Waligundua kadhafariki ndo wakapanga ile propaganda
@calvinplumbingarusha
Жыл бұрын
Nimekuaa wakwanza nipate like zangu jmn
@martinhit400
Жыл бұрын
Uta zilaa😂😂
@anordgerison8639
Жыл бұрын
Za nn Sasa ....?
@alphadreammedia
Жыл бұрын
Kwahiyo😂😂😂
@calvinplumbingarusha
Жыл бұрын
Daah nyiee wabongo aisee😁😁😁
@kefajoseph158
Жыл бұрын
Hivi kwani uliamuwa kuwa mjinga
@yamusahmasoud9107
Жыл бұрын
Sky ww mmbuniph saana kaka unachokifanya niunapekee tupe mambo ucwe kama Millard katupoteza mwenyewe
@gabapentin8070
Жыл бұрын
🤣🤣🤣western propaganda sky kuna warusi kuna wachina ... wametulia wanavikosi hatari kuliko
@mylasadick5189
Жыл бұрын
Lakini kwann wanawaacha wafe wale wanao shindwa wangekua wanawasend home
@myself4128
10 ай бұрын
Usiongelee Speacial Force ukataja kenya Majambazi walishikilia Shopping malls siku 3 na mpaka leo hakuna aloshikwa Jeshi la Kenya ni Failure wanaogopa kufa balaa😂😂😂
@richshayo4924
Жыл бұрын
Mshahara uliotaja ni wa police&wanajeshi wa kawaida kwa hapa siyo sahihi niliowahi kuwa interested ni hela ya mbuzi bora nikadeliver hata pizza I will make more!
@shodristvtv6121
Жыл бұрын
Tumia akili ww special forces Kama us delta force , navy ,75th refer regiment, sio wanajeshi wakawaida na sio easy kuongea so mshaara wao lazima uwe mkubwa
@richshayo4924
Жыл бұрын
@Shodris tv TV mimi au author tatizo mnapenda kuandika makala za nchi za watu msizozijua bila ya kuwa na research ya kutosha kwa lengo la kupata viewers na si uhalisia I been here for the last 18yrs in US
@myself4128
10 ай бұрын
ukishapass selection ya special force kwanza unapigwa $100,000 na marupurupu kama Yote wanahela wakosafi asikuongopee mtu ila lazima ujiunge na Jeshinkwanza ndio unakuwa selected huko
@jeivinmtundu6032
Жыл бұрын
😂😂😂 kuna kokosi kinaitwa Wagner group hakisemwi Ila ndo shidaa
@furahamwaisemba6532
Жыл бұрын
Navy saul hamna kitu na PMC Wagner ndy habari ya Ukrain kwakweli...
@legap8786
Жыл бұрын
@@furahamwaisemba6532 navy seal ni kikosi lakini PMC Wagner millitary contractors(wakandarasi wa kijeshi) na siyo kikosi ,PMC Wagner unaweza kuwa linganisha na BLACK WATER ya america au G4S ya uingereza
@FeruziIsa-nc5vo
3 ай бұрын
HAWANA JESHI LOLOTE WAMAREKANI. KAMA WALISHINDWA AFGHANISTAN,SOMALIA NA VIETNAM
@EdwinJambo
3 ай бұрын
Kikosi maalumu cha makomando jwtz kifahamika kwa jina gani ?
@emmanueleliah8866
Ай бұрын
Hawa seals wachumba tu .delta force ndo wanaume
@ccnjacob5688
Жыл бұрын
Nakukubali kaka kesho tupe WAGNER' PRIVATE MILITARY
@ferdinandkaulule127
Жыл бұрын
Dah wale jamaa ni hatari sana mzee ,unaweza kuta ni bora kuliko hata majeshi kamili ya mataifa mengine
@msangodiesel3132
Жыл бұрын
Kwa mrusi
@AlexOli-q6r
29 күн бұрын
Kuna mwana muke aliefaulu kweli
@brownie_dee8655
Жыл бұрын
Waache wavunjike hio mifupa si wanaifata wenyew hio course..
@adamzakaria5860
Жыл бұрын
hiyoo.ndio special forces commandos nakubari sana hata tz si wapo lkn au
@fabianayubu6738
Жыл бұрын
Wakutosha
@mirajimwango5763
Жыл бұрын
KAZI NZURI
@evaristbamfu7149
Жыл бұрын
Yaani dola afutatu?
@erickrakitic9113
Жыл бұрын
Wagner PMC ndiyo kiboko ya hawa jamaa 🇷🇺
@greysonchogga4379
Жыл бұрын
Wagner habari nyingine 💥💥
@nakalikyumile3234
Жыл бұрын
Hao ni hatari kwa watu dhaifu, kama hatari waende kwa putin wakione
@oswardniko9846
Жыл бұрын
Uko sahihi waende Urusi tuone
@joycefelix9047
Жыл бұрын
Unafikiri kila kitu ni kwenda kwenda tuu
@robsonwisdom1994
Жыл бұрын
Nikikosa makala 360 naumwaaaaa
@kisjohn3435
Жыл бұрын
Kikosi hatari zaidi najua ni JTF2 duniani
@yohanamasanja9323
Жыл бұрын
Niukweli
@Daniel-g2f6v
3 ай бұрын
Canada iyo
@biddii1972
Жыл бұрын
We nzetu wametuacha mbal san
@johnadam3923
Жыл бұрын
Nakubali xnaa hicho kikoxii
@eugenejr.8844
Жыл бұрын
Nafuatilia sanaa 360°
@idanysedrc1200
Жыл бұрын
Waende Ukraine😃😃😃😃wakutane na wanaume kamili
@rocyncathbert4527
Жыл бұрын
Siyo swala la kuongelea mapenzi kaka hawa jamaa hawafai
@fadhilplatnumz8474
Жыл бұрын
Duh- nizaid ya COMANDO 👍✔️
@lirastanley390
Жыл бұрын
Yani ni hatari sana,pagumu sn sn
@Burner_Acc
Жыл бұрын
US imepigwa Somalia 1992 US imepigwa Saigon, Vietman US imeendeshwa na Iraq na wanamgambo wanaovaa makubazi tu. US imeendeshwa Afghanistan hadi wameondoa majeshi yao. Hao special forces wamesaidia wapi? Mnaangalia sana movies za kuyapamba majeshi ya marekani movies zenyewe zinakua funded na CIA.
@myself4128
10 ай бұрын
UNAPOONGELEA special Force au best in The world ni SAS ya Uingereza Sababu wao ndio wamewafundisha Navy seals,Navy Seals wana special Unit Team 6 ndio wazuri zaidi lakini waingereza wa kwanza wamefanya missions nyingi na walifanikiwa sana,wameanzisha vikosi maalum kipindi cha vita ya pili ya dunia wanauzoefu sana!
@herbertygeofrey2724
Жыл бұрын
Number ya malipo ni number IPi pale
@gauchogaucho7583
Жыл бұрын
Waende🇺🇦🇺🇦
@SwaabirMuhammad12
Жыл бұрын
Umeingia ninapopapenda...movies zao Tu unajuw hawana utani hawa jamaa....km unapinga angalia movie inaitwa Lone survivor,na Act of valor.utajuw hawa c mchezo
@briankimario5391
Жыл бұрын
Wako vizuri kwenye movie lakini battle ulizia Wagner wafu wanaotembea
@valentinernestkavishe7297
Жыл бұрын
Waje watano mimi natafuta Wagner mmoja tu anawatosha
@jeremiahdonasian9493
Жыл бұрын
Mbn kama mshahara wa $3000 kwa mwezi n ndogo sana 😂😂😂😂 na haina mashiko kwa us citizen kujuinga na jeshi
@boskoe33
Жыл бұрын
Thanks!
@SimuliziNaSauti
9 ай бұрын
Thank you
@FredMwamgogwa-td6ni
7 ай бұрын
Najifunza mengi sana toka kwako Bundala
@wilonjabikey8274
Жыл бұрын
Kuwa navy (jeshi la maji) so rahisi man mwenyewe nili quit hapa USA 🇺🇸
@rajuxcharity
Жыл бұрын
American hawaja muua Osama bin laden kafa mda mrefu na ugonjwa wake mngine sio hao washenzi😴 Nani aliona maiti ya Osman American ilisema kwa kujikosha tu
@wvink_1885
Жыл бұрын
Broo hiii story hamna ,kikosi kimeanzishwa 1962 ,siri yake imekuja kutoka kipindi cha vita ya dunia ya pili ,na vita ya dunia ya pili imeisha 1945 , i dont see any logic and alignment in the story 😂😂
@emnanuelimtui1805
Жыл бұрын
Amna kitu sahv urussi is everything kwetyu ssi sio au mashoga na wauwaji Africa tuamke tuache shobo nao
@Fardadihd
Жыл бұрын
Wende russia basi wakapigane na urui wasitishe watu na kuvamia nchi zaifu
@veraisaria
Жыл бұрын
Skywalker ur truly Skywalker big up sana bro sasa uje kwenye vingamuzi
@salimucvales7495
Жыл бұрын
Unastahili pongezi
@fadhilikimaya4418
Жыл бұрын
Ni hatariii
@didiermweze
Жыл бұрын
Mhhh mafunzo kweli jamais ? ??
@hafidhmohd8696
Жыл бұрын
eebwana wee Osama hawakumuua mtu akiyewatesa miaka kwa miaka at wamemuua na kumtupa wasimuoneshe wapi wamarekani wanavopenda sifa wasimuomeshe wapi wangekuja na hata mkono wake ilimradi kupata sifa
@furahamwaisemba6532
Жыл бұрын
Hao Seal Teams, Delta forces Hakuna kitu more than 20 years in Afghanistan wameishia kuwithdrow.. Middle East wameishia kuoverthrow then Run🤣 ... Sasahivi kipimo cha elite souldiers ni UKRAINE So hii story bro itakuwa poa zaidi next time coz USA amedeploy hao Seal Teams in BAKHMUT Ukraine hivyo ngoja tuone...
@michaelthobias9967
8 ай бұрын
Hizo Huwa ni stori zawatu wasio wapenda hasa wengi duniani wanaichukia marekani hasa kwa sababu ya dini na utaifa marekani amezipiga nchi nyingi za kiarabu na za watu wa Asia wanaichukia amerca ila haifuti ukweli ndio bora kuliko taifa lolote bila kuwa bora huwenda Leo isinge kuwepo duniani mana wengi wanaichukia marekani hivyo Kuna propaganda za kuwaonesha kuwa si lolote uhalisia sio kweli
@rafathealfa2237
Жыл бұрын
Haya ndo mambo magharibi wanapenda kuyaskia
@saidmpoma278
Жыл бұрын
Nimeipenda
@joviangeofrey6918
Жыл бұрын
Habari muluwaaaaaaaa
@adamyassini8306
Жыл бұрын
Amna kitu apo mnawapamba tuh
@jackhans7708
Жыл бұрын
Sasa kama ni hatari mbona wakula kichapo cha mrusi huko ucrain?
@greysonchogga4379
Жыл бұрын
Unawajua Wegner
@stellah3844
Жыл бұрын
Hata mimi ningeacha siwez looh
@abedinegoraphael4774
Жыл бұрын
Napenda film zinazoelezea operation za Neavy sana
@IbrahimRajab-s3o
Жыл бұрын
😊u
@jimmymeshack8725
Жыл бұрын
Week ya kuzimu
@shoshifataki5825
Жыл бұрын
bakuye home congo pls uvira for life
@maigegeorge9705
Жыл бұрын
Sky wewe nifundi Sana 🔥🔥
@directorimmah_vfx3043
Жыл бұрын
Tanzania kuna Sungusungu au? mbna aujataja sas
@charleskudeli1526
Жыл бұрын
Jeshi sio Lele mama mapuuza hayatakiw
@kelvinpatrick8301
Жыл бұрын
Ukweli hamuna mtu hanayejua ukweli wa malipo ya Navy seal makala ya 360 hapo niuongo mtupu mshahara was NAVY SEAL ni karibu Dola Mia 600 huyo ukweli
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Duh! Inatisha
@jamilaathumani5481
Жыл бұрын
Hongera zao
@t.machembatha9241
Жыл бұрын
Hamna navy seals mwanamke
@noahlameck1564
Жыл бұрын
Mbona mmeacha kutuletea habari za wababe wa kivita yaani urusi Mnazikwepa Sana au na nyie ni wamaghalibi? Yule Dj alikuwa anakupa mfupa na maji unashushia ameenda wapi?
@AishaSaidi-n5e
10 ай бұрын
Atari
@michealbrowntv8095
Жыл бұрын
40k to 90 no a lot money just join army
@mohamedrashid9035
Жыл бұрын
Marekani kesha wapeleka hao Ukraine wanefeli tena wanakufa sana us navy seal Bakhmut wanekutana na Wargna
@africatanzaniatours
Жыл бұрын
Yaani wewe umejibu kishabiki na hata haujasikiliza maelezo yaliyosema hapa, umeambiwa hao ni kikosi maalumu kwa misheni maalumu Tena za kisiri, Sasa wewe unaongea vitu ata haufikili jomba
@tusaradrusia9670
Жыл бұрын
Marekani ahijatuma kundi la jeshi hata moja kwasa babu iyo itakuwa wazi kinjiingiza kwenye vita. Pia Raisi wa Marekani ahana mamlaka yaku ngiza nchi kwenye vita bali Congress na kila mmarekani atajuwa kama nchi ime ingiza kwenye vita.
@mohamedrashid9035
Жыл бұрын
@@africatanzaniatours mimi nakwambia kikosi hicho wesha pelekwa kisiri Ukraine mimi nimerewa vizuri tu unacho sema ni hatari Duniani na kikosi hicho hatari kwa nchi zisizo jiweza
@mohamedrashid9035
Жыл бұрын
@@tusaradrusia9670 wewe hata TV hakuna vikosi vinavyo itwa mamruki ni nini kunaviko hatari wameingia Ukraine kama msada mtari mwekundu kumbe ni wanajeshi wa Marekani hatari tena ni NEVIY wewe hadi BBC hawapi habari za ukweli mimi nipo Uhasibu huku tunafahamu kinacho endelea
@careenevance1535
Жыл бұрын
Ni kweli usa wamepeleka ivyo vikundi vimepgwa
@daudkuyunga378
Жыл бұрын
Saf
@ezekiambise2595
Жыл бұрын
Nice story
@MaikerChipepe
10 ай бұрын
Good
@ezekiakiwovele7794
Жыл бұрын
Vitani hamna kitu ao. Ila wazur kwa magaidi sio vita bana
@makkamadina8182
Жыл бұрын
Tanzania wao wana nini
@jeremiahluki7896
Жыл бұрын
Wasiojulikana
@King_Of_Everything
Жыл бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️
@BigZhumbe
Жыл бұрын
Tanzania hakuna special ops army???
@shodristvtv6121
Жыл бұрын
Inaitwa black mamba
@BigZhumbe
Жыл бұрын
@@shodristvtv6121 Thanks
@mohdyussah825
Жыл бұрын
Very true bro Sky 💪🏽💪🏽
@ibrahimaziz7158
Жыл бұрын
Bora wale wa kwetu wanavunja nondo kwa ugoko
@careenevance1535
Жыл бұрын
Leo umezingua sns
@sayshabani6350
Жыл бұрын
Weee kikosi hatali ni Wagner PmC . Marekani ni ukubwa wa magazetini2 Wagner PmC ni kiboko ya mashoga Hao wenu wamepigika sana uko Ukraine
@allysendege9592
Жыл бұрын
Wagner PmC ? ni zaidi ya miezi kumi na tatu wameshindwa kubisha hodi Kiev bado hupati mashaka juu ya ubora wao
@rosengandile129
Жыл бұрын
Tanzania tuna kikosi gani maalumu
@michaelthobias9967
8 ай бұрын
Kipo
@kwisa4899
Жыл бұрын
wallmt kwa saa 1 usd 14 mbona mshara wao wa kawaida sana
@mwitachacha6954
Жыл бұрын
Naiobea dunia mungu aiangalie kwa jicho ya huruma,wakati huu mgumu, na wa majanga,hakika huu Ni mwisho wa dunia hakika bado tutaona Zaid ya hayo kwa Sasa dunia inapitia wakati mgumu Sana, ndugu zangu mtafuteni mungu kwa bidii Sana yanayo kuja Ni Zaid ya hayo tunayo yaona mungu atubark
@shadrickmwanjabalaMwanja-vi8fe
Жыл бұрын
🙏🙏🙏
@willykarandu246
Жыл бұрын
Jamen mbona push up 75 kwa dakka 2 tu mie nawwza na wengi sana wanaweza au pengine umekosea record huenda n push up 700 kwa dakka 2
@zaburi2386
Жыл бұрын
Kaka hupig hizo push up hata 50 Kwa dk 2
@azammaganga9101
Жыл бұрын
Push up 75 kwa dk 2 huwezi acha kudanganya
@willykarandu246
Жыл бұрын
@@azammaganga9101 bro unajua dakka 2 n sekunde 120 sasaa kwahari tu ya kawaida dakka 2 mtu wa mazoez ushindwe kwer???
@willykarandu246
Жыл бұрын
@@zaburi2386 yaaani kma unapiga zoez trust me 75 push up unapiga broo tena ndan ya mda
Пікірлер: 144