Nyinyi watu mna uzembe sana. Yaani mnakaa mda huo wote alafu mnachia kipindi kifupi cha dakika nane tu, kwani ni wimbo au??!!!
@azizabdul698
7 ай бұрын
Yaana mnchelewa kua hia mvie mpka tunaishau
@officialbasheer13_tz
7 ай бұрын
Mr BIG unaonekana haupo serious na kazi yako kweli. Yani kwel umekaa Zaid ya siku 10 kisha unaleta dkika za nyimbo hapa Acha ujinga usifanye masihara nakazi jifunze CLAM nawengineo
@JamilaMussa-ke3xd
7 ай бұрын
Kazi nzury sana boss
@lautemba3335
7 ай бұрын
nafeli sana mpka mtu anasahau kama kuna kitu kama ichi alafu mnatoa dak nane
@GHgh-hq3zj
7 ай бұрын
Safi kbs❤
@MussaAgostinhoAbel
7 ай бұрын
Jamani wakwanza🎉🎉
@marcelmarcelali5146
7 ай бұрын
Jamani wakwanza naomba like toka 🇨🇩🇹🇿
@marialuvinga867
7 ай бұрын
Munah anajua
@ambrose-exclusive-hunterst353
7 ай бұрын
Mumezingua Dk ndogo sana Alafu kweupande wa voice sauti mmezingua nako? Tunawenda sana akini kuna baazi ya mambo munatuangusha
Пікірлер: 17