Mm huyu na mwijaku sina kinyongo nao nawapenda bure❤❤❤
@StrongbowArrow2004
2 ай бұрын
Nnacholipendea hili jamaa likiwa tungi ndo lina mizuka, kubabeki😂😂😂
@HajiKlein-so1rk
2 ай бұрын
Huyu jamaa baba levo ni shida sana🇹🇿🫡
@SLVESTA07
2 ай бұрын
Wa kwanza naomba likes zangu mahomeboy 😂🙌🔥🔥
@bbanyikwa
2 ай бұрын
Baba levo 😂😂😂😂😂😂😂😂
@marlonstudios4408
2 ай бұрын
Babalevo kalewa
@samehewaliokukoseya2605
2 ай бұрын
Weye uko pote pote😂😂😂😂😂
@mpjozzegalvanize4926
2 ай бұрын
Ili jamaa ilii😂😂😂
@bongo39
2 ай бұрын
Ila hawa madada ni ndugu yani wote wawili wamefanana kweli mpaka nashindwa kuwatafautisha huu ogomvi wote ni sababu ya riski tuu hamna jengine hivi hapa dar kuna watu wangapi zaidi ya milioni 5 sasa wanagombania nini mtawaweza wote hao wakija kwenye biashara zenu halafu riski mtoaji ni allah hiyo sii kazi yenu kila kiumbe kapangiwa riski yake na allah wacheni kudhalilishana mitandaoni pambaneni muangalie maisha yenu au na nyie mumekuwa wasanii sasa hivi wanawaigiza kila kitu wasanii wa nje mpaka mavazi utembeaji kukaa uchi nawaahangaa nyie mnaanza kulumbana huyu hajui kupika kama mimi hivi sasa mshindane kwa upishi usafi muone nani atapata wateja zaidi huo ndio ushindani sio kika siku mitandaoni munajihusudu wenyewe halafu mtatafuta mchawi nani
@Maymuna-wc8lz
2 ай бұрын
WAMESHIBA HAO,,WANGEKUWA NA NJAA WASINGE FATANA TANA
@issazalala4907
2 ай бұрын
Bongo mashoga wengi sanaa uyu mwamba hayupo sawa sijui maisha
@sylviaforest3001
2 ай бұрын
Esha Ana matatizo sana na shishi kumbukeni alivyo kasirika kiba kumalika shishi kwa album launch hapo awali mpaka esha kasema hataki kuwa team kiba tena ilibidi kiba amuombe msamaha na afute picha ya shilole ya mualiko kwa page yake tena hii ya tuzo ni hivyo hivyo
@FatimaAli-of4gh
2 ай бұрын
Nakumbuka mwaya mpaka wakaanza kumwambia hakulikwa walimuazilisha ikawa kiba akiulizwa anajigonga gonga naikumbuka hiyo na ilini pain nipo Uk lakini nafatilia piga kazi shishi
@khadijarashidy9304
2 ай бұрын
Huo msema wa Una uliza rangi ya mkaa ni me ndo nimeanzisha😂😂😂😂😂
Пікірлер: 15