SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE UWE WA KWANZA KUONA: bit.ly/3MraYdQ
@lubnaali7242
Жыл бұрын
Haha kwli kbsa
@safinakemibalo723
Жыл бұрын
@@lubnaali7242 yaani huyu mama anafurahiya mwanae kuingia motoni
@zena6203
Жыл бұрын
Kweli kabisa
@user-xf4wp9yh6s
Жыл бұрын
Yaani huku mwajifanya mungu sana kwani kua Islam ufai kufurahia maisha ati mtoto ataenda motoni kwani nyi ni Mungu wachieni mwenye hukumu kazi yake na muache unafiki
@user-qj8fj8dv2c
10 ай бұрын
М
@mwanamwinyikutunga7884
Жыл бұрын
Allah atuongoze katika njia iliyo nyooka. Huyu mtoto mashaallah sauti yake yapendeza kusoma Quran
@fatnahussein6087
Жыл бұрын
Sana
@fatmabakarimohammed
Жыл бұрын
Amiin inshallah yarabbi
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Subhanallah hakika
@safiaabdalla7192
Жыл бұрын
U r right
@shaphaina9941
Жыл бұрын
Nikweli
@fatmaomar6760
Жыл бұрын
Masikitiko sana kwa wazazi wa huyu mtoto kum entertain kwenye mambo ya munkar... Udongo hupatilizwa ukeli maji.
@idrisaabdallah3789
Жыл бұрын
Asalamu alaikum 😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@yasminjuma9146
Жыл бұрын
Mtoto ma sha Allah anakipaji kweli. Lkn wewe mama kuwa makini na mtoto wako kun husda. Na pia muelekeze katika dini sana sio mambo ya nyimbo. . Pole mama mzazi
@halimahassan3031
Жыл бұрын
Mashallah.... mpeleke mtoto akasome elimu ya dini coz hii Dunia ni mtihani
@aishaemanuel1262
Жыл бұрын
Unajuaje km hasomi??? Mnafik wewe mwnyew hujui llte
@NR-ll4sr
Жыл бұрын
@@aishaemanuel1262 hahahahaha
@fatmasaid7093
Жыл бұрын
Fact
@AminaAhmed999
Жыл бұрын
@@aishaemanuel1262 angesoma dini asingeenda upande wa wasanii hivo vitu viwili haviendani
@shamsahaji6202
Жыл бұрын
Watajutia baadae kwa hili pole yao Allah amlinde mtoto
@lovenessmuzdiddy1936
Жыл бұрын
MashaAllah mtoto anasauti Nzuri yakujifunza Qur'an nakusoma dini ya Allah Mama mpelek mwanao kuisoma Qur'an kitabu chak Allah nasio kumpa shetani nafasi
@iamloulou8477
Жыл бұрын
Mpeleke wako
@nasirumbiquranlngmadinah8489
Жыл бұрын
@@iamloulou8477 ome muweza ati😂😂😂😂😂😂
@qaisomarmunshid8934
Жыл бұрын
MashaAllah Comment Zipo wazi dadaangu mpeleke mtoto akajifunze Qur'an (Ni wema tu wanaokutakia) Huenda hujagundua kama mwanao ana uwezo wa kusoma Qur'an ila penye wingi kuna ukweli💓
@muzlishcareen3568
Жыл бұрын
Nataman siku moja mwanangu atrend kwa kuwa msomaj bora wa Quran Inshallah
@nitaimu2583
Жыл бұрын
In sha allah
@fathiyaomar9009
Жыл бұрын
Amin
@eshamohamed4458
Жыл бұрын
Aamin
@mawdinhassan6853
Жыл бұрын
Amiin
@nassormagori3791
Жыл бұрын
InshaAllah
@aminaibrahim6811
Жыл бұрын
Mtoto mzur mashallah.....ilaaaa mnamuharibu mpeleken madrasa mumfundishe elim ya Akheraa na sio ya duniaaa Dada
@rahmamuhidini7301
Жыл бұрын
Aku binadam anaejua kulea nikumuomba mungu atuongozee wtt wetu ila huyo mtt mpelekeni chuoni
@joanhubbard1490
Жыл бұрын
Amina Ibrahim, A love for God is a good thing but we also have to survive here on earth so I don't think it's wrong for us to use our God-given talents or looks to support ourselves legally. Also, I don't know much about your culture so I don't know if women work outside of the home or are encouraged to stay home and raise the children. World events and finances are changing so quickly that it is sometimes necessary for a woman to have a career as well as to be a Mom to help pay living expenses.The child has eyes that are mesmerizing and it's no more sinful to be a beautiful female than it is for a male to be wealthy. No insult intended.
@safianamani1375
Жыл бұрын
❤❤❤🎉🎉🎉Nice eyes Mashallah....
@shadyaalismaily8802
Жыл бұрын
Dadaangu samaki mkunje angali mbichi usiseme saivi mdogo anafanya kama fun akishakuwa mkubwa hutoweza tena kumkataza, hata kama unamhisi hana hobby ya kitu chengine basi usimshawishi kuendelea na manyimbo. Wewe ni muislam muongoze katika mambo ya kheiri dunia ni mapito na utakuja kuulizwa mtoto ulimlea katika maadili gani. Just nakupa nasaha dadaangu hujachelewa bado waweza kumshughulisha na mambo ya kheiri mtoto. Khasara kubwa wallahi. Namuombea dua Allah amuongoze katika maadili ya Kiislam yarab🤲
@azizaaziza7996
Жыл бұрын
Nihakika wazazi wezetu wakisha kuona mtt wa aina hio Wana furahia hawajui kama nihasara baadae ewe mzazi mwenzangu mtt usimpe sapota hio utabeba jukum kubwa mbele ya Allah muongoze muogozo wa nini
@yousuphnzira3209
Жыл бұрын
Fact
@yousuphnzira3209
Жыл бұрын
Fact 💯
@Official83640
Жыл бұрын
Wanaopenda ujinga watakuponda lkn umenena hasa na kweli tuseme bora angemfundisha mambo ya kheri lkn huko anakompeleka siko Astaghafilullah
@barkehfarid1178
Жыл бұрын
Inamanishaa anamuweka mziki sana angemukea quaan angeshika nakuhifadhi nyimbo sio madili ya kislamu mm nimeweka masharti kwangu kwangu hakuna nyimbo hakuna movie za romance Allah atuongezee watoto wetu
@jumaramadhan1600
Жыл бұрын
Natumai mama umejionea comment nyingi ni za kulingania dini. Huo ni mtihani kwako kama mzazi jitahidi kufaulu kwa ajili ya Allah. Dunia tunapita wapo wengi wazuri ata zaidi ya huyo mtoto na sasa hivi hawapo. In sha Allah Mungu atuongoze sote tuliochangia kwa ajili ya Allah.
Wallah Allah hatakuacheni salama ninyi msipompa elimu ya Allah...furahini Leo ila mtajalia..mtajavuna mnachopanda..
@halmahashim2864
Жыл бұрын
Subhanallah dada mfumze mtoto Quran na si nyimbo Allah atakuuliza juu ya amana Alokupa Allah atuongoze umati Mohammed
@jaltaabecuisine6611
Жыл бұрын
Hello! I don't speak the language but I am very happy for the parents of this cutest girl 🥰😘😘🥰❤️❤️🤩💕❤️😘❤️. May Allah protect and bless her yaa Rabbi !!
@mariamacisse5972
Жыл бұрын
Amiine y’a rabbi ❤❤❤❤🥰🥰🥰so amazing
@sabrajadihamad1751
Жыл бұрын
subhana llah binaadamu tumejsahau kabsa 😭😭 dada angu uo ni mtihan mkubwa alokup Allah dada angu Allah anakujaribu utampelek katika njia gni uyo mtoto Allah amempa kipaji kikubw uyo mtoto lkn dada ngu mpleke katka za kher ucmpelke ktk njia za shari hapo ndipo utaushnd mtihan wake Allah muhifahishe kitabu chake kitukuf Qur-an na ucmuhifdhishe amali za shetan nakuomb dada agu kwsababu kila mtu ni mchung na ataulizw kile ambacho alichokichunga. kumbuka kun cku tutarejea kw Allah usimbebeshe dunia mtoto dada anguu😭😭😭😭
@fatmahamad6177
Жыл бұрын
Allah akuongoze mtoto uwe hajat sio muimbaji bado mapema Inshallah.
@abuuahmad5270
Жыл бұрын
Pumbavu uyu dda
@thenailarchitect0808
Жыл бұрын
I thought she was a dam avatar she's so beautiful ❤️ her little eyes at the end had me 😆😂
@fahminasser3855
Жыл бұрын
Mungeweza kumuhifadhisha quran na mambo ya kumpendeza ALLAH hakika yy pamoja na nyinyi wazazi wake mungepapa jazaa yenu kuliko kumuhifadhisha mambo ya muziki
@fatoomaaziz2549
Жыл бұрын
Swadakta kabisa
@balqisbalqis5830
Жыл бұрын
mtihani mkubwa huu tafadhali muelekeze mtoto kwenye akhera yake nyimbo sio tija ni mapambo ya dunia tu hayo muogope Allah
@aishaemanuel1262
Жыл бұрын
Apa wewe mwnyew n mnafiki kajambe mbele muislam swaf Hana mda wakuview ujinga huu
@tatianamtala9691
Жыл бұрын
Akuna kitu kama icho ataungana na waimbaji wenzie iyo siku ya mwisho
@salmasleyum8441
Жыл бұрын
Hakika nyimbo haitompeleka akhera muongoze katika njia iliyosahihi maana mtoto wako masha allah mfundishe kuhifadhi Qur'an
@damariszuckschwert9489
Жыл бұрын
Ya Mungu hawashiki.,siyo Wakiislamu au Kikiristo..,lakini vya dunia hawajambo. Shetani ana nguvu nyie
@nanaritho6850
Жыл бұрын
@@aishaemanuel1262 yaani Wana boa watu kama hawaaa wakati wao kutwa mitandaoni
@someparuranga7377
Жыл бұрын
Ila mama wwe una zima zaidi mana mda mwingi upo nae kwadunia nahera mckilizishe kuruani watu watackiza ila zima muogope alie kuruzuku mtoto mashallah mtumie kwa heri
@josephjohnmagesa8256
Жыл бұрын
Mtoto kipaji Iko unajuaje kama amfundishi kuruani
@zainabzain3434
Жыл бұрын
Sahihi kumuhifadhisha Quran hata kwa kiasi kidogo
@arafakiloli749
Жыл бұрын
Swadakta
@heyumi2340
Жыл бұрын
kabisa quruan ndio kila kity sio mizik
@aishaemanuel1262
Жыл бұрын
Achen unafik ndugu zangu hta nyie mitandaon mnafata anasa tu shuwain nyie waislamu swaf hawana mda wakuview vtu km hiv mlipo apo amjui hta kdgo Qur'an
@nancyfamilysharesmoments7634
Жыл бұрын
Kuimba hizo nyimbo sio sifa kuwa makin mzazi ohoo mfundishe mtoto kumjua Mungu zaidi
@minakhamiskhamisi6193
Жыл бұрын
Kumbeee muislm ehee
@nevestjunior619
Жыл бұрын
We unamjua 😂😂
@ummohammed8380
Жыл бұрын
Inalillah wainailah rajiuon Allah atusitiri na atuongoze njia iliyonyooka Dunia ni Mapito tu Tutakwenda kuulizwa Malezi tulowaleya watoto wetu Subhana allah
@gracamitchy1949
Жыл бұрын
She is beautiful with a great Talent.. sending love from Kenya 🇰🇪
@vklhkhjji8070
Жыл бұрын
Mpeleke mtoto akaifadhi Quran mtapata malipo kwa Allah hapa duniani na akhera, usimpe shetani nafasi mama
@nobodyog9512
Жыл бұрын
Haha
@fatumafatuma9931
Жыл бұрын
Hapo umesema...sio kumuunganisha n njia z kishetani
@wasilaahmad7913
Жыл бұрын
Ni kweli
@bintihassan6534
Жыл бұрын
Swadaqta
@subiraagidar1469
Жыл бұрын
Hakika
@hadijamiteya1582
Жыл бұрын
Subhanallah mhifadhizishe Quraani ni Bora zaidi kuliko hayo unayoyafurahia Mama Zuu badilika. Allah atakulipa.
@mamiyfeiy
Жыл бұрын
Hakika kesho kuzito tutaulizwa na Allah nini umemfundisha watoto wako
@haureyfeisal7854
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣jmn uki fika mbinguni utaulizwa ulikua unafanyann dunian kuimba unaeza chomwa moto au nan alienda aka lud kikubwa inam kwa mungu wko acha watu waendelee na maisha yao
@suleimanmuhammed1347
Жыл бұрын
Mama yangu Maisha ya kidunia nimafupi tujipange na maisha ya milele mtoto mtumie kwenye kumfunza Maadili mazuri Mtoto mpeleka Akasome Madrasa.
@arafakiloli749
Жыл бұрын
Swadakta ila hao wazazi wenyewe siyo watu wa dini, wana ucha MUNGU hawana.
@aishaemanuel1262
Жыл бұрын
Mnafk wewe mwnyew hujui chchte n mnafk tu HT swala hufanyi
@OnlyRuky
Жыл бұрын
Cute Mashaalah but bora ange hifadhi Quran jamaaaaani napia muhifadhini mitandao siyo mizuri hamuoni mifano especially nyie ni Muslim Subhanallah. Husda pia ni nyingi
@mamuumamuu7743
Жыл бұрын
Kabsaaa
@aishaemanuel1262
Жыл бұрын
Husda unazo wewe mja wa laana na mnafk hujui swala wala Qur'an
@OnlyRuky
Жыл бұрын
@@aishaemanuel1262 Vp Binti Emanuel mbona umepanick are you okay Audhubilahi minasheitwan Rajeem
@aminaamiri7684
Жыл бұрын
@@OnlyRuky huenda an undugu nae s buree maaan yanamtoka maneno subhana llah
@sikukuuchuo3093
Жыл бұрын
@@aishaemanuel1262 ogopa Mungu wako hakuna kibaya kasema hapo .laana inakurudia wenyewe
@badrumbarouk3377
Жыл бұрын
Dada nakushaur uyo mtoto mfundishe quruan ili amjue mungu zaid utapata fungu hapa dunian na akhera pia mzik hautomfikisha mahal pazur hasa kwa mungu nimafanikio ya dunia tu na ambayo anayachukia mungu pia
@nadrahassan5241
Жыл бұрын
Hu mtoto jamani atakuja kuhusudiwa Subhana'Allah! Allah atuwezeshe kuwalea wanetu kwenye malezi bora yanao mrizisha Allah 🙏
@natalisaid5414
Жыл бұрын
Sahihi ulisemalo
@malak-lz6kx
Жыл бұрын
Hivi kila mtu anasema ni husda ndogo hyo
@ramanyengele1112
Жыл бұрын
subhanallah
@sandraswift3489
Жыл бұрын
Lord pls protect these children from evil
@momogunsabah
Жыл бұрын
Amen
@lorinechemutai
Жыл бұрын
She's so so pretty, I hope she gets any commercial ads contract, she's so talented.
@miystiqueskillz2233
Жыл бұрын
That's right sell her beauty right to Satan what a beautiful idea...👀👀👀👀👀📴📴📴📴📴
@salimharrasy7047
Жыл бұрын
Ndugu yangu wewe ni Muislam. Nyimbo hazitompeleka katika kuujuwa Uislam. Muombe Allah atuonyeshe njia salama.
@nanaritho6850
Жыл бұрын
Watu kama nyie hamkosagi khaaaa
@ummuabdurrahman9755
Жыл бұрын
@@nanaritho6850 Acha kutetea maovu ww
@shambalavyombo5092
Жыл бұрын
Wabongo kwa kupenda kujifany mnajua mambo mema. .ko katka dhambi zote mmeona kuimbaa .unafiki
@khadijatanzania8040
Жыл бұрын
Yaan nimeskiliza intaviwe ila hata sijaipenda kabisa mtoto muislamu ana jina zuli Mashaa llah et mnamsikizisha manyimbo ya kimapenz hata kama ni mtoto lakini mkumbuke anakuwa huyo mnampotosha mtoto tu wazazi wacheni ujinga
@fatmaomar1881
Жыл бұрын
Mtt angemuhifadhisha quran
@lisahhans295
Жыл бұрын
Huu ni ujinga tu kuharibu mtoto shenzi.utaona matakeo baafa ya miaka kumi tu.acha uoumbavi mama peleka mtoto kwa maadili ya dini na shile shenzi kabisa wote.mpaka mtangazaji.
@menalikechildren8836
Жыл бұрын
ndo Waislamu wa bongo walivo
@eashaeasha9776
Жыл бұрын
Nashangaa wanao sema mashaAllah 😏
@chayogasperi9783
Жыл бұрын
Baba na Mama wanamuandaa mtoto aje awe Zuchu wanunuliwe magari na nyumba kama Bi Hadija Kopa .
@geitandelwa299
Жыл бұрын
Twataka Sana kujullikana na watu duniani mmmh Ila kiama kipo tumutafute MUNGU na Sio kuwapeleka WATOTO jehanamu ya Moto
@shambalavyombo5092
Жыл бұрын
Una dhambiii ngapi Binti malaika
@behriyaalkhwildi4220
Жыл бұрын
فعلا❤ جميله جدا الله يحفظها ويحميها يارب 🙏 تبارك الرحمن عليها الله يحفظها لي امها وابوها 😊
@user-de2ou4zm1p
Жыл бұрын
Please lady, keep your child away of social media and protect her well, children need to be SAFE.
@biubwamohd6089
Жыл бұрын
Mnatafuta maisha kwakupitia mtoto acheni kumharibu mtoto jamani mpelekeni katika dini kur ani ndio itamueka pazuri
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Wakwako wameshafika huko unakotaka wamwezako afike ama ujuaji mwingi
@kidukakiduka680
Жыл бұрын
Ewe mwenyez mung wape ufaham wazazi wahuyu mtt wakujue ww ili wampeleke katka kukujua ww amin
@amriyalibent5900
Жыл бұрын
Malezi gani hayo unaona sifa leo au furaha leo lkn mbele ya Allah utajibu
@minakhamiskhamisi6193
Жыл бұрын
Swadkt kipenz
@moanamessi1749
Жыл бұрын
Kweli wazazi wanapotosha mtoto,muekeeni mambo ya Mungu,samaki mkunje angali mbichi
@samwa9496
Жыл бұрын
muendeleze kipaji chake dada watu wanamaneno hawatoacha kusema, kila mtu na alichopatiwa na Mungu.
@shambalavyombo5092
Жыл бұрын
Umeona eeeh.
@sifrajenterprises5002
Жыл бұрын
Niko eu huyo mtoto ametrend kuliko Diamond siajabu wangepata pesa kupitia mtoto wao waja jamani, je akimaliza la saba na mimba juu
@angelafri256
Жыл бұрын
This by so she is so beautiful Jesus, precious Zuu we love you much love from Uganda 🇺🇬❤️🌹
@abuumuhammad7133
Жыл бұрын
Wewe Mama na huyo Baba yake malimbukeni sana yaani mnamtangaza mtoto wenu anauhodari wakuimba? SUBHANNALLAH Dunia imefika mwisho badala kumkataza na kumtafutia kusoma Qur-an na akaijuwa Qur-an mnamsifia ujinga haya mtaarisheni zuchu mwengine, ilaa kila mtu ni Mchunga na kila Mchunga ataulizwa na Allah jinsi alivyochunga.
@sharfumbarouk6168
Жыл бұрын
Wala hawajui kamwe Kama wao Ni wachunga na wataulizwa Ni ujinga kwenda mbele
@annadaniel7773
Жыл бұрын
punguzeni udini hlf nyie cyo wakutoa hukumu wkt yakwenu ni zaidi ya huyu mtoto anaeimba🙏
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Umemaliza kila kitu siongezi
@lewisleonard3672
Жыл бұрын
Ila watu mnajikuta mshafika mbinguni kuanza kuhukumu watu embu acheni makasiriko 🙄mtoto bado mdogo. Go zuuu❤️
@khayratmhina3735
Жыл бұрын
Yaani
@janeongala6684
Жыл бұрын
Kabisa
@josephclaud4637
Жыл бұрын
Mtt anafundishwa tangia mdogo
@palokuthereza2555
Жыл бұрын
Yaani waislam sometimes utadhani heaven ni yao peke yao na mbingini Mungu hajui ata madini yetu
@josephclaud4637
Жыл бұрын
Mambo ya dini ya nn sasa jaman acha hizo
@peacekenneth6013
Жыл бұрын
You have the most beautiful baby girl ❤ am glad ur one open minded woman don’t mind em the baby is urs and she is blessed to have parents like u ❤❤❤
@fatumanatori9456
Жыл бұрын
Assalamu aleykum...Mama zulekha mpeleke mtoto katika misingi ya dini Dadangu inshallaah mwenyezi mungu akuongoze 🥰🥰
@shambalavyombo5092
Жыл бұрын
Wabongo kwa kupenda kujifany mnajua mambo mema. .ko katka dhambi zote mmeona kuimbaa .unafiki
@allyadam7355
Жыл бұрын
Yaa Rabbi tunusuru vizaz vyetu wakujue
@arafakiloli749
Жыл бұрын
Aamiin ya Rabbal Allah min shukran
@heyumi2340
Жыл бұрын
inshaallah
@aishaemanuel1262
Жыл бұрын
Ungemjua ww usingeview hii ktu ungekaa uswali uko na kusoma qur'an shuwain
@lovemwantiti8130
Жыл бұрын
@@aishaemanuel1262 Astaghufirullah.hivi wewe mkristo au mpagani maana kwenye uislam haupo.alafu unatetea ujinga sana.ipo siku yakujuata ujue.
@m.mmarckus6298
Жыл бұрын
@@lovemwantiti8130 kwahiyo naww umeona wakristo ndo wahovyo siyo.jamn vibaya sina chakusema kwakweli iliradi kwangu dini niimani na matendo jina la dini niutamburisho kwamba uko upande gani
@aminahassan4214
Жыл бұрын
Allah tunusuru yani mzazi wa kiislamu mwanao unampeleka kwenye muzik. Masikitiko makubwa kweli kwa Allah kwanini usimfunze Quran ya Allah
@haithamjuma2472
Жыл бұрын
Subhanallah mamake hicho c kipaji cha kushangiria eti Zuleikha.Tobaa mtihani huu mama we kwa mwenye akili hasa akiona hii atakutoa thamani kwa kweli muelekeze kwenye akhera yake
@sharonpirmohamed4665
Жыл бұрын
Muhifadhishe Quran mtoto kesho atawaombea duaa na mtatengeneza mwanamke ataempendeza Allah
@selemanimashaka371
Жыл бұрын
Huna malezi we mzazi hujuwi hipo siku utatoweka duniani mtoto mdogo ahifadhi coran na asome njo vizuri mengine ni upuuzi
@arafakiloli749
Жыл бұрын
Swadakta
@aishaemanuel1262
Жыл бұрын
Mnafik tu wewe nakujuwa watoto wako wachafu tu waovu na wewe n firaun mitandaon unafta nn
@magynzioka1122
Жыл бұрын
Mtoto wako amelifathi Qur'an
@hidayarashidi5484
Жыл бұрын
@@aishaemanuel1262 wewe nais ulitoka kwa farao
@hidayarashidi5484
Жыл бұрын
@@magynzioka1122 naam amehifadhi
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Ww mama lntakillah Muogope Mola wako mpeleke mtoto Madrasa a kasome Dini yake acheenyimbo kwani haitokussidia ww wala yeye kwa Mola wake. Muifazishe koloan huyo. ..... Ushaulitu ukienda ufate ukiona. Haukufai basi Allah shaidi
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
@@faithzamani1965 hata kama anasoma dininiyetu unakataza . Nyimbo koloan haikai kifua chenye mijimbo ya miziki.
@OnlyRuky
Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 Lione Shetani hata kuandika Quran huwezi that's why unaeopokwaa ovyooo
@agnessmgaza3826
Жыл бұрын
Kuna baadhi ya watu wanapenda kujdge maisha ya watoto wa wenzio wakwenu sijui wapoje mwacheni mrembo bana wa badae jamani
@samratirashid2273
Жыл бұрын
Allah atakupa jib lako subr
@mariamjulias2595
Жыл бұрын
Yaaani wanaboa ooh dini ooh dini jmn kwani km mtoto anakipai aliyempa ni mungu jmn duu kuna mda wanaboa hee mm nakuombea mungu akuepushe na husda za wanaadam
@amosihokororo9702
Жыл бұрын
Kuna watu wanaocoment wanajifanya kama wao ndiyo mungu.kwendeni zenu mzae wenu muache kuwapangia watu
@kimberlytv7895
Жыл бұрын
Interviewer: unakaa wapi Mtoto: hapa yaani juu ya meza🤣
@missp4014
Жыл бұрын
Umefanya nicheke na sijamaliza kuona😂
@kimberlytv7895
Жыл бұрын
@@missp4014 🤣🤣
@dottowaziri1896
Жыл бұрын
QURAAN BORA ZAIDI KWA UMRI WAKE
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Naam kabisa
@zainabsururu293
Жыл бұрын
subhanallah mfundishe mtoto dini anty hayo c mambo ya kumsifia na hayo yote ni kuwa mnapenda kisikiliza nyimbo majumbani Allah akuongoze
@asmaaabubakar79
Жыл бұрын
Subhanallah huu ni mtihan kabisa mtoto anatakiwa aelekezwe kwenye mamb ya dini na mapema huyu
@kaleahcollins4567
Жыл бұрын
Why so they can marry her off to a old man she will never show her true talents
@bintihassan6534
Жыл бұрын
Mashaallah..... Hongera kwake lkn ingependeza zaidi km mutamuelekeza kwenye mambo ya dini maan itakupa faida ww mzazi wake km anaweza kushika nyimbo haraka ivo kwa nn usimfundishe Qur'an akaifadhi ili ukajivunia zaidi kwa sabbu hii ni dunia tuh aitamfaha ktu
@nadanasser1020
Жыл бұрын
Katoto kazuri mashaa allah
@harmahabari1888
Жыл бұрын
Tuwafunze watto helimu ya akhela cyo kukalili miziki haitomsaidia chchote
@thaniakassim7687
Жыл бұрын
Kumhusudisha tu mtoto...Muhifadhi mwanao
@aishamwilima7398
Жыл бұрын
Ndomana wazungu wanafika mbali sioni ubaya mtoto kuwa na kipaji wangapi wameshika dini nyuma ya pazia ni wachafu embu tusiishi kimazoea na tusipende kuwa mungu wangu kujudge mambo 🙏
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Kabisa kila mtu humu mtoto vile mtoto hivi lakini wakwetu utashangaa ukiwaona
@farajaprosper4666
Жыл бұрын
Wabongo tunafeli sana tunachanganya vipaji na masuala ya dini ifike mda tuendeleze vipaji ndo hawa kina beyonce mtoto anaanzia akiwa mdogo MPK afikie mkubwa anakua anajua cha kufanya Tukuze vipaji vya watoto wetu km wazungu wanaanzia kukuza vipaji vya watoto toka wakiwa wadogo keep it mum angalia future ayo mengine ya allah ni ya kwako binafsi
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
Na tunapenda kurea watoto wawatu ila wao kawatazame unakutana na panya buku kibao
@asmajuma4960
Жыл бұрын
Ebu mfundisheni madini mema msimuingize kwenye mambo ya kishetwani mmmmmh kwakweli uwo nimtihani Siyo misifa
@user-mq6lu2po3y
Жыл бұрын
Subhanalla iyo nyimbo aliyoimba mtoto dah Dunia imeisha
@zamdaomanizamdaomani3172
Жыл бұрын
Kujifanyaga wakamilifu nyie 😅😅
@fatmabakarimohammed
Жыл бұрын
Subhanallah mungu atustiri inshallah 🙏
@jembry5323
Жыл бұрын
What a beautiful angel, just gorgeous!
@someparuranga7377
Жыл бұрын
Bora akiwa mkubwa atajibebesha ila mzazi ushamuonyesha njia bora mma mtoto ucfurahiye kama ni muiclam mckilizishe maneno tukufu inshallah Allah akupe chaguo hilo
@aishaemanuel1262
Жыл бұрын
Usijifnye msaf mnafik ww
@hidayarashidi5484
Жыл бұрын
@@aishaemanuel1262 mnafki ni wewe mtoto wa farao wewe
@muniramsati5345
Жыл бұрын
@@hidayarashidi5484 🤣🤣🤣🤣
@najuf8021
Жыл бұрын
Kama nianakariri nakuweka kichwan kwanini msimkaririshe Quran namawaidha niushauri tu
@saidkhamisi9592
Жыл бұрын
Wee mama unajielewa kweli ? ....Allah akuongoe na amuongoe huyo mtt....acha upuuzi huo wakidunia
@salimusalim3610
Жыл бұрын
Shida wazee wakiingiliana awasomi dua kumkinga kiumbe kinachokuja na sehemu ya kuoa awe mwenye dini tunafata uzuri wanakuja kuharibu kizazi
@khoudjatandian3163
Жыл бұрын
I love this girl she is so beautiful
@salimally8496
Жыл бұрын
Allah amlinde mtoto mdogo huyu na njia kutokana na njia ya shetani. Nyinyi ni waisalamu ni vyema mumpe elimu ya dini na dunia yake. Mnamuharibu uyo mtoto kumuimbisha minyimbo ya shetani. Mungempa elimu kwanza basi angefika mbali. Kuweni makini nyinui ni waislamu
@rahmarashid2483
Жыл бұрын
Kipaji hiki masha'allah angekitumia Zaid kwenye mambo ya kheri
@sabrinamahsen836
Жыл бұрын
Ww umesema vzr saana🤝nakuunga mkono sio hao wengine wanakaa kusema ya wenzao utafkir wao wamekamilika😏
@seinabelimi2296
Жыл бұрын
dada yng km ana kariri bs ni vema mumuhifadhishe quran huko ndo kufaulu kwenu na kwake usione fahari kuzaa bali ona fahari kujua tabia zake huko ndo kufaulu dunia mapito Allah amuhifadhi awe mtoto mwema na amsimamie atoke ktk huo ushetani Ammyn🤲🤲
@celiakombo5173
Жыл бұрын
That's her God given talent,wishing her the best nd Gods protection over her life 💝💝💝💝💝💝💝💝
@sapnaabdallah6756
Жыл бұрын
Mtihani mkubwa ya Allah tuongoze katika njia ilionyooka
@khadijakhamis381
Жыл бұрын
Inalilahi waina ilayhi rajiun.. Allah atusamehe n atuongoze n vizazi vetu
@amrkellykelly1382
Жыл бұрын
Qullukum Raayy wa Kullum Mass oull Aniraayyy. Mama kama hujamlea ktk maadil Mazour jiandae Majibu Yauma Yaquumul Hisaaabb
@sanoureyaliwadoakaroyo1696
Жыл бұрын
Mama Mtoe uko Mtto Utamuaribu Kisha Kesho Unayakujibu Mbele Ya Allah
@fabssaleh7273
Жыл бұрын
Mpeleke Madrassa. ALLAH SWT AMJAALIE awe Hifdh QURAN IN SHAA ALLAH
@sofitanzanian955
Жыл бұрын
Kweli kiyama kimekaribia mama anafurahi kabisa aimbe
@fatmabakarimohammed
Жыл бұрын
Mungu atustiri inshallah 🙏
@charleskuyeko4400
Жыл бұрын
Huyu mtoto apelekwe shule ya kimataifa akasome. Katika miaka 7 anaweza kuwa Chuo kikuu na ni hazina kwa Taifa. Asiishie kuimba. Na asikatazwe kuimba lakini shule nzuri ni muhimu sana kwake.
@alawisaid280
Жыл бұрын
Sidhan Kama nisifa nzur mtoto wa kiislaam kuimba nyimbo huyu mtotot atakuja kuwashtaki wazazi kwenye mahakama ya allaah
@aishaemanuel1262
Жыл бұрын
Kajambe mnafk ww
@halimasaid4977
Жыл бұрын
@@OnlyRuky anakera sana anatetea uovu mpumbavu huyu
@damariszuckschwert9489
Жыл бұрын
Wakifundishwa ya Mungu hawashiki siyo Wakiislamu au Wakikiristo. Shetani ana nguvu nyie.
@alawisaid280
Жыл бұрын
@@aishaemanuel1262 Mtihani huu jaman unatetea nini sasa
Subhaanallah!!! Sasa hii nikitu yakujivunia nakuwa proud na huu upuuzi 🤭🤭 lkn silaumu Sana hii ndio matokeo baada ya wazazi kosa kujitambua so enjoyini tu Bora haitakwa milele😓 kwafupi Huyo mtoi namhurumia Sana Huku wazazi wakijivunia na upuuzi hakika huo sio utalent yotete wala mtoto haanag maamuzi! Uzembe mkubwa tu Sanaa 🇰🇪
@fatmaomar1881
Жыл бұрын
Kipaji alicho nacho nichakuhifadhi mbona hamuja muhifadhisha quran? Mwampa nyimbo tu wampotosha mtoto
@munirazenji9819
Жыл бұрын
Kweli maneno yako
@graceneema8755
Жыл бұрын
Hichi n kipaji msijitie kuwa mnajua sana maadili YA Mungu,mshindwe nyie wenyewe wenu wako vipi 😏😏
@graceneema8755
Жыл бұрын
Dada usijali na maneno ya watu ,msaidie kipaji cha mtoto ,wasijidai kuwa wanajua dini sana
@azzaalhabsi1505
Жыл бұрын
Subhanallah.kweli maji hufuata mkondo.inaonekana nyumba yenu ni ya miziki na ushetani hadi mtoto kazaliwa kwenye misingi ya muzik sio kuran.nadhani hata siku moja haijawahi kusikika sauti ya kuran ikisoma ndani ya nyumba yenu walau hata siku ya ijumaa tu kupitia tv na kwingineko.nyumba hiyo ingekuwa na maadili ya kiislam mtoto asinge ingia kwenye mtihani kama huo.allah amnusuru amuhidie amjaalie njia ilio nyooka amtoe katika wale walio potea.
@annengei2814
Жыл бұрын
She's beautiful n has talent keep the good work mama keep going
@gladnesssilaa6093
Жыл бұрын
Aiseee kama mzazi ningeumia Kwa kweli maan itaonekana Ina pendeza ila Kwa maisha ya baadae ya mtoto ni maangamivu makubwa
@janetgianna4090
Жыл бұрын
She is really beautiful i thought she is from Europe when first I saw her...much love baby gal from Norway 🇳🇴
@augustuss4503
Жыл бұрын
You thought she was from Europe? so African kids are not beautiful? Hvorfor trudde du hun var fra Europe?
@ГалинаШалабодова
Жыл бұрын
Чудо!!!! Чудо чудесное!!! 20 раз посмотрела и ещё хочется любоваться. Красота, чистота.....супер!!!!
@wahidaaidha544
Жыл бұрын
Yaani we mama unamhusudu mwanao mwenyewe
@mariamnkandi7354
Жыл бұрын
baada ya kuangalia video hii nimesikitika sana, ikabidi nisome comment za wengine nijue nao wanafikili navyofikili mimi hakika nimeshukuru mana wengi kumbe wameliona hili ivi kweli mama wa kiislamu unataka kumteketeza binti yako kwa mambo ya kidunia? Subhanaallah.... okoa nafsi ya mtoto wako wewe mama miaka miwili iyo na uwelewa alokua nao ukimpeleka madrasa atashika vingi kwenye dini ya Allah
@aishammbanga2184
Жыл бұрын
Nawewe mtangazaji mwambie anampotosha mtoto kwanamna moja ama nyengine
@juliettesimmonds5893
Жыл бұрын
Such a beautiful child, and as a mother of two girls, I was fascinated, so I came to the link immediately, but regrettably so, it's not in English. Wish them all the best..
@shadyajamali339
Жыл бұрын
Dada yangu utaulizwa mbele ya Allah kuhus makuzi ya huyu mtoto... nakusihi dada yangu na naihusia nafsi yangu, naomba umrekebishe hyu mtoto hiko kipaji ungempeleka madrasa awe hifadhi.. dada yangu unajitengenzea bomu
@annehaysanday9214
Жыл бұрын
Wee mama acha kumuendekeza mtoto kwenye mambo ya dunia,muelekeze kwenye mambo ya Mungu.
@Habiba-tb8iv
Жыл бұрын
Mpeleke madrasa sio kummezesha mtoto ujinga huyo dada muogope Mungu dada,
@lucykapinga369
Жыл бұрын
hongera MUOMBE SANA MWANAO kipaji hicho akaimbe kaswida na pia na madrasa na shule mkazanie vitamjenga katika ukuaji wake Utakuja mjibu nini MUNGU Badae
@popiya2368
Жыл бұрын
SubhanaAllah
@lazzettawebster9533
Жыл бұрын
A natural beautiful. May God protect her always. Parents protect her from.explotation.
@ruhaymanllymuhammed2094
Жыл бұрын
Mnapotosha kweli huyu mtoto kwann msimhifadhishe quran
@cherylcheryl7694
Жыл бұрын
We ushamaliza kile kitabu kama hujamaliza nenda kasome kunja goti
@azizasaid5255
Жыл бұрын
Mpeleke madrasa. Icho mkipaji sio ishu. Muhimu mpleke njia ya mungu.
Пікірлер: 1,2 М.