Kama umesikia jamaa ana mjulia makufuli weka like yako hp twende pamoja
@hilaliabeid1590
5 жыл бұрын
Rajab Ngunga i
@jamalsalim2845
5 жыл бұрын
Waziri mkuu uko pisi sana allah akupe iman zaidi
@salehsuleiman1218
5 жыл бұрын
Huyu jamaa anaweza kuwa maaruf sana kama wapo wanao amini hilo tuwe pamoja hapo
@sakayonsakihunga3496
5 жыл бұрын
Kiukweri nimeinjoy mb zangu
@amanijolam4140
5 жыл бұрын
sisi wakaguaji wa comment tumegundua kuwa hakuna asiyemkubali huyu jamaa noma sana
@luganojacob
5 жыл бұрын
Yap
@mbarakabdallah4631
5 жыл бұрын
Daah ukisikia kupata kwa halali ndio hku hyu jamaa hta jacho hatowi anavuna pesa kma fyasaaa siamini macho yangu!
@onlinemovie8580
5 жыл бұрын
😂😂ukiachana na kuiga sauti jamaaa anaongea vitu vya maana mno safi sana bro
@nicodemusmoshi2228
4 жыл бұрын
boe_bryn tv asrei
@patrickakitanda7709
5 жыл бұрын
Achilia mbali uchekeshaji Jamaa kichwani zimo saaafi go on Baraka
@hassanabdalla2741
5 жыл бұрын
My PM Majaaliwa today you wrote historical event for giving a public joyful tears because of our talent comedian Baraka. God bless u all
@mkalihanzuruni4924
5 жыл бұрын
Duh! Baada yakukusanya pesa akamwambia wazir mkuu haya endelea.. Huyu jamaa noma!!
@maryriongo2911
5 жыл бұрын
hatariiiii😂😂
@esperancenathali
4 жыл бұрын
Ni fire 🔥 fire kweli
@winifridamunibi8891
4 жыл бұрын
Hahaha jamaa anaweza
@mamachris6811
5 жыл бұрын
Uko vizuri saaaana Big up Umemburudisha Waziri Mkuu,mchapa kazi
@veronicamchilo8552
5 жыл бұрын
Kama umemuona waziri mkuu amecheka hadi machozi gonga like hapa👇👇
@amenyekibona8730
5 жыл бұрын
wengi tumewaona lakini baraka magufuri ni wapekee,, umetisha mkuu
@hassanjuma2688
4 жыл бұрын
KWELI
@jumakusekwa9499
3 жыл бұрын
Yes
@mussamonga575
5 жыл бұрын
VERY CREATIVE PERSON. KAZI NA DAWA.
@elidaimamnzava3649
3 жыл бұрын
OpopoxoxxxizzxzoZzozxzIzxzI8zkoiioóoooinmjjkjicxxcckvonnckkkkllkkkkllkklkkkjkk k j K j. k k K K M Kkklllkklklkkkkkkkkmjññmmmmmkmk Ñknk Nj Jkm K m K K Km k Km Mmjjj Ñjjkk kñk .l K
@lameckeliakimu8677
5 жыл бұрын
Binafisi mimi nampongeza sana mh Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mh majaliwa hata akampatia fursa Ndugu yetu Baraka Magufuli, pia nampongeza mh Waziri mkuu Kwa uhodari wake wa kazi ndani ya Nchi hii, mwisho Baraka Magufuli anakipaji cha pekee sana, Mwenyezi MUNGU ampe kila haja ya moyo wake
@jacksonkimario6033
5 жыл бұрын
huyu jamaa anaongea point sana maguful amwangalie ampe hata kauenyekiti
@iffahbahet1499
5 жыл бұрын
Uko na utoto sana
@prospermsanzi8815
5 жыл бұрын
Inatakiwa aombe ridhaa kwa wananchi wanaomzunguka
@manilabonalumanula9210
5 жыл бұрын
Huyo kajaaliwa hicho kipaji. Uongozi ni kitu kingine
@malaikamushi6032
5 жыл бұрын
Mungu akusimamie
@ramadhanisuru1822
5 жыл бұрын
Dah! Waziri mkuu majaliwa majaliwa imemkosha sanaaaa
@sidneykanumba8165
5 жыл бұрын
Waziri Mkuu kafurahi mpaka machozi yamemtoka Nani kaona!? 🙌🙌🙌🙌
@mswanawamswana3129
5 жыл бұрын
Baraka maguli upo vzr. endeleza kumuenzi Rais wetu kipenzi na mzalendo wa kweli chapa kazi makini
@jazzmancoltrane
5 жыл бұрын
Na pesa kawachangisha! this is classic
@bkaymartine2696
4 жыл бұрын
Jamaa yuko vizur. Natoa marks 101% Excellent
@dottorenatus9760
5 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua sana kutengeneza mkeka wake hahahaaaa.
@m.mmarckus6298
5 жыл бұрын
Kaka hongera sana,Mungu akuinue na kipaji chako uzidi kufika mbali
@jumakapesa726
5 жыл бұрын
Hii ndiyo sanaa tunayoitaka. Nakukubali sana Baraka Magufuli
@kipipakipipa5050
5 жыл бұрын
Techniques za fundraising. I like it
@reubenbegashe2372
5 жыл бұрын
Kama ikikupendeza Mungu ninaimani Awamu ya Tano Itaandika historia mpya Waziri Mkuu kuwa Rais wa Nchi 2025, Mungu Bariki Tanzania ,Mungu Bariki Viongozi wetu .Amen
@daudisima797
5 жыл бұрын
Reuben Begashe Nina imani rais ajaye ni majaliwa
@giftgodson5603
5 жыл бұрын
Itakua kama nyerere
@pastoremmanuelmhomisoli9782
5 жыл бұрын
Kabisa Majaliwa anafaa kuwa Raisi ajaye
@EzraSulemani
4 ай бұрын
HONGERA sana waziri mkuu kasim majaliwa pamoja na baraka
@dicksonulotu9717
5 жыл бұрын
Bila unafiki Baraka unatisha wewe ni mkali,serikali ikuwezeshe angalau uende chuo cha sanaa
@kimwerionlinetv5574
4 жыл бұрын
Mh. Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa ni mfano wa kuigwa👏👏👏👏👏
@djsamyofficial5452
5 жыл бұрын
Magufuri Fanya moango Mpe kaz baraka magufuri anakuwakilisha vyema sana mh John Pombe magufuri
@fokasikalinga5623
5 жыл бұрын
Huyu mwamba ni most talented yuko vzr
@rahimmarions5712
5 жыл бұрын
Daaaah kila mtu mungu amempangia ridhiki yake aisee..binadamu ni wivu tu ndio unaotufanya tunatofautiana
@geofreymhapu2401
4 жыл бұрын
Nani anaangalia mwaka 2020 gonga like hapa
@issazakaria9704
4 жыл бұрын
Mungu akupe wepesi Mr President akimaliza muda wake 2025 uwe Rais wetu Mh. Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa tunaimani na utendaji kazi wako.
@fahadfaraj1263
5 жыл бұрын
Moja ya vipaji vya Hali ya juu
@benedictyegon3622
3 жыл бұрын
Kassim. I love u
@barakamarmo8104
5 жыл бұрын
Huyu ni comedian kweli,kipaji kipo juu sana kuliko hapa Pierre na akina mc pilipili,alichokosa ni support!!!
@GloryMarwa
7 ай бұрын
Jamaa anajua sana anafuata usemaji na furaha za magufuli.
@deogratiuskaijage6685
5 жыл бұрын
Anajua sana na ana contents. He is goood
@elijahmalema4249
3 жыл бұрын
C.C.M should consider this young eloquent and energetic leader of his own nature!! he's going extra miles.
@mwanadamtz1298
4 жыл бұрын
AMAZING ONE
@ezekielmwenda
5 жыл бұрын
wakwanza ku view wakwanza kulike na wakwanza kucomment kama umeona like hapa
@stanjr1125
5 жыл бұрын
😁😁😁😁😁😁😁😁😁 kanifurahisha na style ya kutokea🤣🤣🤣🤣🤣
@Linkmycommunity
4 жыл бұрын
Schools got nothing, street got talent 😂 ❤ ❤
@laylisaid9563
5 жыл бұрын
😂😂😂😂 Mashaallah uko vizuri sanaaaa👏👏
@rachelkibaya8537
5 жыл бұрын
MUHESHIMIWA MAJALIWA ASANTE SANA
@geryteachermarisa5707
5 жыл бұрын
Huyu jamaa ni truly comedian, jambo la kumsaidia ni kuendeleza ucomedy wake sio kumpa political post. Wapi matajiri wakubwa sana duniani ambao ni comedians.
@mariamcrispo8296
5 жыл бұрын
Baraka namwelewa
@ericklibaba1198
5 жыл бұрын
Yaan Hyu jamaa yuko vizur kwenye sound similarities na Mh mjomba Magu 😂😂😂
@elipidiuskweyamba5787
5 жыл бұрын
Endelea kijana usirudi nyuma hata Kama utakatishwa tamaa🙏🙏
@aidandamian1992
5 жыл бұрын
anajua kuchekesha wazir had ametoa machoz kisa kucheka
@m.mmarckus6298
5 жыл бұрын
Huyu jamaa noma nimecheka mpk nimelia
@kalumbugideon4159
3 жыл бұрын
Waziri Mkuu.... Safi Sana Kiongozi wetu....
@kipesekiaruwamallya3098
5 жыл бұрын
Narudi zangu ccm naona kumenoga💃
@shukranitv2971
5 жыл бұрын
Kaka huna mpinzan endeleaa hivyo hivyo ww ni mungu amekupa hiyo tarandaaaa
Kijana yupo vizuri ukiachia acting. Inawezekana elimu yake pia nzuri!
@josephkomba4695
5 жыл бұрын
Jamaa ni smart sana, anafuatilia mambo yanavyoendelea vzr sana.....
@aloycegadau7177
5 жыл бұрын
duuu kaka umetisha sana hongera
@mtavangumenace6611
5 жыл бұрын
Jamaa anajua sana kuigiza sauti eti "Enhee aya" alafu anaunga kidogo na kakicheko ka mzee baba, huyu kwenye noma.
@nashonmwinuka6501
5 жыл бұрын
Daaaah Waziri ameflahishwa saana
@shafiikhamis2336
4 жыл бұрын
duhhh,,, yan baraka hongera sana kwa hilo upo vizur sanaaaaaaaaaaa
@nsreenmoafee1064
5 жыл бұрын
😂😂😂Kanifurahisha kweli alivyowaita hao wabunge
@glorymrema6609
4 жыл бұрын
nsreen moafee unishindi mimi
@malcomx4067
5 жыл бұрын
Huyu jamaa ana akili nyingi.
@franknyamiamba1160
5 жыл бұрын
Yaani kweli baraka neema iwe nawe
@gabrieladam491
5 жыл бұрын
Talented and Gifted
@paulambrose2055
5 жыл бұрын
Huyu ndo anakopi kabisa sauti ya Mh. Raisi 👊wengine hapana
@saidmakumlo8930
5 жыл бұрын
Baraka Magufuli .....Kaza buti kk na kampeni lazima uwepo
@husseinshabani9522
5 жыл бұрын
Nimefurahi sana. rais mwenye herufu ndogo (rais) Ishatofautiana na (Rais) Yuko vizuri sana Mungu Awatie nguvu.
@hazibonplatformafrica9617
4 жыл бұрын
So talented, so creative kapigampunga Kwa akili Sana🤣🤣
@petermim
5 жыл бұрын
😀😀😀😀👏nice sana hiiii
@saidmakumlo8930
5 жыл бұрын
Brother You are so talented big up🙌🙌🙌
@ndayishimiyecynthia4990
4 жыл бұрын
Safi Sana unajua kutumia kipaji chako
@ElishaBubelwa
11 ай бұрын
Tunakukubari Sana waziri mkuu unastaili urais
@jonathanstephen6616
5 жыл бұрын
Hongera nyingi sana
@melkizedekiwiliam5533
5 жыл бұрын
Baraka Magufuli unatuumiza mbavu! yaan! nimecheka jaman mpaka mbavu zinauma. safi kijan mwenye kipaji. safi viongozi wetu mnakuza kipaji chake kwa kumkaribisha jukwaan kila mara.
@maxmaxmo5545
5 жыл бұрын
Da!! nakukubali Sanaa baraka unatisha
@chambachao4445
3 жыл бұрын
Dah huyu jamaa noma sana
@zubedamwanjirani5597
4 жыл бұрын
Masha Allah
@damasjohn545
4 жыл бұрын
Najivunia sana kua Mtanzania Amani tosha
@aginiweyessayakyando9855
4 жыл бұрын
Hii Baraka alifunika sanaa👍👍👍👍
@JOHN16verse33
5 жыл бұрын
Safi sana waziri mkuu kwa kutambua kipaji na kuonyesha ubinadamu...
@godfreyleka5839
5 жыл бұрын
TALENTED
@errydeo8865
5 жыл бұрын
so nice...wachangishe haooo,,props
@chadotv257burundi9
5 жыл бұрын
Jama noma sana kakusanya fedha kibao
@alibell5246
4 жыл бұрын
Kaka kasim jiandae na kijiti cha urais inshaallah magu wetu akimalza mda wake jiandaeeeeee
@joromimwanga3274
5 жыл бұрын
Ameweza kula pesa za viongoza wakubwa wa serkal hicho ni kipaji cha haki yake kabisa.
@hellenditram4465
4 жыл бұрын
So talented.....
@allyhamic1255
5 жыл бұрын
safi san
@jamesmagere4562
5 жыл бұрын
Hongera dogo..naona confidence imeongezeka
@thomastemu3332
4 жыл бұрын
Tanzania safiiii
@mohdsalum3832
5 жыл бұрын
Safi
@ibrahimbullah8088
5 жыл бұрын
He so talented
@mamahustru
5 жыл бұрын
Baraka mAGUFULI ameshanawili gafla gafla.
@husseinseif7438
5 жыл бұрын
daaa uyu jamaa anakili sanaa!!!Big up
@nickjuma3937
5 жыл бұрын
Dah! Baraka Magufuri ameiva sana! Kumbe mpunga ni kitu kingine kabisa!👍👍!
@errydeo8865
5 жыл бұрын
Sijawahi muona Majaliwa kufarahi hivi..hii ndio TZ ,smiles all around.
@ochiengomeno3675
4 жыл бұрын
Jamani watu wana Talent aisee
@thomastemu3332
4 жыл бұрын
Baraka your so good 😂😂😂😂😂👍👍
@lwitikoraphael2820
5 жыл бұрын
Kama umemuona jamaa alosimama nyuma ya waziri hajichekesh ni kauzu hacheki kizembe tujuane hapa 👇👇
Пікірлер: 282