Napenda wimbo huu unanikumbusha mengi saaaaana mutumishi ubarikiwe
@glorymwazyunga641
6 ай бұрын
Mimi nimeuchukua kuwa wimbo wangu kwa msimu huu. Hapa nilipo umepigwa rafioni nimesitisha nilichokuwa nafanya na kuanzaa kuusikiliza. Natamani uwe wimbo wa msimu kila mwaka pamoja na ule wa Gethsemane wa Tabata Menonite. Zinavuta uweponi kumtafakari shujaa wa msalaba!
@AlexJoseck
2 жыл бұрын
Asanteeeeeee mtumishi kwa kuturushia wimbo huu.... huwaga unanitoa machozi ni miaka mingi sana nilikuwa sijausikia ubarikiweeee........
@jonathanhamadi
Жыл бұрын
Yan hata mm namkumbuka marehem baba kwa Wimbo huu na niusikiapoo narengwa na machoz,pamja na nymbo za ulyankuru
@glorymwazyunga641
6 ай бұрын
Hata Mimi ukipigwa radioni naacha shughuli zangu
@peterntora5041
Жыл бұрын
Wimbo huu unanirudisha mwaka 1999 nipookoka. Mungu akubariki sana mtumishi.
@KuhaniMwakalambo
2 жыл бұрын
Hatimae nimeupata wimbo nilioungoja kwa hamu kubwa hapa KZitem.....niliumiss sana bishop
@mauagilbert2596
2 жыл бұрын
He Mungu wangu nimeguswa kupitia wimbo huu nisamehe dhambi zangu nahisi ni mim ninaeambiwa
@jobmakambala2216
5 ай бұрын
Hivi mtumishi wa mungu huduma zako unazitolea wapi nipo kigamboni
@benjamniemmanuelmchungu2636
2 жыл бұрын
Daaah!! It takes me back those days,,,,,Real gospel artist Jangalason
@glorymwazyunga641
6 ай бұрын
This Bishop took spiritual time to meditate composing this song. Although I persoanally accept his songs but Taifa teule is touching me a lot
@DanielMdengede
Жыл бұрын
Tuache dhambi aliteseka kwa maovu yetu
@alicebanikefadhili3996
Жыл бұрын
Nyimbo nzuri saana bishop, Mungu awabariki saaana
@tumammari4344
5 ай бұрын
Imenitafakarisha kazi ya msalaba
@olivierakili840
2 жыл бұрын
Nasikiaka nyimbo iyi kila Siku Na inanifanya nitambuwe mapendo ya Mungu kwa binadamu
@yusuphfesto1931
2 жыл бұрын
Mungu akuache hai pasta ututie moyo maana dunia ina maumivu sana
@franaelisumari5108
Жыл бұрын
Mtumishi wa Mungu Jangalason ubarikiwe. Mungu akutumia kuvusha wengi.Be blessed and Glory be to God.
@bahatisinkamba991
Жыл бұрын
Barikiwa baba nyimbo zako Zina upako
@farajawilsonkitila9185
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana
@oscarmsuguru5684
2 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana,tuwekee na nyimbo za album ya sugua meno,
@bahatisinkamba991
Жыл бұрын
Bishop hakika nyimbo zako Zina ujumbe
@revsulemanigerardjonas4098
2 жыл бұрын
Mung azid kukuweka Baba
@eshimbise3096
5 ай бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.Nakumbuka wimbo huu Namna ulivyo vuta wengi Kwa Yesu miaka ya mwishoni mwa Karne ya 20.Sinai Kigoma hautosahaulika.
@jacqueselias5144
Жыл бұрын
Asante sana Kwa kuweka wimbo huu!! Nimeikumbuka enzi za kaseti, ulipokuja katumba mnyaki ulitufurahisha sana!!
@raphaelmwamakimbula9642
Жыл бұрын
Safi sana,japo inahuzunisha!😭♥️👏
@imanicharles936
Жыл бұрын
Amina mtumishi wa bwana MUNGU awe nawe hata milele yote ,Ameeni.
@joelynassarynassary7257
8 ай бұрын
Mpk 2024 bado nakukubali sana ❤
@johnsonjoseph5382
2 жыл бұрын
Bishop Jangalason, ubarikiwe sana kwa nyimbo zako zinafundisha, kufariji na kutia moyo sana. Pia tunaomba video za Album ya VAA KIATU
@jorgitolucasbaluth8903
2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@eliassinankwa217
11 ай бұрын
Asante sana mungu akubariki
@happywasua7549
2 жыл бұрын
Najawa na bubujiko kubwa sana nikisikiliza huu wimbo... Pastor Jangala live long Afu sikuhizi sikusikii tena
@holipajangala8926
2 ай бұрын
Yupo Dar-es-Salaam, ni Bishop wa huduma ya Hope For All Nations Ministries, karibu maeneo Goba, Tegeta A
@chantalmulasi5663
Жыл бұрын
Heeeh Mungu ni samehe Amen 🙏
@fr.christianeliantiamagwa9355
6 ай бұрын
nakumbuka sana wimbo huu nilipokusika pale viwanja vya uyui ulipohubiri na kuimba 1998 asante sana mtumishi wa Bwana. Barikiwa
@hopeanjelu5620
2 жыл бұрын
Naumia sana, Yesu nisamehe
@tumainijoshua5090
Жыл бұрын
Shalom Bishop tunabarikiwa mno,naomba wimbo wako wa Siku ya Mpinga Kristo hiyo inakuja hiyo damu ya Kondoo utaikumbuka,
@bainomwanamboka
Жыл бұрын
Nakumbuka nilipo juwa halo kigoma2000ans
@stephanozakayo7199
2 жыл бұрын
Nimeuimba Sana huu wimbo..be blessed Bishop
@simpassagrace6907
Жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi. Huu wimbo unanikumbusha mbali enzi zile nchi ilikuwa na utukufu mkuu duh Mungu tupe neema ya kuvipiga vita vizuri vya imani.
@GraceAsagwile
2 ай бұрын
Amina
@lealyjames8216
Жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@KipeseKipese
Жыл бұрын
Mtumish nirushie video ya taifa tell na Dunaway cdano
@glorymwazyunga641
6 ай бұрын
Kama uoirushiwa video naomba nikumbuke nami
@alicekasereka8786
2 ай бұрын
J'aime bcp cette chanson
@elizabethshagi6457
Жыл бұрын
nimekua mimi jamani huu wimbo ulikua unaniliza mimi jamani. Mungu akubariki sana Bishop
@paulpanga8413
2 жыл бұрын
Damu yake iwe juuu yetu
@saidchonde9851
Жыл бұрын
Huu wimbo una nikumbusha mbali sana.. Those days tuna hofu ya Mungu. Mungu utusamehe wana wako tumepotoka.
@rogerlukungu3846
Жыл бұрын
Wimbo huu, unanibariki saaana. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu. Mungu akuongezee myaka, sababu ungali na kazi kubwa ya Mungu apa duniani ambayo ungali utaifanya. Mungu akubariki saaaana.
@JumaShaha-ki4vx
Жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki sana barikiwa sana pst jangalason
@theChiral
Жыл бұрын
Unaweza kupata wimbo wake unaitwa "WACHUNGAJI"?
@kennedymwakalinga4814
Жыл бұрын
Sababu nyingine ya kupenda nyimbo za bishop 🔥🔥
@alex_vincent
24 күн бұрын
Hallelujah
@amitielukogo.2508
Жыл бұрын
Asante sana Yesu kristo kwa kazi ya musalaba
@mrmhenipm
2 жыл бұрын
Hongera Bishop
@BettyMsongole
5 ай бұрын
Unanikumbusha mbari mtumishi
@bainomwanamboka
Жыл бұрын
Hu ndugu ni mwimbaji bora
@agnesizabayo1258
2 жыл бұрын
Seigneur pardonne moi 😭😭😭😭😭
@bainomwanamboka
Жыл бұрын
Nampenda sanaJang
@ElizabethHaule-g3g
Жыл бұрын
J be blessed 🙏🙏
@ambassadorvideoproduction9815
Жыл бұрын
bishop unanibalika sana
@jastinijosefu7483
8 ай бұрын
Huu wimbo huu nimzuri sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@pricembaru497
2 жыл бұрын
A well thought and organized song.Its touching hearts.
@bahatisinkamba991
Жыл бұрын
No one like bishop jangalason
@tumainijoshua5090
Жыл бұрын
No one like Jesus, who made Bishop Jangalason
@bainomwanamboka
Жыл бұрын
Hâta asingelikuwaMuNGU kwnini auwawe kikatili?
@pastornyundo1835
2 жыл бұрын
Hongera
@bainomwanamboka
Жыл бұрын
MUNGU awasamehe wayahudi
@alexonesmo1753
2 жыл бұрын
Ameni ameni!!
@dinairenge
7 ай бұрын
Amen
@Itsgoodnewsindeed
2 жыл бұрын
Amen 🙏🏾
@AsiLema
7 ай бұрын
Amen kubwa
@youngbizzmark2866
Жыл бұрын
God ble
@bainomwanamboka
Жыл бұрын
Merci mon frère de JANG
@glorymwazyunga641
6 ай бұрын
Merci serviteur de Dieu Charles de Jangala
@blusinde6707
2 жыл бұрын
Askofu kati ya nyimbo zako Zote Huu Roho Mtakatifu aliweka Mafuta Ya ziada
@glorymwazyunga641
6 ай бұрын
Kumbe tuko wengi tunaoona upako haoo
@shijamsoga2773
Жыл бұрын
Beautiful childhood memories
@newbornhaule1635
2 жыл бұрын
inanibariki mno
@stevenerasto817
2 жыл бұрын
Rev.videos pliiz
@masterkey536
2 жыл бұрын
Asante
@nathanray-cf7ss
Жыл бұрын
Je, hakuna video ya huu wimbo??
@alicefadhili9041
2 жыл бұрын
Alelluia🙏🙏🙏
@PrisicraGerevasy
6 ай бұрын
Naweza kupata namba yako mteule wa mngu
@janetkireta5136
2 жыл бұрын
Please Bishop give me the lyrics to the song. I have waited for this since along time ago
@jobmakambala2216
5 ай бұрын
Upo wapi mtumishi wa mungu nataka nije kwenye huduma zako nimekupotea kea mda mrefu naomba msaada hata anayejua alipo huyu mtumishi aniambie
@holipajangala8926
2 ай бұрын
Yupo Dar , eneo la Goba Tegeta A
@calvinkigulu8328
2 жыл бұрын
JAmani Naisubilia kwa ham tibumasiko
@holipajangala8926
2 жыл бұрын
Inapatikana kwa audio
@rosemarywilliam7418
2 жыл бұрын
Barikiwa Bishop kwakweli nyimbo zako zinanibariki sana Mungu akutunze na family yako Amen
@FurahaMponzi
Жыл бұрын
Y 0:36
@robertigohe7477
2 ай бұрын
🇮🇱🕎🔥⛪
@JosephKatanakangota-y9b
16 күн бұрын
0:51
@JumaShaha-ki4vx
Жыл бұрын
Wimbo huu unanibariki sana barikiwa sana pst jangalason
@luganoosward5398
2 жыл бұрын
Amina
@nelsabugo3613
2 жыл бұрын
Amen
@jumannechaula4829
2 жыл бұрын
Ubarikiwe
@isayamakaushop7874
Жыл бұрын
Mungu akutendee Mema mtumishi wa kristo Yesu,huu wimbo unanikumbusha mbali sana ,ukweli umenilea baba
Пікірлер: 98