kzitem.infoeAK_nhSHqQA?si=67dyP2OiC9zWp2Nf Link ya video ya kwanza kzitem.infoMkjaVOyGynA?si=avHGUZlDYy8kzjx8 Link ya video ya pili
@brendajulius2995
27 күн бұрын
Weeee hatimaye kuti kapatikana jamani nimefurahi sana mana alijua kutusikitisha😢😢
@user-xl5mq5ug2j
27 күн бұрын
God is always good aisee part 1 nililia lkn jmn kweli mungu hamsahau aliye mlilia hajawai kachwa ❤❤❤..Glory to God
@vivianmahoo8611
27 күн бұрын
Huyo mama angemfanyia mpango huyu dada na mtoto waende, huyu baba baada ya mwaka angekua vizuri sana,
@faustinaurio3703
27 күн бұрын
Huyo ajuza hataki family ya kijana yake😮
@Byme6434
24 күн бұрын
Nahisi Shida Ipo Kwa Mama
@candidadilemile5882
24 күн бұрын
Wow ! Maombi yaendelee ili aimalike zaidi huyo ana mapenzi na upendo wa dhati ipo siku mtaishi pamoja mmlee mtoto wenu don't give up Mungu yupo na anatenda
@jacqueisaac8155
27 күн бұрын
Jamani jamani. Aise Mungu yupo jaman and true love never dies. Am happy for her
@winfridahaule4364
27 күн бұрын
Nimekupenda dada Mungu akupigania huyo kaka ni wako ni swala la muda tu
@Lucy_ikupa
27 күн бұрын
Shena hongera mwaya kwa kuwa sehemu ya maisha ya huyu dada
@Judy-dy4zt
27 күн бұрын
Dada uko vzr mwenyezi mungu akutie nguvu subira na uvumilivu
@SuzanneMyles
27 күн бұрын
aww for really nimelia machozi ya furaha 😢🙌😒😭😭KWELI MUNGU YUPO GUYS😢❤sis shena your more than a shoulder to cry and learn on 😢❤always proud to know you May God keep you for us ❤❤❤
@HelenaEdward-qm9wx
27 күн бұрын
MUNGU Akutunze Zaidi Dear Shena Interview zako zina Mafundisho mazuri Sana ❤❤
@OfficialDatingAssistance
27 күн бұрын
🙏🙏
@ladymacollection
15 күн бұрын
Saaana shena anasaidia mie kaniponya mno uyu dada Mungu ampe maisha marefu
@upendogreutert199
27 күн бұрын
But what I’ve learned from this story Fridge zetu zisiwedondoshe Barafu to everyone and Pia kumtegemea Mungu mana katika kila jaribu kuna Mlango Mwingine wa Kutokea
@mariamahmad8261
27 күн бұрын
Mashaa Allah nimefurahi kumuona tena jaameni nilikuwa na muwazia Sana na kumuombea duwaa na shukuru Allah ameirejesha furaha yake Allah Kareem
@doriskiwale9309
23 күн бұрын
Natafuta intaview yake ya kwanza siiyoni jaman .Hakika Mungu ni mwema
@user-wu1bl6kl6t
27 күн бұрын
Mbona nalia machozi ya furaha nikikumbuka huyu dada alivyokuwa 1st interview wacha Mungu abaki kuwa Mungu
@AsiaAsia-sv6ok
25 күн бұрын
Ooh Chendwa Wang nimefurai sana kukuona adi machozi yamenitoka MUNGU ni mwema sana ipo siku utaenda kuishi na baba mtoto wako in Sha Allah
@Upendo6405
27 күн бұрын
Mungu ashukuliwe chendwa usiache maombi mungu yupo
@nataliaemanuely4046
27 күн бұрын
Glory to God , Mungu amutupi mja wake…
@mariambakari8065
25 күн бұрын
Jamani huyu dada mungu kasikia maombi yako hakika usiahe kuiomba
@debbiethomas9825
26 күн бұрын
Mlioko huku Ulaya mnajua huyu Baba anapitia hali gani... Angekaa na mkewe miezi 6 tuu angebadilika sana... Mama yake anazidi kumtia ugonjwa... Kila saa ni kelele na hamsaidii kwa mazoezi wala nn.... Wamama wa huku ni wachache sana wenye upendo wakuwapigania watoto wao.... Wengi ni kelele na kukuona huna faida tena... But huyu Angekaa na Mama mtoto wake angepona mapema sana..... 😢
@magrethmrema6401
9 күн бұрын
Chenda endelea kuomba kwani muomba Mungu hachoki iko siku utafanikiwa kabisa❤❤
@esthermachangu4970
27 күн бұрын
yaani huyu mama angeataka maisha ya mwanae yabadilike angeruhusu huyu dada akaenda kumuhudumia kutti yaani angeacha ubishi tu
@user-rc9qm2tw2o
17 күн бұрын
Pole sana chendwa mungu akupiganie ❤ l love love you my dear friend
@happynesskampando9425
27 күн бұрын
Pole Kendwa usichoke kuomba .Mungu atazidi kukusimamia .
@mayatione6
25 күн бұрын
mwenyezi mungu mkwabwa uyu dada nlikua nafatilia historia yake am happy naamini kwa uwezo wa Allah ataungana na mumewake na mtoto wao na wataishinkwa pamoja .kikibwa usiwahi kukata tamaa kwa umtu unaempenda hata itokee changamoto gani muamini mwenyezi mungu na amini kua mda sahihi u akuja zidi kusali na kuomba mungu
@user-iv4zj7ii4t
26 күн бұрын
Shena mungu akubariki kwa ushauri wako kwa watu wengi hasa huyo dada alikutana na watu kutia wewe, mungu azidi kukuinua maana unamsaada kwa watu wengi
@nashnene6326
23 күн бұрын
Unafanya vizuri sana Shena. Pia naomba link ya interview ya yule kijana alienda US kwa kupitia Brazil
@beatricemashauri5649
27 күн бұрын
Hasikiki!lakini all in all God is good always!
@hajramahumba7133
27 күн бұрын
Am happy for this sure ❤❤
@elizabethhonere2931
25 күн бұрын
Mungu amfanyie wepesi waungane kama familia jamani
@fridamollel1568
24 күн бұрын
Ooh Hallelujah endelea na maombi mpendwa usiache Mungu anaishi.😊
@allthingdranabeauty
25 күн бұрын
Mungu Nimwema kwakweli na huyo Binti mvumilivu
@happinessmisanga4944
22 күн бұрын
Mungu Ni mwema sana shena ubarikiwe sana unawagusa watu
@joslinchuwa1298
24 күн бұрын
Shena ubarikiwe sana kipenzi umekuwa baraka sana kwa maisha ya wengi. Mungu akutunze dear
@ShemsaKiobya
25 күн бұрын
Mungu nimwema Kwa kuwa mumeo anaendelea vizuri
@user-wc6wq7rm7x
22 күн бұрын
Dah'!! Mungu alijionesha.mpk nimelia,nimemuona,namsifu sana huyo Binti,pia mamake kushikamana,naye Kwa Kila hatua.dah.Mungu atasimama juu yenu Hongera sana
@maimukanabora8751
27 күн бұрын
Mungu awatunze Sanaa na mtoto
@Juke995
27 күн бұрын
Hongera pia pole maana bado ni safari ndefu sana ila kikubwa mtoto kakutana na baba ake na kingine Next time nenda ubalozi wa ujerumani hapo ndani kuna ubalozi wao na ni haraka zaidi haina haja ya kupiga simu sijui nchi jirani na ni rahisi hata kuelewana lugha ya mzazi wa mumeo na watu wa ubalozi wa ujeruman and maybe unaweza pata visa ya ujeruman then unaingia Austria wanaweza fanya hivyo pia kama unabahati mtoto anapatiwa sponsor kutoka Krankenkasse ya baba ake kwa 90 days na lawyer bure
@rachelmgema6930
25 күн бұрын
Kweli Mungu ni mwaminifu sana. Naamini shendwa siku moja mtaishi wote na baba wa mtoto wako.
@lovely10emoji49
24 күн бұрын
Masha Allah ame change sana nimefurahi sana kumuona tena Mungu azidi kumsimamia Inshaa Allah
@anetkileo2461
24 күн бұрын
Jaman nimefurahi kumuona Tena huyu dada Mungu ni mwema
@sarafinasangajenga1378
23 күн бұрын
Harafu mtt wake angeishi maisha malefu kuishi na huyu Dada da hongera sana mrembo
@SADEE._
27 күн бұрын
Dada shena tunaomba utuletee mwana dada anaitwa @Amina kupila anatumia hivyo kote hapa KZitem TikTok interesting kote yeye yupo finland naye pia hua anatoa mafunzo mbali mbali ya ki maisha kwa ujumla
@DM.2200
27 күн бұрын
shena naomba ulete tena ya mary mswidesh yule mama wa mapacha
@fridamollel1568
24 күн бұрын
Mungu akubariki sana wewe dada, unampenda Mungu na yeye amekuonyesha upendo mkubwa sana.
@fatemamahmood5440
23 күн бұрын
Daaaah part 1 sijaiona
@cleopatrahenry7541
27 күн бұрын
Jamaanina mkumbuka huyu dada hatimaye Mungu ni mwema
@Upendo6405
27 күн бұрын
Kwasasa amani ipo mungu ashukuliwe and dada yetu shena ubalikiwe sana unatusaidia umeletwa duniani na mungu kwamakusudi usituchoke amen
@user-eb1kd4ko5x
27 күн бұрын
Shena mungu akubariki sana mungu akufungulie milango mikubwa zaidi
@zainabkazige7388
26 күн бұрын
Yani huyo mama wa Kuti angejali furaha ya mtoto wake kama kweli anampenda, angewachukua Chendwa na mtoto wake ili wakaishi huko Austria pamoja. I hope one day Chendwa ataungana na mpendwa wake
@jamilaathumani5481
24 күн бұрын
Da shena ulivyonitumia link ya part one mnimeangalia zote na nimeelewa..stor nzur japokuwa yakusikitisha..mungu atamsaidia
@Its_Goodluck
27 күн бұрын
aisee pole sana Shendwa na mungu akufanyie wepesi katika mambo yako licha ya changamoto kubwa zinazokukabili
@rukiyajama3492
27 күн бұрын
Pole.sana dada
@gloriamwanjali9371
27 күн бұрын
True love
@maryswaibu2218
23 күн бұрын
Mama huyu kuting anachangia kumuua mwanae mapema raiti angemruhusu huyu dada kuwa pamoja na mmewe angepona na maisha yangeebdelea
@suzanne9517
27 күн бұрын
Hongera sana dada na Mungu akubariki dada Shena
@aminakawawa5800
26 күн бұрын
Hörgerät sasa shena hongera pia dada mungu ni mwema mashallah ❤❤❤❤
@estakapufi7582
21 күн бұрын
Jamani mungu ni mwema kwakweli huyo baba kama angekaa na mke wake angepona, kwa sababu ulaya kuna stress upweke ni mwingi mno na kuumwa anatakiwa watu wakumsemesha, mama mkwe ndio anazidisha ugonjwa wa mwanae.
@Urembomileleofficial
26 күн бұрын
Praise lord❤❤❤❤❤❤
@allthingsafrican
22 күн бұрын
Mwenyezi Mungu ni Mwema wakati wote
@gloriamwanjali9371
27 күн бұрын
Sad story but God is faithful
@damariszuckschwert9489
27 күн бұрын
Mama mkwe hapo kalenga mali. Shindwe kabisa
@ameeranassor1619
25 күн бұрын
POLE sana dada, Mwenyezi Mungu akusimamie
@ilakozasembumende1975
23 күн бұрын
Chendwa wetuu😢😢😢😢😢❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@clararight
27 күн бұрын
Dah!❤
@OfficialDatingAssistance
27 күн бұрын
🙏🙏
@jaberrabora4757
27 күн бұрын
❤❤❤
@elizamushi-yv4iz
22 күн бұрын
Mungu wa upendo,Amina mno fanikiwa sana sijui niseme nini usirudi nyuma,songambele Chendwa.Mungu atakuona ndugu wengi wa upendo
@lucymtui8680
27 күн бұрын
Àmina Mungu yu mwema ❤
@verynicemoshi9959
27 күн бұрын
Jamani uyu dada ongera kwa kumrudisha Shena na Mungu akujalie kipenzi
@user-go5wb2pi2i
20 күн бұрын
❤shena mungu akubariki
@zayumar2955
18 күн бұрын
Daah ila vibibi vya kizungu na vya kiarabu sijui hua vipoje jmniiiiiiiiii 😅😅😅🙌🙌ila Chendwa ana moyo wa pekee sana Mungu akubariki kwakweli Yan una mapenzi ya dhati ww dada sijapata kuona nakupenda dada Mungu awe nawe ktk kila hatua upigayo ❤❤❤
@joycehagman3086
27 күн бұрын
Pole dada yo have to get Urania wa mtoto wa kwa baba yake ,Naya Tanzania , dual citizenship, German, and Tanzania, you son to learn Germany Swahili in English is going to help me future when she decide to go to school in Europe do that tomorrow thank you
@momforone7946
27 күн бұрын
Sio nchi zote zina duo citizen dear.
@claratemba44
27 күн бұрын
❤
@peterkaale6977
12 күн бұрын
Amen Amen amen
@AgathaMpemba
22 күн бұрын
🙏🙏
@betricemainoya4176
27 күн бұрын
Yaani mungu siwezi mtafakari mgonjwa kapewa visa na akafika Tz na akakutana na familia yake waaa ashukuriwe mungu yote yatakuwa mazuri shetani Hana ushindi wataishi pamoja, hayo ndio maombi yangu
@anastaziamathias8861
19 күн бұрын
Mtu yoyote WA ulaya hapewi visa kusafiri kokote duniani visa wanakata wakishafika nchi husika
@jacklinenaftal7985
27 күн бұрын
Kabla sijaanza ata kutizama... Nimefurahi jmn maana nilitizama sehem ya kwanza 😊❤
@user-dn6wx7dv3l
27 күн бұрын
Mungu ni mwema sana
@OfficialDatingAssistance
27 күн бұрын
❤️
@olivernyange2349
26 күн бұрын
@@OfficialDatingAssistanceshena hongera sana kichwa cha Habari story yake ya kwanza uliandikaje
@annamallya8756
24 күн бұрын
Utukufu kwa Mungu🙌🙌🙌
@marthageorge5043
25 күн бұрын
❤❤❤❤❤
@victoriasarwat4736
25 күн бұрын
Mungu aendelee kumpa afya njema
@user-zo3bb7gj2o
26 күн бұрын
Shena ubarikiwe saaaaaaaaaana❤
@misstumah8053
27 күн бұрын
Dear tuekee link ya video yake ya kwanza please 🙏
@OfficialDatingAssistance
26 күн бұрын
Naweka dear
@Zahara-or3cf
24 күн бұрын
Mungu anaweza kila kitu
@ladymacollection
15 күн бұрын
Ongera saana shena inasaidia saana mpenzi
@OfficialDatingAssistance
15 күн бұрын
Thanks beautiful 😍
@beatricejohnkomba3076
25 күн бұрын
Nilianza kufatilia kipindi chako kupitia huyu dada
@user-qs8pd7xm9j
26 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akubariki sana shena ila tuletee felista wa china jamani msukuma mwenzangu
@rosestigeneriksson8387
27 күн бұрын
Dahh alipatashida
@marrysamwel596
27 күн бұрын
Mungu ni Mwema sana 🙏🏼
@hajramahumba7133
27 күн бұрын
Sana sana ❤️😘 tusichoke kumuomba yeye 🙏
@hajramahumba7133
27 күн бұрын
Nasubilia interview zako nianze kuwatch me apa 😊
@neemacocorico2022
24 күн бұрын
Pole dada.Natamani nipate namba yako
@nanguniMtaita-hz4zt
27 күн бұрын
Shena, huyu.dada hadithi yake ina funzo kiroho na kimwili. Mimi ninahaja ya kumuunganisha bint yangu ni mwalimu awe na mazoea na hili zoezi lako. How will I get you your phone number etc.
@user-iz9ci4rs3d
26 күн бұрын
Mungu ni mwema sana
@florahngonyani9514
27 күн бұрын
Kapendeza jamani
@annamussa185
27 күн бұрын
Nimefurahi sana
@GubraCity-dm5sx
27 күн бұрын
Dada umerud tena😊
@mamaSarah-mc6mk
20 күн бұрын
Hatumsikii
@Byme6434
24 күн бұрын
Yaaaani Maisha haya Kama Move 🥹
@Judy-dy4zt
27 күн бұрын
Zidi kumkabidhi mungu klaktu
@angelinakakulu1615
26 күн бұрын
Chendwa yuko nchi gani?
@Winifridainturkey
27 күн бұрын
nipo tena kwa hii story
@OfficialDatingAssistance
27 күн бұрын
🥰🥰
@JulianaJackson-lz6vq
27 күн бұрын
Chendwa nina furaha ss kusikia ulionana na kuty..mnapendana japo changamoto ni nyingi.Mungu akusaidie
@jamilaathumani5481
24 күн бұрын
Da shena ulivyonitumia link ya part one mnimeangalia zote na nimeelewa..stor nzur japokuwa yakusikitisha..mungu atamsaidia asikate tamaa..tunazidi kumuombea
Пікірлер: 175