Pambee kwel kweli bi HARUSI WETU BINTI YETUUU❤❤❤❤❤ MAAAAAA MWAAAAA🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@user-nt9jt1uf3p
8 ай бұрын
🥰🥰😍😍❤️❤️❤️ asantee sanaa
@user-or8yo2wj9v
3 ай бұрын
Mtukuze mungu sana dada
@AgnesMakasi-wo3ut
7 ай бұрын
Hongea uzampendeza zumbe
@masagama3771
8 ай бұрын
MashaAllah yuko vizuri kwa kumtukuza mungu
@rehemamlowa2722
8 ай бұрын
Mabibi harusi wa zamani full kuinamisha USO kwa adabu na unyenyekevu . Laki wasasa hivi mmmmh! Full umapepe. Jamani vibe zaidi linatakiwa liwe kwa muoaji na sio muolewaji! Mmeipata hiyo!!😂😂😂
@user-nt9jt1uf3p
8 ай бұрын
Wivu tu zaman hizo vp, kwan lzm ukoment😏😏 kwendraa
@user-wd7xw6dl8b
8 ай бұрын
Na umesema zaman Mambo yanachange
@user-nt9jt1uf3p
8 ай бұрын
@@user-wd7xw6dl8b ❤️
@uhurujan2244
8 ай бұрын
@@user-nt9jt1uf3p😂😂😂😂😂😂😂😂
@blandinadeogratius6130
8 ай бұрын
Hiyo Ni Siku maalumu kwa mwanamke lazima awe na vibe lakini Siku ya ndoa lazima machozi yamwagike
@user-pe6nw2fp5o
7 ай бұрын
Bibi harusi wa zamani walikuwa wanainamisha vichwa chini wanawaza huyu anae nios mzigo wake nitauwezaaaa? Walio wengi siku hizi wanakuwa wameshajuana na mumewe hivyo vibe kama loteee
@linahmlay8512
7 ай бұрын
Kwaiyo mtu unapaswa ununue usifuraie chochote wazamani ulikua unalazimishwa
@saumbliz8983
7 ай бұрын
Wamefanya umalaya mpaka wakachoka,,walikata Tama zakupata ndoa ndio mana hata hawana haya hawaoni aibu kabla jawajafika mji wa wenyewe
@HappyCello-fy4bd
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂 ndio maana nko hapa na heshimu Ile kitu husema usiwahi pea mtu zawadi imefunguliwa glory be to God 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@leilasaid3623
4 ай бұрын
😂😂😂 ndio maan wew utakua unafikiria tyu unakoenda waenda kukutana na mtu ambae humjui sasa huyu kakiachia mno @@linahmlay8512
@user-es7lz9fp4b
4 ай бұрын
Sasa aibu ya Nini maana wakwe wakitaka kukuaibisha wanakuaibisha tu
@user-nt9jt1uf3p
9 ай бұрын
Mambo ni moto, Nikwel Mungu amefanyaa... asante kwa picha kali na video kalii upo vzr @johnjo
@johnjo_brand
9 ай бұрын
Asanteh sana tunashukuru pia kwa kutuamini
@user-ed5ev5pc5s
9 ай бұрын
MC Mungu akutunze daima nimekuelewa vizuri Sana unajua kusimama kwenye kazi Yako.
@user-gd1cf3gc4f
8 ай бұрын
Uko vizur kwel mungu amefanya but iyoooo gaun apo kifuan hapana kpenz wameharbu ipo juu juu tyu
@user-nt9jt1uf3p
8 ай бұрын
Ndo ishatokea fundi kafanya yake utafanyajee???? Hakuna anayependa kitu kibayaa, Pia kama hujawah kuharibiwa nguo na fundi bs hongera Kikubwa Mungu amefanya
@MercyNyongesah
9 ай бұрын
Singles continue clapping until our time❤❤❤
@user-nt9jt1uf3p
8 ай бұрын
Wakat wa Mungu utafika kipenz🥰🥰
@fadhilamahamoud7413
8 ай бұрын
Hongea n,gweshu
@user-kx3hi6te7c
7 ай бұрын
Waoooo alijua kuyaludi bi harusi jamn nimemupend bule
@user-li9us4zk3c
3 ай бұрын
ongera my clatemat wng
@rehemamlowa2722
8 ай бұрын
Mabibi harusi wa siku hizi ndio wanachachawa kuliko ma bwana harusi . Inaoneka huwa mnalazimishia ndoa na mkizipata ndio inakuwa hivi. Kazi kweli kweli 😂😂😂😂
@aseraadrian5717
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@magrethAndrea-mb9bi
6 ай бұрын
bibi arus wa siku hiz hawana uturivu ata kidogo
@magrethAndrea-mb9bi
6 ай бұрын
Mie huwa sifurahiswi ata kidogo
@gladesglades6578
8 ай бұрын
Amen 🙏
@Elizabethyassin-sy5bm
7 ай бұрын
kweli kabisa hawapati shida kwa sababu wanajuana kabla ya kuoana daah
@barakadaniel9484
6 ай бұрын
🎉bibi harus kapendeza lakn gauni juu ka over role
@user-nt9jt1uf3p
5 ай бұрын
😂😂😂😂 sanaa yn ila nashukuru mwaya imeshaisha salama
@user-yt9uj5cf5c
8 ай бұрын
Kkariiyo
@mrsabdul-mz8hh
8 ай бұрын
😂Jiachie maaa haijirejei tn❤
@user-nt9jt1uf3p
8 ай бұрын
❤️
@user-id3qp6mc2x
7 ай бұрын
Barikiwa
@GladysAtieno-jl8sj
8 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏
@rechosagumo8971
8 ай бұрын
Ameen
@MaunduAngelyne-wr7xd
7 ай бұрын
Cograts
@user-ed5ev5pc5s
9 ай бұрын
Oyooooooooooo ❤❤❤❤❤❤❤
@user-nt9jt1uf3p
9 ай бұрын
Atar sanaaaa 😍😍🥰
@esteralan5241
8 ай бұрын
Gauni😢😢😢
@halimaphiniasibwire9688
8 ай бұрын
Kweli unaringa
@user-nq2gl9fj9x
8 ай бұрын
Uko'vzr
@user-nt9jt1uf3p
8 ай бұрын
Asante diaa
@user-nt9jt1uf3p
8 ай бұрын
🥰
@esteralan5241
8 ай бұрын
Na iko kigodoro kimetuna
@jovinathaphilipo6385
8 ай бұрын
Yan wew 😂😂😂 nimecheka kwa saut wakati Niko peke yangu😂😂😂
Пікірлер: 57