Tuliorudi kuisikiliza hii ngoma 2024 tujuane apa weka like yako
@princefever3115
4 ай бұрын
2024 and its on April 5th.I know most of you won't believe bt a've been coming here everyday after job to listen to this magical song🔥🔥🔥🔥and am not stopping coz honestly umefanana nae
@nicodemusjohn2309
4 жыл бұрын
Huyu bele9 akipata management nzuri kweri watamkoma jamaa anajua sana love u bro Mimi shabiki wako toka sumu ya penzi gonga like kama mnakubariana nami
@divadaqueen6558
4 жыл бұрын
Jaman sijawahi kupata like hata 2 basi leo naomba hata 5 kama unamkubali belle 9@ 🙏🙏
@alexkilumilealexkilumile7685
4 жыл бұрын
Hzo like utazila au🙄🙄🙄
@juliusfungo2754
4 жыл бұрын
Munao kubali vitu vya live kama mimi fanyeni vile vitu vyetu vya kupita na like sasa
@clatmelo8914
4 жыл бұрын
👏👏👏👏
@RandyMwanaKin
4 жыл бұрын
Mr msogange anasataili kupewa heshima nyingi na tuzo pale TZ 🇹🇿 . Mimi nilimjuwa since 2008 kwetu congo kinshasa 🇨🇩 adi leo 2020 namusikiliza #belle9 kutoka marekani 🇺🇸 ajawai chuja kila ngoma ni hit 🔥
@Mbeyaconscious
4 жыл бұрын
Brother Wewe Ndiyo nakukubali Toka enzi hizooooooooh
@jumamwarabu8603
4 жыл бұрын
Jamaaa anajua
@gorillaman2294
4 жыл бұрын
Hivi huyu broo anakwama wapi mana anajua sana hadi anake nowra
@Mbeyaconscious
4 жыл бұрын
@Asdan 4rever sanaaa
@stevenpius573
4 жыл бұрын
Daaaaah my best rnb record so far.. Ebu gonga like kama umetazama na kuickiliza zaidi ya mara moja hii ngoma... Belle wee mkal
@denyoentertainmentcompany1559
4 жыл бұрын
Huyu jamaa anatakiwa apewe heshima yake kwenye huu mziki sijui kwa nini wana mchukulia poa
@bambone1938
4 жыл бұрын
My vocalist 🙏🙏
@Gentriez
4 жыл бұрын
Denyo Entertainment Company true
@AmosBPeter
4 жыл бұрын
Huyu jamaa hana nyimbo mbaya na hajawah kuchuja ila hawamuon wajinga wanashabikia mizik ya ajab
@shubackmashinga3535
4 жыл бұрын
Sana
@anthonyshuma9812
4 жыл бұрын
I swear huwa sielewi shida iko wapi this guy is da best
@emanuelkasiano6934
4 жыл бұрын
Verse 💯% Corause💯% Uimbaji💯% Uandishi 💯% Hakika huyu ndo belle9 tuliyemtambua siku zote hii ndo Back up nzuri sana keep it up broo🙏👍♥️♥️💥
@mrbionicman2005
3 жыл бұрын
ile ambae ulisema corause , hai andikwi hivi . inaandikwa hivi --- CHORUS
@angelfience521
3 жыл бұрын
Nooma sana
@bulilojuma7226
4 жыл бұрын
RnB yenye uzito wa mizani tunayotaka 🙌🙌🙌, You deserve the best Belle9+ The Magician Artist
@isayagangster1048
4 жыл бұрын
Homeboy umetisha
@tomasnyuguyu1001
4 жыл бұрын
Loved song. B9
@citylinkproject9901
2 жыл бұрын
the magician indeed..!
@janetnjunge5094
3 жыл бұрын
Belle 9 is my favourite TZ artiste.Toka enzi za Sumu la Penzi. Hiyo time walikuwa wakishindana na Diamond.Belle 9 lyrics always make so much sense and are very deep! With lots of love from Kenya.
@johngongana670
4 жыл бұрын
Bro I call that talent,umekitendea haki kipaji mwana.... from tz to the world..much love from +254🇰🇪
@joansjbl8651
4 жыл бұрын
tatizo wasanii muda mwingine uwa wanajifelisha wenyew...me naona msanii wa kuimba akiimba wimbo kwa feeling na passion hua inaleta maana zaidi 💯 hata chege alisema (kama muimbaji bas imba sana imba kwa isiaaa) we skiza wimbo kama masogange...skiza sumu ya penzi ....yan song unaimba mtu anaelewa zile feeling inakuaga poa sna...bele hii ngoma umeua sanaa 🔥
@hightechofficial255
4 жыл бұрын
Belle 9 Hii Ngoma Imenibamba sio Siri
@queenmariana5887
4 жыл бұрын
I wish hujafanana naye😢😢
@dokasalim943
4 жыл бұрын
Hivi waTz mnajua uyu jamaa ndo king🔥🔥🔥of rnb bongo mbona hakuna eshima kwake na kumuhenzi.!!?
@eliadaniel9570
4 жыл бұрын
Belle this is a master piece ..i cant get it off my ears..
@morinisaiah467
4 жыл бұрын
"Underrated artist" belle u r the king of ths mambo,killing it
@liliankimaro1168
4 жыл бұрын
l
@revelationtz7842
4 жыл бұрын
No way
@unjuukhamisi1155
3 жыл бұрын
Nakukubali beel 9
@jullostephen9090
16 сағат бұрын
Yani bonge la beat hivi na 4 years down the line bado kufikisha hata 1M views,this guy is best
@saidibhinda6785
3 жыл бұрын
❤️❤️❤️ Morogoro.. My Second Home.. What a 💞💕💓❤️❤️ from the City Without Ocean...hii ngoma inaniSafirisha kihisia mpaka Moro Town.. 😪😭
@godlovegeorge2334
4 жыл бұрын
We jamaa unakwamaga wap mzee, mbna Una mavocal makali Sana hv
@shaibumandova6108
4 жыл бұрын
Kibongobongo labda alazimishe scandals kama za kiaibu au za kugombana na wasanii fulani ila kwa kawaida tu inakuwa ngumu sana kufatiliwa. Ni sisi watu wazima tulioanza kumkubali tangu zamani ndo tutamfatilia na kazi zake nzuri.
@godlovegeorge2334
4 жыл бұрын
@@shaibumandova6108 Namkubali Sana huyu jamaa
@alianzarodger538
4 жыл бұрын
Enyewe mziki ni bahati tu..ingekua ni talanta belle nine angekua top five bongo
@bobbybobby2964
3 жыл бұрын
Belle 9 Unajuaa bro Sanaa t Your top fan from 254 kenyaa💯💯💯💯
@AhazyStanley
11 ай бұрын
07.09.2023 kumbukizi Ya siku Yangu ya kuzaliwa ❤❤🎉Nimemkumbuka mpnz wang Marry alikua anaipenda hiii Ngoma Jaman ❤️❤️❤️🙏
@officialdabring9829
3 жыл бұрын
Belle cjui shida iko wap broo ur the best of dis risk tunakudai badilika
@flova7022
2 жыл бұрын
Niwe mkweli naumiaa Sana kuona belle anakuaa average artist..and underated...yaan anatakiwa kuwa level za alikiba
@emmanuelykwavi5682
4 жыл бұрын
The only problem of this song,just only it ends.... another hit keep it up bro....Umefanana nae🎵
@D-Man.B-Free
4 жыл бұрын
That’s international music 🎵
@BLACK-zy6bx
4 жыл бұрын
GOod xn
@pwoka5208
4 жыл бұрын
This guy never disappoints toka kitambo....
@jumannemfaume
10 ай бұрын
Wimbo wangu Bora zaid wakat wooteeee🙌🙌🙌
@obadiakapinga5315
4 жыл бұрын
the king is finally back....we missed belle
@amoloamolo8138
3 жыл бұрын
Been listening to Belle 9 for over a decade and he never disappoints🙌🏿
@glorianyambeki2625
4 жыл бұрын
A friend was listening to this song today in my car as we were running errands after a bad heartbreak,bottom line it has been on repeat song the whole day and the next. Belle you going places,you are super talented hands down. This is among my most fave songs
@francismacha2584
4 жыл бұрын
Namshukuru Mungu kuzaliwa katika karne ya kushidia Kipaji chapo Belle 9..... Hatar sana...
@jacksonmaroa456
9 ай бұрын
❤ one love bell 9 nakupata fresh kutoka anga za Kenya 🇰🇪
@geofreykiller6792
4 жыл бұрын
Idea ya huu wimbo cjawah skia tangu tanzania ipate uhuru.. yaan tangia nizaliwe never seen before.. much respect bro Belle9 #Umefanananae
@thabitdaudi9815
4 жыл бұрын
Unless umezaliwa 2000s ila usher alishafanya you remind me mwaka 2001 same idea bt the rest ni tofaut nyimbo kal sana
@fikirijames5765
4 жыл бұрын
Hajaimba lugha chafu ujumbe mzuri lak waja Mna dislike mkoje lakn sijapenda ninyi mliofanya hivo show love maisha ni mafupi
@dericelly7059
Жыл бұрын
Tnz kuna vipaki vikubwa sana sana tatizo sisi fans ndio hatujui wasanii wanaojua mziki wengi wetu tunapotezwa na promo zinazofanywa na media ndio sababu tunawapa Kiki wasani ambao hawajui mziki ndio wanapata mafanikio "Hivi myu kama huyu Bell 9 anafeliwapi kufanikiwa kwa kipaji cha pekee alichonacho kama si media zinazomfelisha huyu ni nini asee so fans tusaport kazi za watu kama hawa sio tunadanganyika na matapeli wasiojua kuimba hawana sauti ni computer tuu ndio zinawabeba na ujanja ujanja mwingine Big up Bell 9,Big up Mario Big up Konde,fans tutambue kunawatu wanajua mziki tusaport kazi zao tusiwapote zaidi kama walivyopote kina Kasimu,Madonna,Steve RnB dah tena wamepotea mapema bila kupata mafanikio waliyostahili daah wapi Rama D asee Bongo hii tuna assert kubwa sana ya musician ila wabongo wenyewe ndio tunafeli.
@geoffreycalvin2288
4 жыл бұрын
Moja kati ya wanamuziki bora kuwahi kutokea kwenye ardhi ya Tanzania .... Stay blessed #Belle
@daviddaninga1745
4 жыл бұрын
1 Hakuna madawa au pombe 2 hakuna wadada walio uchi 3 hakuna watikisa matako 4 haujacopy nyimbo 5 150% kazi nzur sana
@emmanuelmollel7977
4 жыл бұрын
david daninga 1⃣ usher raymond, remind me
@sideboy1299
4 жыл бұрын
nyimbo Kama hii club kweli itachezeka muziki biashara ukiimba kimapambio utapokelewa kimapambio
@mataamiry6720
4 жыл бұрын
Kama unapata shida sana kuinjoy katika hili dimbwi la burudani maana maneno yako nahis ni taaarbu flani,pole broo itabid uzoee
@kenybenjiz7850
4 жыл бұрын
Hii ndy miziki tunayoitaka kusikia na kuona
@iluminatamlay161
4 жыл бұрын
@@sideboy1299 mbona hata ukipiga kwaya club wanacheza tuu, club watu hawachagui nyimbo
@byamungujuma5821
4 жыл бұрын
I'm the first to watch this video in USA big up bro bell 9
@damasprotas4126
4 жыл бұрын
This is what we call Music!!! Mm nilikufatilia Sana mpaka nikajua Kuwa jina lako halisi unaitwa ABEDNEGO DAMIAN najua wengi hawajui!!! 🥰🥰🥰🥰
@praygodmakundi2517
4 жыл бұрын
Fundiiiii sana we we MTU
@sheldonford9504
4 жыл бұрын
Belly9 This is superflous, for real it is a true vibe and taste of a true R & B
@yohanasaidi3446
4 жыл бұрын
Wimbo mkali sana Kama sumu yapenzi
@jenipherlusekelo9212
2 жыл бұрын
Hii nyimb adi leo aijafikisha view m.nyie kweli amzijui nyimbo hv mnaisklza hii nyimbo vzuri kbsaa
@Lilmbunah
2 ай бұрын
Na mm nashangaa yan
@goddamwakimi5889
4 жыл бұрын
Daaaah HII NGOMA INANIGUSA NA KUNITOA MACHOZ KABISA DAAAH
@reyfuraha7561
4 жыл бұрын
BELLE 9 Sauti Safiiiii!!!!! GET BACK UP THERE!!! MOBLOVE 254
@deemarschambou1115
4 жыл бұрын
Bravo: Genious of music. Unyamwezi + creativity mingi. You kill it dame 🙌
@janeymhando
4 жыл бұрын
Wasanii wachache mmebaki ambao mnaimba mikasa na maisha ya kweli.... 🎤 Keep it up, good music 🔥
@tituskijanjwa
4 жыл бұрын
Aiseeeeee hiki kipaji ni motooooooooooo. Kwani nimekosea nini kumpenda Belle9.kama upo kama mimi like hapa
@emflashtv6211
4 жыл бұрын
Like za bell9 hapa 🙏🙏🙏🙏
@ridhwanabdallah1750
4 жыл бұрын
Nice song
@montestz7094
4 жыл бұрын
Usher: You Remind me Belle: Umefanana nae Me: Yesss
@mnganojonathan1596
4 жыл бұрын
Hahaha a kzitem.info/news/bejne/0np-k3dscIqdkqQ
@juniorhasahn5545
4 жыл бұрын
Umeua sana bro sina neno zuri lingine zaidi ya kukupongeza kwa song Kali kama hili
@abdulngororo1550
4 жыл бұрын
Belle unatisha kaka maana si kwa hizo voko zako za ajabu sijui unaptaptaje umo ndani..,Bonge moja LA ngoma blood!
@shukurujohn1242
4 жыл бұрын
shout out belle 9 for keeping the good music alive
@rusizitv6910
4 жыл бұрын
Huyu jama noma xana anasauti noma xanaaa gonga like kama tnakubaliana.
@ashuramilanzi8773
4 жыл бұрын
Unajua sana 9 mziki huu sio wa level ya afrika kaka....unaenda mbele Sana ndo maana wabongo hawakuelewi coz Wengi wetu ni common mass but wachache Kama sie critical mass ndo tunaelewa hatua zako
@saidsalim5041
4 жыл бұрын
Fanya mziki wako bro wote wanajua we mkali endelea kugonga mioyo ya watu respect Belle9
@angelinadanfrey8139
2 жыл бұрын
Everything about this song is just so perfect 😊😊 a masterpiece I can say.. they don't make these anymore in bongo..real music
@jimmyx8412
4 жыл бұрын
Best R&B Singer from Africa....najitahidi kuangalia Kila baada ya dakika 5 nachokitafuta Ni million views wanazopata wasanii wabovu
@anesansibert8896
4 жыл бұрын
James Julius yaan kitu kinachoniumiza mim binafs kama nafas aliopo bell9 kweny game hii
@jimmyx8412
4 жыл бұрын
@@anesansibert8896 yeah #belle9 Ni msanii ambaye anastahili kuwa mbali Sana....his underated.
@tonylasway5997
4 жыл бұрын
belle 9 wa enzi zetu ndo huyu sasa. VITAMIN MUSIC
@enk6912
4 жыл бұрын
My all time best Rnb Artist kutoka Tz. mziki umetulia hauna kelele. Hakuna chuki but sielewagi kitu wasafi wanaimbaga. labda 1/10. All they have is media attention. One Love Bele9
@ismailmzee4223
4 жыл бұрын
BELLE 9 CITY WITHOUT OCEAN
@carrelafilms3779
4 жыл бұрын
Huu Unyamwezi sana Belle, Come onnnnnnnnnnnnnnn 🔥🔥🔥🔥
@dominicnzai8256
4 жыл бұрын
Kipaji,mziki Unawenyewe jmni...Sio mziki Biashara....Belle9 Since Sumu ya penzi Mpaka waleo.....#Umefanananaye.
@johnchedy8226
4 жыл бұрын
yaani ningepat muda ningemwambia bro unajuwa tangu kitambo pindi mm nipo mdogo nasikiliza nyimbo zake and umefanananae it the hit yaani sikiliza bet vizuli yaani nilive bad Jesus Christ like this ifike 100
@saidibhinda6785
4 жыл бұрын
Sina zaidi ya machozi kwa Ngoma hii😭...Belle9 Still Rock
@Basagamp4
4 жыл бұрын
Alishaniforce nimpost na nimtag🙆 Big Rhyme
@senimashauri6696
4 жыл бұрын
Hata kama hutaki kumwelewa bell9 nakuapia kwa Jina la Bongo flava utawemwelewa tu Amina
@VeroniqueMikato-gc1ek
Жыл бұрын
wimbo wangu wa kila siku ,nahusikiliza kila siku,bell9 endelea kutoa vitu hadimu kama hii
@tokal254
4 жыл бұрын
This is now the real Belle 9 I used to love!! Zile vibes zake za kitambo ndio hizi.. 🔥 🔥 🔥 🔥
@iamzillahx6901
4 жыл бұрын
King Of Real RnB after Rama Dee
@edwardsichilengwe2330
4 жыл бұрын
Sahihi kabisa
@sheggybizzo1939
4 жыл бұрын
Kabisa
@wideetheoneboy1011
4 жыл бұрын
Umefana nae sura mwendooo #Belle 9 is best singer
@joycetiko3992
4 жыл бұрын
Binadamu!unajua kuimba mpaka unakera ,dah Mungu akuzidishieeee amen.
@magadehazard9475
4 жыл бұрын
Utabakia kuwa star wa muzic mtamu king wangu nakubali sana #sound yako hakika unauelewa muziki🔥🔥🔥
@deomichael3081
4 жыл бұрын
Ora hommie this is Belle wa sumu ya penzi, keep the good music Alive 🎶🎵🎧💪💪💪
@farihiayusuph6405
4 жыл бұрын
tangu siku ya sumu ya penz mpak leoo nakukubali sana bele9
@Malkey4real330
4 жыл бұрын
Unaweza bro
@donskipper1785
4 жыл бұрын
Masogange mwenyewe aka Belle9,yaani hizi ndio pure R&B,sio sijui kanyaga, babalao ushenzi tu wa hichi kizazi, watanzania enueni legends kama hawa, MWANA FA, AY, Z ANTO tena kwa game...
@geniusfamily6439
4 жыл бұрын
Moja ya wasanii ambao wako Underrated sana hapa bongo, lakini uwezo wake ni wa kiwango cha juu sana
@senimashauri6696
4 жыл бұрын
Sana huyu jamaa ana kipaji cha ukoo lakn vyombo vya habari vinawasanii wao wanaowajua wenyewe
@franciscomsomi7888
3 жыл бұрын
Nakubaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
@mbukwaclassic8489
4 жыл бұрын
Fundi bhnaa nifundi tu .. brother Belle 9 unajua Sana brother nyimbo.kali Sanaa
@agathamathias3404
4 жыл бұрын
Shem ongera sana kipaji mwenyezi mungu kakujalia nyimbo nzuri ujumbe pia mungu hakaubariki Sana aiseeee
@fantt2303
4 жыл бұрын
The rnb king is back
@patrickmarco8497
4 жыл бұрын
🤲
@Kyomushula1986
4 жыл бұрын
Hii ni Rhythm & Blues sasa...huu mziki ni mkubwa sana my brother. Hongera sana , chemistry kuanzia audio production mpk video production iko beyond measure . Proud of you .....didnt expect this taste anytime soon . Wape pongezi wote waliofanikisha hii song pia na kwako kwa uandishi na uimbaji mahiri ndani ya hii track. Let me download it
@batromeojoseph8293
4 жыл бұрын
Kama unakubali belle9 gonga like ....Nakubal sana broh hukoseagiiiiii weeeeweeeeeeeeeeeeeeeeeeee belle 9.
@BenroyalPictures
4 жыл бұрын
Mwenye mziki wake amerudiiiiiiiiii
@michaelanthony7470
4 жыл бұрын
ivi umetambua kuwa audio version na video version iko na tofauti kwenye ki-instruments...video ni ikonanga instrumental zaidi..
@kakengination6341
4 жыл бұрын
michael anthony yaaan naonaa kwenye video audio yakee ndoo nitamu Sana'a yaaan mix imekaaa poaa mnooo yaaan inasikikaa kishujaaaaa kwakweli bell 9 your fire
@michaelanthony7470
4 жыл бұрын
@@kakengination6341 exactly buda...the gent is good all the time,uko na wazo ka yangu vile.
@ramadhanjumanne6370
4 жыл бұрын
Mependa idea ya vidio na audio,hii n creativity kubwa sana ukisikiliza vidio kunavitu vimeongezwa vionjo flan vya bendi na Gita kwa wingi gud Sana beleee
@spickleopord3994
4 жыл бұрын
Saut Kali Sana jamaa anajua Sana aise
@magdalenajohn5327
3 жыл бұрын
Toka 2009 nakuamin na nymbo zako ni moja ya nyimbo za tbt yangu saut yako na mahudhui yananifanya nizid kukupenda daily # umefanana nae bell 9
@iamzomba4204
4 жыл бұрын
haujawahi kufeli kwenye rnb tulikuwa tume miss mziki kama huu.... Your the best in rnb
@muniraahmed624
4 жыл бұрын
Hivi hii tabia yakusoma comments za wadau ntaacha Lin?? 😁😁 Nishaurin please🙈. Mziki mzuri❤😊😢
@saidishomari1194
4 жыл бұрын
today
@chrisantusmtanga1918
4 жыл бұрын
Munira
@maungalashabani1485
4 жыл бұрын
Mambo
@kingkide6709
3 жыл бұрын
Tabia mbaya
@faridifriction8805
4 жыл бұрын
the most underated artist 🎼🎧
@bestepius2988
3 жыл бұрын
Mmh
@mathiaslaurent756
4 жыл бұрын
Nyimbo kali mzee pamoja na kelele zote za Korona lakini tumegundua Kuna mdundo mkali kutoka kwa bele 9 usifanye mchezo
@richardhaule3744
4 жыл бұрын
Belle9 we ni kipaj halisia ila media za bongo zinakubania sana bila ya hivyo wewe ungekuwa moja ya top artist in Tz
@brokenigga2842
4 жыл бұрын
Legends never disappoint..🔥🔥🔥
@modestferdinand2357
4 жыл бұрын
9 is talented, bravo bro, keep the spirit.
@exaudbrown3055
4 жыл бұрын
Nikitizama song mara moja na kuipenda sahio hio bas ndo tunaita hit Song..Kali sana Belle🔥🔥🔥🔥
@D-Man.B-Free
4 жыл бұрын
Angekuwa Diamond Platnumz ingefikisha 1M in 1 day ila kwa muzik mzuri hujafikisha hata 100k
Пікірлер: 1 М.