Mwanamuziki nguli Banana Zorro amekuwa msanii wa kwanza kuufungua msimu mpya wa kipindi chako pendwa cha Burudani Tanzania 'Story And Rhymes' , amabapo amefunguka mambo mengi makubwa ambayo hukuwahi kupata kuyasikia kabla ikiwa ni pamoja na kugusia kuhusu marehemu dada yake Maunda Zorro, baba yake mzazi na maisha yao kwa ujumla kabla na baada ya kuingia kwenye sanaa ya muziki na kuwa moja ya familia maarufu zaidi Afrika mashariki.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#Dar24 #Dar24Media
Негізгі бет BANANA ZORRO ANAFUNGUKA YOTE | SIRI NZITO | KIFO CHA MAUNDA | SNR S02EP01
Пікірлер: 3