Pombe siyo Chai loooh Mara ya kwanza nilikunywa bia 8 ila sikua kama huyu Dada katisha Sana loooh
@angelsareyo7743
4 жыл бұрын
Duuuuh sio kwa kulewa uko bwana harusi apendi bas tuu ata kucheka analazimisha mmmmh atari sio vizuriiii kunywa pombe kwa wakati kama huo angesubiri shughuli iishe kwanza watu wakipungua aburudike sasa watu wengiiiiuu mtu yuko mbwiiiiiii 🤔🤔🤔🤔🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️🏃🏽♀️
@gerrychuwa1900
5 жыл бұрын
Katia aibuuuuu mweeee pombe siyo chai
@dorotheasamwel8071
5 жыл бұрын
kwa taabia aliyoionyesha mbele za wakwe zake ni dhahiri kuwa ndoa itamshinda .. mfyuuu
@nagmynamahin2463
5 жыл бұрын
Mc gara nakupenda 😍😍😘🤩🤩🤩🤩
@kisakim5660
3 жыл бұрын
Hahahaha nimetoka kwa mirady ayo nijenithibitishe kama nihuyu mwanzo sikugunduaga kama alilewa
@ayilarhoda2503
5 жыл бұрын
Sitaki kabsa had naona aibu Kwani kumpapasa MTU hivo mbele za watu ndio nini??? Inipite tu
@nassrapatrickpatrick5545
5 жыл бұрын
We ach t nimeona hyaa
@lauraabass1077
5 жыл бұрын
Hahahaa
@edithayouma1528
5 жыл бұрын
Pwaaah haha
@beatriceannamaria8106
5 жыл бұрын
Ayila Rhoda ha ha ha mmh.mwezangu kweli
@khadijamatimbwanawapenda7530
4 жыл бұрын
Nimeona aibu mm
@happyhamisi3903
4 жыл бұрын
Waoooo laah sana
@suzyjohnas4259
3 жыл бұрын
hadi jamaa anaona aibu mke mtarajiwa kalewa hatari 🤣🤣hapo mawifi utasikia hakuna mke hapo🏃♀️🏃♀️
@kelvinmkude5709
5 жыл бұрын
Nakubali sana kazi zako bro
@neemaloy889
4 жыл бұрын
Mlevi hadi akili
@neyjoel3357
4 жыл бұрын
Hahahaha sio kwa gongo hio
@faridbatenga1372
4 жыл бұрын
Kama umeskia Bibi harusi anauliza mpenzi wake yupo upande gani ,Julia au kushoto
@miraclemukolwe7758
5 жыл бұрын
Hahaha.... Huyu kalewa sio bure Hata anavyoimba
@innocentcleophace8583
3 жыл бұрын
Kumekuchaaa sio kwa pombe hii
@subirachuttar6490
5 жыл бұрын
Hovyoooooooooooooo!!
@alexemmanuelalexemmanuel5448
4 жыл бұрын
Bon mwaitg
@fadhilaally1826
4 жыл бұрын
😂😂bi kharus kalew😂😂😂
@doramoshi6340
5 жыл бұрын
Tilalilaaaaaaaaa
@hatimalnaamani876
4 жыл бұрын
Naomba anae fahamu jina la huu wimbo aniambie
@ruhaymarenee3488
4 жыл бұрын
😍😍
@auguykasongo8822
5 жыл бұрын
C très chic
@mohamedmbulu4293
5 жыл бұрын
Yani hadi ndugu mtazamaji ninaona aibu 😂😂😂
@nassrapatrickpatrick5545
5 жыл бұрын
😂😂😂kama mm meona hya
@estersolomon5751
5 жыл бұрын
😂😂😂
@hongeramwinuka5334
5 жыл бұрын
mohamed mbulu 😝😝😝😝
@bibianafrigil5588
5 жыл бұрын
Hahahaha hhahha jamni nimecheka mno
@saumumasudi8431
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@maxminmlee1718
4 жыл бұрын
Hii ni jamii ya amber ruty
@safinaalfred1062
5 жыл бұрын
Tilalila
@agneskadzo6105
5 жыл бұрын
Congratulations
@evelynesasala4488
5 жыл бұрын
Duh hapana CIO kwa style hii ya kushikana shikana ivo hdi aibu
@khadijamatimbwanawapenda7530
4 жыл бұрын
Aibu mbele zawatu
@vailethcharles3563
4 жыл бұрын
Kama hulikua hujui kama mke anarewa si unatoka hapo unaailisha ndoa maana si kwa aibu hii
Jmn namuombea aishi na mume wk slm ila naomba isije ikanitokea hv nihatari
@laurenciamushi8727
5 жыл бұрын
Duuuh hii kal
@ashurahatibu5069
4 жыл бұрын
Huyo haziwezi pombe ila kajitoa kujipigilia kutoa aibu pombe zimepitiliza du bad histori
@tatut3889
5 жыл бұрын
Umchezo siutaki mm nitakuja umbuka mm
@iddkhan7787
5 жыл бұрын
angalia vizur hyo video asingemjua amesaidia na matron wake wakat anamgusa muhusika angalia vizur
@fatmasemfuko6383
5 жыл бұрын
Tatu sasa waumbuliwa na nini
@tatut3889
5 жыл бұрын
@@fatmasemfuko6383 😂😂😂😂😂😂😂😂nitamshika hambae sie haaaa
@tatut3889
5 жыл бұрын
@@iddkhan7787 😂😂😂😂😂😂ila kweli eeh subir nitizame tena
@consolatamedard1432
5 жыл бұрын
mnaosema katia aibu aibu gani mbona mm sijaiona apa jaman au machoyangu ayaon vizur Ila tu sema kama kalewa lakin ajafanya chochote kibaya apa
@faridahamis4062
5 жыл бұрын
consolata medard upo sahihi
@fatmahassan2083
5 жыл бұрын
Mwenyew cjaona hata
@periswanjiru8710
5 жыл бұрын
Sijaona kitu pia
@victorianyamaronge9871
5 жыл бұрын
hana lolote huyo...sikiliza anavyouliza.. eti ni mtu wa ngapi? kutoka kulia au kushoto.. limelewa hadi aibu mfyuuu
@hongeramwinuka5334
5 жыл бұрын
Victoria Nyamaronge hahahaaaa nikajua mesikia peke angu
@bintlola3127
5 жыл бұрын
Aibu naona Mimi huku
@janethpallangyo2633
4 жыл бұрын
Hata mimi
@josephflorian5362
5 жыл бұрын
Duuuuh!!!
@sadaaboss19
5 жыл бұрын
Biharus kaaaaa kakangu nakuhurumia
@angelamarlow510
4 жыл бұрын
Duh maharus nao wanalewa
@mwanaiddaud4224
5 жыл бұрын
Apana mmekuta baa uo ulevi si sawa kabisa
@jillianlovie4084
5 жыл бұрын
Daah mlevi kaolewa
@neemamdoka929
5 жыл бұрын
Jillian lovie hahaha
@musuguridavid84
5 жыл бұрын
aliemshika amemueka balance asiyumbe,.ila alikua anamsukumia kwa muhusika.
@queenmmasi3998
5 жыл бұрын
Ni shidaaaaaaa
@minahjumaa2064
4 жыл бұрын
anatutia aibu mabihars wenzie sasa ndo nn kulewa ata hajainyoy sik yake kwakwel😂😂😂🤔
@husnangapu502
5 жыл бұрын
Inaonekana aliweka nadhiri siku atayoolewa atakunywa mpaka basi aibu siku ya shuhuli yako unaomba Mungu watu wasikuharibie kumbe wengine wanaziharibu wenyewe amekosa mshauri wala mtu wa kumuongoza na kumsimamia
@emaculatedoma3950
5 жыл бұрын
Kabsa yan cjui alifanya nn mpk huruma
@esterlamecklameck8340
5 жыл бұрын
Heeeee ad mm naona aibu et
@khadijamatimbwanawapenda7530
4 жыл бұрын
Aibu hasaa
@haibasalehe3568
5 жыл бұрын
Mwanamme hana mke hapa
@dorotheasamwel8071
5 жыл бұрын
yan kanikera hatariiiii ... hana hekima kabisaaa
@celinelawrence5266
5 жыл бұрын
ukiona kila mtoa comment ameponda ujue arusi ya kindezi sjaipenda kiviile kupapasa papasa waume wawezio ujaona style ilingine ya kuingilia ukumbin
@hatimalnaamani876
4 жыл бұрын
Jamani naomba mtu anaefahamu jina la wimbo walio cheza maharusi aniambie
@stahimilimkolwe3003
4 жыл бұрын
Waooo it is good style
@jennifermanguli1749
4 жыл бұрын
Hatarii
@joycekiboko7750
3 жыл бұрын
Yani nikimkumbuka huyu dada nataman tu kumuangai
@deborahgabriel9551
5 жыл бұрын
Hahaha noma sana
@grecioussilas9885
4 жыл бұрын
mbaya sana staili hii so poa kabisa
@agnessalex1084
5 жыл бұрын
huyu dada alikunywa nini lakini lol
@hilarywizysonsonwizy6241
5 жыл бұрын
Kama kalewa lakini ni hisia
@agnessalex1084
5 жыл бұрын
@@hilarywizysonsonwizy6241 mmmh hizo hisia zake za nchi gani zinamfanya ayumbe kama mlevi 😄😄😄
@millicentkhatenje8424
5 жыл бұрын
👩❤️👨
@cutteymarcus7135
3 жыл бұрын
Khaaa uyu nae sasa ndo katoa aibu amaa haahaha
@bettymueni2746
3 жыл бұрын
Momooo
@dianajohn9226
5 жыл бұрын
Bwana harusi kala wa mee duuh
@irenetarimo1162
4 жыл бұрын
aibu
@aminamgaya7511
5 жыл бұрын
Kalewa mpk anayumba
@alexemmanuelalexemmanuel5448
4 жыл бұрын
Kaya zaerumbri naishirin
@rozinahamisi84
5 жыл бұрын
Duh huyu no harusi tilalila amekunywa zaidi daah
@clqudiaemmanuel7740
5 жыл бұрын
Kaka kabaki kushangaa tu
@suzyjohnas4259
4 жыл бұрын
Amelewa hadi kero jamn uwiii aibu
@shakiraseif8714
5 жыл бұрын
Pombe sio chai
@allahakujazekheriwowww5694
4 жыл бұрын
Kitambakinaona waongo
@pendondossy2158
4 жыл бұрын
Yan send off tu unalewa hivyo jmb
@zinaibrahim7004
5 жыл бұрын
mmmh jaman sio kwaa aibuhii
@joycepeter601
4 жыл бұрын
Nimeipenda iyo
@rhodrickdemias947
2 жыл бұрын
Nimecheka adi basi
@Qeek_Smart
4 жыл бұрын
Mbona huyo mschana kama cmuelew mm
@afiaaaa755
5 жыл бұрын
Duuuuh aibu
@agnessjohn8404
5 жыл бұрын
afia Aaa 😀😁😀umeona ee
@najmasalimsalim2741
5 жыл бұрын
Aibu sana hadi huyo bwana yuaona aibu
@phinahsooi8027
5 жыл бұрын
Loooh sio kwa kulewa huko duuuuu
@roidatadey8656
5 жыл бұрын
Mmmmh sio kwa kumpapasa uko mmmmh makubwa ayo 🙄🙄🤔🤔😳😳
@situbakina6388
4 жыл бұрын
Upuuzi tu mmekosa LA kufanya kuburudisha watu mpaka mkafanye yaajabu.
Пікірлер: 203