nimeipenda interview hasa kipande cha kutongoza mke wake ,everbody fall in love,good story tale tale by dr elaan tz
@nurdinimndeme2912
4 жыл бұрын
msanii ana roho nzuri kinoma ' manager ana roho nzuri sana - baba wa msanii ni roho nzuri dah ! RAHA SANA .. Tale we love You #plz ! don't leave Diamond !! mmeruka mabonde yalochimbwa muanguke #now mnaelekea kileleni ambapo hakuna #management and #artist Yeyote hajawahi fika kabla hapa Tanzania so pamoja MKO vizuri and we hope maajabu mnayaendea yapo hapo Juu kileleni kidogo #mtayafikia brother
@Noah-se3ni
4 жыл бұрын
Babu Tale umehongeya vizuri sana ongera sana kwa wasafa wote
@mohamedmzee2267
4 жыл бұрын
I love WCB with all my heart, you lead others follow. Hongereni Sana and Big thanks for your hard working.😍
@fundirangi6453
4 жыл бұрын
Wangapi mmekwazika na video kukata na kujirudia wanatumalizia mb
@blandinadambala6887
4 жыл бұрын
Babutale mungu akupe nguvu
@babusaka3913
4 жыл бұрын
Wcb you're the best indeed.🙌🔥🔥🙌 #wcb_4_life
@twahirmjeda4580
4 жыл бұрын
ila diamondplatinumz alijipanga mapema kwenye mitandao ya kijamii jambo ambalo hata radio na matv nchini aliwaambia hata wasipo piga
@dullerahmedy6325
4 жыл бұрын
Twahir Mjeda dah Kwel kaka umeongea fact sana mond yuko Swah ktk mitandao ya kijamiiii yote yuko vzr
@chrisbabyyengo3817
4 жыл бұрын
Fun Interview I like that....... Fun Chap Babu Tale Baba Lao WCB4LIFE wafasiiiiiiiii
@sofiaasukuku8238
4 жыл бұрын
WCB wanapendwa kweli siyo Siri ,duniya nzima inawatambuwa
@harmonize788
4 жыл бұрын
Nipen hata like 15 leo jaman
@raphaelbruno2743
4 жыл бұрын
Tale ur so funny bro!!
@nusrahemedi4953
4 жыл бұрын
😅😅😅yaani babutale unaweza vizuri, uko mchekeshaji mzuri saana yani
@goldgold.
4 жыл бұрын
Who's this baby taler?😄 Or is he Babu tale?
@joharhamisi9140
4 жыл бұрын
Anayejua hii interview inajirudia rudia weka like tujuane
@abcdefgger
4 жыл бұрын
BABUTALE PENDA SAAAna weyeeee 😍😍😍😍😍
@kichwachagoogle5138
4 жыл бұрын
🔥Because We R The Best🔥🔥 That's it💪
@ab3ab313
4 жыл бұрын
😘😘😘😘😘😘😘😘😘
@sarahhamisi2070
4 жыл бұрын
😁😁😁😁 babu wee ni cormedy😁😁😁😁
@barackhuncho2432
4 жыл бұрын
ooooh" ok
@ummimohammed9359
3 жыл бұрын
babu tale mama anakukumbusha akhera yako uyo utakua masuulia siku ya kiama mama ameshafanya wajibu wake mana amekukumbusha niwajibu wako kumsemesha daimond。
@AlbertLema
4 жыл бұрын
mtangazaji is sharp. she is going places.
@kahawathungu
4 жыл бұрын
anaitwa nani huyu mtangazaji?
@sharleenkate6648
4 жыл бұрын
So even tanasha is not yet a good woman for diamond bcoz ajabadilisha dini??? Alama ya dukuduku😕😕tanasha come home we will raise the kid let that man search for u ii mambo ya kushinda ukienda tz wacha maybe they think u are desparate
@georgemhalla3515
4 жыл бұрын
Camera man, unazingua bwana, shusha camera chini kidogo tuone mguu Mzee baba!! Aiseeeee
@beatuslongino5666
4 жыл бұрын
Haya maisha bana babu tale nae siku hizi anaweka kizungu kwa interview.
@johnmwakatobe2830
4 жыл бұрын
Mchawi mchelee
@officialmrtop1018
4 жыл бұрын
Hahahah hahahah
@boniphaceexsavery5083
4 жыл бұрын
Mtangazj mlet sallam sk bhna
@Kwazulu1
4 жыл бұрын
Jemeni Muna watoto wa kike. Munavyo haribu watoto wa wezenu it will cost you because what goes around comes around . Huwezi kuwa the best kwa kuharibu watoto wa wezenu. Jisifie kufanya kitu kinacho mpendeza Mungu sio promiscuous ( uhuni). Inchi nyingine wanatucheka maana wasanii wanashare wanawake. Mubadilike wasanii.
@ennymajaliwa4486
3 жыл бұрын
Babu Tale nawashauri kwa Wasanii wa Wasafi waimbe nyimbo katika Hafla wanazoalikwa zenye maudhui yanayofafana na shughuli husika. SI KUIMBA NYIMBO ZA MAP....... KWENYE HAFLA ZA SIASA AU MIKUTANO MAALUM.
@teebeka9117
4 жыл бұрын
Iko kinywaji namimi nakipenda nahilo tunda usiseme
@jerrykasekasebula5107
4 жыл бұрын
Alofanya editing ya hii interview hajui yan!
@chrisbabyyengo3817
4 жыл бұрын
Imagine Kumbe U Noticed too..... So Irreteting
@hellenmwayole8715
4 жыл бұрын
Uongo wako babu tale eti wanawake wanamuacha, MTU akiwa mbali na mpenzi wake furani tayari anamsaliti tena mengine waziwazi unafikiri huko nikumuitaji MTU au kumuonyesha MTU matukio ili aondoke.
@lbyogolbyogo1045
4 жыл бұрын
Kuma wewe idiot
@hellenmwayole8715
4 жыл бұрын
@@lbyogolbyogo1045 kuma starehe ya baba yako hahahaaa najiskia raha povu lilivyokutoka, na huo ndio ukweli, unafikiri ukisema kuma mm naguswa mbona hakuna tusi geni duniani moyo wangu baridi
@jenifersamwel8990
4 жыл бұрын
Hahahahhah tale anavitukoo ET ukimalza. Kazi utavalishwa taji Hahahahhah
@fahadfaraj1822
4 жыл бұрын
Daaah
@kitonikitoni6299
3 жыл бұрын
Utajiri gani wakati mzee wake analia njaa kila siku
@Kobe_254
4 жыл бұрын
Hapo sawa
@tinyaanosiatha1118
4 жыл бұрын
Babu tale we mshenzi kweli .
@zoozhjhfddhuyy7469
4 жыл бұрын
Fenesi Nani anauza ampelekee nasibu 10
@omaribrahim9143
4 жыл бұрын
dizzim online kuweni serious. Huyu video editor mmemtoa wapi?
@abassking8296
4 жыл бұрын
Huyu mtangazaji anajua Sana kufanya interview angekuwa media nyengine sio ya Salam sk wcb wangechukua
@presseg.6362
4 жыл бұрын
Hahahahahahaha, yaani Babu Tale wewe bhana, hapo namna ya kumpata mkeo, umenichekesha kweli!!!
@sistersade9039
4 жыл бұрын
sasa akiwa ana cheat, ata tangaza on natioal tv? masuala mengine .......
@nahyialetomia9284
4 жыл бұрын
Kimnana alibadilisha dini
@biancaomari6918
4 жыл бұрын
Hapo sasa
@kevinmwamba1009
4 жыл бұрын
😂😂😂
@rewardnjau7220
3 жыл бұрын
Sauti mnakwama
@margretwambui4405
4 жыл бұрын
Mungu awe na wewe unampenda mkeo sana lakini ndio hivyo kazi ya mungu haina makosa pole
@OnlyRuky
4 жыл бұрын
Mmmh jm sijawahi kumuelewa huyu Manager kwa maungooooo🍺🍺🍺👇
@hussainomar1849
4 жыл бұрын
POMBE NI HARAMU NA INA MADHARA MAKUBWA KWA ANAEITUMIA NA FAMILIA INAYOMZUNGUKA.
@emmanuelmongi6617
4 жыл бұрын
hii sauti inayosikika mbaya tunaomba muishughulikie mafundi mitambo inakela sana
@ismisalmu7058
4 жыл бұрын
Tale kwani umelewa mbona sikusomi kaka
@DavisTibbz
4 жыл бұрын
Video inakatakata daah...
@seifmohamedseif9467
4 жыл бұрын
Nunua mic nyingine mbona kizaman kupokeza mic hvo dah
@officialmrtop1018
4 жыл бұрын
Nani yuko hapa kupata hii experience ya kuliteka soko LA nje baada ya *Amaboko* song??? Wanaosema kwamba song hawaielewi mmesikia?? Kuna mashabiki nje wasioelewa lugha yetu WCB tunawaza nje sio Tz , Tz tushaga maliza tuanawaachia Kina Korosho hahaha
@tildahongkong6086
4 жыл бұрын
Wapili kumiangalia huyu mnafki wa WCB mluguru mmafki sana huyu anataka kujifanya wcb yake mchawi
@heryerasto503
4 жыл бұрын
Roho mbaya haijeng ndugu yangu
@richjr8725
4 жыл бұрын
We ndio mnafiki
@alimasssaidi5922
4 жыл бұрын
Tuliyaa mwalobaini ukuingieee 🤣 🤣🤣 🤣🤣 🤣
@athmanmtingwa8896
4 жыл бұрын
Acha roho mbaya.
@sofiaasukuku8238
4 жыл бұрын
Wivu wako uho muhache wewe mbuzi
@hajimnubi4581
4 жыл бұрын
Flying over ??????
@joharhamisi9140
4 жыл бұрын
Mbn simuolew huyu tale mbn kama sio ridhk sio kwa mapozi hayo
@deotv503
4 жыл бұрын
Mtu ana make na watoto hana shidaa ni vilee alivyoo tuu
@athumanimsangi7092
4 жыл бұрын
aisee hata mimi imekuwa shida kuangalia .yan mpaka noma
@hamimuramadhan6329
4 жыл бұрын
I Live WCB
@sefukaduguda5447
4 жыл бұрын
Amezungukwa na watu ambao hawamshauli kua na familia
@dianaphilipo4688
4 жыл бұрын
Tunauza chia seeds kwa bei ya shilling 5000tuuu kwa kilo moja tuko makumbusho maeneo ya bahari motors,Dodoma na mororgogoro na mikoani tunatuma tupigie kwa simu namba0656898613
@seifmohamedseif9467
4 жыл бұрын
Sadaka haitangazwi bana utolewa kimya kimya na ujiulize sadaka inatokana na jambo halali ?!!!
@AlbertLema
4 жыл бұрын
hizi pozi za babu tale mkani kwetu hatuzielewii.
@harmonize788
4 жыл бұрын
Mamae tale anajifanya kama WCB yake gonga like kama umekubal interview ni ya kipuuzi
@shebymsafi6303
4 жыл бұрын
🤣🤣pole kwa maumivuu apo hajaongea mendee xaxa mbona unaweza ujiuee kwa stree mjombaa
@alimasssaidi5922
4 жыл бұрын
Tuliyaa mwalobaini ukuingieee🤣🤣🤣
@nurdinimndeme2912
4 жыл бұрын
huyu ndo #manager bora Africa - tena mwenye kujielewa !!
@sofiaasukuku8238
4 жыл бұрын
Anatunzo uyo tena afrika
@sistersade9039
4 жыл бұрын
.
@mtaalumaelias8619
4 жыл бұрын
Gonjwa la HIV liko mbele yake
@amanimanase5794
4 жыл бұрын
Kwa uwezo wa MUNGU atakuwa salama SKU zote amina
@sailorprugent1436
4 жыл бұрын
Eti kazi ni zaki shetani kumbe huwa nikusudi za watu ila kila mmoja yuwajuwa mziki ni ushetani ila ni kazi tu watu watafanyaje🤔🤔
@annitabobo5438
4 жыл бұрын
So you want to tell us that your artist was lying to his funs that he never drunk alcohol. kweli nyinyi ni kiki tu!
@nooromar6233
4 жыл бұрын
Pole tale huna uislam sahihi una penda pesa tu ndio ume weka mbele zaidi uislam pombe ni haram ku promote na hata kugusa kiburi tuu heshimu dini yako kama una uislam,wacha majisifu wame kwenda kina Michael Jackson na charity za haram hazi saidi mtu mzima unaji hashuwa yata kwisha pumbavu
@ramadhanomar5152
3 жыл бұрын
Muislam na anakunywa pombe na kuipromote na kuvaa misalaba
Пікірлер: 96