Mambo ni kama haya sasa musikose kutupea vitu motomoto wana donta watching from kenya💞💞
@Jaysantans
2 сағат бұрын
Mnazingua bhana mwisho ndoh nin wakat move inaonekana kama inaendelea MOVE ZA KIBONGO BHANA MAJI MAFUPI😅😅😅😅
@Shinyg3l
Сағат бұрын
Ila j kidogo amefanana na kimbembee wa mama kimboo🤣🤣
@ShakilaHassan-q7u
2 сағат бұрын
Sawasawa Donta TV hizo ndo twapenda ausio, alafu kendy umeweza mamaa kumbe ww n w masigara🤣🤣kma mm napenda Moshi sana🤣🤣kendi nimuona ukipitisha sigara ku mapua yaani hyo n ukweli umevuta🤣🤣🤣🤣🫵
@MauwaAuwa1991
2 сағат бұрын
Leo hongereni 🎉🎉🎉🎉❤❤❤mnatufurahisha kwelikweli
@agneskarembo7805
Сағат бұрын
Tunangoja mtoto wa boss...tukicheck huku
@EmmanuelSima-x2n
2 сағат бұрын
Amina sipend umbea wako ila ulivyo na shep nakupenda bure❤😂😂😂
@MonikaKibona
3 сағат бұрын
Jaman wa sita like kwangu
@RozPeter-s5z
2 сағат бұрын
Kazi nzuri jamn mnatoa kwa wakati
@FloraNdakala
2 сағат бұрын
Mumejua kunifurahisha Leo ,Wana Donta
@AlineNijimbere-cp8fj
3 сағат бұрын
Wa kwanza
@fatimafatuma4848
2 сағат бұрын
😂😂😂😂Amina nisaliti sana ila nakupesa sana Mdogo wangu❤❤❤❤❤
@SuleimanMohamed-j8v
2 сағат бұрын
Huko kuko mbio kwanini penzi la mtoto WA boss msipeleke mbio kma hizi😊
@sofiakinyia2734
2 сағат бұрын
Yani nawapenda Kwa burudani zenu🎉🎉🎉❤❤
@StellaKugomwa
2 сағат бұрын
Hongereni sana
@InukaUangaze-s3y
12 минут бұрын
Kwa maisha ya sai inastahili tuwe makini tunapotaka kuingia kwenye ndoa wana Donta mafunzo mazuri sana❤❤❤❤kutoka Kenya 🇰🇪
@DomitilaEmily
2 сағат бұрын
Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💪
@metrinemanyonge6055
2 сағат бұрын
Wooow Leo Leo part one two part three ❤❤❤❤❤ I love it
@MwaJuma-x3t
2 сағат бұрын
Mambo mzr kma haya amcheleweshi maua yenu jmn😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Salama123-iw7hj
2 сағат бұрын
❤❤❤
@NollywoodMoviesNollywood
22 минут бұрын
Filamu za kitanzania ziko poa sana na nzuri sanaaaa tena zaidi ,pongezi kwenu
Пікірлер: 59