Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Swala, amewaongoza Wananchi wa Kijiji cha Maranje na Kata ya Mtiniko kwa ujumla Ndani ya Halmashauri ya Mji Nanyamba mkoani Mtwara, Pamoja na Viongozi wa ngazi mbalimbali katika Hafla ya Utiaji Saini Mkataba wa Ujenzi wa Maghala mawili ya kuhifadhia Korosho katika Eneo litakalojengwa Kongani la Viwanda katika Kijiji hicho cha Maranje leo Juni 24 2024.
SUBSCRIBE KZitem CHANNEL YA FAIDA ONLINE TV ILI KUPATA HABARI ZETU.
Негізгі бет BODI YA KOROSHO YASAINI MKATABA UJENZI WA MAGHALA YA KUHIFADHIA KOROSHO MTWARA| RC AONGOZA.
No video
Пікірлер