Perepetua Nsumba ni miongoni mwa wanafunzi wa shule ya Sekondari Kata ya Ibinza wilayani Ilemela, waliofanikiwa kufanya vizuri kwenye masomo baada ya kujengewa uwezo na shirika la KIVULINI.
Alipata ufaulu wa daraja la kwanza kwenye mitihani ya kidato cha nne na kidato cha sita na sasa amechaguliwa kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es salaam.
Perepetua amefika Ibinza na kutoa hamasa kwa wanafunzi wa shule hiyo kuzingatia masomo ili kufanya vizuri kama yeye.
BMG Media- Pamoja Daima!
Tovuti www.bmgblog.co...
Facebook / bmghabari
Twitter / bmghabari
Instagram / bmghabari
#BMGTV #BMGBLOG #BMGHABARI Pamoja Daima BMG
Негізгі бет BMG TV: Binti aliyepata 'ONE' shule ya Kata atoa hamasa kwa wengine
Пікірлер