Kwaiyo Allah atamjaliya atakwenda usikate tamaa mdogo wangu
@SalmaSamiry
Күн бұрын
Pole sana mungu atamuafu atapona mama tumuombee tu 😢
@edsonedwix4408
Күн бұрын
Maskini mungu awaponye na huyo mtt mdogo anatakiwa kufanyiwa chekap kabsa
@SaidyFaranda
Күн бұрын
Mungu akupe moyo wa subra mwanangu
@JamilaMohammed-n8n
Күн бұрын
Pore mwanangu mungu atakufanyia wepesi
@hpmobilephone9951
Күн бұрын
Masikini pole sana mtoto mzuri
@angle3600
Күн бұрын
Mungu amponye
@NuruSalum-x2t
Күн бұрын
Assalamualaikum mdogoangu pole kwa mitihan na mm pia nina mtt ana mwaka na miezi 4 na mpaka saiv hajaenda
@MaryamShabani-n2u
Күн бұрын
Poli sana Binti
@aishatest4451
Күн бұрын
pole sana
@aishajuma7813
Күн бұрын
Mungu akupe nguvu jamani
@asmamjema8539
Күн бұрын
Hiki kiatu hakivalik walah Ya Allah, tunakuomba kwa huruma zako hakuna wakuabudiwa ila ni wewe, yarabi ijalie hii familia iwe ni miongoni mwa familia yenye furaha, tunakuomba kwa kudra zako tazama watoto hawa pamoja na mama yao uwafe shifaa apone maradhi haya aweze kutambua watoto wake, sijalala kabisa usiku huuu naiombea dua kwa Allah iwe miongoni kwa familia yenye furah
@MwasitiShonasho
Күн бұрын
ALlah amponye
@kadijahajali3918
Күн бұрын
Pole mwangu ndiyo mitihani yarabi mimi nipo nishapitiya hizo shida za maradhi ya mama alikuwa na sukar baba mpaka leo ni mngonjwa wa essdent ya baiskeli ni mtihani yarabi mungu afanyiwe wepesi ishaalah
@MwantumT
Күн бұрын
Atapona ishaallah
@KHABISIBRAH
Күн бұрын
kama na yeye mjamzito yarab mponye mama
@zeyanaalgheithy6561
9 сағат бұрын
Naninmjamzito
@AshaSaid-gy2tg
Күн бұрын
Dunia ya mwisho ndugu wana muachiamtt amuuguze mm yake ndio maana majanga auaishi
@omanoman2044
Күн бұрын
Atatembea tuy watuy wanatembea hata mwaka na nusu
@FATUMASALIM-w9q
Күн бұрын
Hakuna namba ya M-pesa?
@maximumtvonline
Күн бұрын
Siku hizi pesa unatuma mitandao yote yote
@SamKissay
Күн бұрын
Pole dada
@NuruSalum-x2t
Күн бұрын
Kwaiyo Allah atamjaliya atakwenda usikate tamaa mdogo wangu
@KhadijaMasoud-m6u
Күн бұрын
Mungu amsaidie apone hyo Mama na pole cn ashura pole najua haitoshi pekee ila tutajitahid tuwe pamoja mm Kwa ss np mbali na pia nimekuja pia kuuguza nikirudi inshaallah mungu atufikishe uhai ntakutafuta n mm
@NuruSalum-x2t
Күн бұрын
Kwaiyo Allah atamjaliya atakwenda usikate tamaa mdogo wangu
@VionaMuthoni289
Күн бұрын
😢😢😢😢pole sana, nimemkumbuka Mama Heppy na mama Leilat vile wzlivyokuwa wanauguza mama zao,huyu mtoto anaumia pamoja na mamake
@Haji-yr9db
14 сағат бұрын
😢😢😢 dah jaman kwel kabla hujafa hujaumbika maskin uyu mtoto hadi huruma
@shamilashabani4288
Күн бұрын
Subhanallah,Mungu akupe subra binti yetu,au mama kapigwa na jini
Пікірлер: 40