Kenya unapendwa kaka, kwanza hii series mpya twaifwatilia mnoo❤❤❤, long live clam vevo❤
@chrismabwenga4723
11 ай бұрын
Tears rolled down my cheeks 😥😥😥😥
@ElishachegeraMoise
11 ай бұрын
Clam Vevo ni mmoja kati ya Wana comedy wanaona fanya vizuri ichini Tanzania Mimi nafatiliya vidéo zako toka ichini Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@ibrahimuselemani4076
11 ай бұрын
Tuko hapa mzgo tumeunasa BOSS,Likes kwako mkuu tunaenjoy kaz zako ubarikiwe…Gonga likes za upendo kwa CLAM 😊❤
@Amede-dd6ij
11 ай бұрын
Kwakweli wanastahili pongezi mbarikiwe sana tena sana
@ElikanaGelad-gc2ll
11 ай бұрын
Kali hii asee big boss sjui nisemeje
@neemmlingo729
11 ай бұрын
❤❤❤
@ElikanaGelad-gc2ll
11 ай бұрын
Hatuchoki tupo pamoja nasemaj nasemaje
@innocentyohana9283
11 ай бұрын
Dah kwer Bila kasol na kinyongo hongala sanaa clam umeuwa
@annaki318
11 ай бұрын
Mambo mazuriii mzigo pambe ... CLAM VEVO forever and Ever ❤❤❤❤ tunaompenda clam tulike hapana.
@user-td5oe6gl4r
11 ай бұрын
ikobomba
@user-pi3fz9zz2k
11 ай бұрын
Jani kale kangoma kaimba nani ambako cramu aliimba pale kati
@user-xf1by9je1f
9 ай бұрын
Clam Vevo nkupenda sana n hyo misemo yko😂😂mwambie huy mwenzio true love is never forced😅I love also Sasha bcz is seriously forcused to studies en strong girl😮😊
@Bongomtaanitv
11 ай бұрын
Pokeà Congratulations kutoka NAIROBI,Naona unapita hyo level ya Kanumba #Clamvevo ni moto
@marydavinembeki9482
11 ай бұрын
This episode has really made me to shade my tear alot. our parents they can do anything for us to stay well.
CLAM, mim ni mmoja kati ya wanaokufatilia sana kwa mema lakini, napenda kaz zako na kilakitu chema kukuhusu, Mungu azidi kukupa kipawa na uzidi kufanya vizuri, naomba tu hii series isiwe inachelewa kwasababu nimoja ya series kati ya zakp nyingi niliyovutiwa nayo, Keep up the good work brother.
@kidomawe
10 ай бұрын
Ok❤❤❤
@mariamshamte7403
11 ай бұрын
Vevooooooo,,,,sema yeyoooo Niko interested na series zako❤❤❤ kama unamkubal gonga likeeee
@bestkingofpoetry9882
10 ай бұрын
Jamani iyi nikali kbs bro clam piga like yako hapa😂😂😂
@drsniper1126
11 ай бұрын
wa kwnza Kuwatch Kama Unamkubali Clam vevo gonga likes hapa🎉🎉🎉
@saidbaraka8996
11 ай бұрын
Part three😅
@alladincartoon254
11 ай бұрын
Clam is an International Actor the Best African male actor you deserve the 👑 crown
@niyonkurumanasse3003
11 ай бұрын
Very talented Clam. Much love from Burundi
@MUMOJAMES-er8cu
11 ай бұрын
You are doing a great job my friend, big up from Kenya
@RehemaNgunda-xt2kg
6 ай бұрын
Good luck to you Clam
@yohanandiga3389
11 ай бұрын
Nimeipenda kamati ya roho mbaya, nimeipenda stail ya Clam, then nimempenda huyo mdada tabasau lake kw Clam 🔥
@rich.kizza10
11 ай бұрын
wahuni wamecheza kweli
@damianmhagama4398
11 ай бұрын
Clam ni msanii wa daraja la juu sana hakika kazi yako ni Bora sana. Series nzuri sana yaani pale ulipokuwa unawaimbia wenzako mpaka machozi yalinitoka, maana nilipata hisia ya uhusika halisi. Imeonyesha kuwa mapenzi sio pesa tu. Sasha kasema anahitaji mtu mwenye Nidhamu Akili na Unyenyekevu. Hakika hii ni kazi nzuri kazi Bora stori nzuri yaani kila kitu kizuri hata makofi aliyopigwa mwakatobe nayo mazuri yalikuwa na yamepakwa poda
Nakupenda sana clam na ningependa japo siku Moja ni act na wewe ❤❤❤ much love from kenya
@official_harmsmunga
11 ай бұрын
I just love the scene mheshimiwa akirudisha hela, kama TZ kupo hivi Kenya tuna changamoto kubwa sana
@Abdallah-pi6nv
11 ай бұрын
Nilipitia hali hii nikiwa shule wakati ambao sikuwa na amani ni mwingi kuliko niliofurahi watu walikua wakifurahi nikilia 😌😌😌big up clam 💝💝
@JOHAREHfilms2023
11 ай бұрын
Sio Kwa mbio hizi Ili nimewahi bhanaa💃♥️♥️🔥ila sijapentaaa uyo zumbwe anavyomfanya baba clam daaah maskini wanateseka sana😥😥 Kuna watu wanaishi ivo maskini😥🙌
@user-fc8tg2oh1s
11 ай бұрын
Team clam jamn like hapa
@abasihimidi6935
11 ай бұрын
Kwa mara ya kwanza kufuatilia kazi za @Clamvevo... Na Best Friend hakika imefana. Ningependa kuona ikiendelea maana maudhui haya yanatupa mtazamo mpya na mafunzo ya kila siku.. KAZI NZURI ❤❤
@HassanCoyo
11 ай бұрын
*Wa KWANZA Mimi kama unaikubali team Clam VEVO gonga like zao na kwangu pia ❤*
@AlbatiMadona
11 ай бұрын
Kaka kweli unakosaga Kazi za kufanya ujue video Karibu zote wewe unakuwaga wa kwanza
Number one love you from Australia nipeni like zangu jamana 🥰🥰
@FaithChemutai-m8s
Ай бұрын
I love the way clam vevo act may God bless him and protect him
@cleophasmutembei
11 ай бұрын
Iyo moment ya kuokota pesa imebamba sana Anyway wapi likes za clam Vevo wadauu
@givenrichard8094
11 ай бұрын
Mwamba huyu apa .... Asante Studio...Asant Rizwan..... You are the best....🎉🎉🎉 Chapat Maharage 😅 @clam vevo
@LinusMligoh
11 ай бұрын
Nakukubali sana vevo wee ni mwamba kak🎉🎉🎉😂😂😂❤😊😊😅😅
@xyloodaemperor
11 ай бұрын
Big up clam vevo you never disappoint and if iwas to rate this in % i would give it 101% and am really waiting for part 3 and the new season of big boss yani sema motoooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥💥# best friend ❤
@EzraOsiemo
11 ай бұрын
Namba one kutoka 🇰🇪 kutazama [ BEST FRIEND 2 ],,nipeeni likes kama wampenda CLAM na team yake
Jamani wakwanza from kenya lamu like zangu pliiiz❤😢😢
@user-fz1mh5fs1g
7 ай бұрын
pure talent 🇰🇪
@user-id1cr7kl8g
11 ай бұрын
oyawee 50CENTwatz yassa the great anakupa hongela uko guda semama nn hii comedy iko guda masimen🤩😍😇
@aminaseti8544
11 ай бұрын
👏👏👏👏 wa kwanza ku trop comment, excellent sana clam vevo 🎉🎉🎉
@jindwasam
11 ай бұрын
sincerely speaking, clam is more of an artist in this continent.. God bless you big brother.. you're bringing a great change in this industry.. Tanzania is so much blessed..🔥🔥
@Kingtiger98
11 ай бұрын
Huu kzitem.info/news/bejne/rZeItGern3h8ho4si=pP4mrmaTiOQsCwwz
@bakarihamisi5712
11 ай бұрын
Big up Sana Clam Yuko juu
@user-ic4di2vm7h
11 ай бұрын
@@bakarihamisi5712 san
@user-up3ij8jx5i
11 ай бұрын
Nakukubali sana cram vevo pengo la kanumba nahakika utaliziba mungu yupo
@Yvesmsafiri
11 ай бұрын
Yaani kweli mwakatobe uwaga ananiuwa😂 sana, maisha yanaban kuliko chupi , yaani kila sériés ambayo clam atacheza mwakatobe asikosekani
nimekua wakwanza leo.....kama mnampenda clam gonga like
@mutembojean9789
11 ай бұрын
Kiukweli na enjoy sana na my best friend ongera sana clam ila ntenzi penda nami niingize
@abrahammtimatuku9367
11 ай бұрын
Nakkbal sn kka clam tuko pamoj kama na ww nimdau wa clam nip like zang
@unleloo7616
11 ай бұрын
Good series Kwa haraka haraka tuki analysis. Dhamira tulizoona Mapenzi , matumizi mazuri ya uongozi tumemuona Mzee dude , anastahili kupewa ubunge hata hawamu ijayo, ingawa mtoto anamuaribia , pia matumizi mabaaya yahela , hii series n zuri sana na Wala haichagui umri nice nice nice wahusika wooote wanajua sanaaaa nasubiria ya 3 pigen kazi kikubwa n afya na uzima
@Biddady276
11 ай бұрын
Napenda kaz zako na nzur hongera mno ila tuwahishie episode 3 jaman
@subby4
11 ай бұрын
Jamani wale tunaomkubali jembe letu kaka yetu gonga like tunakuombea afya njema uzidi kufanya mazuri zaid inshaalah
@avickojunior
11 ай бұрын
Fun wa clam vevo never disappoint ❤❤❤❤ wapi likes zaidi yake 😢😢😢is Avicko Junior
@ElizabethNyoni-jo9gi
8 ай бұрын
Love, you
@OFFICIALDJDZEKOG
11 ай бұрын
Wa kwanza Leo from Texas Dallas nipeni likes zangu ❤
@baylatmoz06
11 ай бұрын
❤❤Sijawai kuwona comedian kama brother Clam vevo ❤ is very talented❤🎉 much love from Mozambique🇲🇿
@davidjoaojacob847joaojac-gn7eo
11 ай бұрын
lakini mwenyewe anadai sio comedian bali ni muigizaji
@abdoullysufian-rr7ls
11 ай бұрын
Greatfull
@Ammarloliso
7 ай бұрын
😅ety hiiii
@yohanamwashumbi7281
7 ай бұрын
Nimuigizaj bora very talent clam❤❤tanzania w love u❤🎉
@TatuStarphod-wl9us
7 ай бұрын
👍💫🤗 good for you so ukozizuli
@JAYBEEH040
11 ай бұрын
Sisi wafuatilizi wa #clam vevo...tumeona big boss yote sai tupo best friend wapi likes huku mnifuatilie nami mnipe support nami niheat watu wa TZ tafadhali
@VeraUlaya-cc9rr
11 ай бұрын
Unafanya kazi nzuri sana CLAM,kiukweli tunaenjoy na kujifunza pia,,,💪🙏
@abelrobert5061
11 ай бұрын
One of the best series from you 👏👏👏 Ina Elimisha pia Ina burudisha ✌️
shemeji kwa kwli mutanisamehe siwezi nikarudisha pesa🤣🤣🤣🤣🤣🤣yaani kama kunawaigizaji wanawo nifulahisha huu dada ni mmoja wao.nampenda sana nafulahia anavyo cheza anavyo igiza👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌
@MatekaFrancis
3 ай бұрын
Bambi like this man❤❤ like u❤😮 good continue with that talent my God bless you❤🎉
@andrewamoss1852
11 ай бұрын
Daaah CLAM umeamua bhn sasa umekuwa na akili ya utu uzima unafanya hadi watu wakubwa wanatoa machozi kwa hii co big up mungu aendelee kukutunza et utoe vitu vizuriiii🎉😢
@timothypengejoshua8692
11 ай бұрын
Kutokea Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 wakwanza kabisa Clam embu like basi comment ya drcongo
@owenvevo411
11 ай бұрын
Nawakubali sana aiseee, furaha kumuona KIM tena ❤❤❤😅
@user-qo3cr6lt3j
11 ай бұрын
Sawa kaka clam nakubali sana 💐🌹🌼🌷chukua mauwa yako))))
@ZuhuraMajaliwa
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉 ayoooo ya kwako
@NelsonLewa
Ай бұрын
@@ZuhuraMajaliwa😂😂😂😂❤
@cleophaxgeremy2148
10 ай бұрын
Guys such a good position you are brother Cram,,,,,and the rest you all played well,,by the i just request the name for the artist who sang that back ground song in this video please,i want to download it and feel it's soooooothhhhh,from kenya.
@mrsfahad5693
10 ай бұрын
Benny shizzol SIPO HURU
@josephjohannes9021
11 ай бұрын
Dahh,,, clam for real its a touching story line cant wait for ep 3
Best Friend IKO vizuri sana clam Vevo, nakupenda❤ sana bro kutoka Congo 🇨🇩
@TheFreemusicband243
11 ай бұрын
Iyi piya ni Kali kumbe ebu nipe like zangu
@mrsinia3064
11 ай бұрын
Kumbe clam anajua hadi kuimba dah congrats 🤝🤝🤝🤝
@mugo5075
11 ай бұрын
Pure talent. Asante CLAM VEVO kwa comedy zako . Big fan from KENYA 🇰🇪
@neemapeter-vl7le
11 ай бұрын
wooow Kwanzaa nimefurahi kumuona Kim kama unampenda Kim like comment yangua 🥰we love you clam vevo
@petzoojac8683
11 ай бұрын
clam chizi si chizi, taila si taila, genious si genious, nimependa ulivyoigiza
@sadikinyembo
11 ай бұрын
I'm from Kinshasa DRC, you do great your job... Keep up the good work
@BBBTv-om9qz
11 ай бұрын
First to watch from Kenya nipewe likes zangu
@marymwangi6376
11 ай бұрын
Nimefika leo mapema jamani,,,haloooo 😻😻😻,I really waited for this one
@hadijashaban5880
10 ай бұрын
Clam vevo ni fayaa fayaaa kazi zako hakuna anayeweza babu hongera sana tuko pamoja sanaa
@yahyamohamed7218
11 ай бұрын
Hii ni Talanta Mpya na yenye Ubunifu na Maono sahihi kukidhi uhitaji wa soko katika Kiwanda cha Filamu Tanzania. Muda utaongea siku si Nyingi. Kongole sana CLAM VEVO
@khamiswapemba9019
11 ай бұрын
Safi sana clqm hii ngoma imeenda shule kama ilivyo kazi Safi
Пікірлер: 2,6 М.