani
@GodblessMpenda
3 сағат бұрын
Yani Toka nianze kufatilia hii muvi sijawahi kupata like jamani 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@GodblessMpenda
3 сағат бұрын
😢😢😢
@AhmedA-zw3jv
Сағат бұрын
❤❤❤❤❤
@FaithNgowa
34 минут бұрын
Hi Bless am Faith from Kenya 🇰🇪
@ZaituniMbonyimana-e2e
3 сағат бұрын
Wakwanza jamanii team strong pls like🎉🎉
@MaryamRobert-vr1wm
2 сағат бұрын
Mida ya kupika team strong 😂
@NaimaAli-q5r
3 сағат бұрын
Nipeni like Leo nimefka mapema lakn mmh kwani wengine hulala hapa wakisubr 😂😂😂😂
@Maggiemaina254
2 сағат бұрын
Eeh kama mm 😂😂
@EginithaMazengo
2 сағат бұрын
Yan sijui watu wanakesha humu😅😅
@AnnaAmanda-v4q
2 сағат бұрын
Sijawahi pata like naomba like hata kumi nienjoy 😢😢😂
@arafatmohd4609
3 сағат бұрын
Baba joan na timu yake hongereni
@OscarAmbayi
2 сағат бұрын
Sasa karobo atolewe kwenye jiwe alafu mchungaji amuombee baba karobo twataka tumuone akiona na mama karobo apewe adhabu kali
@ButoyiRukiya
37 минут бұрын
Hakika nami natamani iwe ivo
@raphaelongera7292
3 сағат бұрын
❤❤❤ first to watch from kenya ... My likes please 🙏
@KubelwaIlungaMardochéeSalama
57 минут бұрын
Anti kibaniyo asinge enda bila juwe angelichukuwa amupelekeye muchungaji kazi jema kwenu 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤️❤️❤️❤️
@haleemaali731
3 сағат бұрын
Mbona mambo ayaendi tunsitaji baba kalobo aone
@FredericNIYOMWUNGERE
Сағат бұрын
Mv nzr sana ila fupisana tunaomba muongeze Dakika mm kutoka Budi 🇧🇮
@nshimiyimanaalex6467
3 сағат бұрын
Mbona mambo anaendeea kuwa mazito kweri Kigali Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼 turabakunda cyaneeeee
@AmisseNsaluba
3 сағат бұрын
Leo mm wa kwanza kutoka 🇲🇿🇲🇿🇲🇿Mozambique kazi njema
@KingNtiharirizwa
Сағат бұрын
Mi naimani itayishia kwenye ep 50 anaebisha aweke mkono juuu😂😂😂😂 tango sijawahii kupa hata link mjo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@NelphineMamyjayden
Сағат бұрын
Baba karobo waaah hiii ya leo inafanya nilie pia,yatapita tuuu mvumilivu hula mbivu,#Kenyan girl,wapi like ata moja 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
@YusraMshomary
Сағат бұрын
Yoyote yule Atakae omba like Leo na kusema amehawi naomba mungu amkutanishe na P DIDDY 😂😂😂😂😂 akapakwe mafuta ya baby oil 😂😂😂
@saadanassor3882
6 минут бұрын
😂😂😂😂jamani
@abrahamchengo5118
2 сағат бұрын
Munachelewesha hizi episodes,leteni 45 Kwa haraka jameni ilimtiririko usipoe
@NgalamnyaziScolasticah
2 сағат бұрын
Mtumishi chiko mungu akujalie hii nafasi inakufaa kwa maisha yako🙏🙏mungu bariki wote wanao jitahidi kuturlomisha ila mamakarobo punguza uchawi buana😂😂
@PeterMwilu-b4z
2 сағат бұрын
Kazi zuri bba Joan lkni ongezeni dakika tafadhali 🙏🙏 mungu awajalie qwa kazi yenu zuri team bba karobo
@mwanjammassa8563
3 сағат бұрын
Wa kwanza leo, dhuuuu! Nipeni likes zangu jamani
@agnespola1227
2 сағат бұрын
Yani utamu ndio unazidi ila Namiss sana Patronize jamani . Nafatilia kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@paulinengeresa8649
2 сағат бұрын
Kuchelewa tu kidogo nishapitwaa na likes
@johnmamati532
Сағат бұрын
Nafwatilia mchezo huu. Ila na nyinyi kupingana ndio kwingi sana. Mbona anti usipige simu mchungaji aje hapo? Ifanye filamu iwe real tafadhali
@reginaodeta473
2 сағат бұрын
Jamani wachawi hawana huruma, Ila mungu asaidiye karobo kupitiya wachungaji hata awape nguvu yakushinda wachawi awarushiye moto milele Amina 🙏🙏🔥🔥
@karembokhonde
2 сағат бұрын
Mnakawia kutu update na mkileta mnajaza flashback Tele,
@FATUMACHIONDA
3 сағат бұрын
Naomben like zangu Leo wa kwanza
@NuhuLameck-r1g
2 сағат бұрын
Narudia linda rasimali uliyo nayo Hii movie actons ni simple sasa Harakisha maliza story ili watu wahamasike kufuatilia kazi zako zingne
@FestoMgallah-l9j
3 сағат бұрын
Kweli wadai like mmepania duh kidg tu mmekoment
@NshemezimanaDiedonne
16 минут бұрын
Wangapi tukonao hapa kutoka burundi 🇧🇮 nipeni likes zangu
@Dorobwari
3 сағат бұрын
Wa kwanza kutoka Kenya likes zangu jamani
@AsifiweImani
3 сағат бұрын
Leo wa kwanza kutoka Congo
@SalvatorAdamu
Сағат бұрын
Kali kweli , ila mbona mumetupunja mda? Ongezeni mda jameni
@TatudamabakariTatudamabakari
2 сағат бұрын
😢😮😢😢😢 mwanamke anaroho mbaya sn huyu eee mungu weeee mponye baba karobo aweze kuona
@danielmutisya784
2 сағат бұрын
From kenya flowing ❤❤ wapi likes zangu
@AsifiweImani
3 сағат бұрын
Naomba like zangu jameni wanao penda ukarimu wa baba karobo tujuwane kwenye like
@NathanAkimana
2 сағат бұрын
Like mtakula au hafu nyie wanaume toeni support na sio kuombaomba ma like
@OnesimeUwibihaye
3 сағат бұрын
miwakwanza
@amissemkanapate8249
3 сағат бұрын
Like Bas from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@Shabanerick
3 сағат бұрын
Hizo like zinawapa pesa au nini??? unajua mnazingua sana nyie!
@HalimaMichael-x6x
26 минут бұрын
Movie yenyewe mbona mnaweka fupi sana jamani
@MariaKahind
30 минут бұрын
Eeeeh mwenyezi mungu..kila anaye fwatilia hii movie...acha bwana ukqmfungulie milango....iliyo fungwa na wachawi...hakika mungu ni muweza wa yote....mbarikiwa mnao fwatilia moviee hii...❤❤❤❤❤
@JacquelineErick
2 сағат бұрын
Nimekua wa 125 like zangu naona kila siku mnadai like
@ChristineMaloba-hk9je
2 сағат бұрын
Much love ❤️ baba joan 🎉🎉
@philippenicentaconzoba9853
3 сағат бұрын
Like zangu guys
@LydiahMoraa-c9j
2 сағат бұрын
Nmewai Leo mapema mnipe likes za team gulf
@pablonsanzumuhire2024
2 сағат бұрын
Big up Baba Kalobo,Me medufunza mengi leo. Namupenda Kalobo
@EmmanuelFreddy-rk9fq
2 сағат бұрын
Naombeni likes na subscription AFRICA AS ONE 😘😘😘
@olicej7837
23 минут бұрын
Ya leo haina raha yoyote kbsaa 😏💔💔💔 movie nzima mnakumbuka tu khaaaa afu na mnavyochelewesha movie😏😏😏😏😏
@SalvatorAdamu
29 минут бұрын
Jameni mama karobo !!! Dhuuuu umekutana na P DIDY nini? Hata kama ni movie namuogopa xna. From USA
@Julietkaari-it2su
3 сағат бұрын
Toka Kenya naombeni likes zangu
@AllisonSanita-ub2jf
45 минут бұрын
Yan utam wazidi na bdo tu episode 1. Baba karobo plz nakuomba kwa niamba yangu hyo episode imebaki ifanye ndefu
@VenantieGIRUKWISHAKA
2 сағат бұрын
Bwana mbona mnamalizia haraka sana bila kuona Mchungaji anaja kumchukuwa Karobo jiweni, ebu basi tutumie part ifuatao, mumenijenga saaana kwa mafundisho haya. Ninawapenda❤ pia ninawafuata kila muda nikiwa huku mjini Bujumbura 🇧🇮
@philohmutua2968
Сағат бұрын
Kwani hii movie babakalobo hataona
@You-yk9iw
2 сағат бұрын
Utampata na utamuona kwa macho yako mawili
@BrandinaMpagama
40 минут бұрын
Mvi ni tamu mnoo niwatakie mwezi mwema na wenzangu wakristo tukumbuke huu mwezi wa lozali❤❤
@olicej7837
29 минут бұрын
Amen Mungu atujalie afya tele na baraka nyingi
@NaomiDolphine-q9b
Сағат бұрын
Hawa hawaskii kuwa n sauti ya kalobo
@NelphineMamyjayden
Сағат бұрын
Napongeza filamu,jamani kutoka Kenya hapa iko bambam,karoboooo🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@JudithJudy-hz6wr
Сағат бұрын
Hivi waombaji likes huwa mnajifunza nini 😮😮😮 badala mkoment chenye mmeona kwa movie kumbafu zenu 😂😂😂
@Officialsamtz
3 сағат бұрын
Baba karobo Kam unamkubali gonga like 🙏
@MillyYulemmoja
Сағат бұрын
Kibaniyo hiyo nguvu ya kuwaja jiwe umetoa wapi badala ubebanishe nalo hadi kwa mchungaji yaawaah, mkirudi mtalikuta kweli mmmhh
@djzkhankb3754
Сағат бұрын
❤❤❤❤ Dj z Khan kb kiswahili mimm nimekubal
@WinnyMbinga
25 минут бұрын
@baba karobo sinema ni nzuri sana ila muji taidi basi mutuwekeye dakika zakutosha ama muwe mnatowa épisode mbili ao tatu kwa siku ili sinema isiwe ndefu kiiivo
@EmmanuelprodHazardBeatsaun-e5x
2 сағат бұрын
mes amis du Congo 🇨🇩 Kinshasa où nous sommes ?
@josiahlameck1319
2 сағат бұрын
Dakika kidogo baba karobo unazingua
@NathanAkimana
2 сағат бұрын
Naona serie imeaanza kua ya makumbusho tu ,mnazingua imekua ndefu imeaanza kupoteza hata mvuto
@AliciaAudax
Сағат бұрын
Yaan😂😂
@ElinaziMtenga-q6t
Сағат бұрын
Acheni kurudisha kumbukumbu kama amjajipanga kutoa movi bora mcheleweshi kuliko kurudia kama kuwaza dakika chache mawazo na kumbukumbu kibao
@Blue_Ocean_003
2 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉 fupi sana imeisha sehemu tamu ongeza dakika halafu ikiwezekana kila siku tadadhali @BabaJoan❤❤❤❤❤❤❤ from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@CharoHamisi
Сағат бұрын
Baba karobo tosha the more unaongeza episode ndo inazidi kuishiwa na mawazo maliza hii utuletee bati lengine otherwise big up sanaa mzaeee
@DamarisMoraa-y5d
41 минут бұрын
Ila mmeanza kuleta fupi sana na flashbacks kibao tumetamani uone baba karobo tumelia vya kutosha😢
@SamuelYawa
Сағат бұрын
Hii series inatufunza kwamba Kila hatua njema haikosi changamoto
@TONNYONDEGO
3 сағат бұрын
Wakwanza npee like🇰🇪🇰🇪🎉
@karembo7082
Сағат бұрын
Eeeee mwenyezi mungu kila asome hii comment mpe maisha mzuri naye furaha amina🙏🙏🙏 tuzidi kuomba sana mungu wakanisani aenda wa msikitini pia aende eee mola tusaidie sisi
@SmilingPlatter-nv7kq
Сағат бұрын
Tangu niaze kufuatilua hii move sajawahiii pata hata like moja wapi like za Baba korobi kutoka kwangu jameni
@WardaKambi
2 сағат бұрын
CHIKO KWA UPAKO HUO ALAFU KWENYE MY MOTHER KENDI ANAVYOKUENDESHA🙊🙊🙊
@raphaelnambombi3709
Сағат бұрын
Umetuibia yaani umeweka vipande vya nyuma vingi Sana nakufanya hii episode kuwa fupi zaidi au ubunifu umeanza kufikamwisho
@RajaboSaideRachide
3 сағат бұрын
Nimewai Leo naombeni like zenu Mimi naongea kutoka Mozambique ❤❤❤
@EdwinRankx
3 сағат бұрын
Wakwanza mm apa today kenya
@shantelshanne12
2 сағат бұрын
wow 😊😊😊nzuri Sana nasubiri episode 45 so amazing 😍😍😍😊😊
@JosephineMomanyi-jp8tv
2 сағат бұрын
Mungu wangu nimeona sasa kichiko tumeshinda baba kipofu utaona mungu atapitia kwa pstr kichiko
@JAMESRAPHAEL-v9i
2 сағат бұрын
Mwanzon mlikuwa vizur ila saiv mhhhh hamna kitu unahalibu movie kwa tamaa ya pesa jaman dk Ata azikiz adi mnatutia mvivuuu
@RemtahNanzala-k3k
Сағат бұрын
Movie number moja kwa zote kutoka tz,kama unakupaliana na mm gonga like ❤❤❤❤
Mbna baba yangu kipofu huwa aianzii inapoishia, mnatuchanganya wafuatiliaj.
@FaridaJuma-e5h
Сағат бұрын
Jamani baba kalobo ninzuli sana lakinimna koseyaki dogomnao ngeasana mnapoteza muda punguzeni maongezi
@qurthummrabdllh3635
Минут бұрын
Mna tantarira nyingi movie mnaerefusha km movie ya kihindi
@JohanMwacha
2 сағат бұрын
Move nzuri sana sema msicheleweshe kuitoa jaman napata ukichaa Like basi
@MaryNgona-x2l
Сағат бұрын
Mungu wangu please help us we want to see your power, devil is a lier. Karobo will be back to normal and baba karobe will see again kwa jina la baba yesu sema Amina
@MercyNafula-fr2ke
51 минут бұрын
Tangia hili movie linaanza mpaka linaisha sijawaikupata like ata Moja 😢😢😢
@poptenhaulecasablanca
Сағат бұрын
Hiking kipande mmekosa ubunifu maana mmetumia mda mwingi kutuonyesha matukio ya nyuma
Пікірлер: 376