Hii kumsifia rais ilianza kwa jpm huko nyuma sikuona haya huu ushakuwa muendelezo
@omarysaid8725
5 ай бұрын
Raisi sio mungu mpaka umsifie hivyo taito sasa hivi katika nchi hii kuna miungu watu na wanapenda sana kusifiwa
@omarysaid8725
5 ай бұрын
Tatizo nchi hii biongozi wengi huwa wanapenda kusifiwa sana kuliko kufanya kazi za kuwatumikia wananchi kama huyu yupo hapa ana kazi ya kusifia tu wakati ni kodi za wananchi na ni hako yao kuona maendeleo ya kodi zao achana na mambo ya chama wewe acha kutuaminisha hizo ni kampeni kwani katoa pesa zake yeye mfukoni mwake mpaka umsifie
Пікірлер: 4