Tuna mshukru MUNGU .Ktk viongozi wenye historia ya Taifa letu nipamja na huyu mwamba.
@geraldmadeda9006
Жыл бұрын
I like how you express yourself in speech in English but though no understand much kiswahili keep it up
@festokemibala5832
Жыл бұрын
Kama ni miaka 101 ni umri ambao Mwl Nyerere angekuwa ameishi na siyo umri "aliopata promotion ya kutwaliwa mbinguni"! Prof umepitiwa kiswahili kwa sababu unazozijua wewe. Umetupotosha Prof na hao vijana ndo umewapiga ya uso🙄
@ignasnyembo1256
6 ай бұрын
Profesa la sheria Tz. John hakukosea kukutoa jalalani. Bravo kabudi
@anthonylusato7176
Жыл бұрын
Hongere sanaa🎉
@georgemaganga3804
Жыл бұрын
Kuutaka Urais tu ndiyo wenzako hawakupenda ila kwa kweli una uwezo mkubwa wa kuelimisha
@geraldmadeda9006
Жыл бұрын
Congratulations pro
@abelisimoni1748
Жыл бұрын
Prof wa jalalani huyo pumbaf
@erickmoses7430
Жыл бұрын
promotion kwenda minguni au kuja duniani?
@gasukasombokasultanmasuga8792
Жыл бұрын
❤
@edenmpili5582
Жыл бұрын
🔥🔥
@zephaniamasatu5910
Жыл бұрын
pongezi kwako kwa ufafanuzi mzuri kwa hayati mwalimu julius nyerere, nakutabilia kuwa raisi wa tanzania miaka ijayo
@juliusrandich9726
9 ай бұрын
Miaka mia moja na moja...hapo ulikosea
@stevenkatani3047
Жыл бұрын
Hiz ndo miamba za tz
@foundationforcommunityhope7327
Жыл бұрын
Tupende tusipende huyu professor Kabudi kweli anafaa Sana kuwa kiongozi mkubwa labda Kwa sababu za chuki binafsi.
@lemonadesoldier1377
Жыл бұрын
Anawekewa ukuta but God is good at a time atakuwa
@samsonmwakikuti5318
Жыл бұрын
Kichwa sana hiki
@marymosha2707
Жыл бұрын
Tajiliba = experience
@jamaa2760
Жыл бұрын
Muara=coherence
@AbdulMajid-kj5bi
Жыл бұрын
Shikamoo
@husseinkarim6745
Жыл бұрын
Kutafaisha bila kulipa fidia ni halali sio dhuluma
@kusudihalisi9537
Жыл бұрын
Watang'atuka Leo baada ya hotuba hii...
@user-dk5kk4rf3v
Жыл бұрын
Kutoka jalalani umesahau ..au ndio uafrika huo ..jingine tokeni madarakani akili zimechoka
@benedictmrisho1800
Жыл бұрын
Mwl angefufuka leo angetoa maoni gani ripoti ya CAG ? Ule mchakato wa katiba ulioishia njiani? Mwalimu wa 101 si mtu wa kuvumilia mipasuko. Alipendabumoja ,uadilifu, uwajibikaji, uwazi, ukweli na kutotumia vibaya hela za wananchi. Asingekubali mchakato wa katiba kutumia muda, pesa, maoni ya wananchi halafu kuishia hewani.
@nassirali7499
Жыл бұрын
Uhuni tu kwa kujipendekeza, promotion gani iyo alioenda mbinguni?
Пікірлер: 28