Niko chini ya miguu yako Inayong'ara kuliko shaba Nimeinama natamani nikujue Nione tumaini la mwito wako Ninakupenda, ninakupenda Ninakupenda, ninakupenda . Ninakupenda, ninakupenda Ninakupenda, ninakupenda Yesu, Yesu Yesu, Yesu uuh . Unajua kusamehe, unajua kusahau Ulijua udhaifu wangu Ukanipenda hivyo hivyo Wala hukujali huko nilikotokea Ukanipenda hivyo hivyo Jinsi nilivyo . Ninakupenda, ninakupenda Ninakupenda, ninakupenda Yesu uu, Yesu uu Yesu uu, Yesu uu . Ninapolia wewe ndiwe faraja Nikipita kwenye moto unapita na mimi Nikipita kwenye miba unapita na mimi Kwenye maji mengi uko na mimi Mpenzi wa kweli hujawai niacha Kila siku za maisha uko na mimi Unajua kusamehe, unajua kusahau Ulijua udhaifu wangu, ukanipenda hivyo . Ninakupenda, ninakupenda Ninakupenda, ninakupenda Yesu uu, Yesu uu Yesu uu, Yesu uu . Ukaona lugha yangu haitoshi Ukanipa ya kwako, ili tuongee vizuri Mimi na wewe kwa roho mtakatifu sasa nanena Tunaongea kwa siri mimi na wewe . Ninakupenda, ninakupenda Ninakupenda, ninakupenda Yesu uu, Yesu uu Yesu uu, Yesu uu .
@brittaniagrace
3 жыл бұрын
Thank you❤️UBARIKIWE
@joskyshams4758
2 жыл бұрын
Asante kwa kushare lyrics. I'm singing along
@priscaruwany4590
2 жыл бұрын
Thanks for the Lyrics
@anastaziakiwori6354
9 ай бұрын
thankyu
@brianmwanzia8098
5 ай бұрын
Thank you for the lyrics A few corrections though... stanza 1, line 3: Nimeinama natamani niiguse stanza 1, line 4: Nione tumaini la wito wangu stanza 2, line 3: Wala hukuangalia huko nikikotokea Asante sana, barikiwa
@ENOCKVOICEANDLYRICSSOUNDSEnoch
Жыл бұрын
I remember nilipokuwa advance nyerere high school Kilimanjaro mwanga niliimba huu wimbo😭ibada ya talent day. The church was so blessed. I'm inspired more with your ministry servant of God. May God continue rising you higher in this ministry. Wengi wanavuka kupitia huduma yako. Amen
@agneshosea4199
6 жыл бұрын
Ukaona lugha yangu haitoshi ukanipa ya kwako ili tuongee vizuri mimi na wewe kwa ROHO MTAKATIFU sasa nina nena tunaongea kwa siri mimi na wewe..... NINAKUPENDAAAA Sina namna ya kueleza jinsi huu wimbo ulivyogusa MOYO WANGU MUNGU azidi kukutumia kwa viwango vya juu saaaana.
@lydianjeriworks
5 жыл бұрын
Ukaona lugha yangu haitoshi, ukanipa ya kwako, ilituongee vizuri mimi na Wewe, kwa Roho Mtakatifu, sasa ninanena, tunaongea kwa siri mimi na Wewe... Haya maneno yamenigusa kabisa
@lydiamalakisabuhoro2024
5 жыл бұрын
Niupendo WA ajabu kwel Yesu nakupenda
@lydiamalakisabuhoro2024
5 жыл бұрын
Niupendo WA ajabu kwel Yesu nakupenda
@agnesmapunda4412
5 жыл бұрын
Agnes Hosea yaan hayo maneno ni baraka sanaa
@philipocharles7509
5 жыл бұрын
Mungu akuinue zaidi kaka
@philberthpatrick4987
4 жыл бұрын
Kama unasikiliza nyimbo hii 2020 gonga like kwa utukufu wa Bwana Yesu
@vumiliajoshua270
4 жыл бұрын
Amen
@teddylaulian7505
4 жыл бұрын
Nahc kujazwa roho mtakatfu n jnc gan mungu anavonpenda mm asant yesu asant yesu n ww tu
@hashimkambi878
Жыл бұрын
2023 nikupenda yesu....
@EliakimuMwampamba
Жыл бұрын
@@vumiliajoshua270😊😊😅😊
@apollojosephat7130
Жыл бұрын
2023 brother
@doricepallangyo5981
Жыл бұрын
Who else's listening 2022/December ❣❣
@zainabuhashim6916
2 жыл бұрын
Yaaaaan nyimbo zako hakuna nisiyoipenda kweli
@Vincentsyona-bj6qj
2 ай бұрын
Hondi humu mwaka huu 2024 leo July 31 j.tano ,wimbo huu uwabariki sana🙏🙏🌹🌹
@JemceMuindi
5 жыл бұрын
Nauskiza huu wimbo kutoka Kenya, na nimebarikiwa. Mungu akuzidishie mafuta kwa anjili ya kumuabudu Yesu. Ninakupenda Bwana Yesu!!
@gaudenciaanthony3355
5 жыл бұрын
ubalikiwe mtumish mungu akutie nguvu
@lynnemelline1627
Жыл бұрын
Nashangaa mbona hatujafika 2m.. What a love letter to Aba father ❤❤❤❤
@tasharosre6026
4 жыл бұрын
Waoh so nice nimenjoy sana uwepo wako Kilimanjaro ukiwa na Mwalimu Christopher Mwakasege, big up kaka Boaz danken
hii nyimbo ni madhabahu ya Mungu iliyojawa nguvu za Roho mtakatifu, God bless you
@naomiwanjiru7773
4 жыл бұрын
The first time I heard this song I was in church at DCC pale Tabata...Then coming to check it out on KZitem...I just typed unajua kusamehe😅 didn't know the title of the song...Buh indeed it's such an awesome song. Barikiwa sana Mtumishi.
@lydiachebet2439
5 ай бұрын
Unajua kusamehe, unajua kusahau,ulijua udhaifu wangu, ukanipenda ivo ivo....
@annmuthoni6041
2 жыл бұрын
😪😪😪Ninakupenda yesu ....Man of God be blessed may God continue using you more
@elizabethmasawe1940
5 жыл бұрын
NINAKUPENDAAAAAAAAAAAAAAAA YESU YESU YESU YESU ............I LOVE U JESUS 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@MyBlessed83
4 жыл бұрын
Oh My.... This one.. Ukaona luhga yangu haitoshi Ukanipa ya kwako Ili tuongee vizuri..... ❤️❤️❤️❤️❤️❤️Ninakupenda Yesu Wimbo umejaa upako kweli....
@ennykellen5636
4 жыл бұрын
Ninakupenda Bwana yesu wewe ndio tumaini langu🙌🙌🙌🙌halleluya
@lydiandukuben7801
2 жыл бұрын
Unapita ma Mimi ... Moenzi wa kweli,. Ninakupendaaaa.... Yesu. GOD BLESS YOU, . MAY HIS GRACE CONTINUALLY BE SUFFICIENT BROTHER
@odesgeofreymagilo2276
6 ай бұрын
Nmesimama chini ya miguu yako inayonga'ra kuliko Shaba.. unajua kusamehe ooo dear God bless Boaz mingimingi
@rehemajingu450
3 жыл бұрын
We kaka n chombo ktakatif cha Mungu Aliyehai!! Huu wimbo hunhamisha ulimwengu mwngne... Zidi kubarkiw zaid na zaid
Ninakupenda Yesu wangu 2020 nataka nikuone Bwana ukitutendea wanao mambo makuu ya ajabu kama unasonaga na huu wimbo 2020 gonga like nyingi sana kwa utukufu wa Mungu wetu
@annelisehillary1597
6 жыл бұрын
Huu wimbo kwa kweli umejawa na kweli ya YESU...*** ninakupenda YESU.***
@timonkaja8466
3 жыл бұрын
Amen
@timonkaja8466
3 жыл бұрын
Glory
@ibrahimumcharo1850
6 жыл бұрын
Baba Ni Maombi yangu kwa Mungu azidi kukuinua kwakweli kazi ni njema sana kwaajili ya utukufu wa Yesu tu.
@charlesseme3022
4 жыл бұрын
thenk you
@Minah_Laurent
4 жыл бұрын
UNAJUA MADHAIFU YANGU NA UNANIPENDA IVOIVO...🙌🙌🙌🙌🙌 NAKUPENDA PIA YESU
@jonathantave848
2 жыл бұрын
Unajua kussmehe ,ulijua udhaifu wangu ukanipends ivyo ivyo we love Jesus.😭😭😭😭😭🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙏🏽.
@janethkamoga377
4 жыл бұрын
Unajua kusamehe, unajua kusahau, wala hukuangalia udhaifu wangu ukanipenda hivyo hivyooo, ninakupendaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Kila nikiimba huu wimbo najikuja natoka machozi yaliyojaa upendo kwa Mungu wangu maana nikiwaza nilivyokuwa, sikutegea kama nitakuwa nilivyo, ooooooh ninakupendaaaaaa 😭😭😭😭😭😭😭😭
@ruzukumwamgumu1189
2 жыл бұрын
Huuu wimbo unamuona Mungu live akiwa katikati ya sifa hizi.walokole mmenielewa.
@doreennekesa1114
Жыл бұрын
Ninapenda nyimbo zako sana Mungu akubariki Na akutie nguvu Kwa uimbaji wako❤❤❤
@godfreypeter4630
4 жыл бұрын
Huyu jamaa ananibariki sana,Mungu azidi kukulinda kukutunza katika kila jambo akakufanikishe Boaz Danken
@victormwandry100
4 жыл бұрын
2020 damu ya yesu bado inatuzunguka
@monicaleonard6603
3 жыл бұрын
Leo nimeamka asubuhi mzima, na mwenye amani, na mwenye furaha sana. Na nimeamka na wimbo huu kumwambia Yesu kuwa ninampenda.
@JonahKaru-cb9im
Жыл бұрын
Kakangu Boaz, Nashukuru Mungu Kwa Upako ulio nao,Huu wimbo umenibariki,tutamani kupenda Yesu
Kabisa, laugha zetu hazitoshi kukuadhimisha ipasavyo wewe Mungu wetu!barikiwa Mtumishi
@ruthloserian4337
5 жыл бұрын
Unajua kusamehe, unajua kuashau.....NINAKUPENDA YESUUUU... Nikipita kwenye kwenye Moto unapita na mm, hujawahi kuniacha Mwenye Mapenzi ya dhati... YESUUUU....Mimi na wewe,,. WE LOVE YOU LORD... NI UPENDO WA AJABU SANA SANA...Oooooh Jesus
@anithajaphet4587
4 жыл бұрын
When I feel down I come here to regain my hope ,,it's so good to watch the most powerful song
@morganwabomba9778
2 жыл бұрын
very much true indeed sister
@henritachacha5154
2 жыл бұрын
Tunakupenda Yesu, uonuliwe milele,kama si wewe tungepata wali wokovu
@patrickmwakamba571
5 жыл бұрын
Eeeeehhh....This is deep....Holy Spirit! i love this worship song...it is very deep. This is my first time to hear Boaz Danken a young technician in our church knows how i love worship and he told me to youtube your songs - i desire to meet you one day if GOD permits and just give you a hug. Nimependa uhusiano wako na roho mtakatifu. Nimependa jinsi umejiachilia kwa uwongozi wake roho mtakatifu. Mungu abariki nyumba yako na kibali kilicho juu yako. You are a blessing.
@pendocoster4170
3 жыл бұрын
Yn ninapo sikiliz nyimbo hii nakua Kama sipo dunia hii nakua mbl sana malaika wananijaza nguv 🙏🙏🙏🙏❤️❤️❤️❤️jesus
@victormwandry100
3 жыл бұрын
2021 Asante yesu kwa ulinzi wa familia zetu
@bathshebamchuza2648
5 жыл бұрын
Nlpockia wmbo huu kwa mara ya 1, ukanipeleka ktk uwepo wa ajabu sana,Mungu azidi kukutia nguvu ktk huduma hii Danken
@estherkwamboka4173
2 жыл бұрын
Boaz Danken more grace more anointing sir,, We love you from Kenya 🇰🇪 be blessed sir
@beatricemalya9033
5 жыл бұрын
Kwa kweli acha Mungu aitwe Mungu wimbo hizi zinanibariki sana naguswa mpaka moyoni nikisikiliza. Mungu azidi kukupa kibali kingine kutoka nyimbo zaidi za kuabudu. Barikiwa mtumishi wa Bwana
@patriciaedwin1459
5 жыл бұрын
Naskia kuhudumiwa nikiskia nyimbo hii naskia kububujika mbele za mungu mungu azid kukutunza uzid kuhudumia watu wake katika nyimbo zako
@pendocoster4170
3 жыл бұрын
Imenigusa sana hakika nyimbo ina uwepo wa mungu ,,,ubarikiwe sana mtumish wa mungu
@eliyatusekege3703
6 жыл бұрын
Kaka yangu! Tanzania Imebarikiwa sana kwa kuwa na wewe Mtumishi wa Mungu aliye hai! Tunazidi kumuona Mungu Kupitia wewe kaka!
@boazdanken
6 жыл бұрын
Eliya Tusekege Glory to Jesus
@barikimiliki2857
4 жыл бұрын
@@boazdanken Mungu azidi kukuinua kaks
@rehemajingu450
3 жыл бұрын
@@boazdanken kaka iachie nymbo hii nii download jmn... Mungu ainuliwe jmn,pokea sifa Yesu wanao tunakusifu
@afsaisaya521
4 жыл бұрын
Ukaona rugha yangu haitoshi mungu akubarik sana Boaz yesu akutie nguvu ktk utumishi wako baba
@zakayomayaya1413
2 жыл бұрын
Mungu azidi kukuinua mtumishi wa Mungu
@Yoha-yd4nx
5 жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mtumishi wa mungu nikisikiliza nyimbo zako nabarikiwa Sana na pia sikati tamaa
@evancetefurukwa6191
3 жыл бұрын
Wimbo wa faraja sana huu,unatia moyo na matumaini.barikiwa sana mtumishi
@sharonmutiso3669
3 жыл бұрын
All the best, pastor, 254 Sharon barikiwa mtumiji wamungu
@lynelee5846
4 жыл бұрын
ewooooo.. nimeutafuta sanaa huu wimbooo.. ukaona lugha yangu haitoshi ukanipa ya kwako ili tuelewane..eehn..🤸🤸🤸🤸🥰🥰♥️♥️ 🇰🇪🇰🇪
@rebekaluvanga3888
5 жыл бұрын
Oooh! We love Jesus be blessed Boaz hakika roho wa mungu yu pamoja nawe hakika nilijua nasafiri kuelekea mbingun
@freiterbetuel9985
2 жыл бұрын
wimbo pendwa unaogusa moyo wangu na kuniweka karibu na Mungu. I Love you Lord Jesus ...I .love you more than anything in this world.
@doreenbless1953
Жыл бұрын
Love from Uganda 2023 am here who ever comes through this yr like my comment i wil always come back thr
@faithkirsten5227
3 жыл бұрын
November 2020 bado twakupenda yesu
@upendophilip8604
3 жыл бұрын
Waoooo you sing emotional i feel the power of holly spirt is passing inside my heart
@njengakamau1058
5 жыл бұрын
Powerful and anointed worship...ninakupenda yesu...ukanipa lugha yako ilituongee vizuri Mimi na Wewe...ninakupenda yesu
@alicemwachofi6637
5 жыл бұрын
From 🇰🇪 with Love. Thanks PPN for always sharing powerful worship songs like this ☝️. I am blessed. Blessings to you Danken and team. Shalom
@saraisacc6055
5 жыл бұрын
Every time when I listen this song I feel crying....I love ur lord ..ur didn't look where am I from ...I love ur lord
@janethfelix9411
4 жыл бұрын
Hakika Nakupenda Mungu wangu...mm lugha yangu haitoshi sasa tunaongea vzr mm na ww kwa Roho Mtakatifu😍😘
@happinesshaonga8488
Жыл бұрын
Ninakupenda bwana mungu akumbuke mwisho wako zaidi.
@onesiusonesmo3732
6 жыл бұрын
Ninakupenda, Yesu,,,, Wimbo umejaaa mafuta ya Roho mtakatifu. I seeeeh.
@jestinmsomba9585
5 жыл бұрын
ubalikiwe sana Mtumishi naona roho mtakatifu anashuka kuhudumia watu
@zilphakalenzo4967
4 жыл бұрын
Barikiwa sana kaka Mungu azidi kukuinua na ulitangaze vyema jina lake
@victormwandry100
Жыл бұрын
Tunakupenda YESU
@jamesnyaga7331
2 жыл бұрын
Waoooo...'ukaona lugha yangu haitishi, ukanipa ya kwangu, tunanena na siri.. Ninakupenda Yesu❤️❤️❤️🇰🇪
@MARYMOMANYI-iz2ye
8 ай бұрын
Why did I take too long to hear this sweet song?? I really love and I'm inspired by this sweet use of heavenly words, blessings brother for such a lovely song and more annointing
@mercelivingstone6531
2 жыл бұрын
Ninakupenda Yesu wangu asante kwa pumzi hatakama nina umwa
@maryndirangu315
4 жыл бұрын
This song is blessed. It is heavenly. Thank You JESUS. Listening from Kenya.
@heavenlight5084
4 жыл бұрын
Huu wimbo ni mzuri sana,kama upo rohoni, ni maombi yako tosha kwa MUNGU wetu.naupenda sana.
@gracemagoma4873
4 жыл бұрын
Nikipita kwenye moto upo na mimi: Haleluya!!!
@blestrice6193
4 жыл бұрын
Ninakupenda bwana Yesu kristo wa nazareti uliye hai
@amonijames5183
2 жыл бұрын
Ninakupenda yesu love this song no God no life.
@angelaswilla5115
4 жыл бұрын
Nabarikiwa mtumishi Mungu akuongeze viwango vya juu juu juuuuuuuuuuuu
@janengaga2928
Жыл бұрын
Nakupendaaaa YESU KRISTO ❤️❤️ na Wewe wajuaaa🙏🔥🔥🔥
@sheysahally7103
6 жыл бұрын
ukaona lugha yangu haitoshi ukanipa ya kwako ili tuzungumze vizuri kwa uwezo wa roho sasa ninena tunaongea kwa siri Mimi na wew👐oonh ninakupenda awww how z Great Dadie
@philberthpatrick4987
5 жыл бұрын
Amen
@queensaimon4744
4 жыл бұрын
Ninakupendaaaa YESU hakika ulinifia msalabani kwa ajili yangu nakupendaa sana YESU YESU
@mragahpallangyo6261
4 жыл бұрын
Kaka umekuwa bora sana na nyimbo zako kali nazipenda mno
@happymushi2219
5 жыл бұрын
That song juzi nilibarikwa sana tuliimba live na wewe,UKANIPA LUGHA YAKO,UMENIPENDA JINSI NILIVYO,HUKUANGALIA UKOO WANGU,YESU YESU ,MUNGU AKUTUNZE MNOO
@doramgana3022
Жыл бұрын
2023 nipo chini ya miguu yako Baba yangu.
@philimonambilikile6645
3 жыл бұрын
Dah mungu anapendwa na kila mutu asante mtumishi hakika upako
Пікірлер: 634