Mashaallah anampenda mkewe kwa moyo wake mungu awazidishie mapenzi na maskilizano inshallah mashaallah mtt wa kiume ana maadil maziri
@annasolomon9855
14 күн бұрын
Yes Barnabas amelelewa katika malezi mazuri .. babake ni mchungaji .. ❤❤ huko kwenye dini aliohamia anakrashi tu ..
@saniasezzy9085
13 күн бұрын
Barnaba anatubroken twake twingi sena anavyoongea haraka haraka unaweza sena anapatia sana😂😂😂
@elinurukitomali6008
15 күн бұрын
Yaani mswahili dah hy mama mkwe ni kwere kwerekweche Yao..anawezaje kumuongelea mume wa mtoto wake kwa u babe hivo. 😂😂😂
@user-cw6jq7cv2k
16 күн бұрын
Oa wanangu wewe bado kijana. Fanya Ile kitu roho inapenda but be careful on the wife you select. Congrats for good music and hard work .
@johanjoha5262
17 күн бұрын
Dada uko vizuri kwa maswali
@SalmaMasabile
17 күн бұрын
Mungu akupe uvumilivu kaka yangu yatapita
@chany9950
17 күн бұрын
Barbara is 💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾💪🏾👍🏾
@aminaomary5567
14 күн бұрын
Mkisema wamemtoa kwenye dini yake inakuwa mnakosea:yeye kwani alilazimishwa kuingia wislam au mtu unaga analazimishwa kuingia ukiristo:jibu hapana mtu ni Matakwa yake:
@aairraahseif5648
16 күн бұрын
Yeye ni kijana wakiislamu sasa anayo ruksa ya kuongeza mke, na uwezo anao so ajue tu haki zake! mke hana haki kumuendesha mume wake
@dismasmariananga4776
15 күн бұрын
Barnabar kuhusu wewe na yammi, nadhan ni utakuwa msanii wa Kwanza uliye weza kuwa na busara Kwa matatizo kama haya yaliyokukuta na mama mkwe wako atambue ata kama syo mziki usingeweza kumuoa mke wako,,, alikupendea nyotaaa baba we kuwa tu na busara na uaminifu wala usiwasikilize hawa wapemben
@kokusimabuberwa259
8 күн бұрын
Umeongea kwa ekima sana nimekufurahia🌹
@shakiramshule342
14 күн бұрын
Awakumtoa kwenye dini yake kajitoa mwenye,maana uyu ni mtu mzima
@MariaWaYesu
13 күн бұрын
JAMANII MTU AKIJICHOKONOA PUA MBELE ZA WATU INABOAAAA
@tuikezeezra1315
15 күн бұрын
Barnaba, mama Kimbo yuleee🤣🤣🤣🤣🤣
@MustymediaTv
17 күн бұрын
Yuko very smart
@ChristoweluMatuta
11 күн бұрын
Mm najua babraba hajabadilisha dini ni vile watu hamuwajui wanaume vizuri yn akikutaka hashindwi kufanya unachotaka
@MichaelJoashi
12 күн бұрын
Barnaba unamkana yesu kweli
@DativaMbowe
6 күн бұрын
Anaongea kama kameza cd😅😅😅
@user-fx4ok3ky8h
14 күн бұрын
Barnab achana na hao kina raya..njoo unioe mm
@Leeeeeeee-96
12 күн бұрын
😂😂😂😂 ombi limekubaliwa
@salmasaid1521
11 күн бұрын
😂😂😂😂
@dianaonesmo6951
15 күн бұрын
Mbosso Khan uyoo
@SaidOmari-sx4ix
16 күн бұрын
Kuongeza mke sio sifa ila ujue kuwa mudu coz nyie wana muziki kila uonae waona mzuri
@subiraandongolile7903
14 күн бұрын
Ninyi wenyewe msio wanamuziki mnaongeza wanawake kila uchwao na hamfuati taratibu za dini yenu mnaweka matabaka kwa wake zenu mara nyingi mnaongeza wake na uwezo wa kuwahudumia hamna
@martinlema4192
12 күн бұрын
Kusahau ni kawaida ya binadamu na wakati mwingine hajijui, 'USISAHAU/USIMSAHAU ALIYEKUFIKISHA HAPO'!
@Hkboy900
16 күн бұрын
🎉🎉
@user-sr7qt3nq2i
10 күн бұрын
👌👌👌
@silaslemayian5871
16 күн бұрын
❤❤,
@user-vo3wk9yr7k
16 күн бұрын
Anaulizwa maswali na anajibu vizuri, kwa akili sana.
@user-mt2pn4ds9k
14 күн бұрын
Mstarabu sana barnaba😂😂
@michaelthobias9967
17 күн бұрын
Suwezi badili kitu kinacho itwa dini sioni yoyote wa kuweza nibadili hilo
@ukhtyrayyan7884
16 күн бұрын
Ndo uloshinda kama firauni alofika hadi anakufa yupo katika kumuaasi mungu nakuabudu misanamu
@amirinestory
16 күн бұрын
huna akili
@Leeeeeeee-96
12 күн бұрын
@@ukhtyrayyan7884hahahha njooo uone nikabu zinavyopishana kwa manabiiii ndo utajua wapi pa kweli amja usingizini 😂😂😂
@user-pw2bl4qd8w
11 күн бұрын
😂😂😂😂jamani watu kwenye coment wanamakasiriko wengine hawajaoa wengine hawajaolewa hawajui mume anauma au mke anauma nyie acheni kitu kinaitwa muhabat mie nitulie2 muendelee na makasiriko siku mkiolewa au mkaoa mtaelewa2😂😂😂 maskini siku mkichitw mtaelwa siku ykulia kwenu inakaribia 😭😭😭
@lunangabenjamin3121
17 күн бұрын
Bora kutowa kuliko kupokeya.unapo towa usitarajiye kurejeshewa.tenda mema nenda.
@cettyamandus2929
13 күн бұрын
Kumbe uyu Malaya ndiyo maana aliashwa akiowa achika
@EvaTewele
15 күн бұрын
🎉
@Official83640
17 күн бұрын
Wamekutoa dini yako wajue km Uislam ruhsa wake wa 4 sasa watulie n akuwakomesha uongeoa bila kupenda ili akili ziwakae sawa yaani unapomtoa mtu kwenye dini yake basi mu9nyeshe matendo ya dini uliyomuingiza lkn wao kutwa kukaa uchi kukatika mitandaoni unafikiri wanakufunza nn km sio kukuharibia thawàbu zako😂😂😂
@IssaMbaru-qw6ug
17 күн бұрын
Tuheshihane ataa wakiristu sikuhizi wanahowa ata 2 ao 3 mpaka 4 sikuhiz wanahowa
@DM.2200
17 күн бұрын
@@IssaMbaru-qw6ug sawa ila sio sheria kama waislam inajulikana ni 4 ila wakristu ni 1 sema kuna kuvunja sheria ndo maana inayokea 2 au 3 ila iyo sio sheria ya wakrist "sad truth" 😢
@anunalamin6472
17 күн бұрын
Bora kuoa kila mtu ajue kuliko huyo mmoja na una wengine kwa siri kuendekeza zinaa na dini zote hukataza
@yusternyirenda7231
16 күн бұрын
@@IssaMbaru-qw6ugAcha uongo wako wewe ni mnafiki wa kiwango cha phd, wakristo wanaoa wake 2,3,4 kwa ndoa ipi? ndoa yetu ni moja tu mpaka kifo sio kama nyinyi ndoa zote 4 ni halali 😂😂 kwetu ndoa halali ni moja TU sema wakristo wanaishi na wanawake zaidi ya mmoja 2,3,4,5 _100 sio wanaoa mke zaidi ya mmoja huo ni uongo wako 😂😂😂 mkristo hana ruhusa wala uhalali wa kuoa wanawake wengi NEVER
@yusternyirenda7231
16 күн бұрын
@@DM.2200 Mkristo having wanawake wengi ndoa yetu ni moja tu, angesema wanaishi na wanawake wengi sawa tungemuelewa sio wanaoa ajue kutofautisha kuishi na kuoa ndio maana wao wanaoa wake 4 kwa ndoa halali ila sisi hakuna ndoa ya wake wengi kwa halai NEVER kwetu kuoa ni mke mmoja tu ndio halali hata aishi na wanawake 200 mke wake halali atabakia kuwa mmoja tu
@rukiamasayanyika2284
12 күн бұрын
Banaba nikuozeshe mwanangu una hekima sana
@rukiamasayanyika2284
12 күн бұрын
Na mwanangu namjua anahekima hivyo naamini utafarijika
@estherkimario7940
15 күн бұрын
Barnabas ni kama haupo sawa kwa mke yupi familia ya kiswahili had din unabadili haupo sawa maskini
@ashuramuhammed3257
14 күн бұрын
Umefanya jambo zur kubadil din uislam ndio din ya kwel owa wa 4 din inakuruhusu usijal maneno
@margarethpolepole7438
13 күн бұрын
Ashura dini zoe zinamwamini Mungu toa ujinga wako wa ubaguzi wa dini
@Leeeeeeee-96
12 күн бұрын
oooh safi sana ukristo ndo dini waislam wengi saizi wanakimbilia makanisani na kwa manabiii kupata uponyaji sioni wakristo wakikimbilia kw misikiti yenu 😅😅😅😅😅😅😅
@zainabumartin9520
17 күн бұрын
Kwanini munamuita mjinga
@boubabizo246
16 күн бұрын
Ivi kweli hawa wasani😂 mnapo ongea kengereza huwa mnakosea saana, maana makosa ni mengi mnoo. Someni shule please
@ukhtyrayyan7884
16 күн бұрын
Uowako niuhasidi tu huna lolote
@lovelym9562
15 күн бұрын
Wale usiowe mke mwingine huyo huyo Raya yote hii vivu tu Raha anakupenda sana
@Leeeeeeee-96
12 күн бұрын
😅
@user-en5ng4sc2x
17 күн бұрын
Wewe unamkashif mwenzio kumwita mbwa wewe ndio jibwa
@yousramutwale2463
17 күн бұрын
Wewe nimtu unaependa Sana kuwakashfu watu sijuwi kwanini
@lucasernest6012
17 күн бұрын
we ni fala ndo maana,mpk utakua mwehu
@AdiaOmari
13 күн бұрын
We mbwa unamjuwa wew tukalie kmy bwanaaa wee vp kujisemea Wanacham we zangu kwani huyo barnaba alikuwa amelll wakat Biray anaenda kumsilimisha bas tunyamazie wew kama hawna chakuongea bora ukae kmya t
@patriciacarlo7236
17 күн бұрын
Kuna watu wana stress kwenye comment 😂😅
@Leeeeeeee-96
12 күн бұрын
😂
@salmasaid1521
11 күн бұрын
😂😂😂
@user-ij2lp1om6i
17 күн бұрын
Mjinga huyu toka abadili nini mie namwonaga tu ni mbwa
@hameezhami7795
17 күн бұрын
Na wewe ni mbwa ama?astaghfirullah
@salmahalfani6307
17 күн бұрын
We ni mbwa na mamaako, babaako na ukoo wako woote jjibwa makubwa weee nyoooh
@user-ij2lp1om6i
17 күн бұрын
@@salmahalfani6307 kapige kwanza mswaki mbwa wewe . Kwanza hujui kuoga
@user-bi3ky7vy2q
17 күн бұрын
Comment yako tu inaonyesha we ndio ni mbwa.
@user-ij2lp1om6i
17 күн бұрын
@@user-bi3ky7vy2q mwanaume unabadili dini kisa mwanamke c ni sasawa tu umeolewa unatofauti gani mbwa koko
Пікірлер: 90