Nitafurahi huyu mama karobo na fashion wakipatwa na kitu kizito mbwa hawa😅
@mildredwechuli4810
3 сағат бұрын
😂😂😂😂eti kina nani 😂😂😂😂😂😂
@Bintnailah
2 сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂@@mildredwechuli4810
@DivineIngabire-lj3sr
2 сағат бұрын
Hajakosea awo ni umbwaaa kabisa siyo watu😂@@mildredwechuli4810
@EverlynKenneth
2 сағат бұрын
Jamani kaka usisahau ni move
@NIYIZIGAMAJosephat
3 сағат бұрын
Jamani na mimi Leo nimewai Naomba like jamani from Burundi
@nshimiyimanaalex6467
3 сағат бұрын
Jamani jalibuni baba karobo apone inatuumiza sana 🇷🇼🇷🇼🇷🇼 Kigali Rwanda turabakunda cyaneeeee ❤❤❤❤❤
@bigstonemcb9171
3 сағат бұрын
Leo wa 17toka Moçambique 🇲🇿
@BrianGuniMwatela
3 сағат бұрын
Wakwanza leo from Kenya 🇰🇪
@MuwenimanaLeoncie
3 сағат бұрын
Nduwambere kuva Rwanda gisenyi
@PurityAdhiambo-j3v
3 сағат бұрын
Mi ni WA kwanza mnipe likes jameni
@wilmotkarisa6174
Сағат бұрын
Hapa Nimejifunza Kuwa MUNGU akisema NDIO hakuna wa kupinga....mama karobo na fashion wake kimewaramba😂😂😂.....nani anakubaliana na mm atume reply yake hapa....pia ukilike irakuwa bora zaidi💪💪💪
@EmillyKagendo
3 сағат бұрын
Kumbavu zenyu umbwa nyinyi najua mko😅😅😅❤
@AminaDibwe
3 сағат бұрын
Leo nimewahi jamani nipeni like zangu time karobo😅😅hapa
@quibuanaissa1808
3 сағат бұрын
Wakwanza from Mozambique like zenu
@ReymaMa5-rv1gs
3 сағат бұрын
Wow nmefika 🎉🎉🎉🎉
@ZamzamMusa-ve5tc
3 сағат бұрын
Wakwanza Jamani mnipe like ata kumi😂😂
@bigstonemcb9171
3 сағат бұрын
Moçambique number One Leo nipe like zangu jamani
@kinanaissango3492
3 сағат бұрын
Baba Joan unajua sana wasanii wengine waige stori zenze mafunzo unajua sana bro
@beckybecky-k1m
3 сағат бұрын
Nmejifunza kitu, mungu ndiye mganga wa waganga, tumtumanie mungu siku zote na Kwa Hali zote mungu yupo
@InnocentNdayi-cn3vk
3 сағат бұрын
Watano naomba like kbx
@swabrinamwaka2437
3 сағат бұрын
😂❤❤❤ kumbe ndoto
@patrickgachanju
3 сағат бұрын
From Qatar likes ziko wapy
@dhahabudeche926
3 сағат бұрын
Humu kila mtu wakwanza mm nimechelewa lakini nimefika nipeni hata like moja nifutie machungu ya kuchelewa😂😂
@paulkyenifurniture2618
3 сағат бұрын
😂😂😂Hii kali Sana 😂😂😂😂
@mamakeashili
3 сағат бұрын
Bila kujelewa❤❤🎉🎉
@TaleTz-s9q
3 сағат бұрын
Umetisha san baba joan
@abdullybinde
3 сағат бұрын
malizen hiii movie baba joan mmeshindwa kuwa creativity mtuletee mzigo mwingin story mmemaliza all in all kaz nzur👍👍
@ZilfaNdayikunda
2 сағат бұрын
Alhamdulillah Y'ALLAH Wanao furahia kuona kwa Baba Karobo 🎉🎉🎉naomba Like zenu❤❤❤❤Team strong Nawaita
@StevenEzekiel-nb8ev
3 сағат бұрын
😂wa Kwanz leo😂😂
@KigunduJean
3 сағат бұрын
Tunafika🇨🇩 aksanti
@PrettyRodah
3 сағат бұрын
Haya leo nimewahi😊😊
@MillicentMoraashMongeri-s8p
2 сағат бұрын
Mbona hamnipi like zangu jameni na mm nawapa nawaombeni hata like kumi za baba Joan ❤❤❤❤❤
@ESTERNTONYERA-bc7jx
2 сағат бұрын
Waoooh jaman mungu mkubwa sana mama karobo na fashion Kwisha Habari Yao mungu hachewezi nuru na Giza havipatani
@MalikiMikidad
3 сағат бұрын
Nakbal sanaa
@ericnduwimana8246
3 сағат бұрын
Shuklani saana team baba Joan,napenda saana igizo zenu,zinanipatia,uvumilivu,juhudi,imani,tumaini vile vile napata mafunzo bule,nawapenda sana familia baba Joan ,from 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮 🇧🇮
@BentahOrao
3 сағат бұрын
Wa kwanza naombeni likes ata mbili😢😢😢
@JumanneTitto
2 сағат бұрын
😂😂😂
@BentahOrao
2 сағат бұрын
😂😂😂@@JumanneTitto
@HawaAdili
3 сағат бұрын
Finally baba karobo amepona 😂😂😂kwel mungu ndo kila kitu🙏🙏🙏
@maylucson001
2 сағат бұрын
Nilikua nasubiri hii comment ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤mwàaaaaaaaaaaah
@ZeinabBakar-je4nr
3 сағат бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 fshn na Roy mwapedana watoyana moyo ili mtende maovu
@musanaberanyiratungane7119
3 сағат бұрын
Na mimi hapa nimewahi kabisa nawapenda sana ❤❤❤❤❤❤
@jaycburundi257
3 сағат бұрын
wa Mia form Burundi munipe likes tumuonyeshe upendo babakalobo❤❤❤
@PetronilaYaa
2 сағат бұрын
Amen nmefurahi sana kuona baba karobo amepokea uponyaji ❤❤
@sinesioantoniorassul2239
3 сағат бұрын
Baba kalobo safari hii nmejeweja baba kalobo
@sakina5550
2 сағат бұрын
Mchungaji chiko kwenye ubora wake hongera sana 🎉🎉🎉🎉🎉😊😊😊😊
@Lidya-e1i
3 сағат бұрын
Amen mungu ndio kila kitu
@TatudamabakariTatudamabakari
2 сағат бұрын
Mungu nimwema kwakila jambo ❤❤❤❤ wow that's great news thank God for that more bless ❤❤❤🎉🎉
@fredrickowino3
3 сағат бұрын
Leo nimejaribu kuwai kutoka kenya 🇰🇪
@MariamMchomvu-q3s
3 сағат бұрын
Baba karobo acha kushtuka utaona hongera sana team baba karobo❤❤
@musanaberanyiratungane7119
3 сағат бұрын
Nyiwe wachawi mtaishiya pabaya nahuyo mganga wenu hamuwezi kusindana na mungu wambinguni ❤❤❤❤
@AnicetNYANDWI-o8x
3 сағат бұрын
From Burundi waaaa baba karobo anaona bwana asifiwe sana mungu mwema anatenda yote funzo kubwa sana iyi scène ienderereye tunayipenda sana isiwe na mwisho
@djbigchance-z1q
3 сағат бұрын
Watatu🇨🇩🇨🇩🇨🇩dj BIG CHANCE
@Mrgofresh
3 сағат бұрын
Daah naombeni mu follow hiyo chaîne na like kama unapenda iyi épisode🙏🙏
@ZeinabBakar-je4nr
3 сағат бұрын
Wale walitamani baba karobo arudishe boni yake like zishuke nawapenda 🎉🎉🎉🎉🎉
@JosephKazembe-rm1li
3 сағат бұрын
Baba karobo filamu Yako IKO visuri sasa bwana mimi Niko Congo RDC tuna fata filamu hi y Kila Siku 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@AlineIradukunda-bs6mt
2 сағат бұрын
tukicomet hatupat lik kam wengin jaman ❤❤❤🎉🎉🎉
@ShangweNgwano
2 сағат бұрын
Hipich inafuz
@raphaelongera7292
3 сағат бұрын
❤❤ first from kenya
@ayubumilembe8548
3 сағат бұрын
Imani ndo kila kitu amini kwamba
@PaulinoAmigo
3 сағат бұрын
From Mozambique nawapenda sana❤
@AsiaChia-n7y
3 сағат бұрын
Inachosha hii movi kila cku ba karobo yupo matatizoni tuu cjui yataisha lini na muvi haina mwesho
@SelinaWilliams-z7h
3 сағат бұрын
Jaman naombeni like jamani hata kumi tu nawapenda❤❤❤❤
@johnmamati532
3 сағат бұрын
Alafu wahusika wengi sijawai waona mukiwa na shughuli za hapa na pale. Inabidi muifanye hai kabisa (authentic) Kwa kuwa na shughuli hapa na pale sio tu kuwaona kila wakati munatembea au mumekaa tu.
@RizikiZiki
3 сағат бұрын
Nami leo nimeiwahi mumadakika ndomara ya kwanza kwaimove sijawi bahatika kiukweli😂mm karobo kumbe ndoto pole sana hautoweza kumuzuru bb karobo kiivo😢
@petermacharia5710
2 сағат бұрын
Hizi like za nin kweli ... Hapa kuna funzo la maana kuwa mwenyezi mungu ndio kila kitu kwa maisha yetu
@PillyEliasa
3 сағат бұрын
Kwani nyie mnata hizo like za nin Mmatakiwa kucomment kinachohusu filamu au ulicho jifunza Mnakera Sana like hizo zinawafaidisha nini😢
@hutahuta1170
3 сағат бұрын
😂😂😂😂mchungaji chiko katika ubolawake ❤❤❤ kazi nzr sanajamani muvi tamu
@RehemaManyeso
3 сағат бұрын
Kazi nzuri sana Tena Iko na mafunzo, Mungu awabariki team baba karobo.
@GladysOmwando
2 сағат бұрын
kama pia ulikua umefumba macho wakiombea baba karobo let's gather here kumbavu zangu 😂😂😂😂😂
@QueenFrancine-im7xx
2 сағат бұрын
Leo nimefurahi jinsi baba karobo alivyo ona goga like kama umefurahu na wewe
@Mrgofresh
3 сағат бұрын
#Baba_joan walayi unawez
@JanetRiziki-ut2is
3 сағат бұрын
Asante sana mchungaji kwa kufanya baba kalobo aone tena ❤❤❤❤❤
@SharonMecha-i1y
2 сағат бұрын
Zu ameona mbivu😂😂😂
@EdiokoAtembi
2 сағат бұрын
Ongea sanaa kaa unaminini kuwa Mungu anatenda kupitia kwa maombi na nakuamini gonga like
@Maria-dg6ik
Сағат бұрын
Mashallah ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉😂
@EnjoyJosephElikana
3 сағат бұрын
Chiko muchungaji ee nakupaa like
@DelleAlly-ei5yh
2 сағат бұрын
Leo nimekuwa wa 52 ❤❤❤❤by Delle ally from mueda Mozambique 😊😊😊
@AnnaAndongile
2 сағат бұрын
Nimefurahi kuona baba kalobo anaona Hongera Mtumishi wa Mungu kwa kazi kubwa uliopewa na Mungu
@Bintnailah
2 сағат бұрын
Asante Mungu kwa kumponya baba karobo na tena mungu mzidishie imani ya kuyashinda hayo majaribu ya mwovu shetani mama karobo
@MwajabuAyubu
2 сағат бұрын
Honger mchungaji nimefurah sana ❤❤
@naominekesa1169
3 сағат бұрын
Imeanza🎉😂
@PETERADOLFUSHAYO
3 сағат бұрын
Wakwanza
@zebedayonyataige6516
3 сағат бұрын
Wa Kwanza mie au*
@Kay_2Ngarura
3 сағат бұрын
Big up saaan baba karobo
@pablonsanzumuhire2024
3 сағат бұрын
Nafulahi kuwona Baba Karobo anauena.Jah is better forever
@JohnOyuka
3 сағат бұрын
Wakwanza kutoka Kenya Leo naomba like jamani
@yoabuyoabu717
3 сағат бұрын
watu mnahisia Kali hamjui kama haw wanaigiza ila yote kwa yote ukiamini Mungu anatenda na kila siku anatulinda bila ata ya malipo, baba karobo hii naamini itakuwa season yangu bora mwaka huu Mungu akubariki 🙌
@naominekesa1169
3 сағат бұрын
Next please episode 49 musicheleweshe sana❤tunasubiria
@harrisonkapombe8759
3 сағат бұрын
Wow
@JacklineAdemba
3 сағат бұрын
Hongera mungu aitwe mungu
@Gsh-ov2ut
Сағат бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Eti mm nafunga macho ninayo
@anitazena1791
3 сағат бұрын
Niko mombasa nipeni like zenu basi wasee
@StevenKarisa-k6t
3 сағат бұрын
Kazi nzuri sana baba karobo❤❤❤❤❤
@narutonaruto4303
3 сағат бұрын
Hiv hii movie mbon hatuon mwisho wake yaan itaisha hat kuon mama karob anateseka
@Lidya-e1i
3 сағат бұрын
Wueh
@bintimohammed3233
3 сағат бұрын
Weeuh
@Mumlion2624
3 сағат бұрын
Hatimae baba karobo kaona haya tunasubiri kipande kingine
Пікірлер: 384