Boni ni mcha Mungu, msomi sawasawa, mzalendo mjasiliamaji. Ni mfano wa kuigwa na wengi nchini. Ccm inawaondoa watu kama hawa na inasikitisha sana. Mungu umlinde sana huyu tunu wa Taifa.
@esthermakelemo2864
3 күн бұрын
Kwaniaba ya WATANZANIA,BONY GOD BLESS YOU SO MUCH,My late Daddy usually had a Kaulimbiu which says IN4MATION IS POWER.
@stanslausbernard5950
2 күн бұрын
Wameumbuka. Sidhani kama wanaweredi wa kutosha kwenye kazi Yao. Chadema must take this issue seriously.
@OphiryNtirniga
2 күн бұрын
ONGERAC SANA MSABATO MWENZETU, Mungu yupo nawe ,from kasulu SDA kigoma
@jojujjokyussa4699
Күн бұрын
Wajina wangu,Big up.
@glorialaizer9450
17 сағат бұрын
Good job Borne
@emanuelmaya4667
2 күн бұрын
Daaaaaah hakuna haja ya scotland yard bwana boni we nomaaaaaa
@reginas1832
2 күн бұрын
Mungu akulinde Mh Boni
@glorialaizer9450
16 сағат бұрын
Well said boni
@stanslausbernard5950
2 күн бұрын
Wameumbuka. Watekaju hawana utaalamu na kazi yao. Serikali imeumbuka kirahisi.
@BaloleBalole-x7e
3 күн бұрын
Sawa
@EdgarLema-g6f
2 күн бұрын
Apo kwenye cyber ndo balaa linapoazia ao jamaa n ma professional hunker ndo maana wanatuteka kirais
@AhmedHassan-vl5zf
2 күн бұрын
Anajulikana NI mchaga NI NI mwanachama WA chama cha wachaga chadema na NI MTU anae ratibu utekaji
@glorialaizer9450
17 сағат бұрын
Baba yako atekwe ndio ujue
@AhmedHassan-vl5zf
2 күн бұрын
Sio kutoboa Siri yaserekali NI umetoboa Siri yenu
@AnaniaIsaya-z9g
Күн бұрын
Mjinga hujielewi
@GambasonLuselegasi
Күн бұрын
Waking sana kichwa utupu
@glorialaizer9450
17 сағат бұрын
We nenda mirenbe
@marthamungure1777
3 күн бұрын
Sabato ni ijumaa, siyo jumamosi?
@bonifaceibunga9443
3 күн бұрын
Ni recorded babu
@Joe-tr2vk
2 күн бұрын
Inaanza ijumaa baada ya jua kuzama hadi jumamosi kabla ya jua kuzama
@MtanganyikaTanganyika
2 күн бұрын
Kwenda uko mbwa wewe
@glorialaizer9450
17 сағат бұрын
Mbwa sana inahusu we ndio unajua sabato sana.
@paulomrosso8456
5 сағат бұрын
Bon wewe ni mtu na nusu. Hakika mungu yupo na wewe na nakuapia haki itapatikana. Kama mungu hajawai kuaibika na wewe hautaaibika. Damu ya yesu ikufunike kiongoz
Пікірлер: 24