Tulipomuangazia mapema mwaka huu akihudumu kifungo gerezani, Mboya Ndindi alikutana na nduguze kwa mara kwanza tangu alipohukumiwa kifungo cha maisha kwa mauaji ya babake kimakosa na kuhudumu hata kwa miaka 18. Lakini sasa ameachiliwa kwa msamaha na kurejea nyumbani kumempa fursa ya kuanza upya maisha yake na kujenga uhusiano na nduguze waliomlaumu kwa miaka mingi. #BarnamijiGerezani
Негізгі бет BARNAMIJI GEREZANI | Mboya Ndindi ameachiliwa kutoka gerezani
Пікірлер: 95