Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Mlele leo Juni 26, 2024 limemkaribisha Bi Sigilinda Mdemu ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Halmashauri hiyo na kumuahidi kumpa ushirikiano wa kutosha.
Akizungumza katika mkutano maalum wa Baraza la Madiwani la kupitia na kujadili hoja za Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mlele Mhe. Soud Mbogo amesema madiwani wa Halmashauri hiyo wako tayari kushirikiana naye kwa ajili ya maendeleo ya Wanamlele.
@ortamisemi
@ccmtanzania
@ikulu_mawasiliano
@mkoa_katavi
Негізгі бет BARAZA LA MADIWANI LAMKARIBISHA MKURUGENZI MPYA, WAAHIDI KUMPA USHIRIKIANO
Пікірлер