Tania mbaya za wanaume 1)munachuma pamoja lakini kila kitu jina lake. 2)vimada nje. 3)bakhili kila siku sina. 4)mvivu. 5)hajui kusifu chakula au uzuri. 6)akipata aongeza wa pili.
@rahmasuleiman7888
8 ай бұрын
Wanaume vidondoa ndume
@ivystar3129
4 жыл бұрын
Hmmm,mwanamke anafaa aitwe; beb,sweet, honey....n. Bla..bla...so hii inakuwa time ya kutongosana mkifika kwa nyumba mabadhiliko yanaanza.....unaambiwa usiseme beb mum atasikia!Alah!!!
Mawaidha mazuri kabisa. Thanks Lulu na Rashid kwa kazi njema mnayohifaya. Huyo mama kutoka Tanzania next time ahakikishe hako na bundles za kutosha before muingie kwa mada. You guys are very informative. Most of us tunaheshimu ile kazi ambayo mnahifanya!
@nadiaahishakiye8170
Жыл бұрын
Mungu awalip mema vipenzi,.
@salmasaidi2875
4 жыл бұрын
Haa yaani Ahsanteni nyote pamoja kila mtu asimama kidete kusema ukweli kabisaaa.nimefuraia sana.
@jamilaabeid2177
4 жыл бұрын
Jamani swadakta mada hii inatugusa wengi jamani wanaume wagumu balaa yeye anataka kusifiwa lakini yeye sasa Allah Akbar Mungu awaongoze
@firdaussheikh4817
4 жыл бұрын
There're many women who never got the chance to be adviced by there mom, thank you bi. Mshafari umekua mama yetu
@misheckmwambogoro5878
4 жыл бұрын
Sisi wanaume tunapenda mke akisema njoo nikupe tamuu yaani njoo tusex lakini wake wengine ni kununa tuhata njoo chumbani hakuna hee unaomba penzi Kama police raha ya mme kwa mke no penzi wanawakee padirikeniii
@agapejosceline7683
3 жыл бұрын
@@misheckmwambogoro5878 😂😂😂😂😂😂
@mory1084
Жыл бұрын
@@misheckmwambogoro5878 🤣🤣🤣🤣🤣
@mdomar4650
4 жыл бұрын
Mada nzuri MashaAllah. Rashid wa sisemi kitu; hakika una niwacha hoi kwa vibwagizo na misemo ya mitaani. Kipindi kiko imara isipokua amepungua mzoefu Mkala. Yupo wapi lakini? Hongereni na Mola Awahifadhi.
@madinaomari6331
4 жыл бұрын
1owieijddv
@ramilialiy3725
4 жыл бұрын
Wanaume wa 2020 ni balaaa ni khery amshirikishe rafik kila kitu
Hongera Sana kwenu Mada yenu Ni nzuri Sana Tena ZAIDI
@aminabakari5408
Жыл бұрын
Kwel kabisa mariam
@joycendege4178
4 жыл бұрын
Rashid Hadi wanaume wako na mazoeano sio wanawake tu😂
@mwanashasuli2639
4 жыл бұрын
Ama upate mwanaume asie penda watotowako
@gvextreme113
4 жыл бұрын
Bi msafari mpe mwenzio muda achangie maoni yake pia
@shishibaemchina3294
4 жыл бұрын
Shukurani Sana kwa mada zuri
@balancedviewpoint7418
4 жыл бұрын
Bi Msafwari, Miriam na Lulu, maoni yenu mazuri sana lakini ukweli ndio hamtaki kusikiza kabisaaaaa. Hakuna dada au mwanamke yeyote upenda ukweli vile ilivyo mpaka ile wakati kumetokea uzuni ndio mnalia, heri ningeskiza wakati ule niliambiwa haya. Hakuna mwanamme upenda kuterekeza bibiye au mpenzi wake Bora afanye yale yanastahili tu. Wanaume hawana maitaji saidi ya tatu ndio kila kitu ikamilike 100% kwa ndoa. Kiburi tu, uharibu lila kitu kabisa harafu maovu mengine ufuata Mume anaitaji heshima, unyenyekevu na kutambuliwa.(Respect, submission and appreciation) basi. Hayo yooote mmeyasema kana kwamba ndio mwaitaji nyie kama wanawake yatatimia bila kuhuliza. Mwanamke yeyote anaonyesha kiburi upoteza raha na imani ya mazungumzo kwa ndoa yake Mwanamke ambaye hako na ulimi wa sumu ya nyoka (venom) ufukuza bwanaye kutoka nyumbani. Mwanamke ambaye uelezwa kitakatibu makoza yake kiza badala ya kurekebisha ununa wiki nzima ufanya bwana kukata kauri ya kutomuelezea maendeleo anafanya ya kifamilia badala yake upata hekima ya kuwaeleza jamii yake mahali amenunua ardhi au nyuma. Mwanamke ambaye upeleka mishene ya kuongelelea bwanake kwa vikundi vya hakina mama wengine uleta dhana mbaya ambayo inaeza peleka mwanamke mmoja muovu akatafute mumeo. Lakini haya yooote ni mwanamke jasili gani anaeza sikiza na akayafuata? Kama kweli mnadhania naongea uwongo tegea hapa tu mkajionea wenyewe. Waume wengi tuseme idhadi kubwa kama 80% utezeka lakini kawaida hawateti kama wanawake na hasira. Hao upata starehe kwingine.........
@moanshabahrain8621
4 жыл бұрын
Mapenzi ni glass ikivunjika n basi
@joywaithera675
4 жыл бұрын
Leo moto
@binthassancollection.6308
4 жыл бұрын
Nilipitwa huku jamani😂😂😂
@ruthyego6460
4 жыл бұрын
Bi safari waongea sana patina lulu na bi tz time
@fatumamwinyi516
3 жыл бұрын
Neno nakupenda huwa wanaambiwa mchepuko tu wake wa ndoa mtasubiri sana
@saidatikwizera6633
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
@johnbow3716
3 жыл бұрын
Hata Paulo kasema wazi wanaume ishini na wake zenu kwa akili. Cjui aliwaza nini hapa
@christinemumprude7853
4 жыл бұрын
Kweli kabisa
@aminaabdallah5556
4 жыл бұрын
Ni hakika kwa hayo
@paulinaenos3514
3 жыл бұрын
Bi maliam yaan hcho mnacho kisema kipo kabs nip pamoja na nyie
@azooz2622
4 жыл бұрын
Mmmmmmh nikweli
@abdibulala5929
4 жыл бұрын
Kkkkk
@goodhealthafyanjema4290
4 жыл бұрын
Kwanin wanahojiwa wanawake tu? Ni vizuri mnahoji na wanaume. Ili kupata mawazo pande zote.
@salmasaidi2875
4 жыл бұрын
Leo ni wanaume juzi ilikuwa wanawake click the link below
@shabaniyusuf7250
3 жыл бұрын
Uko sahihi Bwana Rashid, niko Tanga,Tanzania
@paulinaenos3514
3 жыл бұрын
Wanawake wa siv wanapenda maisha yakuiga cn
@najjukoviolet8853
3 жыл бұрын
Ata chupi hamna
@lilianluvuno903
3 жыл бұрын
Nimependa Sana hii mada
@bernadethamlundebartlett387
4 жыл бұрын
Niko Texas napenda kipindi chenu
@winnieminyalla9430
3 жыл бұрын
Rashidi anavyotetea hadi anabore
@aliaden5512
4 жыл бұрын
Atafute yake aandikishe jina yake
@alfanm.8221
4 жыл бұрын
😂😂😂😂 ati shamba liandike jina la mwengine wakati wewe ndo umekinunua
@ibrahim.kadabra5446
4 жыл бұрын
Rashidi tambua kuwa Kuna baadhi ya wanaume wenzio.hawajielewi kabisa nibora uwaelimishe kupitia wewe kuliko kuwatetea unaharibu
Пікірлер: 59