Nakumbuka hii nyimbo inatoka nimepewa mimba nimekataliwa nimelala ubungo wiki nzima kisha nikaenda kuomba kazi za ndani nikapata nikaa mpaka nikajifungu kweli mungu yupo tutafika salaam😭😭😭😭
@MariaShimba
Жыл бұрын
Hawa wanaume ni wakatilii den anaweza taka mtt
@witnessvenance6429
Жыл бұрын
Mungu ni mwema
@prosecutorprince281
Жыл бұрын
Ayseee polee mama
@salumntulo1589
Жыл бұрын
Pole ulikuwa una date na mtu ambaye hakuwa tayari kuwa baba bali alikuwa ni mvulana
@JudithKilewo
Жыл бұрын
Mungu aendelee kukupigania mpendwa 🙏
@FelistaDeogratias
2 ай бұрын
Nikisiliza huu wimbo nakumbuka nilipotoka mungu yupo nami kila wakati❤😭🙏
@lydiamresh3710
4 жыл бұрын
Hakika huu wimbo umenitoa manjozi, kweli tutafika salama. Kama tuko pamoja 2020 konga like hapa juu tutafika salama
@dimessevestments179
4 жыл бұрын
Kweli tutafika salama
@esteredward2133
4 жыл бұрын
Lydia Mresh AMINA Ubarikiwe sana kweli kabisa kwa msaada wake Mungu tutafika salama
@joycechales6272
4 жыл бұрын
Wimbo umenitia moyo asnte dada
@jaklinifaustini4259
3 жыл бұрын
Umenikumbusha mbar huu wimbo mwaka 1992 kuna sku tulikosa hata unga wa uji tulilala na njaa tulikuwa na bibi yangu huko bariad mkoan simiyu MUNGU alivo mkuu usiku wa saa 7 dada akaja na maharage kutoka geita niliamka nikayabandika niliyachochea had yaliiva tukala😢🙏 kama na ww umepitia haya nipe mkono👋
@jumalove2631
4 жыл бұрын
2020 tulio pitia mitihan gongaa like 😳
@consolathagussa6556
3 жыл бұрын
hakika tutafika salama
@user-ln2hv3ur5e
3 ай бұрын
Tutafika salama
@irenenekesa9728
3 жыл бұрын
Listening to this song while crying thinking, how l lost my both patents, Daddy And mum at the same time, l was like I'm finished, But when l remember about God, Naona nitafika salama,And to God be the Glory.
@belindambuja5585
3 жыл бұрын
Yes utafika .....pole
@neemaloy889
2 жыл бұрын
Pole Sana Irene unaendeleaje 2022
@irenenekesa9728
2 жыл бұрын
@@neemaloy889 Thanks Alot, God bless you, I'm doing well, God has been so faithful, Thanks for your prayers,God bless you abundantly my dear.
@irenenekesa9728
2 жыл бұрын
@@belindambuja5585 Asante Belinda, May good Baba bless you abundantly.
@maryotieno7104
2 жыл бұрын
Tutafika salama
@themagicalafrica200
2 жыл бұрын
I listened to this song first when I lived in my small bed-seater. Today, I comfortably live in a two-bedroom house. Aint the Lord too good jameni?
@melanieshalua7882
Жыл бұрын
Too good 😊
@josephinewangari9393
3 ай бұрын
Let me leave this here as an encouragement to myself that even at this hard and trying moment, nitafika salama kwa msaada wa Mungu😭😭
@shamimlytton6254
2 жыл бұрын
I was going through hard times in2017 I heard this song from a neighbor. It changed my heart . Today is 1st February 2022 indeed THE LORD HAS BEEN WITH ME. THANK YOU LORD
@elizabethwangila6866
2 жыл бұрын
I have been In depression and truly God has fought for me...financial difficulties...but God has fought for me and my family...this song had really encouraged me
@user-zq4bd3jw7h
Жыл бұрын
I think 2017 was not good yr to everybody
@shamimlytton6254
10 ай бұрын
Sure
@denisoyugi9869
10 ай бұрын
@@elizabethwangila6866 hope you are at the best state now
@carolinelavi9084
2 ай бұрын
7 years ago my life resonated to every word of this song😢But today I testify God ...Even when I didn't know which direction to make for my next step God knew Nitafika Salama.Brethren have faith in God and Truth him even when it seems impossible God atakufikisha salama
@dianaderck5560
Жыл бұрын
Asant Mungu🙏 hata Leo pia Umenishka Mkono,,,,Mpendwa usikate tamaa Bado kidogo Tutafika salama
@SandyVusha
2 ай бұрын
I knew this song through my mum that was 2017 after my Dad's burial we passed through alot 😢Leo asubui yetu imefika God is great🙏
@scholasticahnekesa2722
3 жыл бұрын
Yes, I can identify with this song. When I remember where I was 6 years back and when I look at where I am today, I can not fear where I am going because I know, "mradi niko na mungu, nitafika salama".
@roseruiga6075
Жыл бұрын
This song reminds me pale mungu amenitoa July 2022 after demise of my dad and sister in a span of 5days
@user-bc7zv9kr2k
Жыл бұрын
Ak huu wimbo hunifarigi wakati napitia magumu 😢😢nmezaa miezi tatu nateswa natukanwa nkajikaza niende kazi kurud napata nmefungiwa nyumba na mtoto wangu wa miezi tatu😭😭😭😭😭😭ak mungu nipiganie bila ww sitaweza
@florahjohn2980
5 жыл бұрын
This time last year nlipitia kipindi kigumu sana and i was listening to this song every single day! Things are different this year Glory to God! Mungu ni mwema ❤️
@idahmwanaidi2057
Жыл бұрын
Am from TikTok am shocked that the song has 6yrs but it's nice has really touched me still trending ❤Our God is Able
@skyllershantell1647
3 жыл бұрын
😭😭😭anytime I listen to this song I just feel am blessed 😊☺enda nasi najua tutafika salama 😢...i wish my son will never give up on me juu sina uwezo kwa sai but najua tutafika salama 😘😍😭
@shelawruth
3 ай бұрын
I don't understand the coincidence.. listening to this beautiful song when am traveling..God bless you my sister
@asiaa6573
3 жыл бұрын
Mimi ni Muslim huu wimbo hua unanibariki Sana na kunifanya nipate Amani ya moyo mpaka Sasa 2021 nipo hapa sitoki
@raymondwaiyaki4073
2 жыл бұрын
This song strengthens me...n reminds me that my God is always watching over me...n he's walking up with me 💪💪💪
@devisbrown1290
7 жыл бұрын
Mungu azidi kushukuriwa, kwa kile kidogo tulichonacho tusiache kushukuru.. Leo hii we unalala mika hujala ila Kuna mwingine kafiwa na watoto wake wote... Mungu wetu anatupenda kusudi lake ni jana kila iitwapo Leo. #Tutafika salama
@lilymammpayo8072
3 жыл бұрын
Amen devis
@letslaugh8531
2 жыл бұрын
100% representation of my life at the moment........But I trust God #nitafika salama.
@samanthaj9927
4 жыл бұрын
I can't hold my tears anymore,, this song reminds me back in life but today am huppy because nimefika salama,,, out there don"t worry you will be there salama
@zuwenagodfrey7692
4 жыл бұрын
Tutafika tu maana mungu yuko pamoja nasi
@annenangila4200
3 жыл бұрын
Thanks for encouragement, I'm one if them but I believe that our God never sleeps
@judithingosi6896
3 жыл бұрын
Amen n Amen
@marcygladys1643
3 жыл бұрын
Amen God bless you for me.Me pia inanikumbusha bt najua tutafika salama
@stephenmathuku6932
3 жыл бұрын
Tutafika salama
@robbymgori4642
2 күн бұрын
Nakushukuru Mungu kamwe siwez kusahau jana...nanitafika salama kwa msaada wako Mungu wangu
@kibekibue8141
3 жыл бұрын
Mungu ametufikisha salama tuko 2021 Jina la Bwana Yesu lipewe sifa.
@stephenmathuku6932
3 жыл бұрын
Ametufikisha salama
@marywanjiru4580
6 жыл бұрын
"Bado tu kidogo nifike ngambo" Never give up when you walk with God surely ur going to accomplish your mission
@antoninaochieng3665
Жыл бұрын
I can't hold my tears while listening to this song ,TRUELY God is faithful. At one I was down but the minister I received through the song encouraged me .May you be lifted my sister .
@dennissabaitz9471
4 жыл бұрын
2020 ambao tunaamini mungu atatuvusha salaam na janga la corona na maisha yatarud Kama kawaida tuseme ameni
@vinnnduri7509
4 жыл бұрын
2020 here and still watching
@floteakweka5480
4 жыл бұрын
Tupo pamoja bado tupo na Mungu na Safari yetu ipo na Mungu na tutafika salama
@pamelaadagala6906
4 жыл бұрын
Present 🖐️ 2020 still meditating on the message. God bless her for me🙏
@rakivrakiv3023
9 күн бұрын
Nitafka salama kW mapenzi ya mwenyezi mungu.Saudi ntamaliza salama
@fredericabureta3310
4 жыл бұрын
2020 here still listening to this song.....Kama Mungu amekufikisha salama gonga like
@bigstarcomedy0017
3 жыл бұрын
My sister ingekua mimi Ni mzawadia watu basi ungekua na zawadi nyingi,hii nyimbo yako hii inasimulia maisha yangu kabisaa,na hii nyimbo hili fanya niokoke,my God akuzawadie maisha marefu nizidi kusikia sauti yako,all the way from KENYA MOMBASA and from BIGSTAR COMEDY 001,mimi ndo NOCHI, wish you the best in everything
@ebenezersalonandcosmetic
Ай бұрын
Its 2024 and am so happy to hear this song it strengthens me alotvand gives me hope that with God all is truly possible.... Amen
@happynessrichard7059
3 жыл бұрын
Mungu azdi kukuinua mpendwa,wimbo huu unatoa machozi unanigusa maisha niliyoptia baada ya kuwapotza wazazi wt,mungu nimwema katuinua
@sefuabeid9742
7 жыл бұрын
Nimeupenda sana wimbo huu dada Beatrice...Good Message,very touching song !!...very talented sister...!!...Wimbo mzuri sanaaah!!..,good message!!...umenikumbusha mbali wimbo huu umenitoa machozi maana hata mimi wimbo huu unanikumbusha MUNGU AMENITOA MBALI SANA....TUTAFIKA SALAMA PALE MUNGU ANAPOTAKA TUWEPO...Usikubali kukatishwa tamaa na Mungu atatutetea na Magumu yoteeeeeh!!....Amen.
@yasintarichard3497
4 жыл бұрын
Beatrice Beatrice Beatrice nakuita mara3...mungu aendelee kukuweka...huu wimbo nasikiliza mara5 mpaka 7 kwa siku hauniishi hamu....barikiwa mnooo🙏🏾🙏🏾
@puritysalago2635
5 жыл бұрын
Wimbo huu hunipa matumaini kile siku...inaongeza imani yangu kwa Mungu kila siku...🙏🙏
@kelvinkariba
4 жыл бұрын
I hardly leave comments, but the song is a true reflection of a ministry in Music. God bless all who made this.
@apollobupolo9884
4 жыл бұрын
2020 Neema mwaipaja ninahistoria ndefu sana na nyimbo zako dadangu .....Mungu akupe ujasili zaidi
@maureenanyango422
5 жыл бұрын
This song has just reminded me of where God has taken me from.God's faithfulness is ever sure. I'm crying
@marthanyamurama4129
Ай бұрын
Mungu akubariki saaana Nimebarikiwa na huu wimbo 😭😭😭😭 Mungu Akubariki Tena saana 🙏🙏🙏
@davismathew9414
2 жыл бұрын
God you have always answered my prayer i know that even this one of owning a home you are in control .love you Jesus .🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@queensheilahmoses4619
3 жыл бұрын
Amen nimebarikiwa na message yako daa ata kama sioni nimeona siku ya leo si hiyo ni baraka niko mzima kabisa
@solangesoso3100
6 жыл бұрын
Hii nyimbo inanikumbushaga mengi mpaka najikuta nalia, mungu awazidishie napenda nyimbo zenu zote kabisaa.
@ruthmwasomola3907
3 жыл бұрын
Kwakweli tuta fika sarama kwaa musanda waa Mungu
@joycemasso815
7 жыл бұрын
Asante Mungu wa huruma kutupigania katika kipindi hiki kigumu na tunaamini kuwa utatufikisha salama kule tunakokwenda. Amina
@stellaakeyo9254
5 жыл бұрын
Amina
@jorammacha9205
3 жыл бұрын
Asantee Mungu kwa kunitoa mbali had hap nilipo sasa
@angelamazula5293
3 жыл бұрын
Kila mtu Mungu amempangia lake katika .maisha haya ya duniani
@lightnessgeofrey1748
7 жыл бұрын
Nimpe nn Mungu kanitoa mbali sana Asante mungu kwa upendo wako
@leahsylivester6861
5 жыл бұрын
Hakika tutafikasalama kwa msaada wamungu
@bigirimanasamson2064
5 жыл бұрын
mimi sina ca kusema nakumbuka wakati naowa maisha akanitesa kweli titafika salama
@sarabernard1205
4 жыл бұрын
Wazls
@hamissamobeto2783
4 жыл бұрын
Lightness Geofrey asantee mungu
@vumiliajoshua270
4 жыл бұрын
Ameeen,Nitafika salama kwa msaada wa Mungu
@evancenyari9023
2 жыл бұрын
napenda sana kusikiliza hii nyimbo kwa kuwa inanipa matumaini ya sehemu nilioko na wazazi wangu pia kuwa ipo siku mungu atamkumbuka mja wake awezi muacha kamwe😓😓
@fredobai7507
4 жыл бұрын
infact i do love the family of mwaipaja they sings couragereous songs keep it up
@faithelizabeth89
Жыл бұрын
Despite all the challenges, nitafika salama kwa sababu mungu ana mpango mwema kwangu..sitakataa tamaa hata kama nahisi kukata tamaa
@leonellykweka7165
4 жыл бұрын
2020 MARCH STILL PLAY THIS SONG GOD BLESS YOU!!
@engineerjamoo6191
4 жыл бұрын
Am here watching with you it's soo touching 😭
@lydiakemuntookindo3930
4 жыл бұрын
2020 still watching this song nice song😭😭😭
@denisoyugi9869
10 ай бұрын
Hi wimbo inanitia moyo nikiwa ka mjengo alafu site maneger anakula hela zangu
@brendacheruiyot9801
4 жыл бұрын
I listen to this song this 2020 and cannot stop thinking of those that have lost their loved ones, jobs, houses, and finances during this Corona Virus pandemic. May God stand with us in this journey Tutafika salama.
@WeCanDoIt-ji1tp
4 жыл бұрын
Tutafika salama kwa msaada wa Mungu..Amen
@judithkurgat1491
3 жыл бұрын
Kwa msaada wa mungu tutafika salama asante kwa nyimbo mzuri
@AllyShaame-xr2lq
Жыл бұрын
Hii ngoma Kali Sana nakumbaka kipind nimetoka kufukuzwa kaz sabb ya fitna ya mfanyakazi mwenzangu afu nipo nyumba ya kupanga na Nina mke na mtoto acha kabc yasikiee tu kwa mwanzk lakn ndio hivyo tupo na mungu
@vivianokutoyi8250
4 жыл бұрын
Nakushukulu Dada Martha,wimbo huu hunitia nguvu na moyo wa kuendelea.Mungu kanitoa mbali jamani,tumpe shukrani na sifa
@ruthmwasomola3907
3 жыл бұрын
Amen
@liliananyango4212
10 ай бұрын
Huu wimbo unanipa moyo kwa wakati huu mgumu mungu anitie nguvu tufike salama😢
@lwimboderick7479
4 жыл бұрын
2020,, still watching
@kennedymagoya9464
4 жыл бұрын
Still watching this song aki anani tena naipenda sana######tutafika salama.....nkiskia tu machozi Yatoka yenyewe 🙏🙏
@janetmwaka9663
2 жыл бұрын
I was going on a hard time in Saudi Arabia but when I heard this song niliamni ntafka salama kwamsada wake
@mutukumuthike8717
4 жыл бұрын
I always listen to this song whenever I feel over burden, it reminds me that nitakuwa salama
@annannie349
2 жыл бұрын
True
@dhssgs6360
5 жыл бұрын
Amina hata mimi nikikumbuka nilikotoka ni Neema ya Mungu nabarikiwa nikiwa Omani
@hilaryisreal8895
4 жыл бұрын
Through the help of God 2020 am in breaking limit, if this same God defended Israel at red Sea a whole nation what about me an individual ah nitafika salama
@dastanmhagama3482
2 жыл бұрын
Good song .nabarikiwa sana naii nyimbo nitafika salama
@naphapollo
Жыл бұрын
My tears have washed me uncontrollably without fear or shame ... This song ignites and rekindles my lifes journey without favor ....am bruised
@alicemaembe7547
2 жыл бұрын
More grace my dear your a blessing to me may God continue lifting you in a highly dimensions
@nisilesanga3602
4 жыл бұрын
Adante mungu wangu wimbo unanigusa sana 😭 tutafka salam na nipo salama🙏🙏
@zuhurashaaban4815
4 жыл бұрын
Hakika kiongozi wetu mwema hawezi tuacha njiani nakupenda dada b
@elizabathh6270
4 жыл бұрын
Mungu Muumba Wangu kwa Mfano Wako Nifike Salama Kwa Ahadi Yangu
@scoviaokaronon4305
3 жыл бұрын
Huu wimbo umenitoa machozi hakika😭😭 hakika tuko na imani Hata corona itaisha
@agnesmrefu4558
5 жыл бұрын
Kweli tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kila jambo, tusiogope mapito yote ni mafunzo na kutuimarisha ili tufikie lengo
@piuskenedi5854
4 жыл бұрын
Hakika huu wimbo imenijenga vizuri ata kama jana ulikua unalia shida jua kesho autalia tena naipenda sana wimbo huu
@noxlosingida2369
7 жыл бұрын
Sina cha kuongezea ktk wimbo huu,naimani ktk Yesu tutafika salama
@mayengabarafu6466
6 жыл бұрын
hongera sana dadaang may god bless u 4 good song
@nuruwillium4434
6 жыл бұрын
Neema Daudi usijari tutafika sarama mungu yupo kwajiri yetu
@tumainhinju3198
5 жыл бұрын
Neema Daudi haswaaaa tutafika salamaaa
@gladysnaliaka7985
5 жыл бұрын
When I ear this Nina aza kuli
@neemajames1684
5 жыл бұрын
Neema wajina acha kabisaaaaa
@damarismuenipeter1073
2 жыл бұрын
Mungu nikumbuke na mm niendako kuwa pamoja na mm nitetee mungu wangu kuwa nguzo langu
@magrethyohana803
8 жыл бұрын
Beatrice dada angu hukoseag kabsaaaa mpendwa,,,,,,,, yaaan kila nymbo yako inanigusaga,,,, mungu azd kukupgania katka kaz zako mpendwa wanguuu
@margaretkalachi855
8 жыл бұрын
Am so blessed with your songs and voice.may Almighty God bless your ministry in singing.
@margaretkalachi855
8 жыл бұрын
Magreth Yohana
@winfridamayemba7056
4 жыл бұрын
Da nikikumbuka nilikotoka mpaka hapa nilipo mungu ndo unajua
@prettymaria9876
4 жыл бұрын
2020 July am here... SINA MASHAKA NA NIENDAKO🙏🏽...MWAIPAJA FAMILY TAKING US CLOSE TO GOD,, BE BLESSED ❤️.
@stellamuriithi6669
2 жыл бұрын
Is martha mwaipaja her sister?
@sevelinasevela6470
Жыл бұрын
Balikiwa sana dada kipaji chako kinagusa mioyo ya watu wengine sana hakika tutafka salama 😍
@lukekibaliofficial8444
2 жыл бұрын
Everything about God is sweet...i love Jesus he is faithful...soo touching music
@wilfrednyangaris_
Жыл бұрын
rmding me try 2000 mi hapa Wacha mungu aitwe mungu aki
@robertokeyo8376
3 жыл бұрын
One of my best songs it reminds me my journey of life God real
@malimabm8553
2 жыл бұрын
Daah! bado nina safari ndefu mbele yangu 😢 Kwa msaada wa MUNGU, nitafika salama
@marywanjiru4580
6 жыл бұрын
this song is very emotional av listen 10 time and still listening
@victoriachangandu7433
2 жыл бұрын
Amen twapaswa kushukuru kwa kila jambo , kesho niya Mungu . Mungu akubariki dada.
@stellaakeyo9254
5 жыл бұрын
Tutafika salama kwa msada wa Mungu kuwa mungu tutafika salama
@udakutzepk8300
3 жыл бұрын
Kweli huu wimbo umetoa machozi,,, kwani kuna kipindi nimepitia mpaka nkauona mwisho wangu,, lakini Namshkuru YESU kwani kanishindia vita kubwa,,,, nitafika salamaa
@edinnasimon9032
5 жыл бұрын
Nimelia nilipo sikiliza huu wimbo umenigusa kweli jamani Ubalikiwe sana
@user-ku3yb9fz9q
Жыл бұрын
Nakumbuka nilikuwa nalala njaa na kuteswa juu ya kufanyia mungu kazi nikachapwa nikahama kwetu lakini mungu naye hakuniacha
@bentaachieng4286
7 жыл бұрын
Hata tunapopitia taabu maadamu tuna Mungu tutafika salama
@furahaamani557
5 жыл бұрын
Amen Amen na upenda wimbo huu ubarikiwe dada uliye imba wimbo wa baraka
@princebravoKE
2 жыл бұрын
Mungu nikupe nini kwa umbali huu? Sina chochote isipokuwa kushukuru na kutenda upendavyo!🙏
@karenmchomvu3300
Жыл бұрын
I can't stop visit this place to praise God 🙌
@cecilyakasekelo711
2 жыл бұрын
Amen Amen nafarijiwa sana wakati nikisikia huuwimbo mungu Akubariki sana sister Beatrice nakufata toka south Africa
@eugenielumanya7438
2 жыл бұрын
Amen. I know everything will be all right by the Grace of God.🙏😍🙏
@teresianjoroge2112
Жыл бұрын
This is my life song,the message from this is all about my life,mradi Niko na MUNGU,nitafika salama😭😭😭😭
@emanueldaniel9914
6 жыл бұрын
Beatrece unachokipaji mama sina la kuongeza love you so much
@lemasmith2049
7 жыл бұрын
Mungu awabariki watumishi wake kwa kazi ambazo yeye .
@cynthianeno9773
7 жыл бұрын
huu wimbo wanitia moyo,Ni mengi yatukumba njiani lakini kwa msaada wa mungu tutafika salama only through experience can one come up with such a song take heart Beatrice it's well with the righteous
@gwakisamwambete5580
7 жыл бұрын
Dada mungu akulinde
@evandeshlymusa9740
6 жыл бұрын
Wimbo uu unatia moyo
@allanongoyo5499
5 жыл бұрын
Kabisa
@vumiliajoshua270
5 жыл бұрын
Ameeeeen,ameeeen,Naamin kwa msaada wa Mungu tutafika salama pale Mungu anapotakatuwepo .Amen,Ubrikiwe Mtumishi was Mungu
@eliabumsuya3748
4 жыл бұрын
Cynthia neno yani huu wimbo unaniliza mbona
@tengatambi1236
4 жыл бұрын
Kwa msaada wa Mungu tutafika tu japo bado safari ni ndefu na vita ni kali sana lakini pamoja na yote tutafika salama msaada wa Mungu upo pamoja nasi daima.
@slaughtergang5075
5 жыл бұрын
umenigusa sana mpendwa hongera kwa kazi nzuri na kama c mung hakuna mwingine ambae atatuokoa kwenye shida na tusijesahau fadhili za mungu pia tikisahau jana tutakosa ujasiri vilivyo
@scansarayann
Жыл бұрын
It's 2023 I heard this in matatu when going to work indeed it was a blessed day for me. Happy New year
@augustusjeremiah6375
3 жыл бұрын
Can't get enough of this song, congratulations mwaipaja family
Пікірлер: 1,3 М.