Ni kweli kabisa hata Mchungaji mwingira ana kampuni ya ulinzi
@SophiaNyangasaSophia-yc2ro
18 минут бұрын
Ulikuwepo kuona havihusiki jiangalie nyambafu
@jofreysimba1665
Сағат бұрын
Hogela bishop wangu ikongo
@mariamumdaki5298
6 минут бұрын
Kweli kabisa Bishop
@ommymsangi9182
31 минут бұрын
Serikali zote zilizopita na hii ya sasa ikiwepo zote ni zaa CCM kwahio huwezi kuzitenganisha awamu hizo.
@fatmafatu1128
2 сағат бұрын
Mbona mnamchambua kama karanga wandugu
@eliasmwanawima1129
Сағат бұрын
Kwasasa ni idara ya uhamiaji na sio jeshi
@hajirashidamani7709
3 сағат бұрын
Kweli sasa nchi hii tumekwisha huyu ndiyo Bishop kaamua kujizima (DATA ) Yesu mhurumie
@JohnsonBagambi
2 сағат бұрын
😂😂😂😂
@IsayaKamomonga
3 сағат бұрын
Hiyo miwani vipi?!!! Inakuwasha!!!
@JohnManyilizu-rl5bm
Сағат бұрын
Ivi m23 nini ilianzaje na kwa madhumuni gani kwani migogoro ya wenyewekwanyewe vilianzaje nikwanini ilitokea hivyo angalieni sana watawala mambo haya yanayotokea leo hapa inawezekana hata wenzetu walikua naamani naupendo lakini ikatokea ujinga fulani nchi zao zikakosa amani
@FrankMashoto
2 сағат бұрын
Huna msimamo, sijui imekuwaje nyie viongozi wetu wa dini mnakuwa waoga kusema ukweli, ma hii inawafanya mkose hata karama kwa Mungu. swala lipo wazi basi ongeeni ukweli tuone kumbe viongozi wetu wa Dini mmeshtushwa na hali hii. Mmekalia kupigia kelele waumini swala la sadaka tu.
@EzekielChalomhola
2 сағат бұрын
Wewe ni chawa hata kama utaongea.
@rayisadesigns2646
Сағат бұрын
HAKIKA HAYA NI MANENO MAZITO YENYE PUMZI KWA WATU WENYE AKILI ZA MBALI...
@SamwelKiure
2 сағат бұрын
How asimia 8 unaipataje. Ni Askofu wa NN.
@gordiansoko9113
54 минут бұрын
Wewe si chawa bali ni kunguni.
@josephatkajange8714
5 минут бұрын
Inaonyesha wewe unawajua watekaji, hebu twambie, watekaji na wauaji ni akina nani? Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya! Hiyo kazi yako ya uchungaji inakutosha, achana na uchawa we mzee wewe!
@alexsakilu2650
2 сағат бұрын
Toa jibu hizo asilimia umezipataje
@EzekiaMichael-jn5np
Сағат бұрын
Mmmmmm haya ni maoni yako sio m aya
@IsayaKamomonga
3 сағат бұрын
Toka zako, mpuuzi.
@EzekielChalomhola
2 сағат бұрын
Tena ni big chawa
@GodfreyBikukan
2 минут бұрын
Usamehewe
@amanipeace6642
3 сағат бұрын
We ni chawa tena wa kihindi mkubwaaaaa,acha upumbavu
@alexsakilu2650
2 сағат бұрын
Huna lolote wew ni Chawa ndio
@damianm.1833
Сағат бұрын
wewe hueliwi hakuna kitu hakuna Ukweli
@godfregiiti8327
2 сағат бұрын
Wewe ni mpumbafu unaongea usiololijua
@NasraNjunde
2 сағат бұрын
Ujui chochote ww chawa tu
@festofute58
Сағат бұрын
Hivi askari wetu wameshindwa kuwafahamu na kuwakamata hao unaowafahamu wewe?
@HenryKisusi
4 сағат бұрын
Hueleweki, hujulikani ulivyo, maoni yako ya hovyo kama ulivyo...... Kama, kama kama kama huwezi kuitumia kukanusha. Kweli wewe ni chawa kabisa unakiri kisha inakanusha pimbi.
@GodfreyBikukan
4 минут бұрын
Ivi wewe mchungaji au kibaraka
@edwindavid7037
5 минут бұрын
😂😂😂😂
@clauschaula2050
2 сағат бұрын
Hueleweki kama popo.Wewe ni ndege au mnyama?Kama hujuwi nyamaza si lazima uongee.
Пікірлер: 32