Hapana sis mashabiki haturizik bna hata wakati team imeshapata ushindi kuna ugum gani wa yeye kupewa hata dakika15 tu akikaa sana bench atapoteza kujiamini ni maoni tu syo lazima maan hatujui kocha yey anaona nin ila amfikirie nayeye japo hata dakika15🙏🙏🙏🙏💚💚💚💚
@RodgersMoshi-k4j
2 күн бұрын
Kocha yupo tuache afanye kaz yake
@NeemaAkyoo-s4s
2 күн бұрын
@@RodgersMoshi-k4j nisawa sijakataa ila tu kuna wachezaji vipaji vinapotelea benchi
@IsmailKatala
2 күн бұрын
@@NeemaAkyoo-s4sJana kocha amesema Jezi ya Yanga ni ya gharama sana, ili mchezaji uivae na uanze kikosi Cha kwanza ni lazima upambane sana.
@Official_cairah
2 күн бұрын
Tunachotaka ni point
@Kabeya410
Күн бұрын
Mechi zipo nyingi wote watacheza msiwe na haraka ni uvumilvu tu
@SubiraMohammed-ks6qg
2 күн бұрын
Mungu ijalie yanga yetu ipate ushindi inshallah
@reginaldmapunda6702
2 күн бұрын
Jamani kocha ana majukumu yake,viongozi wana majukumu yao, mashabiki na wanachama na wapenzi wana majukumu yao. Sio vizuri kuingiliana ktk.majukumu yetu. Tumpe kocha uhuru wa kutimiza wajibu wake. Kila mmoja wetu anapenda kuwaona wote wakicheza lakini bado kocha ndiye mwamuzi na ndilo jukumu lake. Sisi kazi yetu kupiga makelele majukwaani na kwenye vijiiwe vya kubishana na akina Kisugu na GB 64. Haitakuwa sahihi kama Gamondi siku moja akatufundisha jinsi ya kushangilia na kubishana na akina Jemedari , hiyo kazi haiwezi na atakuwa anatukosea na sisi basi tusimkosee Gamondi na benchi lake. AMINA.
@FrankKafene
2 күн бұрын
Umeongea ukweli
@vincentkatabalo286
2 күн бұрын
Asante sana
@RodgersMoshi-k4j
2 күн бұрын
@@reginaldmapunda6702 tumepata coch Gamond anajua nini anafanya kuna michezo mbele atacheza sana akifanya vizuri atapata namba tuweni wanasoka wanaojitambua
@RodgersMoshi-k4j
2 күн бұрын
@@reginaldmapunda6702 chamsongi bado yanga inafanya vizuri kwa hiyo pia kuna wachezaji wengi wajacheza why baleke??
@reginaldmapunda6702
2 күн бұрын
@@RodgersMoshi-k4j Jamani nimesema uongozi, kocha wanafahamu kuliko sisi na kama hatuwaamini semeni watoke. Shida ni Baleke au ninini? Wao ndio walimleta na wao ndio hawamtumii na sio Baleke tu, yupo pia msheri, Nkane, Faridi , Sure boy, Kibwana nk. Sisi tunataka matokeo mazuri hizi siri za kambini achaneni nazo. Ukimchunguza sana bata hutakula nyama yake.
@sir-dmwaye1891
2 күн бұрын
Kocha anaakili sana Usikute kesho anacheza
@RamadhaniMshana-gk6vm
2 күн бұрын
Jaman tunaomb baleke kesh acheze dube kesho asicheze
Tunataka wachezaji wote wacheze kwa wakati huwezi ukawa kocha mkubwa kuliko wote Tanzania kweny ligi kuu na ligi zote uwe una ubaguzi wa wachezaji
@RizikiMbembela-b6h
2 күн бұрын
Wampe mchezaj nafasi acheze waache kutuletea upuuz
@hajishomari6221
Күн бұрын
Kwa maoni yangu kocha ni tatizo Sana kwa Sasa wachezaji wamemzidi uwezo mpaka anashindwa kuwatumia kwa nafasi zao
@barakaandrea9697
2 күн бұрын
Mlimsajilii wa nini sasa eti dube na mzize wote wanafunga kwahiyo mnataka baleke afunge akiwa benchi apewe nafasii kwani dube anakosa nafasi ngapii mchezajii apewe nafasi achezee ko alisajiliwa akae benchi au ndo mihemko kumkomoa mtani
@erwineponda9015
2 күн бұрын
Jamani washabiki nabwanachama wenzangu acheni Lugha mbovu kocha ndio anajuavamtumievnani kwa muda gani.Upuuzi maanavyake nini? Hii ni mexhi ya ngapi mpaka mseme hovyo? Kuweni na subra Baleke ataecheza sana.msiangalie sasa angalieni na kesho.
@MomadeMudimoz70-cs2ud
2 күн бұрын
Haya Ndio Mafara Ya Kusajili Mchezaji Bila Kumshilikisha Kocha Baleke Ni Mchezaji Mzuri Sana Lakini Kocha Hamtaki inauma 😢😢😢😢🔰🔰🔰🙏🙏🙏
@JeremiaMathias-im8rp
Күн бұрын
polee
@MonicaSimon-py3nx
Күн бұрын
Inshallah ataanza kucheza nayeye kipindi cha kwanza
@MirumbeMarwa-eo2yl
2 күн бұрын
Hiv jamani super ligi haipo tena au
@babupiza641
2 күн бұрын
Sasa mlimsajili wa nn mpeni nafasi
@mdathirukajumulo9181
2 күн бұрын
Baleke mchezaji mzuri kauli za kocha sio nzuri aangalie
@chuchumeta8374
2 күн бұрын
Tumezoea uongo Kama anavyotuda ganya kocha wa taifa stars.hata wanasiasa wanatudanganya Sana ,hatupendi ukweli
@davidobambo509
2 күн бұрын
Chama langu
@Alexismadimo
2 күн бұрын
Mungu pamoja nasi
@SalminMpotasalmin
2 күн бұрын
yanga daimambele nyuma mwiko
@MsafiriJabu
2 күн бұрын
Sio kweli mtu hata San saiv awekwi kocha ana ttz saiv sema matokeo timu inashinda lkn km inatokea tunapoyeza mechi tn hizi za kawad kelele zitakuw nyingi hivi kwel kibwama hata kukaa benchi saiv hakaa na kumpa namana 2 job ama nkane kweli wale wanacheza nafas yake anajiskiaje kibwama
@sadambakary1369
2 күн бұрын
Point 3 muhim
@vincentkatabalo286
2 күн бұрын
Washabiki na wanachama tusimuingilie kocha majukumu yake.
@geraldmmuya6658
2 күн бұрын
Pamoja na maeleo mazuri mimi naona ipo haja ya Baleke kwa dakika kumi
@OmaryMajivuno
2 күн бұрын
❤❤❤❤ good 👍
@innocentmmandago3029
Күн бұрын
Atacheza tu!
@asifznz
2 күн бұрын
HIVI NDIO MNAMALIZA MCHEZAJI, MBONA KAWAFUNGA WAJEREMANI KWA MBONGE KICHWA NA KATUHESHIMISHA MIMI SIKUBALIANI NA KOCHA ,MWONYESHENI MAGOLI WALIZOFUNGA WAKATI HUYO SIMBA,GAMONI HAPA KASOSEA
@selemanmcharazo
2 күн бұрын
Makocha changamoto kama ilivyo Babu kaju.
@lucymsheshi5871
2 күн бұрын
Akocha wanajua Sana kwahiyo mtulie😊😊😊😊
@jumanneenos2481
2 күн бұрын
Angalau leo nimepata watu wa kumpinga Gamond, Gamond Hafaiiiiii
@abdunnurahmedsilim7456
2 күн бұрын
Mnatamani saaana makolokwinyo hiyo hali yenu ya migogoro na kukosa raha ije kwetu....mmefeli. Gamondi anajua anachokifanya so shut up your mouth@@jumanneenos2481
@mwanangusana
2 күн бұрын
@@jumanneenos2481Duuuuh
@amaniomar1755
2 күн бұрын
Meneja wa ball 🎉🎉🎉
@neemaisrael688
2 күн бұрын
Kila la heri young African.
@andersonshimbi1378
Күн бұрын
Wewe ndiye fala unayesema eti kuna ufala kwa kutomchexesha Baleke, mbona huongelei Kipa Khomein au Mshery???
@Abuu-gs1yi
2 күн бұрын
Humu kwenye comment naona na akina Deborah wamecomment
@monicalucas3738
2 күн бұрын
Hao wanaoshabikia Baleke acheze chungeni sana ni mamluki wanataka kutuchonganisha na Baleke.
@baheroomary7217
2 күн бұрын
Me sishangai maana julian Alvarez ameondka man city kw sbb apati nafas kubw yakucheza ila ukija kimfumo pale city uwez muweka benchi haland anaekupa kitu kila day kwcbb ya mtu mwngne acheze icho ndo kinachoendlea yanga Alvarez anaondka city pep bado anamuhtaj ila mwisho wa sku inakua tfaut
@zakariaomary6723
Күн бұрын
Acheze tu kwani inaweza muathiri ki psychology na kuendelea kushuka kiwango
@OscarIsmail-t4j
Күн бұрын
Timu ikiwa wanaongoza apewa nafasi nae
@upepobeka6877
2 күн бұрын
Mpangeni baleke ana uwezo mkubwa
@abasimbeve6171
2 күн бұрын
Kocha some kila sababu ya kumpa nafasi alau ya dakika 10 ili tuone hata mapungufu yake yanayomfanta kutokuwa kwenye kikosi
@KevoKyara
2 күн бұрын
Nikweli tunataka na baleke apangweee akiwashe
@flaviabaruti7602
2 күн бұрын
Mbona akina skudu, nkane hamwazungmzii
@HassanNdauka-x1z
Күн бұрын
Skudu tumeshamuacha
@geraldlaurent6750
2 күн бұрын
Kwani wamesajili wanini kocha kama huwezi mchezzesha aondoke tu
@rachelcheyo-p5z
2 күн бұрын
Love yanga
@oscarmwailubi5078
2 күн бұрын
Ndg viongozi wetu mm ni YANGA KINDAKINDAKI lkn naomba baleke aànze pewa hata dk 15 tu
@AlfaCharles-e8h
Күн бұрын
Ombi langu kwa uongoz wa yanga naomba yanga iwe na wimbo maalumu Kila inapocheza lazma uimbwe
@kimalebanduka4229
Күн бұрын
Naungana na kocha na bechi la ufundi asilimia 100
@FanuelBumija
2 күн бұрын
Uyu kocha wetu kweny makipa ndo kabisa ana ubaguzi mkubwa sana so haki iyo bora angekuwa nabi tu nahisi kuna wachezaji apo yanga wanamchukia na kumsema vibaya huyo kocha bila kujua ni bora nabi kuliko uyo gamond na nabi hakuwa na ubaguzi hadi raha na timu inapata matokeo mazuri
@VeniciusWattson
2 күн бұрын
Mpeni muda bhana baleke ni mchezaji mzr achezi ubaguzi
@fabianmattaba3465
2 күн бұрын
Kuwafunga wajeruman tu haitoshi ni mzito ngoja apunguze uzito
@magahzinyo7033
2 күн бұрын
Haji manara anafaa saana kuwa msemaji
@ZaydShafii
2 күн бұрын
Naamini atacheza tu
@fazo-kl9fu
2 күн бұрын
Acheze bhana sisi tunamtaka
@JUU-lw2je
2 күн бұрын
Kama hana no kwa nini mlimsajili mwachieni aende kupapmbana kwenye club nyingine?
@EmanuelMiyonjo
2 күн бұрын
Ushind mwingi
@nkilatv6307
2 күн бұрын
Wanainchi
@IshaKhamis-v3p
Күн бұрын
Wampe nafac tumuone kama kasajiliwa acheze tuona kiwango chake pia
@geraldlaurent6750
2 күн бұрын
Kocha aeche ujinga amuchezeshe sisi tunqchangia timu sio kumbuka benchi
@flavianajohn5250
2 күн бұрын
We ndo mjinga wa kwanza hata ukipewa uongoze kuku huwezi
@hassanyange7331
2 күн бұрын
Ingekuwa Nabi angecheza
@chiefmajai9345
2 күн бұрын
Bareke kasajiliwa kukaa bechi au
@lucymsheshi5871
2 күн бұрын
Kaeni kwa kutulia asipofunga mtaanza kelele Makocha wanajielewa
@user-xy8kl9wd2i
2 күн бұрын
Mchezaji apewe mda wa kucheza musiuekipaji chake
@linahtemalirwa5700
2 күн бұрын
Baleke awepe nafsi,ili kocha aone
@dengahmediatz1230
2 күн бұрын
Gamondi hamtaki baleke
@JmMorata
2 күн бұрын
Asugue benchi
@masoudmongomongo244
2 күн бұрын
Kocha hapangiwi kikisi.
@AllyJuma-p9g
2 күн бұрын
Kocha ww msenge unatuchanganya
@abubakarysaid2772
2 күн бұрын
Msenge mwenyewe maku wewe
@Festoffesto87
23 сағат бұрын
Wachezaji wote wawe wanacheza acheni maneno.Balete acheze mzizi dube baleke wawe wana badilishana kucheza tuwe seriously
@ZachariaPetro-gn8qc
Күн бұрын
Ukweli kocha anakosea sana unashindwa nini kumpatia hata dk15 za mwisho au dk10
@saidymbagalla6622
Күн бұрын
Yanga mbovu kuwahi kutokea ni hii Kwa sasa watu hawataelewa ila muda utaongea inshallah
@ZachariaPetro-gn8qc
Күн бұрын
Huyu kocha mnamchekea tu ila kwa badae mtkuja kujuta
@africanbabaz4739
22 сағат бұрын
WE NEED BALEKE ✅
@sosomacharles9920
2 күн бұрын
Kocha amwamini Baleke.
@paulmasunga1754
2 күн бұрын
Baleke awe anapata hata Dakika 15 jaman za kucheza
Пікірлер: 118