Namshukuru sana mama yangu bikira maria kwa zawadi ya uhai
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Amen
@lucasmveyange3339
2 ай бұрын
Bikira Maria uliyemtokea mtoto Yunis Julias Ogoti naomba uniombee kwa Mungu baba nifanikiwe.
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Amen
@nicolasoduor7695
3 ай бұрын
Sisemi kitu Wacha mapenzi yake mwenye enzi Mungu yatimike adui wapende wasipende katika Jina la Yesu Kristu.Amani
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Amen
@chebsemmie8691
2 ай бұрын
Naomba mbarikiwa Eunice aniombe Pamoja na familia yangu
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Amen
@janeanet6209
2 ай бұрын
Ameen
@FatumaBayolo
4 күн бұрын
Naomba namba
@BMGOnlineTV
2 күн бұрын
0757432694 BMG
@Nelius-h7e
27 күн бұрын
Amen
@BMGOnlineTV
25 күн бұрын
Barikiwa
@AlphonsinaSangawe
28 күн бұрын
Nasikitika sana Baba wa mtoto yunis.Anatumia utapeli mkubwa sana niomba maji lakini nasikitika sana mpaka hivi leo sikupata hayo maji nanikiuliza ana sema nitatuma lakini bado mwaka wa pili huu.arudishe hela yangu tu.
@BMGOnlineTV
25 күн бұрын
Tulishauri, anayetaka maji aende nyumbani, hii mambo ya kutumiwa maji inaleta usumbufu usio na maana
@beatricenangale5439
3 ай бұрын
Mimi nilishaonana na Eunice, nilishangaa kuona ukarimu wake wa kutukaribisha na kutufanya tujisikie nyumbani. Zaidi sana anavyoonhoza saña, hata alipotumwagia maji niliona ni kweli wenye mapepo yanatoka. Pia anapocheza na watoto wenzake kwa Amani bila kelele. Hapendi ile Rosary kubwa iliyowekwa juu kwenye sanamu ya Bikira Maria ikushatumika iachwe, ikitumika ipekwe mahalii pake mara moja😢
@beatricenangale5439
3 ай бұрын
Nakubaliana sana na wewe mwandishi wa Habari. Tunapaswa kuwaombea wazazi wa Eunice
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Barikiwa sana
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Amen
@hilttiti8550
2 ай бұрын
Kwelii sadaka ya Yukis ? Au ni sadaka ya baba ili aweze kuwachukua wake wengine?
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Fuata moyo wako unachoamini
@maspro6294
3 ай бұрын
Wewe mzee taperi kama babu WA kikombe acha utaperi watu
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Barikiwa sana
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Barikiwa sana
@teddymhenga3006
3 ай бұрын
Amina. Mimi naitwa Teddy Mhenga. Naomba unionbee.
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Amen
@beatriceindash5095
2 ай бұрын
Ulimwengu una roho nyingi. Watu hufuata yoyote.....bila wenyewe kuuliza Mungu kama wanachoona ni roho wake.
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Ni kuzidi kumwomba Mwenyezi Mungu
@fransiscambithe7674
3 ай бұрын
Mimi ni fransisca mbithe kutoka Nairobi Kenya sr unice siti kuniombea uparikiwe sana
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Amen
@abelmbijima4324
2 ай бұрын
Uongo labda aliota na mjinga anamporomote mtoto au amekaririshwa nakumbuka Siku za nyuma alitokea shehe Sharifa mashehk wakawa wanazunguka hapa Tanzania, Kenya,na kwingineko kumfanya ni mradi kujipatia pesa acheni hizo na wewe mtangazaji naona unaelekea huko kwa Mashehk wa Sharif
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Shika sana imani yako
@RestitutaNjau-k8x
2 ай бұрын
Sasa hayo maelekezo nayo mlipewa na Mama Bikira Maria,,?
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Yapi?
@RoseGathoni-d3j
3 ай бұрын
🙏
@BurundiBurundi-ru7vu
3 ай бұрын
Nayitwa alphonsine nayishi Burundi muniombeye
@teddymhenga3006
3 ай бұрын
Naomba namba ya simu.
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Iko kwenye hii video
@MariethaJohn-gu6lx
3 ай бұрын
❤❤❤
@hamidabarraball3162
3 ай бұрын
Wanamnyima mtoto haki yake ya kuwa kama watoto wengine kwa tamaa zao, hamna chochote hapo, baba ameongeza mke kwa utapeli
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Waombeeni sana
@hilttiti8550
3 ай бұрын
Wengine wanaweza kubadilishwa na maji ya mtoto lakini baba wa mtoto yeye habadiliki.Baba Yunis, rudisha mama wa mtoto awalee watoto wake kwa amani. Hilo ndilo jambo la muhimu
@hilttiti8550
3 ай бұрын
Baba Yunis, mtoto akikuwa atajionea utapeli wako. Sasa ni mtoto na unamtesa sana
@RoseMayige-gn9qb
3 ай бұрын
Kumbe alimwacha mama wa anayemfanyia utapeli! Dunia ina mambo! Ndo watu mjue hapo anaye tawala ni shetani, angekua ni Yesu yasingetokea hayo! Huyo mtoto anatumiwa na guvu za giza coz Mariam hana mamlaka kuzidi Yesu! Hapo Yesu hana nafasi kabisa ! Ni wazi shetani yupo kazini na watu wamefungwa fahamu zao kabisa! Ni huruma sana!!@@hilttiti8550
@EmmilianaMyovela
Ай бұрын
Wewe usiye amini baking hivyo sawa motor ni wa baba na mama yake haikujusu saaaaanaa
@simonmchami
3 ай бұрын
Natamani nipate namba za wazazi wake ninashida na wazazi wake nakumbuka nilishagika hapo kwao lakini namba nilipoteza kwa bahati mbaya
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Tuwasiliane
@simonmchami
3 ай бұрын
@@BMGOnlineTV sawa lakini mawasiliano ni namba ya simu tu naomba kuipata
@drnow1528
3 ай бұрын
Mimi binafsi namkubali Aunise. Walio na wivu washindwe
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Barikiwa
@DM.2200
3 ай бұрын
Nauli toka kilimanjaro hadi kumfikia eunice ni sh ngap?
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Ulizia Arusha- Mwanza huko huko uliko watakuambia. Kisha Mwanza- Tarime hadi Bukama ni 18,000
@Juliana-gd8ej
Ай бұрын
Tumsifu Mama maria siku zote.
@BMGOnlineTV
Ай бұрын
Amen
@lucasmveyange3339
2 ай бұрын
Naomba uniombee nipate kazi nipate Amani
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Amen
@chesangSoi
Ай бұрын
My Question is, who made for her the clothes even the vail those clothes are they concegrated or not😅
@chesangSoi
Ай бұрын
Why Eunice did not put ordinary clothes? Who will answer me. Not for bad. It's just a concern.
@BMGOnlineTV
21 күн бұрын
Herself
@marygordian55
3 ай бұрын
Niombee mtoto yunis nasumbuliwa na afya
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Imani yako na ikuponye, amen
@collinskoech8406
2 ай бұрын
Tazama kutoka kenya mama maria tuombee
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Barikiwa
@Josephinelatin
3 ай бұрын
Mungu mpe yunis Miaka mingi ya kuhishi mm naomba yunis anikumbuke kwa maombi yake kila mara amen
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Amen
@abelmbijima4324
2 ай бұрын
Au babu wa Loliondo
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Labda
@KBUILDERS996
Ай бұрын
Nataka niwaulize nyie nyote mnaokubali kama yesu ni bwana na mungu wenu hebu jalibu Filipino anathamani Gani mzazi wake alimbadilisha nguo bwana wetu na mwokozi wetu akamuogesha tunaye muhabudu mwana wa mungu anajua kula yake vaa yake na lala yake mama Pelee aliyejaliwa mimba kutoka juu
@BMGOnlineTV
Ай бұрын
Barikiwa
@ErnestShija-y2f
2 ай бұрын
Bado anaendelea hadi leo 4/08/2024
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Ndiyo
@RoseGathoni-d3j
3 ай бұрын
Shukulani. Kwa mungu Mimi naitwa Rose gathoni kutoka Kenya niombee
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Barikiwa sana
@margarethshirima5654
3 ай бұрын
Rose wewe huwezi kuomba? Biblia/neno la Mungu linasema. Ombeni bila kukosa. Halisemi ombeweni bila kukoma.
@shuwehaharuna6309
3 ай бұрын
Hahaha Hongera kwa kupata kitega uchumi,,sasa bikira Maria anawaambia mjenge nyumba ya mawe,na mnasemaga hamuangaliwi mavazi mnaangaliwa rohoni inakuaje tena mnaangaliwa Hadi nyumba na waungu wenu😂
@rosemarytikiti1514
3 ай бұрын
Amini, unachoami. Siyo lazima uamini na kufuatia hii habari. Mungu akubariki uamini hicho unachoamini
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Mambo ya imani
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Amen
@apondisinozieber3038
3 ай бұрын
The comment above is a very ignorant one.Truth will come to you very late to your disappointment.
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
God bless you
@MarithaObare
3 ай бұрын
Amen mm naomba munguam ampe sister eunis miaka 112 wishi afanye jazz ya mngu
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Amina
@saumbliz8983
Ай бұрын
Umbwa nyie mwaona ni rahisi
@BMGOnlineTV
Ай бұрын
Kuwa mtulivu
@shadrackgwamwanza4987
3 ай бұрын
Ivi Waroma Maria aliwafanyia nini mbona mnamchukulia kama ndio Mungu wenu kuna siri gani kati yenu na Maria?
@MeshackErnest-qt6xi
3 ай бұрын
Kanisa Linamheshimu kwasababu ni Mama wa Mkombozi wetu Yesu Kristo ambae Mwanae alikuja kuukomboa ulimwengu ukiwemo na wewe kama Mungu mwenyewe alimpa heshima hio Mimi na wewe ni nani tusimuheshimu. Kwa mfano Wazazi wetu waliotuzaa tunawaheshimu je na Mama wa Yesu je ambae mwanae alikufa msalabani Kawajiri yetu Sisi kwanini aonekane kama sikitu chochote tukimdharau tunakosea
@maryntukula8988
3 ай бұрын
Wewe kana ni mkristu na unamwamini Bw. Yesu Kristu, utaamini pia Yesu alizaliwa na Mama Maria. Na kama Mama Maria ni Mama Wa Yesu wewe unawezaje kumdharau? Kwa mfano wa kawaida unaweza ukamdharau Mama yako? Au je mtu akimdharau Mama yako utamchukuliaje? Kumbuka hata pale msalabani Yesu alimwambia Yohana tazama Mama Yako. Pia akamwambia Mama Maria, Mama tazama mwanao. Maana yake ni kwamba Bwana Yesu alimkabidhi Mama yake wanadamu wote kupitia Yohana
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Watakujibu
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Amen
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Amen
@theresiakiwale2090
3 ай бұрын
Kwa kweli sinamashaka na huyu mtoto sema Baba yake tapeli mkubwa
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Mungu amsamehe sana, mwombee pia
@bibianamashamba9022
3 ай бұрын
Lies. Bikira Maria is not bikira anymore alizaaga watoto wengi na mumewe alikuwa jusufu. Bibilia hakusema amebarikiwa kuliko wanawake wote bali inasema Maria amebarikiwa miongoni mwawanawake. Maria ashakufaga zamani zakare. Read your Bible and do not be decieved in this last days. Soma Mathew, Mark, Luke and John for more iformation kuhusu topic hii.
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Barikiwa
@aminamacha5594
3 ай бұрын
Unapendekeza aitwe nani???
@bibianamashamba9022
3 ай бұрын
@@aminamacha5594kwani Biblia imesa anaitwa nani?
@yusterngoye3282
3 ай бұрын
Vizazi vyote wataaniita mbarikiwa kwakuwa Mwenye nguvu amenitendea Makuu. Nyie mnaomsema vibaya endeleeni na mnachoamini . Joseph hakumjua hata baada ya kumzaa mkombozi wetu.
@kadzitswacho
3 ай бұрын
Joseph aliishi miaka mingapi wewe mjua biblia?
@tatuaamuuinyi9633
3 ай бұрын
Uwongo mtupu
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Imani tu
@MaryLeea-ru6it
2 ай бұрын
Amina
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Barikiwa
@fatumatandika6220
3 ай бұрын
Amen
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
God bless you
@abelmbijima4324
2 ай бұрын
Au babu wa Loliondo
@BMGOnlineTV
2 ай бұрын
Yunis wa Bukama
@EstherJerald-tc6ct
3 ай бұрын
Amina
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Barikiwa
@neemamasudi7988
3 ай бұрын
Amen
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Barikiwa
@GiftChisombo-t3w
3 ай бұрын
Amen
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
God bless you
@paulinemwangangi7246
3 ай бұрын
Amen
@BMGOnlineTV
3 ай бұрын
Barikiwa
@MarithaObare
3 ай бұрын
Nafurahi xana mm n Martha nyanchera kutoka Kenya kisii naomba sister eunis uniombe
@RestitutaNjau-k8x
2 ай бұрын
Sasa unalalamika nini Baba Yuni?yote yapokee tu kwa imani.Wale ni Mababa wa Kiroho
Пікірлер: 131