Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
Natumaini utaona huo uzima wa Yesu ndani yako kupitia ujumbe huu kwa njia ya wimbo,Nguvu ile ile itafanyika halisi ndani yako ,Amen🙏
On Spotify - open.spotify.c...
Boomplay - www.boomplay.c...
Apple Music - music.apple.co...
On Audiomack - audiomack.com/...
Song Lyrics
Alimwendea Lazaro Akakuta Amekufa, Dadaze Wakamwambia Ongekuwepo Asingekufa
Yesu Akawajibu Hajafa Amelalaaaa * 2
Haya Vingirisha Jiwe
Vingirisha Jiwe
Lazaro Toka Njee Uwe Mzima ( *2)
Yesu Ni Uzima Wangu
Yesu Ni Uzima
Haaaaaaaaa
Yesu Ni Uzima ( *2)
Corous
Yesu Ni Uzima Wangu
Yesu Ni Uzima
Haaaaaaa
Yesu Ni Uzima
Walitaka Nife Magonjwa
Lakini Nipo Hai
Haaaaaaaa
Yesu Uzima
Walitaka Nife Kwa Ajali
Lakini Bado Nipo
Haaaaa
Yesu Ni Uzima
Mvua Inyeshe
Jua Liwake
Mm Bado Nipo
Haaaaa
Yesu Ni Uzima
Jua Liwake
Mvua Inyeshe
Mm Bado Nipo
Haaaa
Yesu Ni Uzima
Song Writer - Bebe Luvanda
Producer- Mordecai Nsajigwa
Video By - Yotham Lyoba
Негізгі бет Bebe Luvanda - YESU NI UZIMA ft Julius Fanta (Official Music Video)
Пікірлер: 368