Manshaallah ata km ni mtumbw ,amewapa laha wenzie,Allah akubaliki
@alexmavindi2104
7 ай бұрын
Huyu dada ALICHO kosa nadhan ni Elimu tu ila kichwani vitu vipo vya kutosha Sana yaani ana material mengi Sana, Big up 👊Sana shishi kuna vitu una vifanya unawapa SoMo kubwa Hawa wanao jiita wasomi na Wana kutamania na kuzitamania hizo akili zako we hujui tu ila ndio hivyo tena😅😅, big up Sana dada ang Mungu azidi kukubariki aixee😁🙏🙏 NB: Mnao jiita wasomi naamini lectures za shishi Zina wapa kitu, kazi ni kwenu kama Vodacom muendelee kubaki nyumbani au mjiongeze 😂😂
@josephwilliammnyune5464
7 ай бұрын
Kuna elimu, kuna busara na kuna hekima. Shishi huenda amekosa elimu, lakini amebahatika hivyo vingine. Mungu ambariki.
@annamwakibinga527
7 ай бұрын
Hongera sana sana
@dorcaskidoti249
7 ай бұрын
Hongeraa sanaa Shishi baby anaroho safiii sanaa mpenzi, Maisha ni watu haswa wale wanaokuingizia pesaa
@jedidahmagulu3553
6 ай бұрын
Iyo ela uliyo tumia ungewapa posho wangekushukulu sana maana mambo ya kupanda boti hayana tija sana ni kama ushamba
@user-sr9km3nk7r
7 ай бұрын
Hongera sana dada shilole kwa kuwajal wafanyakaz wako
@RehemaMasunga-ml7kt
7 ай бұрын
Hakuna kilichoharibika kitu cha msingi shilole ana upendo na ana upendo kweli na anajua kujitoa na ni kitu ambacho wengi hawawezi kukifanya sasa iwe ni yachi au sio yachi ndio kafanya sasa apewe sifa zake
@user-mo6tr3yt3m
6 ай бұрын
Hongera shishi baby
@user-br4tl7jv9j
6 ай бұрын
Najizuia kucheka lakin najikuta nacheka tu😂😂😂😂😂yatch Kama yatch🙌🙌🙌
@user-qv5tk3mt7g
6 ай бұрын
Hongera sana dada shilole nakupenda sana zaidi ya sana ❤❤❤❤❤
@laylayl5166
7 ай бұрын
MashaAllah mwenyezi mungu akuzidishiye NI mfano wa kuigwa kwa wengine walio mabahili wanao jali pesatu
@Mumbere-yk4sg
7 ай бұрын
Shilole naku kubali sana from🇨🇩kuna ma bos wengin daaa😮😮
@Zuuh4286
7 ай бұрын
Mashaalla natamani sana ningekuwa 𝐦𝐢𝐦 jaman najitahidi kutafta pesa lakin sifiki nachotaka lakin naamin huyu huyu Mungu namuomba ipo sk atanibariki nami niwe nazo 😂😢😢😢😢😢😢😢
@teedullah5708
7 ай бұрын
In shallah munqu atakuezesha
@Zuuh4286
6 ай бұрын
@@teedullah5708 🙏🙏🤲🤲
@user-qx4bb5is6f
7 ай бұрын
Nimekupenda sna, Mungu azd kukuinua
@mwanjaarashidi7402
7 ай бұрын
Hongera sana shishi
@masikasaidi8805
6 ай бұрын
Yaani kutoka nikutoa ujinga na sress kama pesa kila siku wanapata kuinjoi ni vizir katika maisha km pesa inaruhusu
@user-sr8tc8ke6q
7 ай бұрын
Hiyo Yachii Mamaaa😂😂😂😂
@user-df1rx7xv8s
6 ай бұрын
Nakupenda Sana shilole wewe ni mkarimu kwa watu wote.
@naturelle1097
7 ай бұрын
😂😂😂😂good idea
@sheikhalumbalambala2655
7 ай бұрын
Hongera sana shilole kutoa ni moyo kuna matajiri wakubwa lakini hawawezi kufanya ulilolifanta wewe Mungu akubariki sana jambo kubwa sana pamoja kuwa wanakuingizia lakini umefanya jambo la ujasiri.
@ritapiusnicolaus7068
7 ай бұрын
Hongera sana shishi 🥰❣️💖💞
@FransiskaJohn-fq1nf
7 ай бұрын
Sisi bosi wetu alisema hajui sikukuu😢
@oman9880
7 ай бұрын
Mashallah manshallah ❤
@renatusantidius8123
7 ай бұрын
Wabongo bhn hiyo fiber inawasongeza tu kwenye boti iliyo andaliwa😂
@nailaomar4810
7 ай бұрын
Binaadamu hamna shukurani hata mfanyiwe nn subhanaallah
@vero57
7 ай бұрын
Hongera sana dada shishi
@user-wz9no5wx3g
7 ай бұрын
Dada nakupenda Sana
@ISSACKRICHARD
7 ай бұрын
Kwaiyo iyo ni yachi😂😂😂😂😂
@arnoldlusambo3921
7 ай бұрын
😂😂😂
@babasandra638
7 ай бұрын
Hii ni boat ya kuvulia samaki ama ni yach mbn wazingua
@user-mj5pu6dz8q
7 ай бұрын
Hii ndo .....au ila hapa umetupga
@huldamichael4445
7 ай бұрын
😂😂😂😂shilole unanichekeshaga Sana!!eti yaani Mungu😅😅
@halimaoman8726
7 ай бұрын
Shilole nakupenda sana una ubagui ndugu yngu chezea wanyamwezi wwe atuna mbaba wala ubagui sote Ni waja ishu miaka mingi shilole waalh
@user-xr5tx6rc7t
7 ай бұрын
Big love shishi aminiaaaa
@MarkKissela-vk9ro
7 ай бұрын
Naomba kaz #shishifood
@dayana5513story
7 ай бұрын
❤❤❤❤
@user-wu9zz1bm9h
7 ай бұрын
Shishii hongera hatakama uwe mtumbwi umewapa rahaaa.umeonyesha wewe ni zungu la roho kwahicho ulicho jaaliwa na Allah umefanya Kwa uwezo wako.bimaana ungekua na uwezo hata ndege wangeipanda hao.matajiri wenye uwezo wengi tu hawaja wajafanya uliocho kufanya mungu akubariki sana
@DOTOCHARLES-so7rh
6 ай бұрын
Kabisa
@sabihaibrahim143
7 ай бұрын
haya ni kama yale maboti yalokuwepo foro ya kuvukia visiwani huku nilikodi elfu 40 sasa milioni 3 kaaa
@maulidimopen1273
7 ай бұрын
Mbona Uchebe humpi Furaha kama wapenda watu wafurahi ??
@hamidumpiga6283
6 ай бұрын
Uwaongeze na mishahara
@saidsalim6729
7 ай бұрын
Yachiii😮 million 3, uo si mtumbwi wakuvulia chaza au una Jina ingne unaitwa yachii
@samwelkitalula698
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@frankngoloka5416
7 ай бұрын
Fanyeni na nyinyi mbona makasiriko,hapo ni lugha tu imebadirika yote ni Yale yale
@Mumbere-yk4sg
7 ай бұрын
Kuna wengine wafanyakazi hawaja nunuliwa hata soda
@sabihaibrahim143
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂mpemba
@mamakekhubeiby4206
7 ай бұрын
Million 3 kenya ni pesa ngapi 😂😂😂😂😂😂
@simonmalegesi414
7 ай бұрын
Siku nyingine mvae life jaketi siyo mnaingia kwenye mtumbwi kiboya.
@giztony2009
7 ай бұрын
Eti yachi yani hizi takataka zinatuonaje hivi yachi zipo hivi?
@mukeshimanarose1334
7 ай бұрын
😊❤❤❤🎉
@vero57
7 ай бұрын
⛵ yacht
@JehovaJonas
7 ай бұрын
Dah natapaje ajira hapo jamani
@nassormessi-zk5cz
7 ай бұрын
Wabongo wanapenda sifa ila bdo sana ati milion tatu boat ya uvuvi njoo ukodi kilimanjaro huku au Zanzbar One Wanzanzibar wana hela ila kimya hwa wenzetu wanatuharibia Nchi Sifa nyingi punguzeni Sifa hizo
@edwardleonard7402
7 ай бұрын
Hogera shshi
@MichaelPetro-td1ki
7 ай бұрын
Una kitu kipekee sanaa dada shilole mung akubalki jaman
@kilimanjaro77international26
6 ай бұрын
MV Shishii mwenyewe akiwa nahoza Mtumbwini
@user-bx3kl4hn6j
7 ай бұрын
Saizi mnatamba baadae mkiumwa watanzania tuwachangie ila bata mnakula peke yenu
@maswamills3161
7 ай бұрын
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏♥️💯.
@user-yx3ic8zy9e
7 ай бұрын
Ngalawa siku hizi inaitwa yatch daah hata April fools bado 😂😂😂😂😂😂
@agathakeneth6563
7 ай бұрын
Kufunga ofisi Kwa ajili ya mapumziko ya wafanyakazi, nauli na vitu vingine vidogo vidogo inatosha sana Kwa Hali za mabosi wetu wa kibongo ni ngum kufunga ofisi na kuwaacha wafanyakazi washeerekee siku kama izi za mwaka mpya , so inatosha sana uko kuwatoa tu haijalishi ametumia gharama ndogo kiasi gan
@user-yx3ic8zy9e
7 ай бұрын
@@agathakeneth6563 hakuna aliekataa ila waache uongo kutwambia wawe wanasema ukweli mie na family yangu nimekodi hio boti ya kipaa ni laki tu kutoka asubuh saa tatu mpaka saa mbili usiku nimerudi yeye anatwambia ni milioni 3 yatch tu sasa hio yatch au kiboti tu mskilize tena anasema nini?
@hellendaniel3809
7 ай бұрын
Iwe ngalawa,iwe mtumbwi vyovyote vile.
@user-dl2cr9dk1m
6 ай бұрын
Bora ww shilole Kuna mabosi wengine hata mshahara hawatoi anajijali tu yy
@CostaYesaya-sh5gx
7 ай бұрын
Dada endelea kupambana wenzako wanadanga na kuwafundisha umalaya watoto wao
@ttss7716
7 ай бұрын
Me nampenda huyu mama sana ana juwa kuishi na watu❤
@haddrazee8848
7 ай бұрын
Eet yatch hata kama cjui yatch lakn dada yangu hilo ni bot
@triplea3463
7 ай бұрын
Boti mtubwi huu😂😂😂
@adammjomba5814
7 ай бұрын
Mzee karume alisema kuongoza sio kusoma ,
@kisubikilozo6128
7 ай бұрын
Uwa wanalipwaga gapi kwa mwezi tusaidieni tujuwe mishaara ili turudi tuombe ajira ugaibuni tumechoka jamani shishi
@giztony2009
7 ай бұрын
Hili shamba eti yachi kuna yachi pale mbona ni tofauti na zile za akina mondi
@user-uu7mg3ff8l
7 ай бұрын
saf san shishi mm ni shabiki wako kindaki ndaki karibu moro
@eliwazadaniel6535
7 ай бұрын
Pale si msasa mavi
@officialludahtz8152
7 ай бұрын
Hapa shilole katupiga
@teedullah5708
7 ай бұрын
Honqera shishi mimi na kufatiliya sn
@MussaKingu255
7 ай бұрын
Faiba hiyo ukifunua juu ni myumbwi wakuvulia mzee bot mnqzijua lakini!
@RabiaIddi-ci2uz
6 ай бұрын
Hebu kuweni waelewa hiyo inawapeleke kwenye yach bot
@papiampangaje
7 ай бұрын
Dodoma anamgahawa wapi
@ashachitemo7816
7 ай бұрын
Kule kilimo kwanza
@binrashid8671
7 ай бұрын
M3 umeinunua hio boat (fiber) au umekodisha? Kama umeinunua hapo sawa
@subiraaddo864
7 ай бұрын
Yaan fibre iuzwe million 3 kweli? Fibre inauzwa Hadi mil. 100 unaongea nn wewe??
@sinzoshabani6855
7 ай бұрын
Hamna fiber ya m3 hata siku Moja
@user-vp1zu3fb5w
7 ай бұрын
HIYO ML3 BADALA YA KUKODI BOTI UNGETUMIA KWENDA KUWALIPIA GHARAMA ZA MATIBABU WALE WALIO SHINDWA KUJIGHARAMIKIA UNGEINJOI HATA KWA MUNGU ,
@user-uo8xw9kr4b
7 ай бұрын
Sio mbaya kuwafurahisha wale wanovuja jasho kukuingizia hiyo pesa.
@liberatusjackson5045
7 ай бұрын
Unashindwa kukodiii bot zakishua hayo siyawavuviii.jierewe kama msaniii hahaha mama ntilie
@MabulaDoto-xb6xr
7 ай бұрын
Kama glass ya juice anauza elfu 5 kwanini asichezee pesa wakati wajinga wanazipeleka wenyewe
@fettyrashid9042
7 ай бұрын
Wewe msukuma nawewe 😅
@MabulaDoto-xb6xr
7 ай бұрын
@@fettyrashid9042nn imekugusa ????
@user-py7gb7wr8v
7 ай бұрын
Hapo kwennye milioni tatu ndo umeaaribou hapo
@theuniversetv2870
7 ай бұрын
Ety ni moyo tuu sio hela thubutu ndo wanavosemaga waliopata fedha bila pesa kupata pesa sio rahisi acha kudanganya watu shishi food is not there without money mbona unakosea adabu mtaji wewe vp😂
Пікірлер: 108